VIDEO: MAAMUZI YA WAZIRI SILAA YALIVYOMTOA MACHOZI MZEE HUYU "ASITISHA KUFUTIWA HATI YA UMILIKI".

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 231

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 6 หลายเดือนก่อน +20

    Huyu ndio kiongozi ambae nimeanza kumkubali mungu akusimamie kwenye haki uweze kuifuata

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 7 หลายเดือนก่อน +16

    Tuna mshukuru mama alie kuzaa jaman wanawake wenzangu msitoe mimba mnaona vichwa hivyo je angetolewa akatupwa, Mungu awalinde sana ww na Makonda Mungu amuongezee umri Mama yetu Samia kwa kuwaona vijana mnafaa

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 7 หลายเดือนก่อน +14

    Umefanya la mana .ingekua sio vizuri kumnyang'anya kiwanja chake.mungu akulinde

  • @edwingideon3606
    @edwingideon3606 6 หลายเดือนก่อน +16

    Safi sana, ukimaliza hii kazi wakupe uwaziri wa madini, Alafu waziri Mkuu, makamu wa rais

  • @oscarmkumbo7451
    @oscarmkumbo7451 8 หลายเดือนก่อน +18

    Hongera sana Mh. Slaaa kwa Hekima kubwa inayoonesha kwenye maamuzi magumu, kuna sehemu nakuona ni muda tu Mungu akubariki sana.

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hingera gani hao nguruwe uyo jamaa awatoe tuu ,kama hawakupuliziwa sumu sijui,,sasa serkar ya eneo husika,,wananchi uyo atahama baada hasara,

  • @MichaelEliyahu
    @MichaelEliyahu 8 หลายเดือนก่อน +17

    Silaa Mungu akubariki kwa busara ulio itumia kwa Mzee kajuna umeonyesha utu hata Mimi nakupongeza maana umeonyesha uwezo wako na huruma zako navilevile Mzee huyu moyo umejaa unyenyekevu

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 8 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe kinyesi cha nguruwe hasa wakati wa mvua hukijui ,hatufu yake siii mchezo ila kwa vile uko mbali utafulai ,lakini uyo mzee awe makini hao nguruwe atawakosa wote na huyo wazili hato msaiidia kitu ,,,cha msingi awahamishe tu

  • @shamimukanju8402
    @shamimukanju8402 7 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera mh.Rais mama yetu Samia umetulelea jembe .mh.Jerry anatumia busara nyingi na hekma Mwenyeeezi Mungu awape maisha marefu

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo3839 8 หลายเดือนก่อน +22

    Walio fanikiwa kimaisha wanaonekana wanaroho mbaya kumbe wanapitia mitihani migumu sana🙏🙏🙏🙏

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akulinde waziri. Uschoke kutusaidia wanyonge.

  • @benlaizer9936
    @benlaizer9936 8 หลายเดือนก่อน +20

    Hekima ya Jerry ni tofauti sana!! Mungu akulinde kiongozi wetu

  • @nicksontweve9528
    @nicksontweve9528 8 หลายเดือนก่อน +7

    Very humble, Mzee anabusara sana,

  • @yasiniselemani8672
    @yasiniselemani8672 8 หลายเดือนก่อน +13

    safi sana waziri pia mzee anabusara sana mungu mbariki waziri wetu aendelee kuwa na busara kama hizi 🙏☝️

    • @lukemelyemwenga2910
      @lukemelyemwenga2910 2 หลายเดือนก่อน

      Mzee ana busara kanifanya nmejisikia amani😊

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 6 หลายเดือนก่อน +3

    mashalllah mungu azidi kumpa afya na hekima zaidi anaubinadamu amempa coice ya kubadilisha biasara haja mfutia hati miliki

  • @kayombotv9758
    @kayombotv9758 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mheshimiwa Waziri hongera sana na Mungu Baba akulinde uje na huku Tabata wengine maeneo ya makazi ya watu wamebadilisha matumizi na kujenga shule na viwanda ni makelele tuu mtu akilalamika kuhusu makelele wanamwona mkorofi na matusi juu. Wenye viwanja huwapangisha wengine na siyo wenye viwanja. Kwa kweli Mheshimiwa tunaomba Wizara yako ifanye ukaguzi wa kupitia viwanja hivyo muone jinsi vinavyotumika. Mara nyingi watendaji wa Mitaa na Kata hawatimizi wajibu wao kiuaminifu wanakuwa wagumu kutoa maamuzi sahihi utaona mara nyingi wanawaunga mkono wanaovunja sheria hapo ndipo ninaposhindwa kuelewa sasa tutafika wapi maana hakuna sehemu pa kukimbilia.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 8 หลายเดือนก่อน +6

    Asante sana kiongozi, mtu abaki na umiliki wake, atajua la kufanya

  • @sangajaffar7419
    @sangajaffar7419 6 หลายเดือนก่อน +3

    Big up mheshimiwa silaa kazi yako nzuri sana mwenyezi mungu akubariki sana

  • @jamesalbert7435
    @jamesalbert7435 8 หลายเดือนก่อน +9

    Kiongozi ameonyesha uwezo wake wenye kujali utu lakini pia anazo busara nyingi. Mungu ambariki.

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu mb'arik sana uyu waziri dogo umpe Longlife slaa..tunataka viongozi hawa.. kujenga taifa n cyo ubavu .. wisdom it's hard to b,, gombea urais 2030 na nakupa urais wa Tanzania 2030 .Makonda wazri mkuu 2025.na makam rais 2030.tundu lisu waziri mkuu.zotto waziri fedha.etc..ni mda tuijenge Tanzania kwa umoja dam changa.. Magufuri yupo hai ndani ya vjana wenye thamana ya nchi

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 8 หลายเดือนก่อน +11

    Mzee Ana busara wazir Ana busara ndomana muafaka umekuwa mzr.

  • @DominicDonald-t2h
    @DominicDonald-t2h 4 หลายเดือนก่อน

    Waziri Silaa Mungu akubariki kwa kazi yako iliyotukuka na Mungu akuepushe na maadui katika kazi yako unayoifanya kutoa haki za Wa Tanzania

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle4207 7 หลายเดือนก่อน +4

    Waziri hongera sana kwa msimamo wako , karibu yambo vituka mzambarauni Temeke kuna kiwanda kimejengwa kwenye makazi ya watu tunakuomba mheshimiwa.

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee kakiri kosa japo alifanya makosa, waziri muungwana sana tena sana, kwa hii familia wote kura kwa mama samia❤

  • @kennedykassian5269
    @kennedykassian5269 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kiukweli nimependa unyenyekevu wa huyo mzee kuna somo la kujifunza kwake inaonekan ni boss mzuri San kw wafanyakazi wake..Mungu ambariki tuzidi kutenda wema jamani hata kama kw kiasi kidogo

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 8 หลายเดือนก่อน +16

    Tangu tumekua na mawaziri huyu ndio waziri niliyemkubali na ninakupa nyota 5 waziri slaaa

  • @SaidiMninga
    @SaidiMninga 5 หลายเดือนก่อน +1

    mheshimiwa silaa nimekukubali sana karibu nadodoma tunazulumika nahatuna pakukimbilia njoo utusaidie ndanci tunashida sana namigogoro yaaridhi

  • @elianifammari3212
    @elianifammari3212 8 หลายเดือนก่อน +3

    Asante doctor slaaaa

  • @RamadhanMwawila-n5l
    @RamadhanMwawila-n5l 6 หลายเดือนก่อน

    WAZIRI SLAA! WEWE MUNGU AKUJAALIE KUTENDA HAKI. HAKIKA WEWE NIKIELELEZO CHA KIONGOZI BORA. SIO BORA KIONGOZI. MUNGU AKUPE AFYA In Shaa Allah.

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 8 หลายเดือนก่อน +9

    90 days is reasonable. 30 days sio fair hata kama kakiuka mkataba but ni mfanya biashara mzuri

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 8 หลายเดือนก่อน

      Hujui kitu

    • @sakinaomary7207
      @sakinaomary7207 8 หลายเดือนก่อน +1

      ungeishi karibu na hiyo harufu usingesema hivyo

    • @caltongenmercantile4651
      @caltongenmercantile4651 8 หลายเดือนก่อน

      @@sakinaomary7207 nadhani hata hazitoshi kugharimia ujenzi wa mabanda na miuondo mbinu ya kutosha hiyo mifugo sio mchezo kwa bajeti ambayo hukuwa na mpango nayo ... tunaijua adha lakini myonge mnyoneni...................

    • @emanuelayubu5021
      @emanuelayubu5021 7 หลายเดือนก่อน

      umelszimishwa kuishi hapo? kama unaona busara za waziri hazifai basi hama wewe, msitusumbue na mambo ya udini​@@sakinaomary7207

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 7 หลายเดือนก่อน +3

    Pana udini hapo ubalikiwe sraa uko vizuri mawazili igeni hii

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 6 หลายเดือนก่อน +1

    huyu mwenye koti jeusi kafanana na Waziri, atakuwa ndugu yake ila WAZIRI YOU ARE THE GREAT

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 5 หลายเดือนก่อน

      Wamefanana vichwa makomwe wapo vzr

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 7 หลายเดือนก่อน +2

    Saiv huyu jamaa ndo icon yangu

  • @kashindemohamed3924
    @kashindemohamed3924 8 หลายเดือนก่อน +6

    Very diplomatic 👏👏👏

  • @daniel.shao.9028
    @daniel.shao.9028 7 หลายเดือนก่อน +1

    Busara na hekima mingi mingi.....Mwenyezi Mungu akuzidishie hekima ktk kazi zako muheshimiwa waziri....viongozi waelewe kila jambo liamuliwe kulingana na mazingira yake.

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 8 หลายเดือนก่อน +15

    Nguruwe ni watamu sana jamani tuacheni utani

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 8 หลายเดือนก่อน

      Kwenye makaz ya watu ni mateso wallahi

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 8 หลายเดือนก่อน

      Watamu ww acha mateso kila mtu anauhuru wa eneo lake

    • @martinchambala9399
      @martinchambala9399 8 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli kwenye makazi ya watu n mateso sana kelele na harufu acha kabisa lakini nyama yake sasa ule sio utamu weee

    • @asifreds8787
      @asifreds8787 8 หลายเดือนก่อน

      haram. faida yake ukishakufa

    • @binseif2216
      @binseif2216 8 หลายเดือนก่อน

      Makafari wanakula nguruwe

  • @lukemelyemwenga2910
    @lukemelyemwenga2910 2 หลายเดือนก่อน

    Hekima za ajabu kabisa,,, Sasa jamani mama tuachie huyu kwenye ardhi jmnii, huku kwenye ardhi inahitaJika mtu wa namna hiii,, hongera Sana HON JS

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri ngeshimiwa

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 8 หลายเดือนก่อน +13

    Unakuta kajirani kanakereka mwenzie kupata maokoto kenyewe kana mbuzi mbili

    • @desolz3809
      @desolz3809 8 หลายเดือนก่อน +1

      Nini mbuzi pengine kana paka shume jeusiiii

    • @JennyJma
      @JennyJma 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@desolz3809😂😂😂😂😂eti kana paka shume jeusi

    • @desolz3809
      @desolz3809 8 หลายเดือนก่อน

      @@JennyJma 🤣🤣🤣

    • @anithiajohn9209
      @anithiajohn9209 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @naimatemba8061
      @naimatemba8061 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

  • @PascasMathew
    @PascasMathew 7 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo wazir ndie alikuwa ahitajika tangus siku nyingi Mungu akubariki wazir . Ameonyesha njia hata kwengine

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana MH Jerry slaaa yaani inaboa hata mbezi Luis watu wanafuga mikuku sehemu zenyewe ndugo yaani magonjwa kila siku

  • @emanuelkilangilo5585
    @emanuelkilangilo5585 8 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu waziri namuombea MUNGU ajekuwa hata Raisi kumbe viongozi Bado tunao🙏👍

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 8 หลายเดือนก่อน

      Yaani Nami naamini hivyo, WAPO, WAPO, WAPO.
      HUYU JAMAA AKIENDELEA HIVI, ATAFIKA MBALI KIUONGOZI

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 8 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri wa namna hii ni nadra sana nchi.Jambo limeisha kirahisi tu.HEKIMA tu.

  • @JairosJulius
    @JairosJulius 8 หลายเดือนก่อน +3

    Wa kwanzaaa nipeni like

  • @MakalaPlus
    @MakalaPlus 2 หลายเดือนก่อน

    Rais Samia Anajua watu wanaoweza ndio maana akamteua Mbobezi J. Slaa. Mama Samia you're the best president

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo3839 8 หลายเดือนก่อน +5

    Utajiri simchezo nivita kubwa

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 8 หลายเดือนก่อน +10

    Aweke chokaa kwenye mabanda harufu itaisha. Wivu tuu mnataka akaibe?? Kila mtu afuge nguruwe bana. Alaa!!!

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 6 หลายเดือนก่อน

    Yani Jerry nimejikuta nampenda kwa ungwana wake yani kazi yake ansitendea haki kwakweli

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kama tatizo harufu hata hapa mazizini harufu mbaya sana aseey pande za Dar salamu mliangalie ngozi zinatema sana aseey hamulioni dah😢😢😢

    • @froma3732
      @froma3732 8 หลายเดือนก่อน

      Harufu ni tattoo lkn kubwa ni kuwa Sehemu sio ya kufuga mtu anakosa hlf Sheria ikiamua unasema umeonewa

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 7 หลายเดือนก่อน

    Jerry unaongea kaka kwa makini kweli nakupenda sana yaani wewe umesoma kweri jimbo lako limepatia sasa

  • @RojahKamalza-lw3ls
    @RojahKamalza-lw3ls 8 หลายเดือนก่อน +3

    Barikiwa mh

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 7 หลายเดือนก่อน +2

    Tukipata watu 100 kama silaa na 100 kama makonda basi tutanyooka zaidi ya rula!

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 8 หลายเดือนก่อน

    Mbunge wangu na Waziri Mungu aendelee kukutunza na kukuongoza Amina

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu afisa mpuuzi, ina maana ufugaji ama kilimo siyo biashara? Kasomea wapi huy? Asante waziri kwa kuliona hili. Huo ulikuwa ni wivu tu na wala sio kitu iingine, wanataka biashara yake ikwame!

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 8 หลายเดือนก่อน +2

    Machinjio nazo zikae kando na makazi maana harufu mbaya sana aseey

  • @evaemil856
    @evaemil856 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri Slaa yuko makini sana na anatumia haki na sheria. Pia ni pole hatumii kiburi kutatua mambo. Anafaa kuendelea na uwaziri hata katika serikali mpya itakayoongozwa na CHADEMA or any other chama kama itatoka 2025.

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493 7 หลายเดือนก่อน

    Viongozi kama hawa ni wachache sana Tanzania, endelea mkuu, Mungu ndo peke take atakayekulipa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 หลายเดือนก่อน +1

    MAMA SAMIA ASIKUBADILISHE KABISA.

  • @benedictmgale264
    @benedictmgale264 7 หลายเดือนก่อน +1

    Katika Waziri ambaye Raisi yoyote atakayekuwepo madarakan hatakiwi kufanya kosa la kumtoa ni Jerry Silaa,ana hekima sana huyu mtu,mchapakazi na hana tamaa na hela!

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 8 หลายเดือนก่อน

    Hapo sawa mheshimiwa,aanza saa hii usifukue makaburi utaharibu sifa yako,ulianza vibaya kutaka kufufua makaburi,ila nakupongeza ni kama umesoma upepo ulivyo,huu ndio uongozi bro,sio kuwa harsh na vitu ulivyovikuta

  • @LevinaMichael-oy8cu
    @LevinaMichael-oy8cu 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mm ninajilani yangu alikuwa ananguruwe wawili tu walikuwa nishida asikwambie mtu tena kama kipindi cha mvua nihatari

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 6 หลายเดือนก่อน

    Tunao mkubali Waziri slaa gonga like hapa🎉🎉🎉❤

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 8 หลายเดือนก่อน +6

    nguruwe hawana muda wanainjo tuu kwa raha zao

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi iendelee

  • @ramsohouse2838
    @ramsohouse2838 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    List ya viongozi wangu hyu wa pili wakwanza majaliwa wapili silaa

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtumishi wa serikali anaetoa maelezo anaonekana anawivu tuu😅😅😅 udini😅😅

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri Silaa ana utu ni muungwana

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ivo kwenye ufugaji kibari Chann. Mimi. Sijui chochote

    • @SalmaBinyaga
      @SalmaBinyaga 6 หลายเดือนก่อน

      Tulia bac

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 หลายเดือนก่อน

    Ila kiukweli nguruwe na hata kuku wengi wa biashara wana harufu mbaya sana.
    Awapeleke mbali tu huko

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu slaa huyu ni kiongozi kwelikweli

  • @julianamasato5655
    @julianamasato5655 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ukweri nguruwe wanakera jamani

  • @MaedaMm
    @MaedaMm 5 หลายเดือนก่อน

    Sijui uzazi bado ninao nibahatishe kuzaa uenda nikapata mtoto wa kiume nimuite jerry

  • @Respicius
    @Respicius 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana nyote mmeongea kwa Busara sana

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493 5 หลายเดือนก่อน

    Bila shaka we ndo waziri pekee wananchi wanaoona unachokifanya

  • @temiluyangi6343
    @temiluyangi6343 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani nguruwe wenyewe wanasemaje

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂
      Kama watashindwa kijieleza jee
      Sijui itakuwaje

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Waziri wapo wengi kama hao apeleke polini huko

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 8 หลายเดือนก่อน +1

    Lugha ya taifa kiswahili hati ni ya kingereza

    • @samsonkivuyo9548
      @samsonkivuyo9548 8 หลายเดือนก่อน

      Lugha ya kingereza bado ni lugha ya kiutendaji serikalini, sheria nyingi na nyaraka nyingi bado zimeandikwa kingereza

  • @davidkorduni6176
    @davidkorduni6176 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefurahisana mh waziri Kwa hatua uliyochukua, ubarikiwe Kwa hekima uliyotumia.

  • @Mbogo-b9o
    @Mbogo-b9o 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa

  • @ibrahimkhamis7010
    @ibrahimkhamis7010 5 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa tunakupenda sana kwa utendaji wako,lkn kuna ambao wanakurejesha nyuma wako,hasa kadhia ya pale kariakoo kitalu 8 nyumba no.4 kiwanja no. 10 mtaa wa manyema inakuchafua sana kwayale yanayotendeka pale,Wanasema bila kujali kwamba kauli zako nisiasa

  • @NINOTv_tz
    @NINOTv_tz 3 หลายเดือนก่อน

    Msaada no ya waziri

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi nak uombea tu uishi miaka 10000😊

  • @lukemelyemwenga2910
    @lukemelyemwenga2910 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee ni msstaarab na mnyenyekevu

  • @mgosimanyara5650
    @mgosimanyara5650 8 หลายเดือนก่อน +1

    Safi muheshimiwa hiyo haitoshi itungwe Sheria yakuwasfirisha usiku maana hayomavitu yanaharufu mbaya sana yakipitishwa na magari mijini

  • @ACLESSJABRINE
    @ACLESSJABRINE 8 หลายเดือนก่อน

    Waziri Bora Tanzania

  • @zonko0488
    @zonko0488 8 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa kiongozi mzuri eh?

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nchi yetu popote tunaishi ujirani mzina baa utasikia mtaa ule umechangamka😂😂😂😂

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 5 หลายเดือนก่อน

    HUYU ANATAKIWA AWE WAZIRI MKUU

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 7 หลายเดือนก่อน

    Ni sehemu nyingi ya makazi ya watu wanafuga hao wanyama katikati ya jamiii inakera saana harufu nyingi ukiwa nyumbani lazima ufunge MILANGO na madishira ukuongea unaonekana una wivu

  • @maimunakassim8413
    @maimunakassim8413 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Kaka silaa

  • @michaelgilbert1531
    @michaelgilbert1531 8 หลายเดือนก่อน

    Anafuga vipenzi vyetu ndio maana msamaha umetoka Kwa udhamini wa ndizi rost😂

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 6 หลายเดือนก่อน

    Moja ya Waziri nayemkubali kwa Sasa asaidie watu

  • @vincentvitalius9346
    @vincentvitalius9346 7 หลายเดือนก่อน

    Kama tungekuwa na mawaziri wa namna hii nchi ingesongambele sana

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 8 หลายเดือนก่อน

    Tusaidie maana kuna baadhi ya makanisa yako sehemu sio sahihi yanatupigia Sana kelele.

  • @edinamasawe5033
    @edinamasawe5033 8 หลายเดือนก่อน

    Naombeni namba ya waziri wa Ardhi, nina kero yangu

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 หลายเดือนก่อน

    Zitungwe sheliya huu ni sawa na ubakaji

  • @kombomtumbaya8040
    @kombomtumbaya8040 6 หลายเดือนก่อน

    Humble mnoo huyo mtu

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa BAR SI BIASHARA. BASI nyumba nyingi zitafutiwa umiliki maana never music halls nyingi kwenye makazi yenye watoto na familiar wagonjwa hawalaliiii he nazo zitachukuliwa hatuna gani

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 8 หลายเดือนก่อน +1

    SHERIA Z NCHI HAZIRUHUSU UFUGAJI MIJINI.

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 8 หลายเดือนก่อน

      ​@Maneno2023ukishakuwa mji yeye ndio anatakiwa ahame na wala c wakazi coz yy anakiwanja kimoja wakati maeneo yalibaki ni mengi na mji umeshakuwa mkubwa, kunamaenei zamani yalikuwa madampo lkn baada ya mji kukuwa ilibidi yafukiwe kuendane na mjini na dampo kusogea mbele zaidi

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 8 หลายเดือนก่อน

      @Maneno2023 kariakoo pale big bon.mtu aweke zizi la ng'ombe mia 500

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 8 หลายเดือนก่อน

    Lkn hao majirani walimkuta au aliwakuta?Sheria ilimkuta au aliikuta?

  • @ignatusrogerslema8650
    @ignatusrogerslema8650 8 หลายเดือนก่อน

    Mfugaji anahitaji msaada wa namna ya kufuga nguruwe bila kutoa harufu akijenga mabanda ya kisasa na njia sahihi ya kuosha mabanda harufu itaisha

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 8 หลายเดือนก่อน

      Na kelele nazo,tuelekeze pia njia za kuondoa kelele.