Asalaam alaykum ndio kwanza naifungua ila nimefurahi sana kwa hao washirika shukraan shemela Othman Michael swahiba yangu mwalimu Dimoso na mjomba wangu babe sheghele Allah awabariki
Siwapendi masheikh wanaopenda kujifakharisha eti ana mke zaidi ya mmoja ulimbukeni tu umewazidi sasa laiti mngelikua Kama nabii Suleiman ingekuwaje? Mola asinipe mume wa aina Kama hizi
Wallah Allah awafanikishe hii darsa iendelee tutasalimika wanawake na ndoa zetu na tutapunguza kuwa na watoto wa mababa kila mtu na baba wake shukran sana masheikh kwa msimamo wenu Allah awalipe kheri
Hata ungeomba dua ya kupata mume wa pekeako huwezi pata, hatupo na hajazaliwa, maana km uko pekeako nje wapo wanne, km wewe wanne mbele watatu, na si vinginevyo
Allah huaqbar❤❤❤
Asalaam alaykum ndio kwanza naifungua ila nimefurahi sana kwa hao washirika shukraan shemela Othman Michael swahiba yangu mwalimu Dimoso na mjomba wangu babe sheghele Allah awabariki
MaashaAllah Allah awalipe kila lakheri
Mashaa Allah napenda mawaidha ya shekhe Othman utacheka tu bila ya kutaka yanautulivu raha kweli nayafatilia kama vile movies 🍿
Siwapendi masheikh wanaopenda kujifakharisha eti ana mke zaidi ya mmoja ulimbukeni tu umewazidi sasa laiti mngelikua Kama nabii Suleiman ingekuwaje? Mola asinipe mume wa aina Kama hizi
Wallah Allah awafanikishe hii darsa iendelee tutasalimika wanawake na ndoa zetu na tutapunguza kuwa na watoto wa mababa kila mtu na baba wake shukran sana masheikh kwa msimamo wenu Allah awalipe kheri
@@fatmakhatib8444 sio wanawake tu watafaidika watu wote maana na wanaume pia wanataka warekebishwe ndio chanzo Cha matatizo
Ooooh umetuletea shek dimoso Maashallaah
Shekhe Othman Allah akulipe jazza njema kwa kuwaona hao ndugu zetu ktj Iman
Mashaallha shehk osiman fanyeni himahima kufunga hiyo shule Ishaallah
Wallah wote wakali na nimevuna kwa kila mmoja wenu Allah awalipe jazzaka njema
MASHAALLH
Mashallah kweli , ndoa ndo ballah kubwa
Masha Allah
Mashaallah
Mama yetu hawa
Hata ungeomba dua ya kupata mume wa pekeako huwezi pata, hatupo na hajazaliwa, maana km uko pekeako nje wapo wanne, km wewe wanne mbele watatu, na si vinginevyo
❤️❤️
Mashallah tabarakallah
Shekh umetishaa sanaa
Vipi kwa wanawake shekhe
Amina
Masha Allah