Meneja: Dkt. Shika ‘Siyo Kichaa, ALITAKA KUNINUNULIA NDEGE'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 224

  • @zuenamuogopemunguewemwanam1843
    @zuenamuogopemunguewemwanam1843 4 ปีที่แล้ว +18

    Dada hongera kwa moyo ulienae, Mungu akubariki. Msaidie Mungu atakubariki wanadamu ni wachache ma beidui ni wengi.

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 4 ปีที่แล้ว +3

    Human as humanity thanks sister to know our problems

  • @edwinshaltielmagwano468
    @edwinshaltielmagwano468 4 ปีที่แล้ว +5

    Dada Safi sana uko vizuri unajitambua usikubali wakuchafue kirahisi rahisi binafsi I believe you, you are telling the truth.

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu 4 ปีที่แล้ว +6

    Catherin great human being
    Great words
    Just leave everything back continue to do your work at global I am great fan of yours

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 4 ปีที่แล้ว +2

    Catherine Kahabi umeeleweka vizuri sana. Hakuna sababu ya ww kulaumiwa. Dr Shika anahitaji msaada, hayuko sawa.

  • @aboobakke857
    @aboobakke857 2 ปีที่แล้ว +1

    R.I.P dr shika. Mwisho wa siku kila mtu akamtema na kufia nje on the street. Very sad story though...

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 4 ปีที่แล้ว +3

    🙏🏽❤️I love you Cathy!!

  • @kamanda007
    @kamanda007 4 ปีที่แล้ว +1

    Dr shika anahitaji msaada kichwa kimeharibika kabisa, anahitaji good doctor and psychologist,mwenye uwezo amlipie atibiwe please

  • @teddyelieza9780
    @teddyelieza9780 4 ปีที่แล้ว +4

    Nimekuelewa sana

  • @baruanibakari7410
    @baruanibakari7410 4 ปีที่แล้ว +1

    Good Catherine nakupenda bure binadamu wasikuogopeshe mung u ndie ajuaye piga kazi my dear

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 ปีที่แล้ว +9

    Catherine, good talking my dear

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 4 ปีที่แล้ว +2

    Catherine Kahabi yuko vizuri sana maelezo yako vizuri sana

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 ปีที่แล้ว +3

    Nice interview Cathy. Kweli umeenda shule

  • @leahjohnson5813
    @leahjohnson5813 4 ปีที่แล้ว +9

    Unaongea vizuri Catherine!

  • @hamidmohamed7806
    @hamidmohamed7806 4 ปีที่แล้ว +6

    Dada yupo sahihi kabisa Mzee hajajipanga mda na bahati kapata fresh sasa ndo itakuwaje?

  • @farajisureman9925
    @farajisureman9925 4 ปีที่แล้ว +2

    Pole.Hilo unalo

  • @juliusphabian6336
    @juliusphabian6336 4 ปีที่แล้ว

    Ila kuna kitu hapo....kama huyo aliyekua baroz huko urusi kadhibisha....there is something behind

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 4 ปีที่แล้ว +1

    Kahabi, kwanza you're so beatifu lady, pili you're so smart girl, tatu you're so humble and you have a Beautiful heart... Ulichofanya kujaribu kumsaidia doctor Shika wasn't a bad thing, wanaokusakama wanafanya hivyo kwa vile mambo hayakuwa.lakini kama yangekuwa wangekusifu.
    Ucjali endelea mbele....

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 4 ปีที่แล้ว +17

    Pole sana dada yetu, wa tanzania ni watu wa majungu sana, lipi kosa lako?, achana na wajinga, waelewa tume kuelewa.

    • @nimekukubalimanenoyakomazu3008
      @nimekukubalimanenoyakomazu3008 4 ปีที่แล้ว

      Mwaya. Makini sana dada nani anae weza kuacha chakula

    • @elihurumatimothy5850
      @elihurumatimothy5850 4 ปีที่แล้ว

      Daaaaa Catherine nimependa jinsi unaeleza na kujibu,una akili na hekima mnooo, Mungu akubariki!

  • @prophetmunuo9317
    @prophetmunuo9317 4 ปีที่แล้ว

    Dada una ubinadamu mwingi sana, hongera saidia hata wengine pia.

  • @humaidalnaamani4183
    @humaidalnaamani4183 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah ukweli mazungumzo alio zungumza Catherine ni mazungumzo mazuri na yenye moyo mwema kwa kusaidia Dkt Shika ila kuna wakati mtu anapata bahati ya kusaidi ili hajui kutumia masaudio

  • @Sppah697
    @Sppah697 4 ปีที่แล้ว +2

    Wewe Catherine Mungu akuhadhibu!

    • @fatmahassan2083
      @fatmahassan2083 4 ปีที่แล้ว +1

      Msipende kuhukumu jambo msilolifahamu

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 4 ปีที่แล้ว +2

    Jamani ampokee YESU tu ili afunguliwe kwenye vifungo

  • @perfectinnocent1875
    @perfectinnocent1875 4 ปีที่แล้ว

    R. I. P Dr. Shika

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe2372 4 ปีที่แล้ว +5

    Kuna kitu , shika atajifunza kitu Lakini Ukweli Alisi wamaisha na mapito ya shika anayajua Yeye Sasa Hivi hakuna atakae muhamini

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 4 ปีที่แล้ว +5

    Nampendaga sana huyu DADA
    MTANGAZAJI FIKISHA UJUMBE WANGU AISEEE👨‍⚖

  • @liliansamson674
    @liliansamson674 4 ปีที่แล้ว +28

    Dr. Shika aliumizwa kichwa na wa Russia, hua natamani ubalozi wa Russian washilikishwe wamlipe Fidia.

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 4 ปีที่แล้ว +1

      Umelewa Wewe au😁

    • @liliansamson674
      @liliansamson674 4 ปีที่แล้ว +1

      Hassanova junior acha utahira

    • @onlinemateustv1925
      @onlinemateustv1925 4 ปีที่แล้ว

      Your right kwasababu Dr shika alipaswa watu wa nch mbili waseme lolote na wamsikilize

  • @janethkimaro3410
    @janethkimaro3410 4 ปีที่แล้ว

    Jamani huyu docta shika yupo wapi siku hizi??

  • @joycefulko7771
    @joycefulko7771 4 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri cath lakini endelea kumjali kikristo Dada usijali athirika kisaikologia huyo. Unajua kama utajiri wako unashikwa na watu.

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 4 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo ndio inaitwa sisi vijana kutengeneza maisha ya uzeeni vzri,,,, sio kujirusha, kuzaa watoto na kutokutoa huduma,,, Leo huyo Ana watoto ulaya lkn hawamtaki kutokana na history yake inaitwa Fainally uzeeni,,,,,

  • @alahstamuzackayo5509
    @alahstamuzackayo5509 4 ปีที่แล้ว +4

    hukutumia busara hili jambo ungelipeleka sehemu husika au ungeliweka media ili tujue watanzania ulikosea kukaa kimya wakati ww ni mtu wa media, leo hadi ameibuliwa tena ndio unaongea, Nakushauri msaidie kwenye maswala ya sheria.

  • @sadockalfred6750
    @sadockalfred6750 4 ปีที่แล้ว +4

    Huyu yupo vizur sana naomba nipate namba yake ndugu mwandishi

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi7883 4 ปีที่แล้ว +7

    Shika alipenda wanawake

  • @aidansunday7827
    @aidansunday7827 4 ปีที่แล้ว +21

    "Watu bwana" walijua Dr ana pesa baada kugundua ni magumashi wamemtelekeza.

  • @alahstamuzackayo5509
    @alahstamuzackayo5509 4 ปีที่แล้ว +3

    Na matapeli Kwa njia ya mitandao wamekuwa wengi sana awe makini.

  • @Kadangaa4896
    @Kadangaa4896 4 ปีที่แล้ว +5

    Dada so nyingi sana au kwenye kingereza hukuweza jifunza neno lingine zaidi ya so. Kiswanglish hovyooo

  • @bbakzuvciIii
    @bbakzuvciIii 4 ปีที่แล้ว

    HUYU DADA HAJIJUI ANACHOONGEA.. JINGA SANA JINGA HAJIELEWI

  • @andersonchibule4761
    @andersonchibule4761 4 ปีที่แล้ว +1

    This lady knows much about shika's life.... Kashapiga hella sahii anamgeuka. Mtafute umpe ata japo za chakula. It's so sad.

  • @samuelnyanjui8326
    @samuelnyanjui8326 4 ปีที่แล้ว

    Pole dada

  • @ezramassawe639
    @ezramassawe639 4 ปีที่แล้ว

    Iviii Dada ni kweli unachokizungumza ebu angalia usije ukasema uwongo kumbe mzee anadai haki yake

  • @meckymassawe6619
    @meckymassawe6619 4 ปีที่แล้ว

    Menejaaaa
    Hanger meneja

  • @jayma1537
    @jayma1537 4 ปีที่แล้ว +13

    Sawa dada hauna tatzo na umeongea ukweli

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 4 ปีที่แล้ว +4

    Ww ulipokua nae kama ni msomi hukua ukiligindua hili !? Na je hukukaa na uongoz wako mkaliongelea hili jambo au mlikua mnaangalia maslah tu kiupande wenu ... maana wakati ule wa nyumba tu ulijitosheleza kama huyu mtu tayari maadhura ....

  • @documentaryzone1364
    @documentaryzone1364 4 ปีที่แล้ว +3

    Nilishawahi kumuona mitaa ya mnazi mmoja hivi jioni, he really needs help

  • @josephmakonga3201
    @josephmakonga3201 4 ปีที่แล้ว

    Watanzania mnanikera sana So nyingi ongea kiswahili fasaha ndo mana mtanzania akiniongelesha kingereza me naongea kiswahili.

  • @wolframchikomo8873
    @wolframchikomo8873 4 ปีที่แล้ว +1

    Huu kweli ni Mwaka mpya na wa Uchaguzi Mkuu pia. Dr. Shika asihofu ila aombe uzima tu maana atakuwa dili sana kipindi cha uchaguzi kutumika katika KUPOTEZEA ajenda fulani hivi wakati huo. Na huyu ni MZURI SANA kuliko enzi za MTONYA na Mheshimiwa Lyatonga Mrema. Aombe uzima tu, mwaka huu atawini sana

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 4 ปีที่แล้ว +10

    Naomba number zako dada tuongee biashara

  • @freetravelsagents3768
    @freetravelsagents3768 4 ปีที่แล้ว +19

    Huyo ni mtu mzuri aliyekuwa anatumiwa na watu wabaya lakini saa inakuja siri itafichuka na hao wabaya watamuachia tu kwa nguvu za Roho mtakatifu...Huyo siyo kichaa sema alizungukwa na vichaa wanao mtumia.

    • @jeanmubemba1204
      @jeanmubemba1204 4 ปีที่แล้ว

      we cathe wewe shauri yako hahaah

    • @salimrobiny4524
      @salimrobiny4524 4 ปีที่แล้ว +1

      We menej ulmfuata shika kwa sabab ulikuw unajua anapsa

  • @doiyzamda3428
    @doiyzamda3428 4 ปีที่แล้ว +5

    Umesema huna namba yke ya cm, then alkupgia kukuulza birthday yko ni lini??🙄
    Umedanganya catherine!

    • @ibubandana2228
      @ibubandana2228 4 ปีที่แล้ว +2

      Ww kichwayko ni matikiti maji hyo ni kabla ya kupoteana

    • @kamanda007
      @kamanda007 4 ปีที่แล้ว

      Wewe zero kabisa..hiyo ilikuwa zamani

  • @nehemiahbudi5753
    @nehemiahbudi5753 4 ปีที่แล้ว +3

    Msongo wa mawazo pamoja na kipigo Cha warusi bila ya kupata matibabu ni moja ya sababu za yeye kuwa hivyo.

  • @denismjwauzi6457
    @denismjwauzi6457 4 ปีที่แล้ว +3

    Ww Dada unajua kuongea sana ila mmemfanyia vibaya sana ss hapo unakimbia nini kuwa wewe aukua meneja wake acha kuchega hapo

  • @Bigboy-nx3nc
    @Bigboy-nx3nc 4 ปีที่แล้ว +4

    WaAfrika hatupendani ingekuwa mzungu teyari angeshasaidiwa na serikali yake hasa kimatibabu.

  • @abbiekale8387
    @abbiekale8387 4 ปีที่แล้ว

    Dada tafutia nyumba daktari au mbeleke kwao asaidike. Do u remember mkitaja we we ni menorah two years ago

  • @aguumoppao15
    @aguumoppao15 4 ปีที่แล้ว

    👏👏👏👏👏👌

  • @kisasarob751
    @kisasarob751 4 ปีที่แล้ว +1

    Utasema mama kama ulipiga hela...by da way safi ulicheza na fursa...huwezi kukaa na mtu uko karibu nae kila mahali, unamuandalia press sijui kila madili uko nae karibu kwa bure tu? Hakunaga kama hicho, ulipiga hela mzee kaishiwa ukamtema

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 4 ปีที่แล้ว +3

    Muandishi umembana vizuri huyo dada.

  • @mastermfaume
    @mastermfaume 4 ปีที่แล้ว

    Naombeni mawasaliano ya huyu dada pls

  • @tungotv7978
    @tungotv7978 4 ปีที่แล้ว +6

    Duuuh! Kweli anahitaji msaaada na alipata bahati kweli jaman...

  • @jubethraphael9909
    @jubethraphael9909 4 ปีที่แล้ว +17

    Dr Shika anaitaji psychological treatment cause alishapata hela zikaisha hivyo anaziwaza Sana

    • @theoniyonkuru6423
      @theoniyonkuru6423 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc 4 ปีที่แล้ว

      Theo Niyonkuru Alishakuwa na hela waulize waliowahi ishi Urusi wanamfahamu vizuri.

  • @ojasoojaso9479
    @ojasoojaso9479 4 ปีที่แล้ว +1

    Kahabi Mungu azidi kukutumia kwani huruma yako ni Amana yako ktk Ahera kwani imeandikwa HERI WENYE HURUMA KWANI NAO WATAHURUMIWA. Nakuombea Cathy

  • @festojoseph7746
    @festojoseph7746 4 ปีที่แล้ว +2

    Mzee brand ujue,kashindwa kuitumia

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 4 ปีที่แล้ว +1

    Asilimia kubwa ya watu ambao huwa wanapata hela na kuweka zote yaani kujiwekea kwaajili ya baadaye yao yaani kwaajili ya malengo ya baadaye
    Wakiibiwa wengi wao wanakuwa hivyo
    Ni naamini Dr shika nikweli kuna kiasi amefanyiwa hayo mambo

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany561 4 ปีที่แล้ว

    Naombeni namba zake ya huyo mzee roho imeniuma sana pls nisaidieni namba yake nimtumie pesa hata kama nikidogo nimpe

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimegundua Catherine ni mrembo sana

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 ปีที่แล้ว +2

    Cat nimekuelewa vzr sana wacha babu yamkute

  • @justingeofrey599
    @justingeofrey599 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyo DADA nataman ndo angekuwa anahoji,coz namjua yuko vzur sana kwenye mambo ya INTERVIEW lkn huyo jamaa bdo yawezekana anajua kuhoji lkn anaongea KISHKAJi na sio KIKAZI lkn all in all nmependa interview yenu!

  • @anjelamassawe8997
    @anjelamassawe8997 4 ปีที่แล้ว +1

    Kaibuka tena

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 4 ปีที่แล้ว +4

    Acheni zarau.wa. Tanzania

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier1377 4 ปีที่แล้ว +3

    Catherine Naomba nikuoe !

  • @mluguludamasi6240
    @mluguludamasi6240 4 ปีที่แล้ว +3

    Amekula ela uyo

  • @bahatibunzali15
    @bahatibunzali15 4 ปีที่แล้ว +3

    Kama baloz wa tz urusi anayajua hayo kwa nini asingesaidia juu ya hili.

  • @mrprotocolremmy5830
    @mrprotocolremmy5830 4 ปีที่แล้ว +1

    Mi nashangaa inamaana hata serikali hawalioni hili? Ikiwa Barozi amethibitisha yaliyomkuta bado Mamlaka husika imeshindwa kumsaidia!
    Mbona mafisadi wanafatiliwa bara bara
    Inasikitisha sana

  • @hajiharuna786
    @hajiharuna786 4 ปีที่แล้ว

    Safi mdada

  • @msafiriaron6968
    @msafiriaron6968 4 ปีที่แล้ว +2

    Pamoja na hayo yote lakini baadhi ya wanawake humu duniani wana undugu na shetani %95 hawa viumbe hatari sana

  • @hmattakimbunga8631
    @hmattakimbunga8631 4 ปีที่แล้ว +3

    Maisha ya kupritend Mwisho wake hua ni hivyotu

  • @geliadisinyangwe6893
    @geliadisinyangwe6893 4 ปีที่แล้ว

    Kiukweli apo kunakitu kimejificha mbona Kama munasema ameasirika kiakili vipi akiwa naojiwa huwa anajieleza vizuri na haonekani ivyo kuwa Hana akiri tuwekeni wazi uyo ninani wekeni wazitujuwe kuwanikicha sikweli

  • @davidwambura9712
    @davidwambura9712 4 ปีที่แล้ว +2

    Ila haya mahojiano hayajabalansi kabisa, inaonyesha wazi kuwa hiki kipindi kimetayarishwa ili kumsafisha huyo mwandishi mwenzanu. TOTAL huyo dada ameshafaidika na fedha sana ....a.k.a NI MTOTO WA MJINI .. mwandishi nawe hufai hujui kubalance

  • @ivancharles578
    @ivancharles578 4 ปีที่แล้ว

    Dr shika kaisha saivi balaa nimemkuta posta kalala nje

  • @chechewambura4192
    @chechewambura4192 4 ปีที่แล้ว

    Hapa kuna jambo limejificha hapa,,,dada ushapata ulichokua unakitafuta na umejiweka pembeni,,,,,pili kama uligundua anaowatumia pesa ni matapeli ulichukua hatua gan kumsaidia dhidi ya matapeli hao?????

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 4 ปีที่แล้ว +5

    huyu dada alijuchanganya sana kiukweli wewe ulijiita meneja na tatizo hukujua kama unapotea sana nilijua utakuja juta sana wewe ulikaa nae na ukasema limeshuka tone la maji

  • @shanisshow1864
    @shanisshow1864 4 ปีที่แล้ว +8

    Mi nwashauri watu wenye huruma, huyu mzee mwachen kwasababu mkimksaidi watu baadae unaonekana fala sana...hiyo ndio tatizo la watz wanakurupuka kwa kusaidi hawajui outcomes zake ndo hizo Ndo maana nchi za watu hawana mda nao unabaki kuwa homless

    • @kayorawilliam269
      @kayorawilliam269 4 ปีที่แล้ว

      Hujui maana ya kusaidia wewe. Na hata wewe ulipofika Kuna mtu amehusika kukusaidia kwa hiyo nyamaza Kama huna kitu Cha kuongea

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 4 ปีที่แล้ว +5

    Katherine alipoona hakuna Pesa aliamua kusepa

  • @ramjeygroup3548
    @ramjeygroup3548 4 ปีที่แล้ว +1

    Dr shika ili umpate kwa urahis uende kule nyuma ya ocean road karibu na jengo la mkemia mkuu huwa anakaaga San ufukweni kule everyday

  • @festuschunya7067
    @festuschunya7067 4 ปีที่แล้ว

    Catherine are you married...am proposing to you..good hearted ,intelligent girl, beautiful you deserve to be with a great man and I recognise that I am the man..

  • @raiye5621
    @raiye5621 4 ปีที่แล้ว +12

    WABONGO MNAKERA BWANA KWANI UKONGEA KISWAHI MPKA MWISHO MNAJIISIJE SOW SOW SOW SOW MNAKERA BWANA HAMJASOMA ENGLISH LAKIN MNA IPANIA MBAYA .

    • @raiye5621
      @raiye5621 4 ปีที่แล้ว +1

      @@anuaryally6177
      Nime🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
      Na nucu

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 4 ปีที่แล้ว +2

      Wenyewe wakiongea ivyo inamaanisha ndio wasomi kiswahili kinawagomba

    • @wazirisukari5178
      @wazirisukari5178 4 ปีที่แล้ว +1

      Raiye Raiyyan Hahahaaa so so so Mara then hahaaa

    • @hassanrwitita2503
      @hassanrwitita2503 4 ปีที่แล้ว +1

      😆😆😆😆bora umefunguka siwaelewi so so so halafu anaendelea na kiswahili sijui hawaoni aibu.

    • @khalekichambo2143
      @khalekichambo2143 4 ปีที่แล้ว

      Ovyoooo

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari5178 4 ปีที่แล้ว +2

    Sendoz plas tai unapata jibu kichaa

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 ปีที่แล้ว

    Ww ulitumika ki aina ku push ule usani wake na uongo na ulinufaika pia ila baada dili kukata nawe ukala kona

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 4 ปีที่แล้ว +1

    Hao jamaa wamemtapeli san kwenye inter net

  • @isayagabriel8259
    @isayagabriel8259 4 ปีที่แล้ว +5

    Ko kwa maelezo hayo ni kwel pesa alizurumiwaa !?

  • @eddyevarist2593
    @eddyevarist2593 4 ปีที่แล้ว +5

    hakuna mapesa hapo wala nini uyo.mzee atakua amevurugwa tu kwanini mama watoto wake tz asimsaidie kama anaskia analala nje

  • @faidamasegenghe3379
    @faidamasegenghe3379 4 ปีที่แล้ว

    Mmekutana ote ni wandishi was habar maswali mtahojiana sana

  • @hassanrwitita2503
    @hassanrwitita2503 4 ปีที่แล้ว +4

    Mh ya watu waachie walimwengu!!!

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 4 ปีที่แล้ว +1

    Meneja leo unaamua kumkana Dr shika kweli jaman? Sio vizur bana menejaaaaaa.. unamwacha kwenye mataa shika😁😁😁😁

  • @petermahende3630
    @petermahende3630 4 ปีที่แล้ว +7

    Catherine nmekupenda bure unaonekan Ni dada mwenye uelewa na unajali wenzio wenye uhitaj...

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda2298 4 ปีที่แล้ว +2

    Kuna point hapo

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 4 ปีที่แล้ว

    Wewe Dada kweli hukumtendea Dk shika hujamtengenezea mazingira mazuri ya mzee kutumia umaarufu wake.

    • @pascalmgina
      @pascalmgina 4 ปีที่แล้ว

      We umemtendea nini? Acha usenge

    • @danielluhemeja7303
      @danielluhemeja7303 4 ปีที่แล้ว

      Kutumia fursa siyo dhambi, kwa mazingira ya Dr. Shika pale kwenye mnada mtu yeyote mwanahabari lazima afuatilie kujua inakuwaje mtu mzima anakuja kwenye mnada halafu hela hana. So kahabi kwa namna yoyote yuko sawa.

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 4 ปีที่แล้ว

    Wote vichaa naona!

  • @rechoward3941
    @rechoward3941 4 ปีที่แล้ว

    Catherine. Wewe ni Muongo wa kupitiliza ndio maana yanakukuta haya yoote, kumbuka nilishakuambia haya before. Bint mrembo lakini jaribu kuwa Mkweli

  • @boyjopar8717
    @boyjopar8717 4 ปีที่แล้ว +3

    We ndo ulisema unampa joti?😂😂😂😂

  • @Ax-xpress
    @Ax-xpress 4 ปีที่แล้ว +6

    Catherine alikuwa Msoma raman tu kama wengine, ingesoma Leo angekuwa mtu mwingine