Daraja jipya la Selander kupitisha magari zaidi ya elfu 50
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ค. 2018
- "Urefu wa daraja hili ni kilomita 1.03 na linauwezo wa kipitisha zaidi ya magari elfu 50 kwa siku…tukiwa na lengo la kupunguza foleni jijini Dare es Salaam…ninauhakika watani zangu Wazaramo watapata sasa sehemu ya kwenda kupiga picha na kufunga ndoa" - Rais Magufuli
Hongera sana J.P.M,hakika haya ndio mabadiliko Tanzania inayohitaji.....mabadiliko sio kuzungusha mikono hewani bali ni kuja na masuluhisho ya kudumu kwa matatizo yaliyoonekana kuwa hayana ufumbuzi na kuwashinda waliokutangulia.
Chapa kazi Mzee wangu,Mungu yupo pamoja nawe na mimi kura yangu nimeshaitanguliza kwenye box 2020.ondoa shaka!!
Magufuli Safiii! Ahsante Sana.
hongera kiongoz wet
Tuna taka Daraja la jangwani
Watjenga tuu la underground
We jamaa mungu anakuona hahahahaha
Mh Magu we noma yaan we ni Kama shujaa
Safi sana na hii tutalipia?. Mana ile ya Kigamboni inaboa kulipia. Sijui tunalipia nn?
Madaraja mengi duniani yanalipiwa
Kiongozi bora kabisa wa kuigwa, JPM