TEZI DUME NA DALILI ZAKE.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • __
    Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
    Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
    *******************************************
    Share, Support, Subscribe!!!
    Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
    TH-cam: / hzbtv
    Twitter: / harakatizabongo
    Facebook: / harakatizabongo
    Instagram: / harakatizabongo
    Google Plus: plus.google.co...
    Website: harakatibongo.com/

ความคิดเห็น • 68

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 5 ปีที่แล้ว +5

    Ahsante doctar kwa ufafanuzi wako mzr mungu akubariki sana

  • @MagdalenaFredrick
    @MagdalenaFredrick หลายเดือนก่อน

    Nakupata vip

  • @salamaabdallah161
    @salamaabdallah161 3 ปีที่แล้ว +1

    Dr Yuko vzr sana hongera kaka

  • @frumencmsonga5217
    @frumencmsonga5217 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa kujua hili. Upo wapi? Naomba mawasiliano

  • @MariamuMdenfyuma
    @MariamuMdenfyuma 13 วันที่ผ่านมา

    Daktari naomba namba yako baba angu anateseka sana na tezi dume

  • @meshackjohn7798
    @meshackjohn7798 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nakojoa mara kwa mara hususani usiku

  • @shewaimusa7065
    @shewaimusa7065 2 ปีที่แล้ว +1

    Naomba no simu

  • @Khadija-p7f
    @Khadija-p7f หลายเดือนก่อน

    Doctor nipe namba zako naitaj huduma yako

  • @Khadija-p7f
    @Khadija-p7f หลายเดือนก่อน

    Baba angu anaumwa tenz dume

  • @hussenibahati578
    @hussenibahati578 ปีที่แล้ว

    Sasa nakuonaje mkuu

  • @petersongo8155
    @petersongo8155 2 ปีที่แล้ว +2

    Sasa nimeielewa kuhusu tezi dume

  • @joelsylvester1489
    @joelsylvester1489 2 ปีที่แล้ว +2

    NAMBA YA SIMU DAKTARI NAIOMBA

    • @GloryPaul-b5f
      @GloryPaul-b5f 2 หลายเดือนก่อน

      Nicheki nikupatie dawa

  • @tausiferuzi9098
    @tausiferuzi9098 2 ปีที่แล้ว +1

    Doktar namba

  • @makuogo17
    @makuogo17 ปีที่แล้ว

    Dawa za tezi dume ni zipi

  • @masanamasana2937
    @masanamasana2937 8 หลายเดือนก่อน

    Habar

  • @pepenelimited2627
    @pepenelimited2627 ปีที่แล้ว

    Tulenini Dr tuwe salama?

  • @ericksummary9722
    @ericksummary9722 4 ปีที่แล้ว +1

    Hello

  • @WachSamaki
    @WachSamaki 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba yako dactari

  • @yassinimakowa1793
    @yassinimakowa1793 4 ปีที่แล้ว +2

    Dactari naomba mawasiliano yako maana kwa maelezo uliyoyatoa mm ntakuwa na maambukizi ya bacteria je tiba ni ipi?

    • @harounramadhan2831
      @harounramadhan2831 4 ปีที่แล้ว

      yassini makowa USHAURI JUU YA TEZI DUME NA TIBA YAKE ASILIA
      Uvimbe wa tezi dume sio ngiri wala mshipa wala busha
      ni uvimbe wa tezi inayozunguka njia ya mkojo.
      Tezi dume ikivimba huathiri mfumo wa mkojo kwa sababu hubana njia ya mkojo.... hivyo mkojo unapita kwa shida na unabakia kwenye kibofu(urine rention)
      MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME NI.
      1. KUHARIBIKA KWA FIGO NA INI.2. KUATHIRIKA KWA INI KWA SABABU YA SUMU NYINGI KUBAKI MWILINI.
      3,UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
      4 CANCER YA TEZI DUME(hatari kubwa zaidi ya uvimbe wa tezi dume ni kansa ya tezi dume(peostate cancer)
      za usiku.
      ZIFUATAZO NI DALILI ZATEZI DUME.
      1.Kukojoa mara nyingi wakati wa usiku Mara Tatu au Zaidi
      2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
      3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio kama zamani
      4.unatumia muda mrefu kamaliza mchakato wa kukojoa.
      5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
      6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
      7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana..
      UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE UNA TEZI DUME ILIYOVIMBA.
      TIBA ASILIA NI PROSTATE RELAX
      Ni mitishamba ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana maelezo na ushauri na kupata huduma piga(0712126669)
      (0765084330)

    • @yassinimakowa1793
      @yassinimakowa1793 4 ปีที่แล้ว

      Sawa....nn tiba yake au mpaka operation?

    • @harounramadhan2831
      @harounramadhan2831 4 ปีที่แล้ว

      yassini makowa Hapana ndugu unatumia tu bidhaa unapona kaka

    • @drsadiki
      @drsadiki 3 ปีที่แล้ว

      Tezi dume inatibika 0657637279

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 ปีที่แล้ว

      Nicheki WhatsApp +255768682832 nikusaidie

  • @asamohmohamed9842
    @asamohmohamed9842 4 ปีที่แล้ว +3

    Baba angu ana dalili za tezi dume ana miaka 61 vp daktari mm upo uwezekano wakuipata tezi dume nina miak 17 saiv

    • @alikhamis2013
      @alikhamis2013 4 ปีที่แล้ว

      upo chamsingi uwe makini kupima kila mwaka ukifikia miaka 35 na kwendelea

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 ปีที่แล้ว

      Nicheki WhatsApp +255768682832 nikusaidie

    • @jorusylsamson3362
      @jorusylsamson3362 5 หลายเดือนก่อน

      mda bado kijana. uchunge tu mambo ya kaawaida

  • @leonardpeter9827
    @leonardpeter9827 2 ปีที่แล้ว +2

    Ukinywa uji au maziwa au maji mengi utakojoa zaidi ya mara tatu kwa siku

    • @maudassi881
      @maudassi881 2 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo ukinywa maji mengi na ukawa unakojoa mara Kwa mara ujue ni tezi dume au

  • @harirymussa641
    @harirymussa641 3 ปีที่แล้ว

    Doct mm nko na shida ya mkojo nakojoa mara kw mara na nina miaka 24 tu

    • @jorusylsamson3362
      @jorusylsamson3362 5 หลายเดือนก่อน

      nadhani ni swala la kupima tu kiongozi? ulipata majibu gani?

  • @isumbizeyn983
    @isumbizeyn983 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba namba ya huyu Doctor kwa ajili ya matibabu

    • @harounramadhan2831
      @harounramadhan2831 4 ปีที่แล้ว

      Isumbi Zeyn Kuhusu tezi dume upasuaji kiongozi karibu (0712126669)/0765084330)

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 ปีที่แล้ว

      Nicheki WhatsApp +255768682832 nikusaidie

  • @wontermelona5895
    @wontermelona5895 4 ปีที่แล้ว +3

    mpo wapi na vipimo bei gani

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 ปีที่แล้ว

      Nicheki WhatsApp +255768682832 nikusaidie

  • @rugonderwaga6128
    @rugonderwaga6128 5 ปีที่แล้ว

    dokta umefafanua vzr

  • @maryamramadhani292
    @maryamramadhani292 3 ปีที่แล้ว

    Mgonjwa akifikia hatua yakukojoa damu yafaa kufanyiwa upasuaji

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 ปีที่แล้ว

      Nicheki WhatsApp +255768682832 nikusaidie kma una tatizo

  • @yassinshaban1587
    @yassinshaban1587 5 ปีที่แล้ว +1

    Damu kushindwa kufika kwenye uume hivyo kusababisha uume kutosimama imara hiyo inasababishwa na nn, Doctor

    • @harounramadhan2831
      @harounramadhan2831 4 ปีที่แล้ว

      Yassin Shaban Mr shaabani (0712126669) upate bidhaa yakufungua mishipa midogo ya uume ili damu itembee vizuri

    • @mdmurologyspecializedhospi6509
      @mdmurologyspecializedhospi6509 4 ปีที่แล้ว +2

      MAGONJWA MENGI, KWA USHAURI NOO LIZED HOSPITAL

    • @allmsuya2305
      @allmsuya2305 3 ปีที่แล้ว

      Mnapokea Bima

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 ปีที่แล้ว

      Nicheki WhatsApp +255768682832 nikusaidie

    • @peterboa8862
      @peterboa8862 11 หลายเดือนก่อน

      ​@dr_tinnerh

  • @edsonntawiha3641
    @edsonntawiha3641 4 ปีที่แล้ว +1

    doctor ...ninatazizo la mkojo kutoka kidogo kidogo hata nikiwa nimexhatoka kukojoa muda huo huo cjui itakuwa ni dalili pia

    • @janethhangaya4877
      @janethhangaya4877 3 ปีที่แล้ว

      Ndio Dalili zake

    • @nice_kitchenstore
      @nice_kitchenstore 3 ปีที่แล้ว

      Nicheki WhatsApp +255768682832 nikusaidie

    • @afyayangutime8738
      @afyayangutime8738 3 ปีที่แล้ว

      Nitafute 0622831991 nikusaidie tatizo lako na wengi wamepona walio na shida kama yako

    • @tahirnephessalum3678
      @tahirnephessalum3678 2 ปีที่แล้ว

      @@afyayangutime8738 naitaji dawa

  • @hussenibahati578
    @hussenibahati578 ปีที่แล้ว

    Sasa mimi nikisha kunywa maji ndani yanusu saa naweza kojoa zaidi ya mala 8paka.kumi sasa iii sii ndoo. Daliliyenyewe ee

    • @jorusylsamson3362
      @jorusylsamson3362 5 หลายเดือนก่อน

      nadhani ni swala la kupima tu kiongozi? ulipata majibu gani?

  • @fatmab8juma541
    @fatmab8juma541 5 ปีที่แล้ว

    dokta naomba unifahamishe eti tenzi dume inafatana na saratani? Naomba ufafanuzi

  • @amourhaji8249
    @amourhaji8249 4 ปีที่แล้ว

    Weka namba yako yako tukutafute

    • @harounramadhan2831
      @harounramadhan2831 4 ปีที่แล้ว

      amour haji Habari kiongozi kuhusu changamoto ya tezi dume naomba tuwasiliane (0712126669)

    • @harounramadhan2831
      @harounramadhan2831 4 ปีที่แล้ว

      amour haji tatua changamoto ya tezi dume bila upasuaji(0712126669)

    • @harounramadhan2831
      @harounramadhan2831 4 ปีที่แล้ว

      amour haji USHAURI JUU YA TEZI DUME NA TIBA YAKE ASILIA
      Uvimbe wa tezi dume sio ngiri wala mshipa wala busha
      ni uvimbe wa tezi inayozunguka njia ya mkojo.
      Tezi dume ikivimba huathiri mfumo wa mkojo kwa sababu hubana njia ya mkojo.... hivyo mkojo unapita kwa shida na unabakia kwenye kibofu(urine rention)
      MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME NI.
      1. KUHARIBIKA KWA FIGO NA INI.2. KUATHIRIKA KWA INI KWA SABABU YA SUMU NYINGI KUBAKI MWILINI.
      3,UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
      4 CANCER YA TEZI DUME(hatari kubwa zaidi ya uvimbe wa tezi dume ni kansa ya tezi dume(peostate cancer)
      za usiku.
      ZIFUATAZO NI DALILI ZATEZI DUME.
      1.Kukojoa mara nyingi wakati wa usiku Mara Tatu au Zaidi
      2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
      3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio kama zamani
      4.unatumia muda mrefu kamaliza mchakato wa kukojoa.
      5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
      6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
      7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana..
      UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE UNA TEZI DUME ILIYOVIMBA.
      TIBA ASILIA NI PROSTATE RELAX
      Ni mitishamba ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana maelezo na ushauri na kupata huduma piga(0712126669)
      (0765084330)