SALIM KIKEKE USO KWA USO NA N/WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - กีฬา
Very humble Man...Biteko ww ni hazina kama ukiendelea hv lakin Kikeke bado uko juu sanaa!! Big up to both of you
Awe Rais mtarajiwa! Anafaa Sanaa.
Now it make sense why he was crowned Deputy PM. Dotto is way ahead our local politicians, he is intelligent, humble, visionary, highly integrity and a man of people.
Crown media wanaweza iovertake hii industry kwa spidi kali sana...vipindi kama hivi na viongozi wakiulizwa maswali ya maana na sio ya kichwa ni muhimu sana...Pia kudos to Dr Biteko...he seems to be a very smart man...
Hivi redio yao ni ngapi nukta ngapi(masafa yapi)
Dr biteko...uko smart sana kichwani...mungu akutunze i wish siku moja uwe President wa nchi yetu
Sio kwa sababu anajibu vizuri ndo Rais, tunataka kweny cheo chake hiki je umeme upo? na kama upo unakatika katika? watu wengi wanaweza kuongea sana lakini sio kwamba ndo kigezo pekee cha kuwa President. mbona RUTO wa Kenya ana akili nzuri..lakini kwa ss vijana wake wanamgomea kila kona...
Jamani hiki kitu ndio Tanzania tulisubiri sana kikeke hongera sana crown media big up
Mwandishi makini jasili mwenye experience ya Hali ya juu umetisha san ❤❤❤❤❤
I real love this Man of fearing GOD , yaan ana kila kitu chema kwa watanzania . Bigup DOTTO .
So humble Dr. Biteko God bless you.
Very humble kiongozi wetu huyu…🫡
Saf sana crown 👑👑
Yaani hiki kipindi, kitaelimisha sana watanzania na kuanza kuwa wazalendo na kuwa na wivu na nchi yetu, maana haya maswali tunajiuliza wenyewe na hatupati majibu na kipinsi hiki ni zaidi ya kusikiliza bunge maswali na majibu. Hongera bro kikeke uko juu ya muda safi safi sana.
Mashaallah mmetisha sana crown mpo vizur sanaa
he is very good..great mind and ideas! kuddo deputy
Mheshimiwa biteko Tanzania ya baadae inakutegemea sana.
Mko watatu lakini mmoja ni Kama nimemuondoa kwenye malengo yangu yaani kwenye serikali ya mama mawaziri vijana na makini ni wewe Bashe na bashungwa lakini Bashe ni Kama maji yamezidiwa na sumu. Chapa kazi mkuu nakuamini tupeleke kesho ilivyo bora
Maswali na majibu yote yamenyooka! Legendary interview
Nilikuwa sijawahi kumsikiliza huyu jamaa anaonekana mzalendo sana huyu mwamba, afu siomnafiki
Dr Biteko anajua kujibu hana mihemko ,serikali inabdi ijipange sana maana ndio watu wanazd kuzaliwa
Hakika wewe ni Waziri wa pekee unae ongea ukweli mtupu kuhusu kazi yako asante sana mh
VIVAA..TZ..VIVAA
Big up oll fan's on crown media
Crown muko vizuri sana maashaallaah
Crown mme tisha sn❤❤❤
Hivi doto huwezi kuchukua fomu au unamuogopa boss waka 😂😂😂
Nami nimewaza why asichikue form
Hizi camera 🎉🎉🎉🎉❤❤😂
Salim wewe ni hazina ya taifa kwenye ubobevu wa habari," mimi unanipa fahari sana.
Jamaa anajua sana tena sana
Big up kwa kazi mzuri crown
Ahsante sana crown 👑
Biteko anafanana na Uchebe wa Shishi😂...Crown🔥🎉
Ilove crown fm
Alikiba unatakiwa kumpa salim kikeke zawadi ya v8 mana ndie bora kwetu na crownmedia sikama hana garii hapana ila apewe zawadi ya gari v8 naapewe na dereva wakumuensesha mana bado tunatakiwa kujifunza kwake naujuzi atuachie crownmedia
MH:umeeleweka vizuri sanaa hongera
Am here 👋👋👋
noma sn crown❤❤
Yes thanks Mweshimiwa asemae ku katika umeme itakuwa historia ni mjinga
Mh Nakuelewa Sana
Kuna sehemu nimecheka, na nimejifunza mengi nikafurahi. Thanks
Brother Kikeke wewe ni mfano wa kuigwa kwa wana habari wengine, hongera Crown kwa hiki kitu lkn mheshimiwa Biteko ni mtu makini sana... Watanzania tujivunie hiki kichwa, hajawahi kutuangusha hata alipokuwa wizara ya madini awamu ya tano.
Moja ya suala alilokwepa ni kwamba wakati wa JPM umeme ulikuwa haukatiki. Hivyo sababu ni hujuma hukohuko serikalini na wizarani. Walimwogopa jpm hawakuthubutu kukata umeme. Hizo rushwa alizozisema Biteko ndio chanzo cha kukatika umeme
Natamani ck moja mh Dotto Biteko aje kuwa Rais yuko tofauti na watawala yeye ana simama cku zote kama kiongozi
Kwanini using ww
Hongera Mh kwa kazi iliotukuka
Kikeke 👍👍👍👍👍🙏
Sio jambo rahisi sana kwa sababu linahitaji kwa kasi mwingi sana na kila mtu lazima awe makini kwa kutaka kupata chochote kile kutokana na mradi huo tuwape hongera umefanya jambo la msingi sana lakini tusubiri tuone matokeo ni yapi kwa wananchi wote
Noma
🎉🎉
Uyu jamaa anaweza kuielezea hii sekta🙏
Biteko ni kichwa sana “ salute 🫡
Big up kikeke
Safi sana mhe waziri
Best interview ever
Biteku uko vizuri sana waswasi wangu watu ulio nao je watakusaport ufike mbali maana ndio maadui wakubwa wanaoturudisha nyuma.
mora akunze, usipungukiwe uwezo huu ,wakusema nakutenda,wewe nisimutank ya kizazihiki,hongera sana mh.biteko
Amen
sawa kiongozi🎉🎉
Very nice
👏👏
Kikeke tutazid kukufatili adi mwisho wa maisha yako wanainchi wanataka kujua vitu kama ivo sasa watajuaje kama tusipo pata watu kama hawa mfano kikeke
Hii inapatikana kwenye ving'amuzi gani
🙏🙏
Good sir
Waziri iko vizuri
Hatari Sana
Baba wataifa katika habari hongera kwakua bora sikuzote salim kikeke
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤
Biketo nimekuelewa sana Maheshimiwa unajibu vuzur sana sana unastahiki kuwa hapo asant
Kwa nchi yenye uchu na maendeleo Nishati ni uti wa mgongo wa maendeleo,,,Uthubutu wa serikali bado ni mdogo kwenye vyanzo vingine vya nishati, hususani upepo, jua na joto ardhi, kwani vyanzo hivi vimekua vikizungumzwa tu na tafiti zisizo kua na ukomo
Kwani hichi chanzo cha bwawa la umeme la nyerere unaona kitakuwa hakina tija?
kituo cha nyerere kina uwezo wa kuzalisha MW 2000+ na ukiweka vyanzo vingine vya nishati vilivyopo yaani vilivyokamilika ni kama MW 4000+, malengo ya serikali ilikuwa ni kuzalisha MW 10000 ifikapo 2025 yaani mwaka kesho ili kukidhi ongezeko la mahitaji na kuchochea maendeleo ya viwanda,,,Je, huoni kwamba tunaishi nyuma ya malengo na mipango?, Je, huoni kua kuna uitaji wa kua na vyanzo vya uhakika zaidi kama vile jua na upepo?
@@richardsule4454 unajua kwa sasa tunahitaji MW ngapi ili kukidhi mahitaji ambayo tunayo sasa ivi kwenye umeme? Hiyo MW ni malengo ya serikali kubaki na umeme mwingi wa ziada kwa miaka ya mbele lakini kama ulikuwa haujui sisi kwa sasa tunahitaji MW 400 bwawa litazalisha MW 2200 ,hivyo basi kwa miaka ya sasa utaweza kukidhi na ni hatua kubwa mnoo na ndio maana wanasema hawataishia hapo wataendelea kuangalia njia nyingine mpaka kufikia hizo MW 10000 , kwa maana ichi bado ipo na itaendelea kwa vizazi vijavyo hata kama sisi hatutakuwepo kwahiyo wako sawa kuendelea kuongeza
Lakini sio kwamba umeme utakaotoka bwawa la mwl nyerere hautatosha kwa mahitaji ya sasa na ziada kubwa itabakia ndio maana walisema tutautumia na hata kama kuna inchi itahitaji inaweza kufanya nao biashara maana ziada itakayobakia ni kubwa labda sasa huko mbeleni kasi ya maendeleo na viwanda iongezeke basi huo wa ziada utakuwa unaoungua kutokana na matumizi
Yaan upembuzi ni miaka 2!! Mmh sidhan kama kipind cha mzee ilikuwa inafanyika hivyo🙆🙆
Kikeke uyo
Camera kali sana
Here
Asante Biteko😂😂😂😂
✌️👊👍.
Habari zako za uhakika na maswali yako ndiyo yetu ..Kikeke mzalendo wetu🙏🏾🙏🏾Unafanya kazi njema siku zote kaka yangu…👏🏾🫡
Crown media, shikamooni, yaan inapofka sehemu mnazungumzia jambo Fulani, linaoneshwa, mfano mlipozungumzia Mambo ya mashine, mkaonyesha video ya mashine, HONGERENI SAAANA, HII NI KIWANGO CHA JUU SANA
Kijana mdogo hekma kubwa na busara mungu akuongoze
😂😂😂😂😂😂Kikeke ukitaka majibu nenda kwa Mweshimiwa Doto kifaa cha uhakika hicho😂😂😂😂
Kikeke na Biteko wote smart upstairs
Safisana Kikeke
AYO TV Ajipange
Salm kikeke upo vizuri
Salim Kikeke mwambie waziri Dubai umeme hauzimwiii na huwezi kuwa na maendeleo ktk nchi bila ya energy by the way interview kama hii ungeeka hot line number wananchi wakamuuliza live
Dunia nzima kuna matatizo, na hakuna shida hizi. Je uharaka wa kupeleka watengenezaji je?
Huyu ndugu ni kiongozi
Salim Kikete Umefanya jambo la muhimu sana Huwezi kuwa na maendelea au kupata maendeleo ni energy solution ni kujenga Umeme wa nuclear huo ni ujinga mambo ya miti sijui gari aache ujinga huyo wwziri Dubai umeme hauzimwiii
Kikeke yunusi wazarendo
Kikeke
Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu. Unatoa majibu sahihi as ante.
Hahhaha "mabadiliko ya tabia ya nchi si tu ukame" Mheshimiwa kwa hii punchline imenifanya nitambue wewe n mtu na nusu... una akili sana no wonder hiyo wizara umeimudu sana... hopefully utakuja kuwa Rais wa nchi yetu.
Kipindi hiki mngekiweka kwenye kingamuzi Azam tv ilikiwe juu zaidi
YAN TOKA UMEINGIA ANGALAU TUMEONA CHANGE KUBWA SAIZ HATUNA BAYA NA TANESKO
Toka makambako hapa
Dr 2030-40 chukua
Ukenda pale wasafi unamkuta lokole na baba levo
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Asante studio
Mimi nashangaa sijui nini mpka leo umeme unakua shida kwabaadhi ya maeneo hususani vijijini kila itwayo leo lazma umeme ukatike
Samia team kama nikocha mama kikombe utachukua maana unavyojua kupanga inatisha kama gadioler
Kileke nihabaar ingine kabsaaaa
Wananchi kumbukeni tupo kwenye kipindi cha uchaguzi, kwahiyo kulambishwa sukari ya umeme na Serikali ya CCM ni lazima ili wabaki kwenye madaraka. Tatizo la umeme lina sababishwa na kutokua na ushindani wa kibiashara katika soko la umeme (monopoly). Kukomesha hili tatizo, serikali iruhusu makampuni binafsi yashindane na tanesco, hapo ndio itasaidia kata kata ya umeme ipungue.
Msikilize vzr naibu waziri kisha tumia akili yako ya ziada kumuelewa kuna majibu unaweza kupata ya unachojiuliza
Ivi salimu kikeke hapo ni wapi?
Ni nyumbani
Arusha umeme unasumbua sana
Nice Station Ever In Tanzania
Kwako ww 🤣🤣
Kikeke mmoja tu anazifunika radio na television zote
Huo ni mtazamo wako