FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA GANZI, DALILI NA MATIBABU YAKE.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ย. 2023
  • FAHAMU UGONJWA WA GANZI, DALILI NA MATIBABU YAKE

ความคิดเห็น • 130

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 7 หลายเดือนก่อน +5

    Somo zuri sana limetolewa na wataalamu wanaojua kazi yao. Hongereni sana

  • @joycekomba9476
    @joycekomba9476 7 หลายเดือนก่อน +1

    My brother.....Asante kwa elimu nzuri sana best.

  • @fawzialmaashari9857
    @fawzialmaashari9857 7 หลายเดือนก่อน +2

    Asante docta kwa kutufundisha vzr,,,ubarikiwe sana

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu3487 7 หลายเดือนก่อน +2

    Good teaching material, continue teacher

  • @lilybalama6770
    @lilybalama6770 6 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana Dr. Brighton umekuwa msaada sana kwenye maisha yangu toka nimeanza kutibiwa na wewe nina improvement kubwa sana Mungu akuweke

    • @allyirunde7198
      @allyirunde7198 5 หลายเดือนก่อน

      Anapatikana wapi daktari huyu ganzi pia inanisumbua sana miguuni

    • @anethbideberi6617
      @anethbideberi6617 หลายเดือนก่อน

      ⁠Mloganzila

  • @user-vd5xr8je8u
    @user-vd5xr8je8u 7 หลายเดือนก่อน +3

    Dr asnte kwa darasa lako Zurich mimi ni muathirika wa stroke ambayo baadae imeniachia ganzi upended ambao stroke ilipotoke yaani upended wa kulia hili nalo koje dr

  • @EditaTairo-sv1ls
    @EditaTairo-sv1ls 7 หลายเดือนก่อน +14

    That's my Doctor. Dr. Brighton Mushengezi mwenye maakili yake na customer care nzuri sana. I really appreciate

    • @ManaseBuhanza-cl1lc
      @ManaseBuhanza-cl1lc 6 หลายเดือนก่อน

      Magoshwa wa corona kuingia africa kwa matokea kwenye hali ya kuungua dharula na nk

    • @ManaseBuhanza-cl1lc
      @ManaseBuhanza-cl1lc 6 หลายเดือนก่อน

      Ufaransa takiribani wananchi 197500 kupatwa na COVID(19) tamuko lasmi raisa atoa angalizo kwa wananchi

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 6 หลายเดือนก่อน

      Nimekuelewa Sana dokta,Dah! Maana hii ganzi inanisumbua mpk nahisi kuchanganyikiwa.

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@ManaseBuhanza-cl1lcwe nawe vp? Atukuelewa mbn?!

    • @MariaSengo-cn5bx
      @MariaSengo-cn5bx 5 หลายเดือนก่อน

      Editha kama una namba yake tafadhali nupatie

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asanteni sana kwakunifahamisha

  • @JosephatJoseph-eo8xj
    @JosephatJoseph-eo8xj 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba sawa doctor

  • @bas2823
    @bas2823 7 หลายเดือนก่อน +2

    THANKS FOR SHARING👌GOD BLESS U N ALL OF US CREATIONS OF GOD👍AMEEN🤲

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 6 หลายเดือนก่อน

    Blessed dr

  • @annambele789
    @annambele789 6 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa somo la ganzi.

  • @alexkomba3100
    @alexkomba3100 7 หลายเดือนก่อน +1

    I appreciate

  • @user-yw1ld7jf6c
    @user-yw1ld7jf6c หลายเดือนก่อน +1

    vp naitaji musa ada wenu mungaga mama yang iko nawungojwa wagazi yakicwani musaidiye nambiye dawa yenye atatumiya

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 7 หลายเดือนก่อน

    Asante Dactari na mtangazaji

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 7 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana Dr.Ninakuombea upate nafasi zaidi ya kwenda kusoma zaidi ktka nchi za wenzetu ili uongeze ujuzi wako WA neurology uzidi kutusaidia 🎉

  • @annambele789
    @annambele789 6 หลายเดือนก่อน

    Dr. Tunaomba na somo la misuli kukamaa na kupata maumivu

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jmn hata mm nimejifungua lkn na ganz mikonon tu shida nb dokta

  • @maryammadodo8837
    @maryammadodo8837 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sn Doctor kwa kutuletea somo hili .Mm binfsi naumwa hu ugonjwa inafika miaka 7 ila saivi umezidi sn zaidi nikalala usiku vidole vinaniuma sn km vitoke .na nikishika simu au kitu chochote kwa muda mrefu basi napata maumivu sn .Natesrka sn na ugoonjwa hivyo nitakuja hapo kwa ushauri na matibabu zaidi

    • @marysospeter2789
      @marysospeter2789 7 หลายเดือนก่อน

      Yaan wew ndo mimi kabisaa unatesaaa sana huu ugonjwa

    • @thabitsaidi1507
      @thabitsaidi1507 4 วันที่ผ่านมา

      Punguza uzito wa mwili wako

  • @OsmundaJonas
    @OsmundaJonas 7 หลายเดือนก่อน

    Asante docta kwa Somo nzur mimi ninasumbuliwa na ganzi kwa miaka mitano sasa ilinipata nikiwa mjamzito ilipata mwili mzima nilipata matibabu ikaisha isipokuwa miguu mpaka Leo bado inaganzi na maumivu kwenye mifupa he naweza kupata matibabu ya kupona kabisa

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  7 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ukutane na wataalamu kwa uchunguzi zaidi
      Asante

  • @mommywarda5529
    @mommywarda5529 7 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana Niko Kenya Mombasa nawezaje kupatamatibabu huko ya ganzi

  • @user-dk3ss9ts7n
    @user-dk3ss9ts7n 7 หลายเดือนก่อน +1

    Utoe namba

  • @user-dg8iw1gq3h
    @user-dg8iw1gq3h หลายเดือนก่อน

    Docta mimi napata Gazi miguuni nakweny vidole vyamikono naaikai kwamudamlefu inatoweka nanimeenda hosptali vimefanya vipmo mbalimbali inaonekana hakunashida kwenyehivyo vipimo kilakitu kikosawa ikiwemo hayo unayoyaelezea ambayondoyanaweza yakaperekea kupatata ganzi tafazari naomba unisaidie

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 6 หลายเดือนก่อน

    doctor plz naomba nijib... mm miguu yang hua inapata baridi wakat mwngn ganzi inayoambatana na maumivu makali xn kwa miaka mng xx... lkn umri wng ni 26tu nn xhida tafadhali?????

  • @gabriellusinde9263
    @gabriellusinde9263 หลายเดือนก่อน

    Doctor Mimi ninaganzi zaidi ya miaka mitatu nawapataje ili nipate msaada kwako

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kutokana NI kisukari miguu hukatwa Kwa sababu ya neuropathy ya miguu 😢😢

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i 7 หลายเดือนก่อน

    Docta mimi naitji matibabu nilianza kusikia ngazi leo naanza kusikia moto mwilini na kizunguzungu ila nilipimwa sukari mwilini 5%

  • @ChristopherMhagama-ls9zd
    @ChristopherMhagama-ls9zd 7 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kwa elimu nzuri na nyepesi nimeongeza maarifa hapa nitazidi kufuatilia kipindi

    • @MonyaichiJulius-sb2td
      @MonyaichiJulius-sb2td 7 หลายเดือนก่อน

      Dr unapatikana wapi

    • @chikondimadalitso
      @chikondimadalitso 7 หลายเดือนก่อน

      Ukiwa na ukimwi unakwepaje ganzi

    • @bettymoshi
      @bettymoshi 7 หลายเดือนก่อน

      Tafadhali naomba namba ya simu

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  7 หลายเดือนก่อน

      Asante endelea kutufatilia ili uweze kupata elimu ya afya zaidi.

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  7 หลายเดือนก่อน

      @@bettymoshi Fika Hospitali ya Mloganzila kwa maelekezo zaidi Asante

  • @user-gy5wc4co6h
    @user-gy5wc4co6h 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nilipata baada ya kujifungua mwaka wa sita inaipungua taratibu

  • @user-nt3yd2gx2t
    @user-nt3yd2gx2t หลายเดือนก่อน

    Naomba namba dr

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 7 หลายเดือนก่อน +1

    Dr tunashukuru kutuelimisha.Tusaidie tupone.

  • @MariaSengo-cn5bx
    @MariaSengo-cn5bx 5 หลายเดือนก่อน

    Dr tafadhali tuwekee namba yako ya simu tuwasiliane

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j 6 หลายเดือนก่อน

    Dr unasema jasho linatoka mwili mzima au sijakuelewa naomba ufafanuzi

  • @user-yo8lb3wf6m
    @user-yo8lb3wf6m 7 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba ushauri umu ndani Jamani nna tatizo la ganzi katika meno kinywa kizima naitaji dawa wapi ntapata ,mana tyr dawa natmia ila sjui feki au vp

    • @user-zj9yc3ge9s
      @user-zj9yc3ge9s 20 วันที่ผ่านมา

      mimi pia ni muhamga vp umepata tiba gani rafiki

  • @GregoryMnyakasha-yk7zo
    @GregoryMnyakasha-yk7zo 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya Dr please

  • @magrethrhobi7494
    @magrethrhobi7494 7 หลายเดือนก่อน +1

    Miaka yangu 47 Uzito wangu 122kg nina ganzi kwenye vidole vya
    Mkono wa kulia kwenye kucha..

  • @marthadominick2212
    @marthadominick2212 6 หลายเดือนก่อน

    Mko sehemu gani nasumbuliwa na ganzi ya mguu mmjoja

  • @amostimoth2373
    @amostimoth2373 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wale ambao wamerithi huwa mnawasaidiajee

  • @user-dk3ss9ts7n
    @user-dk3ss9ts7n 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sema daw

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 6 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @user-ps3oy3nx3k
    @user-ps3oy3nx3k 6 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba nmb ya dr kwa tulio mikoani .ahsante kea somo zuri ubarikiwe sana na wabarikiwe zaidi ni wazazi wako.wewe ndo maana halisi ya udaktari wako,ubarikiwe.

    • @margaretholland5139
      @margaretholland5139 6 หลายเดือนก่อน

      Tunaomba namba ya Dr. Brighton mkombozi wa watu.

  • @cutebronca3517
    @cutebronca3517 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi tokea ninamimba imenitokea ganzi na kidole cha kati kinaganda kabsa hospitalin nilienda wakaniambia litaisha ila mbaka leo ni miaka minne sasa bado nasumbuliwa na hilo tatizo

  • @zaidarashid8649
    @zaidarashid8649 7 หลายเดือนก่อน

    .Mimi inanzia begani Hadi vidoleni 15:40

  • @ExcitedOyster-bs9mx
    @ExcitedOyster-bs9mx หลายเดือนก่อน

    Daktari naomba mnisaidie niko oman ninashida mikono yangu inakufa ganzi haswa vidole nashindwa hata kufanya kazi nilipima kiskar nikaambiwa sina jaman nateseka naomba mniandikie dawa inayo weza kutuliza au kama kunauwezekano wa kunitumia dawa huku nchini oman naomben jamani

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de 7 หลายเดือนก่อน

    Mm niko nao huo ugonjwa lkn sjajua kilicho nnsababisha iko kwnye mko wangu ndani y vidole viwili ndo vina ganzi

  • @user-be3gf5vm9c
    @user-be3gf5vm9c 7 หลายเดือนก่อน

    Nisaidie doctor naphtali shida

  • @user-of3dr6th3x
    @user-of3dr6th3x 7 หลายเดือนก่อน +3

    Unapatikana wapi no yako

  • @FatumaMata
    @FatumaMata หลายเดือนก่อน

    Namber tafadhali

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba mawasiliamo ya dokta tutampataje

  • @user-us2lu7fn9e
    @user-us2lu7fn9e หลายเดือนก่อน

    Mimi nimepata ganzinikiwamjamzito nimejifungua ilatatixo bado nifanye nn

  • @user-tr2fd6gr9l
    @user-tr2fd6gr9l 10 วันที่ผ่านมา

    Ila si unatibika

  • @benterkioko7168
    @benterkioko7168 7 หลายเดือนก่อน

    Pia mimi ninangojea tiba la gesi na tiba yake please doc na ganzi pia

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  7 หลายเดือนก่อน

      Kuhusu matibabu fika hospitali ufanyiwe uchunguzi zaidi.
      Asante

  • @user-wv3jf2de5r
    @user-wv3jf2de5r 6 หลายเดือนก่อน

    Nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka7 anatatizo la ganzi nifanyeje

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 7 หลายเดือนก่อน

    Dactar mm nina Dalglish za ugnwa wa ganzi mkono wa kulia kuanzi began mpaka viganjani mara nying huhisi ganzimuda wa usiku mrefu kalibia na Alfajili naomba ushauli wako mm nipo Omani toka n8anze kuhusi ganzi yapat miezi 2 sasa

    • @fenisiasimeo2385
      @fenisiasimeo2385 7 หลายเดือนก่อน

      Mbona wew ni kama mm jaman

  • @komboruga4271
    @komboruga4271 7 หลายเดือนก่อน

    Za daktar

  • @niceadolph1154
    @niceadolph1154 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona wengine wanasema tatizo ni uzito kwa sababu unakuta mtu hana tatizo lolote la ki afyab

  • @user-gq4wm9gj4l
    @user-gq4wm9gj4l 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nahitaji matibabu

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  7 หลายเดือนก่อน +1

      Tafadhali fika Hospitali ukatane na Madaktari kwa uchunguzi zaidi.

  • @user-zv2lt8zk5k
    @user-zv2lt8zk5k 7 หลายเดือนก่อน

    Dawa yake nini dk mimi napata ganzi mikono mizima nikilala lala na wala sina tatizo lolote kati ya uliyosema

  • @ceciliagilbert973
    @ceciliagilbert973 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nisaidie dk Mimi vidole.vya mikono napata gazi

  • @user-qy5yi6tm7d
    @user-qy5yi6tm7d 7 หลายเดือนก่อน

    Pia mimi niko nalo nikilala mikono napata ganzi.naomba usaidizi.tunaomba no.ya Dr.

  • @user-yw1ld7jf6c
    @user-yw1ld7jf6c หลายเดือนก่อน

    sasa munipenidawa nimusayidimama

  • @hadijasharifu1463
    @hadijasharifu1463 7 หลายเดือนก่อน

    Nikishika cim ndo naskia gazi nikiacha ganzi inaisha tatizo linamiez 6 sasa naachaga hata mwez nakua mzima nikishika tu ganzi

  • @user-of2qt8nk7w
    @user-of2qt8nk7w 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dawa ya ganzi,ni ipi?

    • @evaamon1360
      @evaamon1360 6 หลายเดือนก่อน

      Hakuitaja dawa. Akikujibu uniambie

  • @pilikafuku5468
    @pilikafuku5468 7 หลายเดือนก่อน +3

    Naomba utoe somo la gesi tumbon na dawa yake

  • @zainabuhamisi576
    @zainabuhamisi576 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ganzi inanisumbua Miko na miguu naomba jipatie dawa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 7 หลายเดือนก่อน +1

    Neuropathy 😢

  • @divine9779
    @divine9779 7 หลายเดือนก่อน +1

    Naitaji mawasiliano ya doctor

  • @user-gq4wm9gj4l
    @user-gq4wm9gj4l 7 หลายเดือนก่อน

    Mnapatikana wapi?

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  7 หลายเดือนก่อน

      Tunapatikana Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ipo Mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Ubungo
      Karibu

  • @ZawadyKilume
    @ZawadyKilume หลายเดือนก่อน

    Ri

  • @freefromhunger
    @freefromhunger 6 หลายเดือนก่อน

    Shule inaongea

  • @ZawadyKilume
    @ZawadyKilume หลายเดือนก่อน

    J e

  • @user-ht2ze2kd3o
    @user-ht2ze2kd3o 7 หลายเดือนก่อน

    Habari ,huduma ya kutoa makovu inapatika?

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  7 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio inapatikana Karibu tukuhudumie

    • @user-ht2ze2kd3o
      @user-ht2ze2kd3o 7 หลายเดือนก่อน

      @@MUHIMBILI_MLOGANZILATV asante Sana ni bei gn

    • @nasrafadhili7408
      @nasrafadhili7408 7 หลายเดือนก่อน

      Dokta namazoezi ukifanya wakati ujaumwa yanaweza kusaidia usipate

    • @user-gd8cx2ig9p
      @user-gd8cx2ig9p 7 หลายเดือนก่อน

      Doctor mimi nasumbuliwa na ganzi kwenye mikono, mfano nikiegemeza mkono sehemu Kama dk 10 mkono unapata ganzi, tafadhali nisaidie, niko chalinze

    • @emmanuelmwakyoma5746
      @emmanuelmwakyoma5746 7 หลายเดือนก่อน

      Namba yako ya simu tafadhari

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 2 หลายเดือนก่อน

    Nadhani mngeweka number ya dokta maana wengine tuko
    Mbali ili tupate msaada zaidi tu ateseka kwakweli
    Sie wakujifungua ganzi za mikono na vidoleee why ??

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 7 หลายเดือนก่อน +1

    DAKTARI VIPI KUHUSU MATUMIZI YA KARAFUU..

    • @evaamon1360
      @evaamon1360 6 หลายเดือนก่อน

      Je wanasema karafuu nodaea ua ganzi?

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 7 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba no mimi nikila nyama naphtali gazi kidole gumbachamkono namagoti miguu inawaka moto

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  7 หลายเดือนก่อน

      Tafadhali fika hospitali uonane na Madaktari kwa Matibabu zaidi

  • @NeemaJohn-vs5ik
    @NeemaJohn-vs5ik 7 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks.kwamafundisho.ila.tunaomba.namba.zenu

    • @janejohn1083
      @janejohn1083 7 หลายเดือนก่อน

      Tunaomba nambayako kunandugu zetu wanatatizo hilo

    • @user-bw5ts8nq2z
      @user-bw5ts8nq2z หลายเดือนก่อน

      Namba ya dr

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 7 หลายเดือนก่อน

    Mnapatikana wapi?

    • @WinfridaKalinga
      @WinfridaKalinga 7 หลายเดือนก่อน

      Doctor naomba namba yako tafadhali

    • @MUHIMBILI_MLOGANZILATV
      @MUHIMBILI_MLOGANZILATV  7 หลายเดือนก่อน +1

      Tunapatikana Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ipo Mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Ubungo.

    • @felixndereba3695
      @felixndereba3695 7 หลายเดือนก่อน

      Am in Kenya doctor, please give your contact for consultation or treatment.. please.

    • @mohamedisalimu
      @mohamedisalimu 7 หลายเดือนก่อน

      Dr hujaongelea kwa upande wa wajawazito..
      hali hii inawatokea sana

    • @selinajoakim2773
      @selinajoakim2773 7 หลายเดือนก่อน

      Jaman dr mawasiliàno