DAKIKA 25 ZA ZITTO KABWE MKUTANONI KIGOMA ''MIKOA SABA NI MASKINI, TUTAIZUNGUKIA''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 52

  • @AgnesMmila
    @AgnesMmila 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi iendelee CCM oyee

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ukiangalia comments WaTanzania Elimu ndogo sana unasema Zitto hajaifanyia kitu Kigoma wakati kila siku walikua wanaibua Madudu Bungeni kingine Serikali kama hawaja toa pesa kwa ajili ya Kigoma Je zitto akaibe alete tatizo liko kwa watawala

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli jitahidini muwekeni Mungu mbele tuombe Mungu atuokoe na hii serikali

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 5 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa zito umeongeza pointi kubwa sana kweli Mungu atusaidie chama cheti Cha act wazalendo kishike Dola

  • @athumanitanuke6795
    @athumanitanuke6795 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yan CCM ni Adui mkubwa tena tuichukie kabisa haifa, mitozo kila siku, umeme tozo juu, sim tozo, miamala ya sim tozo, bank tozo, mafuta juu,
    Tanzania hii imejaa
    Madini
    Gas
    Mafuta
    Bandar
    Bahari
    Maziwa
    Milima
    Mbuga za wanyama
    Mikopo kila siku
    Lakin yote hayo yanaliwa na wachache

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 หลายเดือนก่อน

      Fanya kazi Acha uvivu,usitegemee hotuba za wanasiasa kuilalamikia ccm.

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 2 หลายเดือนก่อน +3

    Act wamelala sana tena sana waachie chadema

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 2 หลายเดือนก่อน

      Tunakiachiaje chama cha mtu mmoja.Watu makini na wasomi wote wamekikimbia Chadema akiwemo Profesa Baregu,Profesa Kitila,Dr Zito kabwe,Mchungaji Msigwa.Hawa watu ndio watu makini zaidi na wasomi zaidi kuliko wote waliopo pale Chadema.Sababu iliyowafanya waondoke ni moja tu MBOWE MBINAFI anakifanya chama chake mali yake chadema si taasisi ni mali ya mtu mmoja.Tunakichaguwaje chama hicho?Baki na ujinga wako.

  • @evodirudo4813
    @evodirudo4813 2 หลายเดือนก่อน +1

    Upo sawa mwami

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 2 หลายเดือนก่อน +2

    Anajua kuongea san uyu, ila wanakupenda kigoma lkn ndo hivo tena ccm wameshachukua nafasi

  • @Awadhi-t2z
    @Awadhi-t2z หลายเดือนก่อน

    Bora ACT chadema kazi vurugu tu hatupewi sera

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 2 หลายเดือนก่อน +2

    Chama kinakubalika sana kuliko chadema saiv

  • @SHABANI-t4j
    @SHABANI-t4j 11 วันที่ผ่านมา

    Vizur xana

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani inafikirisha sanaaaa

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 5 วันที่ผ่านมา

    C c m wamejisahau sana embu wakae pembeni kwanza miaka 25 waone uchungu

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 2 หลายเดือนก่อน

    Mwami unayo kura yangu Kigoma Mjini

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 2 หลายเดือนก่อน

    Nilidhani unazungumzia mbegu ya mapapai kumbe unazungumzia mbegu ya mapambano😅

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 2 หลายเดือนก่อน

    Toa mifano ya hapa Africa, mnaona wazi kabisa kwani ukilinganisha na nchi za kiafrika sisi tuko vizuri sana. Future ya Tanzania ni nzuri sana, hiyo Iko wazi kwa mtu anayefahamu uchumi. Hiyo mikoa imeshafunguliwa na mabadiliko yanakuja kwa haraka.

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 5 วันที่ผ่านมา

    Kwa miaka hii hauwezi kupata hata shamba la kulima utaambiwa maliasili

  • @SethMwakangata
    @SethMwakangata 2 หลายเดือนก่อน +2

    SIASA NI TAABU TUPU TU,WOTE NI KULA TU ACHENI WANANCHI WAFANYE KAZI JAMANI

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 หลายเดือนก่อน

      Sawa kabisa,wanasiasa wanawatia watu uvivu kwa kuwapotezea muda majukwaani wakilalamika na kuwahadaa watu kuwa wakiwachagua maisha yatakuwa bora.
      Siwaamini hawa bali ninachoamini ni kupambana kivyangu

  • @jaropthebilldone1652
    @jaropthebilldone1652 2 หลายเดือนก่อน

    ACT juuu ccm hapishe hatuoni mabadiliko wizi tu

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 2 หลายเดือนก่อน

    Siasa imeiharibu Kigoma,kila mtu ni mwanasiasa
    Wanasiasa mnawafanya watu wawe wavivu kwa kuwaaminisha kuwa umasikini wao unatokana na CCM badala ya kuwahimiza wafanye kazi.Mnatumia muda mwingi majukwaani kuwalalamikia ccm badala ya kuwapa elimu ya namna ya kujikwamua kimaisha.I hate ccm,I hate all politicians.

  • @laurentdyanko5497
    @laurentdyanko5497 2 หลายเดือนก่อน +1

    Miaka 10 kigoma kaskazini ulifanya nini.

  • @MwitaTv
    @MwitaTv 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe Mdhaifu sana Zitto

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 2 หลายเดือนก่อน

      ZITO ni mdhaifu sana kuliko MBOWE?Duu inaonekana wewe umekufa.Watu makini wote wamekikimbia Chadema kwa. sababu ya udhaifu na ubinafsi wa Mbowe wasomi makini wamemuachia mbowe aendelee kungsngania uenyekiti na kukifanya chama ni NGO yake binafsi ya kupigia hela.Umeona wapi wewe mchaga kuwa mwanasiasa?Wasomi wamemuachia chama chake kama Profesa Baregu,Profesa Safari,Profesa kitila,Dr Zito kabwe,Mchungaji Msigwa na Peniza na wengi wengineo.Ondoka hapo sipo usijizime data.

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani Vietnam kuna Singeli

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 2 หลายเดือนก่อน +1

    Reporter Punguza Maneno Lete habari Milad Ayo Tv hainaga Rongo rongo

  • @Richiewakitaa
    @Richiewakitaa หลายเดือนก่อน

    Gombea urais mzee

  • @xaveryngonyani-nb1nx
    @xaveryngonyani-nb1nx 2 หลายเดือนก่อน

    SEMA zitoo nakukubali sana

  • @reubenmhagama8164
    @reubenmhagama8164 2 หลายเดือนก่อน

    Et wanaita wanaitwa ccm b ivi ni kweli?

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 2 หลายเดือนก่อน

    CCM B

  • @AshaMwamba-g3l
    @AshaMwamba-g3l 2 หลายเดือนก่อน

    Anachukiwa ubungee

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 หลายเดือนก่อน

    Hilo Jimbo la kwanza limekwenda upinzani utake usitake

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 หลายเดือนก่อน +1

    Zito ni kiongozi mzuri sana,isipokuwa...........

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa 2 หลายเดือนก่อน

    Chadema haita chukuwa inchi kw sera gani ruzuku wamepata mpaka leo hawana hata jengo wwbunge wa chadema walikuwa wanachangia kwa ajili ya maendeleo lakini hakuna maendeleo chademaa je wakipewa nchi si tutakuwa maskini mara,4 ya ccm bora act inajitahidi kimeendeleo

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe utakuwa na govi siyo bure maana siyo kwa utahira huo

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 2 หลายเดือนก่อน

      Uko sahihi kaka

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 2 หลายเดือนก่อน

      WEWE UNAMWA NA UDINI, POLE SANA!!! USISAHAU KUWA UDINI NI DHAMBI MBAYA.

    • @IjumaaIjumaa
      @IjumaaIjumaa 2 หลายเดือนก่อน

      @@erickmsigala138 acha matus eleza au towa hoja za msingi kwa matusi ya wanachedema ndo hamtachukuwa nchi mtasema mpaka mbadilike na mjazba nani atawapa kura bura tuwape udp

    • @IjumaaIjumaa
      @IjumaaIjumaa หลายเดือนก่อน

      @@erickmsigala138 hata ww ulikuwa nalo ndo ukakatwa mawazo Yako na ufaham wako haulingani watu wengi hushabikia tu bilabkufatilia kwa mfano upinzani unasema tunataka katiba mpya hii tuliyo nayo tuiache halafu tutunge nyingine ni maneno mengine? Au tuboreshe katiba hapa usahihi ni upi ww unayependa bila kufutiye unafaata bendera na ndo wengi tokohivyo tujifunze kufatilia chama hikina jengo na ruzuku kinapata kinapeleke wapi?

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mwanasiasa kama tundu lissu kwa kuteka hisia za watazamaji na wasikilizajis
    Pia zitto yupo vzr

    • @omariKalyango
      @omariKalyango 2 หลายเดือนก่อน

      Sikweli labda matusi hayo anajua

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@omariKalyango na ushoga!

  • @landomalekano6570
    @landomalekano6570 2 หลายเดือนก่อน

    Kabwe

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 หลายเดือนก่อน

    Napenda vyama vyote vya upinzan

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 2 หลายเดือนก่อน

      Uko vizuri lakini sasa mkombozi aliyejipambambanua no CHADEMA PEKEE!!!

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi 2 หลายเดือนก่อน

    Nikwel upo sahihi san

  • @IsmailiIsmaili-ec7pt
    @IsmailiIsmaili-ec7pt 2 หลายเดือนก่อน

    Ongea zitto tunakupenda

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi 2 หลายเดือนก่อน

    Nikwel upo sahihi san