JOLMASTER NA NDARO WAKAMATWA NA GARI LA WIZI, WANUSURIKA KUPIGWA MAWE NA WANANCHI | HIVI NI KWELI ?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2023
- JOLMASTER NA NDARO WAKAMATWA NA GARI LA WIZI, WANUSURIKA KUPIGWA MAWE NA WANANCHI | HIVI NI KWELI ?
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Hii ni hatar sana Sanya unafanya ivyo sababu ni Wana wako mnajuana ila kama ni watu Baki wakiripoti utube unafungiwa mile hakuna prank ya namna hii yakuleta maafa sasa mfano watu wasiojua wangetokea pembeni na mawe wakaanza kuwapiga na mkashindwa kuwazuia ingekuwaje jaman muangalie na ubunifu wenu hii ni hatar sana😢
Kweli htr sana
Hika umeshauri vizuri
Hao wameshapangwa kila kitu
Hao watu wote ni wamepangwa na kila alokua akiongezeka ni kama alishashtuka kwamba wapo kwenye kuigiza
Mbona kawaida sana kaangalie @ topnotch idiot halafu ndo utajua prank za hatari zikoje
HAH FANYA U.MCHEKECHE NA BOSS WAKO MONDI!! TUNAITAKA SANA HIYOOO
Hakikisha Afya za watu unaowasuprise. Matukio unayofanya ni Mazito Mno.
Ivi ni kweli mo Sanya?
Sanya Sanya kiusalama hii haipo sawa inaweza siku tukio kama hivi wananchi mkashindwa kuwazia mtu anapotea hivi hivi tafuta namba zingine hivi unaweza kuja kuingia matatani wanazengo wanazidi kuja dah inoma Sanya.
Kweli wallah
Hii imeweza kabisaaa...kashkika vizuli na akalowaaa mshikaji wetu hapo😂😂..keep it up bro kipindi saaaafi sana ila naomba Siku moja pia WEwe unaswe hivo hivo...na mchongo tunao...Siku ni Siku tu😂😂
Hii shoo ya kinyama Toka wasafi ianzishwe noumaaaaa Sana Sanya kama ulivisema uliandaa vitu mapema vinatoka rasimi nimeelewa saaaaana
Ndaro sio wakuazima gari kbsaa maan jamaa yuko laazi amwachie. Msara juma 😂😂
Kaaa kwa kutulia bobu kaa kwa kutulia bhasi boy🙌🙌🙌
Hii n kali sana kuzidi zote nmependa jol master mlivomlkamat ujanja wote mfukoni
Ndaro hii ishu alikua anaijua😂😂😂
Badilisheni utaratibu wenu"mtauawa"au mtaua watu kwa presha
Hii cjaipenda kabisa kuna siku mtu atakuja kuminywa kweli kweli
baba levo next please❤❤❤
😂😂🔥🔥🔥🔥🔥sanya VC e mão brother MZ
Hii haifai inashusha heshima ya mtu tafuteni contents nyingine
Ndaro eti nipeni funguo niendee kazi 😂😂😂
ACHA ujinga utani barabarani ni danger linaweza kutokea jambo likaja kuwa cost
Nakubali ✌️
Mmemuona chidi benz 😂😂
Hivi ndo plank ilivyo mzee lazima kuwe na uhalisia asilimia 85 nzima
👍👍✌️..
Sema mejitahidi kuigizaa safi
Ila nyie mtawaua mwenzenu kwa mapigo ya moyo😂😂😂😂😂😂
Jamani😢
Hakuna anae kanyagwa apo jol master😂😂😂😂
Alafu we kipara acha uongo 😂😂
Ila ndaro ndo kamchomesha mwenzakee yeye kapangwa kamuamgushia pira jolmastar
Ndalo anasaut ya unyonge kama kaonewa vile anaonekana hapendi magomvi😂
Kuna siku mtu anapigwa chuma ya kichwa uwe msala
Daahh hii kitu inaleta hasira kinomaa
Oyaaaa Acheni Izooo 😂😂😂
Watu washapagawa na maisha uwaletee mambo ya kisenge kama hayo alafu akuache mtu amchui mwenye gari anapiga kelele ili aonekane na yeye alitetea ili apewe ela ya soda😂😂😂😂 bongo🙌🙌
Kubal sanaaa sanya😅😅ndalu kachemka😂unatuchukulia kidal sisi tunawakanda tu
Izi pigo sio kabisa achen Izi mbanga Wana wavumilivu Sana ningekua Mimi nisharusha ngum mda sana uez nishika shika kiboya dizain hii..
Nakubr kk ndaro ungepiga uyo
Au Achaa tu 😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
Ni maigizo tu hakuna kitu hapo watu wamepanga
Kipindi iki
Au basii Acha tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ndaro bwanaa
Ndaro kaanza kumkataa mwanae😂😂😂😂
🎉
We sanya hunijui Ndaro msenge sana😂 au basi
Ingekuwa wasenge wanachukiwa kama wezi waray tz isingekuwa na mashoga kabsaa
Jolo master mshari ila kandaro kamepoa kama kibuyu
Hahahaha nimecheka Sana Leo wamepatikana
Hii prank yake ni kabambe for Tz ameshika line 1,anza kuchukuwa na wasiojulikana
Cjaipenda hiyo
Ushauri mwengine uwe na mabaunsa mbali ya hii hiz za kawaida watu wengine hasira ustsrabu hawana mtakujakuchezea vitasa hatari
😂😂😂😂😂dah pole Joel 😂😂😂
Hii imezingua @Mo
Hahaa jol master alivopoa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiki kipindi chenu sio kizur kunasiku ataumizwa Mtu bdo hawajakutana na Vichwa
Kumbeee woteeee waogaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyo kaka wa jacket ya green actor mzuri sana 😂😂😂
Mimi nipo na uyo bwana kipala ni muoga kishenzi yy anazunguka tu
Matokeo ya Hii kitu sio nzuri ipo siku itawagharimu aisee😡
Cholo umeuwa hahahaha😂
Aaah nimcheka San. 😂😂 et we mwenye para
😂😂Ndaro kumbe mwizi
😂
Kwa mwaka huu hii ni bora kuliko zote nilizo ziona
Hivi ndivio inastaili uwalisiya wakitu sanya umepatiya asilimiya 99%
Mmh
😂😂😂weziii
Ndaro waki sana
Ndaro eti wachukulie hatua
😅😂😂😂😂ndaro anavituko mno
Sanya unahatalisha maisha ya watu
Eti kanamwili mdogo 😂😂😂😂😂
Kama unataka kiwake we mfanyie iyo mizinguo chidbenz
Balaaa ziiitoooo 😁😄😅
Kuna mtu hapo anakipara ni mshali Sana
Mo town atakujaga auwe watu huyuu😂😂😂
Ndaro bro... una vituko kweli
Hiki kipindi sasahivi kinaigizwa
😂😂😂😂😂😅
Unatuchukulia chicken nni😂😂😂😂
Eti......tulia Babu! Tulia.......mwili mdogo, mdomo mkubwa
Sijapenda mlicho mfanyia jaman ndaro wetu 😒😒
hii ndio ya kufungia mwaka
heeeeh kimewaka🙌🙌
Hawa majama wanauwezo mkubwa wa kuigiza uhalisia duu jama kawa mpole kama sio yeye mbwembwe zote mfukoni hata ungekuwa wewe kwahio mikwara lazima ukae2😂😂😂 mdomo umeingia maji gafla duu
Sanya utakuja jutia content sio kwa style hii bro... Atakuja pasuka mtu..
Ila huu ni usenge sana tena ni ushooga mkubwa .. Yan mm ukinifanyia hv natomba wooote nyinyi
Ndaro anakuchom😂😂
😂😂😂 uyu jamaa anamdomo kamwili kadogoo
Wasukuma gani waoga hao
😅😅
Sema mwamba makoti nchogundua maneno mengi mikwara kibao ila Fala mmoko tu
Huyu jamaa mimi simkubaligi hata kidogo huyu chanya hanaga ubunifu afu ripoti zake zakimbea
Juma anatamani kulia 😂😂😂
hii n mbay sana coz inaweza kujikuta anapgwa mtu kiutan tu hv
😂😂😂
😂😂😂😂
Tunatak ya mondiiiiiii km ujafukuzwa niiite mmbwa😅😅😅😅😅
This prank One day mtu atakuja kula shaba hapa wengne wana hasira
Hichii kipindi❤❤❤🔥🔥😂😂😂😂
😂😂😂kipara anabadilisha maneno
😂😂😂😂Ndaro kumbe muoga
😂unanichukulia chicken nini bobu😂🙌
Hii ni move wana wapanga kabisa
Uyo mwamba mfupi chawa ningekuepo apo kuma uyooo