MAPYA YAIBUKA, JERRY SILAA AWAANIKA MATAPELI WA UVAMIZI WA 'ARDHI' DSM, 'WAWILI TUNAWAFANYIA KAZI'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 42

  • @stevenkyando7364
    @stevenkyando7364 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera wazili hiyo kazi inakufaa sana mingu akutangulie Kwa Kila utendalo kwa kutenda haki

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 6 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu mtoto Jerry tunamuombea sana MUNGU akulinde jerry

  • @mocomoja4229
    @mocomoja4229 6 หลายเดือนก่อน +2

    Pongezi kubwa kwa wazir wetu kwa kazi nzuri anayofanya

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 6 หลายเดือนก่อน +2

    Viongozi wa mama samia hogereni kwa kazi mzuri 👏🙏👍

  • @Gracemima
    @Gracemima 6 หลายเดือนก่อน +1

    Dr Slaa Mungu akulinde kwa kusaidia wanyonge. Watu wanateseka sana kwa dhuluma. Tanzania ni nchi ya haki, lakini kuna majambazi wachache waliiteka haki za watanzania kwa kutumia mabavu.

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 หลายเดือนก่อน

      Hivi naye huyu ni Dr?

  • @geofreykayombo401
    @geofreykayombo401 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri,sana

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde kwa kazi nzuri unayoifanya kwa kutetea haki za watu

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 6 หลายเดือนก่อน +2

    Pambana mungu yupo karibu yako

  • @AminaAminjay-dv8tr
    @AminaAminjay-dv8tr 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ipo siku na mimi mtanifkia nipate haki yangu,

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 6 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa hongera sana nataka kujua dodoma mnaanza lini operation hii

  • @josephmtulo9385
    @josephmtulo9385 6 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi huyu nimekubali Sana tukimpa nchi tutafika mbali Sana acha tumuandae🤗

  • @shebemama7784
    @shebemama7784 6 หลายเดือนก่อน

    Naipenda serekal ya tanzania inatetea haki ya wanyonge burundi watapeli ningi sana

  • @keitatv9219
    @keitatv9219 6 หลายเดือนก่อน

    Saf sanaa

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ananikumbusha Uncle MAGU kipindi alikuwa Waziri wa Ujenzi. No-nonsense Leader, ila ajilinde kweli, kudili na watu WAZITO ni Hatari.!

  • @ludovickbenjamin6104
    @ludovickbenjamin6104 6 หลายเดือนก่อน

    Ivi kuna kitu sijaelewa vizuri,
    Wakati mimi nimeuziwa kiwanja na sijui kama kiwanja alitapeliwa mtu au alizurumiwa mtu, nikaja kuuziwa mimi, nimejenga nyumba yangu kwanini kabla ya kumkamata aliyeniuzia mimi kiwanja mnakuja kuvunja nyumba yangu?

    • @blackyonkou6004
      @blackyonkou6004 6 หลายเดือนก่อน

      Jukumu la kuhakikisha uhalali wa kiwanja ni lako mkuu, jitahidi sana kufanya vitu kihalali. Yani waanze kufukazana na watu wakati haki ya mtu imekaliwa?!...haki huinua Taifa.

  • @magrethmeela154
    @magrethmeela154 5 หลายเดือนก่อน

    Matapeli wa ardhi mza ni shoham developers property.kwa majina yake ni Godson Somanga.

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana waziri silaa

  • @ombeniibawa4481
    @ombeniibawa4481 6 หลายเดือนก่อน

    Dodoma mtaa wa mndani kata ya Ndachi,ulisema utarudi kutatua mgogoro wa ardhi,tunakusubiri Mh.Jerry Slaa

  • @AminaAminjay-dv8tr
    @AminaAminjay-dv8tr 6 หลายเดือนก่อน

    Nakupongeza kwa hilo

  • @mwanamwendy9265
    @mwanamwendy9265 6 หลายเดือนก่อน

    Kuna madalali pia matapeli wanao uza viwanja vya watu, na wanaonunua ni mwenye pesa, unapokuja kufuatilia unaonekana huna haki, sababu huna pesa, hii inaumiza Sana, Ungekuja na Dodoma

  • @iantussa9064
    @iantussa9064 6 หลายเดือนก่อน

    Utashangaa waziri mtenda haki kama huyu anahamishiwa kwingine.hii nchi

  • @Ambwene
    @Ambwene 6 หลายเดือนก่อน

    Weka namba ya simu muheshimiwa hata za wasaidizi zako

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 6 หลายเดือนก่อน

    Saf sana

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 6 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa sasa umeanza kunifurahisha

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 6 หลายเดือนก่อน

    Kwanin hao watumishi walio ghushi hati mushi hawakamatwi

  • @Don_Saleh_
    @Don_Saleh_ 6 หลายเดือนก่อน

    🙏🏻

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtangazaji anaongea kama mama SSH

  • @rajabusaimon7662
    @rajabusaimon7662 6 หลายเดือนก่อน

    Wazili unajitoa sana kufanya kaz Anza nakushugulika na watendaji wa selikali wanao shilikiana nao nao muwape azabu kali

  • @shelevision
    @shelevision 6 หลายเดือนก่อน

    NJOO NA MWANZA, KUNA MAGURU WA WIZI HUKU WA VIWANJA VYA WATU

    • @shelevision
      @shelevision 6 หลายเดือนก่อน

      INATIA MOYO SANA

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 6 หลายเดือนก่อน +2

    ira kaka mushi unamuogopa sana maana naona uwezi sema bira kumutaja inaonekana mushi ninoma yani naona kakisiri saaana

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 6 หลายเดือนก่อน +2

      Ila Sio ira

    • @abdirizakibrahim1975
      @abdirizakibrahim1975 6 หลายเดือนก่อน +2

      Nani kakudanganya mushi anaogopeka

    • @benobuyoya8675
      @benobuyoya8675 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mushi ni msumbufu na ndiyo akiyevamia kwa nyerere, msasani na kufyatualia matofari

    • @Ambwene
      @Ambwene 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mushi mchumba tuu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉​@@syliviakente9460