TRA Hawasumbui tu wafanya biashara wa Maduka nchini! Hata kwa wafanya biashara wa mazao wamekua tatizo kubwa sana. Wamekua wakisimamisha magari ya mazao na kutengeneza zengwe ilimradi wakutie pesa
Mifumo wazi ya sheria inahitajika sanaa kwa mara ya kwanza ndio najua kuwa faini ya efd ina asilimia tena inaangliwa thamani ya mzgo ndio upigwe hyo faini duuh tusio jua tunapigwa 1.5m huwenda kumbe n aslimia 15% ila wanafnya ni hela 1.5m
TRA Hawasumbui tu wafanya biashara wa Maduka nchini! Hata kwa wafanya biashara wa mazao wamekua tatizo kubwa sana. Wamekua wakisimamisha magari ya mazao na kutengeneza zengwe ilimradi wakutie pesa
Ndugu serikali gani iache kusimamia hiki haiwezekani.tunahitaji mifumo wazi na rafiki inayoendana na elimu yetu
Mifumo wazi ya sheria inahitajika sanaa kwa mara ya kwanza ndio najua kuwa faini ya efd ina asilimia tena inaangliwa thamani ya mzgo ndio upigwe hyo faini duuh tusio jua tunapigwa 1.5m huwenda kumbe n aslimia 15% ila wanafnya ni hela 1.5m
Mbona kariakoo tu mikoani waendelee ama?mana huku pia kuna watu twapewa maden ambayo hatuyaelewi nahatuna uwezo wakulipa pia
Kama haulipi ukamatwe tu
Unatakiwa kujiuliza kwanini watu wanakwepa iyo Asiliimia 18 usicoment tu kwa sababu una kabanto ka jero jiulize Kwanzaa
@@OlaisMoses we jinga sana huelewi, bando la jero umenunua