Mashalah mashalah mashalah..maneno yako mazuri Sana ...kuhusu fikra za umaskin ni mbaya Sana ...nakulalamika muda wote inatia Sana udhalili na udhaifu..kufanya kazi ndokila kitu...lazima uwe mpambanaji lazima uwe na mawazo ya upambanaji Ili zarau zisiwepo.maneno yako yaleo yanatia Sana nguvu Yan madam..safi maneno yako yamezidi kunitia nguvu zaidi kwenye upambanaji wangu... mashalah mashalah mashalah
Juma matano kutoka Kenya pia mm nafaidika na madam Leila Tena Hilo jina kidogo liliingia kwa ukoo wetu ak naburudika sana,nisalimie Leila sheikh Hatibu.
Mama maua yako pokea 🎉🎉usiondoka kwa mume kabila ujajipanga na umechoka nae ukiamua kuishi na mwanaume mwenye mateso vumilia ipo siku utajua tamani yako na wakati huu wewe umechoka na nafasi yako hakuna nafasi yake tena
Mashalah mashalah mashalah..maneno yako mazuri Sana ...kuhusu fikra za umaskin ni mbaya Sana ...nakulalamika muda wote inatia Sana udhalili na udhaifu..kufanya kazi ndokila kitu...lazima uwe mpambanaji lazima uwe na mawazo ya upambanaji Ili zarau zisiwepo.maneno yako yaleo yanatia Sana nguvu Yan madam..safi maneno yako yamezidi kunitia nguvu zaidi kwenye upambanaji wangu... mashalah mashalah mashalah
Juma matano kutoka Kenya pia mm nafaidika na madam Leila Tena Hilo jina kidogo liliingia kwa ukoo wetu ak naburudika sana,nisalimie Leila sheikh Hatibu.
Allah akutunze kwa ajili yetu madam🤲
ManshaAllah tabaraka Allah Allah akulipe kilalakheri fi dunia wali Akhera ❤❤❤❤
Ameen
Daa! Mungu akulinde sana madamu Leila.Hakika wewe ni tunu
Masha Allah madame mungu akulinde na husda uzid kutufundisha
Allahu Akbar,kila la kheri kwako dada,kwani mawaidha yako yafaa tena sana❤.Khayr fii duniya wal Akhera inshaAllah.
Masha Allah
Tabaraka Allah
Jazaka Allah kheir
wewe unajua na unawajua👍
MashaAllah dada
Tanga FM 5 Tanga yetuu❤❤❤❤❤
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER DADA YETU MUNGU ATUPE MWISHO MWEMA INSHALLAH
Ameen! atulipe sote
Darsa zuri shukrn sana Allah awalipe
Kumbe radio NURRU Kiswahili cha Tanga
Mi mwenyewe nimeumia sana alipo kuja Zanzibar nikawa sipo ,iliniuma sana nikasema ningekuwepo Zanzibar ningeomba Allah anikutanishe naye
Allah akufanye rafiki wk akuhifadhi ❤ ukhty
Amiin
Masha Allah
Nilikua najambo gumu napitia ila nishapajawabu na isitoshe umendisha Dua ndogo ila kubwa tamu na inaufumbuzi wa kila kitu
Habari madam? mke wangu yeye uwa hapendi ushauri kifupi ni mkaidi sana. Nifanyaje niweze kumseti hawe anasikiliza ushauri.
Mama maua yako pokea 🎉🎉usiondoka kwa mume kabila ujajipanga na umechoka nae ukiamua kuishi na mwanaume mwenye mateso vumilia ipo siku utajua tamani yako na wakati huu wewe umechoka na nafasi yako hakuna nafasi yake tena
Mm mwenyewe napenda maneno yake napenda kumuweka status
Jazakallah khayran