Ukiangalia comments WaTanzania Elimu ndogo sana unasema Zitto hajaifanyia kitu Kigoma wakati kila siku walikua wanaibua Madudu Bungeni kingine Serikali kama hawaja toa pesa kwa ajili ya Kigoma Je zitto akaibe alete tatizo liko kwa watawala
Yan CCM ni Adui mkubwa tena tuichukie kabisa haifa, mitozo kila siku, umeme tozo juu, sim tozo, miamala ya sim tozo, bank tozo, mafuta juu, Tanzania hii imejaa Madini Gas Mafuta Bandar Bahari Maziwa Milima Mbuga za wanyama Mikopo kila siku Lakin yote hayo yanaliwa na wachache
Tunakiachiaje chama cha mtu mmoja.Watu makini na wasomi wote wamekikimbia Chadema akiwemo Profesa Baregu,Profesa Kitila,Dr Zito kabwe,Mchungaji Msigwa.Hawa watu ndio watu makini zaidi na wasomi zaidi kuliko wote waliopo pale Chadema.Sababu iliyowafanya waondoke ni moja tu MBOWE MBINAFI anakifanya chama chake mali yake chadema si taasisi ni mali ya mtu mmoja.Tunakichaguwaje chama hicho?Baki na ujinga wako.
Toa mifano ya hapa Africa, mnaona wazi kabisa kwani ukilinganisha na nchi za kiafrika sisi tuko vizuri sana. Future ya Tanzania ni nzuri sana, hiyo Iko wazi kwa mtu anayefahamu uchumi. Hiyo mikoa imeshafunguliwa na mabadiliko yanakuja kwa haraka.
Sawa kabisa,wanasiasa wanawatia watu uvivu kwa kuwapotezea muda majukwaani wakilalamika na kuwahadaa watu kuwa wakiwachagua maisha yatakuwa bora. Siwaamini hawa bali ninachoamini ni kupambana kivyangu
Siasa imeiharibu Kigoma,kila mtu ni mwanasiasa Wanasiasa mnawafanya watu wawe wavivu kwa kuwaaminisha kuwa umasikini wao unatokana na CCM badala ya kuwahimiza wafanye kazi.Mnatumia muda mwingi majukwaani kuwalalamikia ccm badala ya kuwapa elimu ya namna ya kujikwamua kimaisha.I hate ccm,I hate all politicians.
ZITO ni mdhaifu sana kuliko MBOWE?Duu inaonekana wewe umekufa.Watu makini wote wamekikimbia Chadema kwa. sababu ya udhaifu na ubinafsi wa Mbowe wasomi makini wamemuachia mbowe aendelee kungsngania uenyekiti na kukifanya chama ni NGO yake binafsi ya kupigia hela.Umeona wapi wewe mchaga kuwa mwanasiasa?Wasomi wamemuachia chama chake kama Profesa Baregu,Profesa Safari,Profesa kitila,Dr Zito kabwe,Mchungaji Msigwa na Peniza na wengi wengineo.Ondoka hapo sipo usijizime data.
Chadema haita chukuwa inchi kw sera gani ruzuku wamepata mpaka leo hawana hata jengo wwbunge wa chadema walikuwa wanachangia kwa ajili ya maendeleo lakini hakuna maendeleo chademaa je wakipewa nchi si tutakuwa maskini mara,4 ya ccm bora act inajitahidi kimeendeleo
@@erickmsigala138 acha matus eleza au towa hoja za msingi kwa matusi ya wanachedema ndo hamtachukuwa nchi mtasema mpaka mbadilike na mjazba nani atawapa kura bura tuwape udp
@@erickmsigala138 hata ww ulikuwa nalo ndo ukakatwa mawazo Yako na ufaham wako haulingani watu wengi hushabikia tu bilabkufatilia kwa mfano upinzani unasema tunataka katiba mpya hii tuliyo nayo tuiache halafu tutunge nyingine ni maneno mengine? Au tuboreshe katiba hapa usahihi ni upi ww unayependa bila kufutiye unafaata bendera na ndo wengi tokohivyo tujifunze kufatilia chama hikina jengo na ruzuku kinapata kinapeleke wapi?
Kazi iendelee CCM oyee
Ukiangalia comments WaTanzania Elimu ndogo sana unasema Zitto hajaifanyia kitu Kigoma wakati kila siku walikua wanaibua Madudu Bungeni kingine Serikali kama hawaja toa pesa kwa ajili ya Kigoma Je zitto akaibe alete tatizo liko kwa watawala
Kweli jitahidini muwekeni Mungu mbele tuombe Mungu atuokoe na hii serikali
Mheshimiwa zito umeongeza pointi kubwa sana kweli Mungu atusaidie chama cheti Cha act wazalendo kishike Dola
Yan CCM ni Adui mkubwa tena tuichukie kabisa haifa, mitozo kila siku, umeme tozo juu, sim tozo, miamala ya sim tozo, bank tozo, mafuta juu,
Tanzania hii imejaa
Madini
Gas
Mafuta
Bandar
Bahari
Maziwa
Milima
Mbuga za wanyama
Mikopo kila siku
Lakin yote hayo yanaliwa na wachache
Fanya kazi Acha uvivu,usitegemee hotuba za wanasiasa kuilalamikia ccm.
Act wamelala sana tena sana waachie chadema
Tunakiachiaje chama cha mtu mmoja.Watu makini na wasomi wote wamekikimbia Chadema akiwemo Profesa Baregu,Profesa Kitila,Dr Zito kabwe,Mchungaji Msigwa.Hawa watu ndio watu makini zaidi na wasomi zaidi kuliko wote waliopo pale Chadema.Sababu iliyowafanya waondoke ni moja tu MBOWE MBINAFI anakifanya chama chake mali yake chadema si taasisi ni mali ya mtu mmoja.Tunakichaguwaje chama hicho?Baki na ujinga wako.
Upo sawa mwami
Anajua kuongea san uyu, ila wanakupenda kigoma lkn ndo hivo tena ccm wameshachukua nafasi
Bora ACT chadema kazi vurugu tu hatupewi sera
Chama kinakubalika sana kuliko chadema saiv
Vizur xana
Yaani inafikirisha sanaaaa
C c m wamejisahau sana embu wakae pembeni kwanza miaka 25 waone uchungu
Mwami unayo kura yangu Kigoma Mjini
Nilidhani unazungumzia mbegu ya mapapai kumbe unazungumzia mbegu ya mapambano😅
Toa mifano ya hapa Africa, mnaona wazi kabisa kwani ukilinganisha na nchi za kiafrika sisi tuko vizuri sana. Future ya Tanzania ni nzuri sana, hiyo Iko wazi kwa mtu anayefahamu uchumi. Hiyo mikoa imeshafunguliwa na mabadiliko yanakuja kwa haraka.
True100%
Kwa miaka hii hauwezi kupata hata shamba la kulima utaambiwa maliasili
SIASA NI TAABU TUPU TU,WOTE NI KULA TU ACHENI WANANCHI WAFANYE KAZI JAMANI
Sawa kabisa,wanasiasa wanawatia watu uvivu kwa kuwapotezea muda majukwaani wakilalamika na kuwahadaa watu kuwa wakiwachagua maisha yatakuwa bora.
Siwaamini hawa bali ninachoamini ni kupambana kivyangu
ACT juuu ccm hapishe hatuoni mabadiliko wizi tu
Siasa imeiharibu Kigoma,kila mtu ni mwanasiasa
Wanasiasa mnawafanya watu wawe wavivu kwa kuwaaminisha kuwa umasikini wao unatokana na CCM badala ya kuwahimiza wafanye kazi.Mnatumia muda mwingi majukwaani kuwalalamikia ccm badala ya kuwapa elimu ya namna ya kujikwamua kimaisha.I hate ccm,I hate all politicians.
Miaka 10 kigoma kaskazini ulifanya nini.
Wewe Mdhaifu sana Zitto
ZITO ni mdhaifu sana kuliko MBOWE?Duu inaonekana wewe umekufa.Watu makini wote wamekikimbia Chadema kwa. sababu ya udhaifu na ubinafsi wa Mbowe wasomi makini wamemuachia mbowe aendelee kungsngania uenyekiti na kukifanya chama ni NGO yake binafsi ya kupigia hela.Umeona wapi wewe mchaga kuwa mwanasiasa?Wasomi wamemuachia chama chake kama Profesa Baregu,Profesa Safari,Profesa kitila,Dr Zito kabwe,Mchungaji Msigwa na Peniza na wengi wengineo.Ondoka hapo sipo usijizime data.
Kwani Vietnam kuna Singeli
Reporter Punguza Maneno Lete habari Milad Ayo Tv hainaga Rongo rongo
Gombea urais mzee
SEMA zitoo nakukubali sana
Et wanaita wanaitwa ccm b ivi ni kweli?
CCM B
Anachukiwa ubungee
Hilo Jimbo la kwanza limekwenda upinzani utake usitake
Zito ni kiongozi mzuri sana,isipokuwa...........
Mbinafsi sana
Chadema haita chukuwa inchi kw sera gani ruzuku wamepata mpaka leo hawana hata jengo wwbunge wa chadema walikuwa wanachangia kwa ajili ya maendeleo lakini hakuna maendeleo chademaa je wakipewa nchi si tutakuwa maskini mara,4 ya ccm bora act inajitahidi kimeendeleo
Wewe utakuwa na govi siyo bure maana siyo kwa utahira huo
Uko sahihi kaka
WEWE UNAMWA NA UDINI, POLE SANA!!! USISAHAU KUWA UDINI NI DHAMBI MBAYA.
@@erickmsigala138 acha matus eleza au towa hoja za msingi kwa matusi ya wanachedema ndo hamtachukuwa nchi mtasema mpaka mbadilike na mjazba nani atawapa kura bura tuwape udp
@@erickmsigala138 hata ww ulikuwa nalo ndo ukakatwa mawazo Yako na ufaham wako haulingani watu wengi hushabikia tu bilabkufatilia kwa mfano upinzani unasema tunataka katiba mpya hii tuliyo nayo tuiache halafu tutunge nyingine ni maneno mengine? Au tuboreshe katiba hapa usahihi ni upi ww unayependa bila kufutiye unafaata bendera na ndo wengi tokohivyo tujifunze kufatilia chama hikina jengo na ruzuku kinapata kinapeleke wapi?
Hakuna mwanasiasa kama tundu lissu kwa kuteka hisia za watazamaji na wasikilizajis
Pia zitto yupo vzr
Sikweli labda matusi hayo anajua
@@omariKalyango na ushoga!
Kabwe
Napenda vyama vyote vya upinzan
Uko vizuri lakini sasa mkombozi aliyejipambambanua no CHADEMA PEKEE!!!
Nikwel upo sahihi san
Ongea zitto tunakupenda
Nikwel upo sahihi san