JOLMASTER NA NDARO WAKAMATWA NA GARI LA WIZI, WANUSURIKA KUPIGWA MAWE NA WANANCHI | HIVI NI KWELI ?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2023
  • JOLMASTER NA NDARO WAKAMATWA NA GARI LA WIZI, WANUSURIKA KUPIGWA MAWE NA WANANCHI | HIVI NI KWELI ?
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 196

  • @rosemery3017
    @rosemery3017 10 หลายเดือนก่อน +71

    Hii ni hatar sana Sanya unafanya ivyo sababu ni Wana wako mnajuana ila kama ni watu Baki wakiripoti utube unafungiwa mile hakuna prank ya namna hii yakuleta maafa sasa mfano watu wasiojua wangetokea pembeni na mawe wakaanza kuwapiga na mkashindwa kuwazuia ingekuwaje jaman muangalie na ubunifu wenu hii ni hatar sana😢

    • @seifabdalla6424
      @seifabdalla6424 10 หลายเดือนก่อน +5

      Kweli htr sana

    • @zomasamweli
      @zomasamweli 10 หลายเดือนก่อน +6

      Hika umeshauri vizuri

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 10 หลายเดือนก่อน +2

      Hao wameshapangwa kila kitu

    • @franciskibay8948
      @franciskibay8948 10 หลายเดือนก่อน +2

      Hao watu wote ni wamepangwa na kila alokua akiongezeka ni kama alishashtuka kwamba wapo kwenye kuigiza

    • @mchalamchala7348
      @mchalamchala7348 10 หลายเดือนก่อน +3

      Mbona kawaida sana kaangalie @ topnotch idiot halafu ndo utajua prank za hatari zikoje

  • @festolukuliko5875
    @festolukuliko5875 10 หลายเดือนก่อน +15

    HAH FANYA U.MCHEKECHE NA BOSS WAKO MONDI!! TUNAITAKA SANA HIYOOO

  • @kipandethedon2547
    @kipandethedon2547 10 หลายเดือนก่อน +5

    Hakikisha Afya za watu unaowasuprise. Matukio unayofanya ni Mazito Mno.

  • @shadhilurajaby8759
    @shadhilurajaby8759 10 หลายเดือนก่อน +12

    Ivi ni kweli mo Sanya?

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h 10 หลายเดือนก่อน +4

    Sanya Sanya kiusalama hii haipo sawa inaweza siku tukio kama hivi wananchi mkashindwa kuwazia mtu anapotea hivi hivi tafuta namba zingine hivi unaweza kuja kuingia matatani wanazengo wanazidi kuja dah inoma Sanya.

    • @MdBass-lj2bu
      @MdBass-lj2bu 9 วันที่ผ่านมา

      Kweli wallah

  • @elgringogringo5238
    @elgringogringo5238 10 หลายเดือนก่อน +6

    Hii imeweza kabisaaa...kashkika vizuli na akalowaaa mshikaji wetu hapo😂😂..keep it up bro kipindi saaaafi sana ila naomba Siku moja pia WEwe unaswe hivo hivo...na mchongo tunao...Siku ni Siku tu😂😂

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hii shoo ya kinyama Toka wasafi ianzishwe noumaaaaa Sana Sanya kama ulivisema uliandaa vitu mapema vinatoka rasimi nimeelewa saaaaana

  • @robertemmanuel2354
    @robertemmanuel2354 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ndaro sio wakuazima gari kbsaa maan jamaa yuko laazi amwachie. Msara juma 😂😂

  • @user-zn2dd7xq6i
    @user-zn2dd7xq6i 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kaaa kwa kutulia bobu kaa kwa kutulia bhasi boy🙌🙌🙌

  • @soudjabir9117
    @soudjabir9117 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hii n kali sana kuzidi zote nmependa jol master mlivomlkamat ujanja wote mfukoni

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 10 หลายเดือนก่อน +5

    Ndaro hii ishu alikua anaijua😂😂😂

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 10 หลายเดือนก่อน +2

    Badilisheni utaratibu wenu"mtauawa"au mtaua watu kwa presha

  • @hassanihussein2731
    @hassanihussein2731 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hii cjaipenda kabisa kuna siku mtu atakuja kuminywa kweli kweli

  • @user-xv3rc7cs8e
    @user-xv3rc7cs8e 10 หลายเดือนก่อน +2

    baba levo next please❤❤❤

  • @eduardokwaladashi6274
    @eduardokwaladashi6274 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂🔥🔥🔥🔥🔥sanya VC e mão brother MZ

  • @macklineremmanuel1742
    @macklineremmanuel1742 10 หลายเดือนก่อน +6

    Hii haifai inashusha heshima ya mtu tafuteni contents nyingine

  • @jumaiddy441
    @jumaiddy441 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ndaro eti nipeni funguo niendee kazi 😂😂😂

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 10 หลายเดือนก่อน +2

    ACHA ujinga utani barabarani ni danger linaweza kutokea jambo likaja kuwa cost

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 10 หลายเดือนก่อน

    Nakubali ✌️

  • @jukwaalatech
    @jukwaalatech 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mmemuona chidi benz 😂😂

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hivi ndo plank ilivyo mzee lazima kuwe na uhalisia asilimia 85 nzima

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 10 หลายเดือนก่อน

    👍👍✌️..

  • @jaybacky9613
    @jaybacky9613 4 วันที่ผ่านมา

    Sema mejitahidi kuigizaa safi

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ila nyie mtawaua mwenzenu kwa mapigo ya moyo😂😂😂😂😂😂

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani😢

  • @user-qk5nf1vf5b
    @user-qk5nf1vf5b 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna anae kanyagwa apo jol master😂😂😂😂

  • @bandekocomedy67
    @bandekocomedy67 10 หลายเดือนก่อน +2

    Alafu we kipara acha uongo 😂😂

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile4203 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ila ndaro ndo kamchomesha mwenzakee yeye kapangwa kamuamgushia pira jolmastar

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ndalo anasaut ya unyonge kama kaonewa vile anaonekana hapendi magomvi😂

  • @USWAZITVONLINE
    @USWAZITVONLINE 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna siku mtu anapigwa chuma ya kichwa uwe msala

  • @Buga_Nolimits
    @Buga_Nolimits 10 หลายเดือนก่อน +1

    Daahh hii kitu inaleta hasira kinomaa

  • @rahmalovelymakeup-xy1qp
    @rahmalovelymakeup-xy1qp 10 หลายเดือนก่อน +1

    Oyaaaa Acheni Izooo 😂😂😂

  • @user-zn2dd7xq6i
    @user-zn2dd7xq6i 10 หลายเดือนก่อน +1

    Watu washapagawa na maisha uwaletee mambo ya kisenge kama hayo alafu akuache mtu amchui mwenye gari anapiga kelele ili aonekane na yeye alitetea ili apewe ela ya soda😂😂😂😂 bongo🙌🙌

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kubal sanaaa sanya😅😅ndalu kachemka😂unatuchukulia kidal sisi tunawakanda tu

  • @Nasbu-tb6cs
    @Nasbu-tb6cs หลายเดือนก่อน

    Izi pigo sio kabisa achen Izi mbanga Wana wavumilivu Sana ningekua Mimi nisharusha ngum mda sana uez nishika shika kiboya dizain hii..

  • @Khan_voice417
    @Khan_voice417 4 หลายเดือนก่อน

    Nakubr kk ndaro ungepiga uyo

  • @bikoboy2968
    @bikoboy2968 10 หลายเดือนก่อน +1

    Au Achaa tu 😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅

  • @user-xl3mh7gu6e
    @user-xl3mh7gu6e 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ni maigizo tu hakuna kitu hapo watu wamepanga

  • @emanueljohn9601
    @emanueljohn9601 10 หลายเดือนก่อน +4

    Au basii Acha tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ndaro bwanaa

  • @lynucylavezzy3232
    @lynucylavezzy3232 10 หลายเดือนก่อน +3

    Ndaro kaanza kumkataa mwanae😂😂😂😂

  • @ZigrethZigreth
    @ZigrethZigreth 9 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @Wizy_store
    @Wizy_store 10 หลายเดือนก่อน +1

    We sanya hunijui Ndaro msenge sana😂 au basi

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ingekuwa wasenge wanachukiwa kama wezi waray tz isingekuwa na mashoga kabsaa

  • @asantechota8974
    @asantechota8974 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jolo master mshari ila kandaro kamepoa kama kibuyu

  • @rodajaphet969
    @rodajaphet969 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hahahaha nimecheka Sana Leo wamepatikana

  • @Farismabeauty
    @Farismabeauty 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hii prank yake ni kabambe for Tz ameshika line 1,anza kuchukuwa na wasiojulikana

  • @user-rf3tl5rg4u
    @user-rf3tl5rg4u 10 หลายเดือนก่อน

    Cjaipenda hiyo

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h 10 หลายเดือนก่อน

    Ushauri mwengine uwe na mabaunsa mbali ya hii hiz za kawaida watu wengine hasira ustsrabu hawana mtakujakuchezea vitasa hatari

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂dah pole Joel 😂😂😂

  • @jimmymushi2357
    @jimmymushi2357 10 หลายเดือนก่อน

    Hii imezingua @Mo

  • @elibarikimwanyama7246
    @elibarikimwanyama7246 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaa jol master alivopoa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @paulmasunga1754
    @paulmasunga1754 5 วันที่ผ่านมา

    Hiki kipindi chenu sio kizur kunasiku ataumizwa Mtu bdo hawajakutana na Vichwa

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbeee woteeee waogaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @adelinatate9704
      @adelinatate9704 10 หลายเดือนก่อน

      Huyo kaka wa jacket ya green actor mzuri sana 😂😂😂

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nipo na uyo bwana kipala ni muoga kishenzi yy anazunguka tu

  • @nicholausyusti4068
    @nicholausyusti4068 10 หลายเดือนก่อน +2

    Matokeo ya Hii kitu sio nzuri ipo siku itawagharimu aisee😡

  • @sameerally4045
    @sameerally4045 10 หลายเดือนก่อน +1

    Cholo umeuwa hahahaha😂

  • @benderarescoj
    @benderarescoj 10 หลายเดือนก่อน

    Aaah nimcheka San. 😂😂 et we mwenye para

  • @Bradleycarlostawai
    @Bradleycarlostawai 10 หลายเดือนก่อน +8

    😂😂Ndaro kumbe mwizi

  • @chulirajabu5481
    @chulirajabu5481 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa mwaka huu hii ni bora kuliko zote nilizo ziona

  • @y1h1y1-m
    @y1h1y1-m 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi ndivio inastaili uwalisiya wakitu sanya umepatiya asilimiya 99%

  • @melitalaunoni4018
    @melitalaunoni4018 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mmh

  • @mashaka_son
    @mashaka_son 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂weziii

  • @Wizy_store
    @Wizy_store 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ndaro waki sana

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ndaro eti wachukulie hatua

  • @rodajaphet969
    @rodajaphet969 10 หลายเดือนก่อน +2

    😅😂😂😂😂ndaro anavituko mno

  • @YaGa60
    @YaGa60 10 หลายเดือนก่อน +2

    Sanya unahatalisha maisha ya watu

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 10 หลายเดือนก่อน +1

    Eti kanamwili mdogo 😂😂😂😂😂

  • @tanzaboy4824
    @tanzaboy4824 10 หลายเดือนก่อน

    Kama unataka kiwake we mfanyie iyo mizinguo chidbenz

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 10 หลายเดือนก่อน +1

    Balaaa ziiitoooo 😁😄😅

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna mtu hapo anakipara ni mshali Sana

  • @emmanuelibrahim4556
    @emmanuelibrahim4556 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mo town atakujaga auwe watu huyuu😂😂😂

  • @richardkaingu7530
    @richardkaingu7530 10 หลายเดือนก่อน

    Ndaro bro... una vituko kweli

  • @rostaduccibilly9046
    @rostaduccibilly9046 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hiki kipindi sasahivi kinaigizwa

  • @silverstereonofficial4049
    @silverstereonofficial4049 10 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂😂😅

  • @cassalyjames9129
    @cassalyjames9129 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unatuchukulia chicken nni😂😂😂😂

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv5535 10 หลายเดือนก่อน +1

    Eti......tulia Babu! Tulia.......mwili mdogo, mdomo mkubwa

  • @queenlisapherooz7321
    @queenlisapherooz7321 7 หลายเดือนก่อน

    Sijapenda mlicho mfanyia jaman ndaro wetu 😒😒

  • @masoudmasasi1801
    @masoudmasasi1801 10 หลายเดือนก่อน

    hii ndio ya kufungia mwaka

  • @reganclarence4657
    @reganclarence4657 9 หลายเดือนก่อน

    heeeeh kimewaka🙌🙌

  • @user-gm2yn7ib1t
    @user-gm2yn7ib1t 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa majama wanauwezo mkubwa wa kuigiza uhalisia duu jama kawa mpole kama sio yeye mbwembwe zote mfukoni hata ungekuwa wewe kwahio mikwara lazima ukae2😂😂😂 mdomo umeingia maji gafla duu

  • @binamukato9700
    @binamukato9700 10 หลายเดือนก่อน +2

    Sanya utakuja jutia content sio kwa style hii bro... Atakuja pasuka mtu..

  • @Online-Darasa_Tv
    @Online-Darasa_Tv 10 หลายเดือนก่อน

    Ila huu ni usenge sana tena ni ushooga mkubwa .. Yan mm ukinifanyia hv natomba wooote nyinyi

  • @konya_boy7196
    @konya_boy7196 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ndaro anakuchom😂😂

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 uyu jamaa anamdomo kamwili kadogoo

  • @mayungakisinza6090
    @mayungakisinza6090 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wasukuma gani waoga hao

  • @Kilindimot
    @Kilindimot 10 หลายเดือนก่อน

    😅😅

  • @BabalejrKiraka-zm2ud
    @BabalejrKiraka-zm2ud 9 หลายเดือนก่อน

    Sema mwamba makoti nchogundua maneno mengi mikwara kibao ila Fala mmoko tu

  • @InnocentJames-ce4zz
    @InnocentJames-ce4zz 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa mimi simkubaligi hata kidogo huyu chanya hanaga ubunifu afu ripoti zake zakimbea

  • @shafiiathumani8173
    @shafiiathumani8173 10 หลายเดือนก่อน

    Juma anatamani kulia 😂😂😂

  • @stevenmathias1739
    @stevenmathias1739 10 หลายเดือนก่อน

    hii n mbay sana coz inaweza kujikuta anapgwa mtu kiutan tu hv

  • @hamismbwana8592
    @hamismbwana8592 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂

  • @sebastianjoseph773
    @sebastianjoseph773 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂

  • @tyzervisualsstudio
    @tyzervisualsstudio 9 หลายเดือนก่อน

    Tunatak ya mondiiiiiii km ujafukuzwa niiite mmbwa😅😅😅😅😅

  • @JumahamisiOmary
    @JumahamisiOmary 10 หลายเดือนก่อน

    This prank One day mtu atakuja kula shaba hapa wengne wana hasira

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 7 หลายเดือนก่อน

    Hichii kipindi❤❤❤🔥🔥😂😂😂😂

  • @rajleey8433
    @rajleey8433 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂kipara anabadilisha maneno

  • @Zaidiyanusumedia
    @Zaidiyanusumedia 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂Ndaro kumbe muoga

  • @user-zn2dd7xq6i
    @user-zn2dd7xq6i 10 หลายเดือนก่อน

    😂unanichukulia chicken nini bobu😂🙌

  • @KEMEATV25
    @KEMEATV25 10 หลายเดือนก่อน

    Hii ni move wana wapanga kabisa

  • @Khan_voice417
    @Khan_voice417 4 หลายเดือนก่อน

    Uyo mwamba mfupi chawa ningekuepo apo kuma uyooo