MIMI HELA NATOA WAPI JAMANI, SINA HELA !! 🙌 - MALKIA KAREN | HIVI NI KWELIAC
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2023
- MIMI HELA NATOA WAPI JAMANI, SINA HELA !! 🙌 - MALKIA KAREN | HIVI NI KWELIAC
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Malkia careen mstaarabu sana nmempenda bureee
Kumbe umeliona hilo ni mastaarab mno
🔥🔥🔥 motown sanya ❤lakini malkia caren ni mpole Jamani
Kasauti kake ka upole mashaAllaah😊
Mstarabu sana mashalla
Nimekapenda haka kadada kana busara sana
Show kali sana wanangu,love from 254💪
Nimekupenta bure❤
Jomn wasanii wote wangekuwa wastaarabu kama karen ingekuwa unyama😂😂😂
Nimpole huyu dada anabusar
Naombeni likes jamooni wa kwanza leo mimi all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Za kazi gani
😂😂😂 wallah laadhimu imengiaje kweny deni
Bado Giggy money😂😂😂😂 mwenda pigwa kweli huko na viatu
Madam pakome yuko humble sana
😂😂😂😂😂😂😂😂mbona mitihani😂😂😂😂eti msaidieni huyu mtu,kaabiwa eti milioni 2😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Muonekanoo wa face anavyo act Sasaaaa😂
Careen mpole sana
Kwahiyo sisi watu w iringa washamba! Sijapenda
😂😂😂😂😂
Achana nae sisi hatupo hvo bwana ushamba wetu nn
Jaman jaman ya masha minyonyo ilinibamba hatar zote kal lkn ile ilikuwa kal kama ya zuwena alonyata hahahaha
Show hiko sawa
Utafika mbali una hekima sana
Sanya umeweka camera kila sehemu🤣
Inaonekana n kweli jamaa alipewa hela😆
Noma Sana mo town
Wow , Karen yupo vizuri😂
Mo town asimfia Karen we n mzur sana🤨
MUWE MNAOMBA RISIT
Ila nyiyee 😂😂😂😂
Hatari
Dada mpole sana ana haiba ya huruma❤❤❤
Huluma gan kashindwa kumsaidia nauli 😂😂😂
Usiombe ukutane nahii situation
Such a humble girl, omg namfollow sasa hv
Sa hyo itamsaidia nn n who are yu
Ita msapot tu kweny mbanga zake
@@geofreybahema5118 am no body, but itamsaidia kwa one way or another.... your reply is so harsh mate, soma my comment vizuri. L.O.L
@@bigdawstz7258 i think amesoma *unfollow* hatuwezi blame huyu mtu
Malkia Karen anamchapa picha kimya kimyaa jamaa kastuka😅😅😅
Zamu ya diamond sasa mkamwambia ile ndege yetu imepatikana😂😂
🎉🎉🎉❤❤❤❤nakukubali mwamba 🎉🎉🎉😂😂
Huyu mdada mpole
Nampenda uyu kaka wajameni kama kaniroga vile
Nembo ya mtaaa unatisha sn😅😅😅
Hii lazima uumwe na kichwa
Caren mtu poa sana
😂😂😂😂🙌🙌🙌
Uyo bro pembeni kaniua eti show za vijijini wanaambizana😂😂
Sema nn iringa sio washamba kiivo
Hahahahahahaha yakobo bwana yuko serious 😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅masha love na Gigy money hapo kingewaka😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣😆😆😆👍
Nampenda sana malikia Karen sijui kwa nini Kazaa mapema
Kwan dhambi kuzaa mapema
Sio mtoto uyo mwakan ana 30 ...sasa ulitaka azae Lin na umri una sogea
Hahahaha lakin malkia careen mstarab san jmn
Naomba mumfanyie dada yangu Gigy Money jamani kama hii
Unataka mtu apigwe
Tunataka zuchu au diamond😂😂😂
Zuchu tayariiii
Huyu dada mpole sana jmn😂
Uyu binti anaupole ambao sio waku pretend...karen uko wife material
😂😂😂😂
Sany ibiza tena mwatuonea iringa
😂😂😂😂😂😂
Mambo mrembo
Nembo ya mtaa umetisha sana sasa ni wakati wa kuprank dimond the boss😂
Uhakikaaaa😂😂😂
Haya ma drama yenu yashakuwa yakawaida wala haya vutii tena kutazama,,tafuteni ubunifu mwingine
Wivu
Mo town asimfia Karen we n mzur sana🤨