Mohamed mtoe kwenye wokovu Yuda 1:4 🎉 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
Soma Qur an ndugu yangu usipelekeshwe na mawakala wa shetani ,,,kama wew unaamini Nabii Muhammadi ndio nabii alieshushushiwa Qur an basi shikilia apo usiyumbishwe Imani yako
Unawaandaa watu kwaajili ya kumtukuza mpinga Kristo. Usiwabebeshe watu mzigo...Mungu anataka tumsikie MWANAE... na imeandikwa, Kanisa ndio mwili wa.KRISTO.... SASA huyo.muhamadi ni nani.katika kanisa???.. ni kiuno, Mkono, pua??.... muongo wewe.
Mungu akusamehe kwa kunitusi mimi mwehu, nauliza swali kuliko unijibu , unanitusi utanisaidia jee,mtumishi wa Mungu hapashwe kutoa mabaya kinywani mwake ila ni baraka, Aksante kwa kunivunja moyo , kukuliza tena.
@@issajuma3489 nani amekutukana....mbona unakuwa Muongo chini ya jua?.. unataka kumpendeza Mwanadamu au MUNGU?... Maana Mungu ndiye atakaye kuhesabia haki kuwa ni Muongo.
@@stanfordsaulo5403 vita tunapigana kwa silaa moja tu.. nafikili imeandikwa mahali fulani. Upanga ni neno la Mungu Mkanda ni hekima Elementi ni roho mtakatifu... Vita vyetu si vya damu na nyama..... Hayo ya kimwili ni Yesu atatushindia.
Shalom Nabii Elias na Amani ya bwana wetu yesu kristo iwe nawe Mtumishi nisidie, Mungu wa israel, ndie Mungu wa waislam ao hapana? Nimeuliza kwa sababu , nlifuata, video moja ya mubunge moja wa utiruki,alisema alah mungu wa wa Islam talipiza israel sababu ya mauji ya wapalestine, hapo hapo akaanguka na kufa, Kama Mungu wa israel na ndie Mungu wa wa Islam , kwa mini Yule mubunge afe kwakutamka mabaya , kwa wa israel? Niko na ile video
Waislam wanafuata sheria za kale...na hizo zinapingana na Kristo. Huwez ukatumika kwa Yesu...mafundisho yake yakaendana na ya Muhamad. Utakuwa serial killer
Ww ulikatazwa hayo maneno yako,na mashehe,unakumbuka uliomba msamaha.hizo clip bado zipo ama uzioni.ww si nabbii mbona husikiii.sasa uliomba msamaha wa nini,kama ulijua hutaacha?
VP USTAZI hamza mm wapi NDANI ya qurani isa kafa na kufufuka sasa wewe unasema kafa sasa aya inayosema kafufuka NDANI ya qurqni IPO wapi. PILI kitabu cha yohana 19:1 nakuendelea tunaona mahali alichomwa mkuki akatoka damu na MAJI !!! Mimi maahaka YANGU kwenye kutoka MAJI MTU akichinjwa uwa anatoka damu na MAJI??? Kingine kwanini YESU kazikwa na MTU mmoja TU.inamana wanafunzi wake walikwenda wapi.???utukufu wote aliokua nao azikwe na MTU mmoja PILI pale msalabani alimshushaje akiwa peke yake WAKATI kapigiliwa miaumari.?
Swali LA PILI kwanini YESU alisema KWAMBA MAJI YAKE ukinwya HUPATI kiu TENA milele.yule mama akamwambie nipe hayo MAJI nisije TENA HAPA kisimani kuteka MAJI tena. MWISHO WA SIKU YESU atuoni alisema MAJI nini ambayo alikupa hutoona kiu milele.mwisho WA SIKU akamwambie kaniitie mumeo yule mwanamke akasema sina Mume .istori ndefu sasa majibu tafadhali
Mohamed mtoe kwenye wokovu
Yuda 1:4 🎉
Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
Mungu ana struggle vipi mtumishi!!! Ulivyosema tu Yesu kafa msalabani nikaona kabisa wewe mweupe
Sisi tusio kua na uelewa mzr wa uislam na ukristo tunakuelewa kinyama na tunapenda uchambuzi wako
Soma Qur an ndugu yangu usipelekeshwe na mawakala wa shetani ,,,kama wew unaamini Nabii Muhammadi ndio nabii alieshushushiwa Qur an basi shikilia apo usiyumbishwe Imani yako
Ifundishe Damu ya YESU waislam waijue waache kuchinja wanyama.
Mwalimu, umebalikiwa sana, ukiyafunua zaidi haya, kila mtu atamjua MUNGU
Shalom baba nabii Eliya mm mwanao philbert nakupata nikia ngara..balikia mtumishi wa MUNGU
Shalom baba nabii Eliya mm mwanao philbert nakupata nikia ngara..balikia mtumishi wa MUNGU
Nimekuskiliza ww ni tofauti na waislamu wengine ww ukopoa sana, Mungu akusaidie uya jue mengi, wanao kuponda niwenye itikadi kali za dini
Kumbe.uislam kaanzisha Muhammad
Mungu aendelee kukupa mahalifa zaid uendelee kutufundisha watoto wake
Hongera sana mtu wa Mungu.
Unawaandaa watu kwaajili ya kumtukuza mpinga Kristo. Usiwabebeshe watu mzigo...Mungu anataka tumsikie MWANAE... na imeandikwa, Kanisa ndio mwili wa.KRISTO.... SASA huyo.muhamadi ni nani.katika kanisa???.. ni kiuno, Mkono, pua??.... muongo wewe.
Mungu akusamehe kwa kunitusi mimi mwehu, nauliza swali kuliko unijibu , unanitusi utanisaidia jee,mtumishi wa Mungu hapashwe kutoa mabaya kinywani mwake ila ni baraka,
Aksante kwa kunivunja moyo , kukuliza tena.
@@issajuma3489 nani amekutukana....mbona unakuwa Muongo chini ya jua?.. unataka kumpendeza Mwanadamu au MUNGU?...
Maana Mungu ndiye atakaye kuhesabia haki kuwa ni Muongo.
Nakuomba ujifunze vita haipigani kwa slaa ya aina Moja jifunze Kuna kitu waweza kupata kutoka kwake
@@issajuma3489 una fitina sana
@@stanfordsaulo5403 vita tunapigana kwa silaa moja tu.. nafikili imeandikwa mahali fulani.
Upanga ni neno la Mungu
Mkanda ni hekima
Elementi ni roho mtakatifu...
Vita vyetu si vya damu na nyama.....
Hayo ya kimwili ni Yesu atatushindia.
Yaaah hjapindisha somo zuri mwenye chuki hawez elewa hapa
Shalom Nabii Elias na Amani ya bwana wetu yesu kristo iwe nawe
Mtumishi nisidie, Mungu wa israel, ndie Mungu wa waislam ao hapana? Nimeuliza kwa sababu , nlifuata, video moja ya mubunge moja wa utiruki,alisema alah mungu wa wa Islam talipiza israel sababu ya mauji ya wapalestine, hapo hapo akaanguka na kufa,
Kama Mungu wa israel na ndie Mungu wa wa Islam , kwa mini Yule mubunge afe kwakutamka mabaya , kwa wa israel?
Niko na ile video
Wewe mwehu kasome
Amin Baba Nabii Eliya......
Unachokifundisha nikweli. Ila ingekua vizuri kama ungeachilia access ya download kwa hii clip apa youtube.... ❤
Tumia mp3
Enda google andika mp3 download utai download. TH-cam haiwezi mpaka ulipie.
Unakaa kimya sana mtumishi wa MUNGU
13:34
Mbona ametajwa🙄
37:107 Basi tukamtolea fidia kwa dhabihu mtukufu.
....112. Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa.....
🤪 tukio linaisha isaka hajulikani...
Waislam wanafuata sheria za kale...na hizo zinapingana na Kristo. Huwez ukatumika kwa Yesu...mafundisho yake yakaendana na ya Muhamad. Utakuwa serial killer
MUNGU akujalie zaidi uwafundishe zaidi
Maneno aya yanamafundisho sana ,asha aendelee kutupiga blashi
Nimekuelewa Mtumishi wa Mungu.
Tena waambie neno uislam maan yake utiifu kwahyo waeleshe waache chuki
Maneno ya dhahabu❤️❤️🥰🥰💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯 Mwenye akili ataelewa🫡🫡🫡
Tuna kupenda Baba🙏🙏🙏❤️
Wafundishe watu wako kumjua mungu mmoja tu!, hanamshirika hana mwana anajitosha
Acha unafk
Ha ha ha ha ha huna ujinga ww. Si lazima kukubali na pia toa facts acha maneno ya dada zako kwenye mafundisho. Fala ww
Ww ulikatazwa hayo maneno yako,na mashehe,unakumbuka uliomba msamaha.hizo clip bado zipo ama uzioni.ww si nabbii mbona husikiii.sasa uliomba msamaha wa nini,kama ulijua hutaacha?
Nawewe ni gogu aliomba smamaha kuepusha mavurugu ila neno ambalo anasema sis tulio jaliwa na roho mtakatifu tuna mwelewa.❤❤❤
Pepo ww
Ndii baba nipo APA mwanao
Shahidi wa Uongo
Shida duniani
Unaongea ukweli sana.
Shalom shalom. Naomba maandiko ktk bibilia na Quran yaliyomtabiri nabii Eliya/Iliasa kutoka Afrika.
😢
VP USTAZI hamza mm wapi NDANI ya qurani isa kafa na kufufuka sasa wewe unasema kafa sasa aya inayosema kafufuka NDANI ya qurqni IPO wapi. PILI kitabu cha yohana 19:1 nakuendelea tunaona mahali alichomwa mkuki akatoka damu na MAJI !!! Mimi maahaka YANGU kwenye kutoka MAJI MTU akichinjwa uwa anatoka damu na MAJI??? Kingine kwanini YESU kazikwa na MTU mmoja TU.inamana wanafunzi wake walikwenda wapi.???utukufu wote aliokua nao azikwe na MTU mmoja PILI pale msalabani alimshushaje akiwa peke yake WAKATI kapigiliwa miaumari.?
Swali LA PILI kwanini YESU alisema KWAMBA MAJI YAKE ukinwya HUPATI kiu TENA milele.yule mama akamwambie nipe hayo MAJI nisije TENA HAPA kisimani kuteka MAJI tena. MWISHO WA SIKU YESU atuoni alisema MAJI nini ambayo alikupa hutoona kiu milele.mwisho WA SIKU akamwambie kaniitie mumeo yule mwanamke akasema sina Mume .istori ndefu sasa majibu tafadhali
Somo zuri, ila Sauti ndogo sana
Yesu hakufa anafufukaje
Masihi anauwawaje???
Kwani Muhamad mtume wa waislam nae si aliuawa?