Huyu mzee ameongea vitu very critical tena kwenye uhalisia wake,inaonyesha jinsi gan viongoz wanakaa tu maofisini hawatak kujua kinachoendelea kwa mtanzania wa chini,na kama wanajua bas wametengeneza mifumo ya kupiga
Viongozi wana maslahi na hao wasiolipa kodi wanaokaa vibarazani! Serikali imelea hilo tatizo kwa kigezo cha wapiga kura wangu na sasa donda ndugu limetufuka
@@festokemibala5832 kabisa chief, ukiwa na kiduka chako hata uchochoroni TRA hao wakati kuna watu wanapiga mamilion kariakoo kwa kisingizio cha umachinga
Kuna shida nyingi. Kuna mfumo wa Kiletroni wa TRA ambao pia ni tatizo. Mfano PAYE unatakiwa ulipe 2,400/= ukichelewa kulipa panat ni 250,000/= na ukifungua kampuni ni na haifanyi kazi una penati mpaka milioni 5. kwa kutofili mauzo wakati biashara haifanyi kazi.
Kuna umuhimu CPA firms yani Certified Public Accountants firm kuungana na TRA kutoa elimu kwa wanabishara kuzielewa tax regimes(yaani sheria ya ushuru),tax enforcement procedures(muongozo wa ukaguzi wa ushuru katika ; mali(capital gain tax and other wealth tax),mapato(income tax,revenue tax(sales tax,output VAT)),expenditure tax(input VAT) and so on.Elimu ya ushuru(tax education and awareness) itasaidia walipa ushuru kukagua mali,mapato na matumizi yao na itasaidia voluntary compliance/walipa ushuru kujitolea kulipa ushuru. CPA Chilibasi.
TRA wafungue Duka lao tuone wanatishia raia hizo faini za million 12, wazilipe Tatizo shule wa Tanganyika serkali ilishindwa maduka y RTC leo mnadhulumu raia,warudishe RTC tuone wanatishia raia na mi police,
Na kweli ni mbaya maana kiongozi ameshinda kuwasimamia wafanya kazi wake. Ndio maana huenda tu masokoni kuchukua pesa za wafanya biashara sio kisheria.
Watu wanakimbia kulipa Kodi ,na kuajili machinga pemben ,kwasabab nchi hii mfumo wa Kodi haueleweki wanalipishwa Kodi zingne zisizoendana kabisa na mfumo wa kazi pili, Kodi inayolipwa haiendi kufanya Kaz serikalin Bali ni wizi tu huko ndio maana Kila siku tunasikia matukio ya CAG, kwahio wananchi wanaona ni ujinga kulipa Kodi zinazoenda kuibiwa na wao wanaona sio mbaya kuzikwepa japo pia zinakua zinakusanywa pasipo kuwekwa mpango mzuri zinazoendana na kazi, tatu ,shida zimejaa sana za wananchi kutotendewa au kutatua vitu vingi ktk nchi hii ndio maana wananchi na wao wanachukia wanaona kama hamna viongozi ndio maana wanaona hata uvivu wa kulipa Kodi kwasababu serikal haiwatendei haki ktk nchi ,kwani uongoz umegeuka kama sio zamana tena, Bali imekua kama sehem ya upigaji, maoni ya Hilo serikal iwafanyie watu mambo yalio mazur yanayoendana na watu ktk sekta mbali mbalia uone kama Kodi watakua wanakimbia yaan hawataweza kukombia Bali watakua wanawahibika wenyewe watu kulipa pasipo shulutisho ,maana watakua wanaona kua wanalipa kitu ambacho kinawalipa ktk mafanikio ya uendeshaji wa nchi na kutimiza mambo ya wananchi wote kama madawa, Maji ,Barbara nakazalika, kwa hio hayo ndio matatizo na Wala sio vingnevyo ,na yasipokua hayo kuwekwa sawa ujue yatakua yanaendelea matatizo yakulipa Kodi siku Hadi siku pasipo kukoma ,utajikuta panakua shwar kwa muda alafu yanaludi Yale yale
Wamachinga kwani mbona wanalipa kodi keani anavyo Nunua mzigo dukani mbona lisiti yake inakuwa. Amelipa kodi acheni chuki kwa wamachingaa maana mwisho mtakuwa. Kama kenya
Mwenyekiti maelezo yako ni mazuri nimekuelewa sana. Biashara tz bado mfumo wa kodi hauko sawa. hasa panapokuwa na anayelipa kodi na asiyelipa kodi, bidhaa ileile, soko lile lile, mteja yule yule. Mzigo ukikamatwa kosa anabebeshwa anayelipa kodi he!!! Hapo pana shida!!
Serikali imelea wamachinga na kuwapa vikadi vya sh.20,000 kwa mwaka kwa gharama ya ujinga wetu wananchi!! Chinga halipi kodi kwa nini? Huo ni mkakati uliwekwa eti kuwafanya chinga wasisupport upande unaokinzana na sera mbovu za serikali! Sasa kimenuka
Wazir wa fedha wazir wa mipango wazir wa biashara na wazir mkuu inatakiwa wajihudhuru mgomo wa mwaka Jana walitudanganya wakamdanganya na rais kwaiyo hawafai kwendelea kumshaur rais
TRA msitumie nguvu kubwa kudai kodi na inavyoonekana mnafanya hivyo ili wananchi waichukie serikali na kama ni bunge ndo lilipitisha sheria hizi , Yafaa zipitiwe upya
We usichezee MUNGU inamana hajui hata Wanaotoka nje hawarudi kariakoo,c ufungue duka we hutak hella acha rohoo mbaya hata Farao Firaun ilikua hivhiv ubabe,kutesa raia,et wanakwepa kodi fungua duka lenu TRA we umeshiba ww
Huyu mzee ameongea vitu very critical tena kwenye uhalisia wake,inaonyesha jinsi gan viongoz wanakaa tu maofisini hawatak kujua kinachoendelea kwa mtanzania wa chini,na kama wanajua bas wametengeneza mifumo ya kupiga
Viongozi wana maslahi na hao wasiolipa kodi wanaokaa vibarazani! Serikali imelea hilo tatizo kwa kigezo cha wapiga kura wangu na sasa donda ndugu limetufuka
@@festokemibala5832 kabisa chief, ukiwa na kiduka chako hata uchochoroni TRA hao wakati kuna watu wanapiga mamilion kariakoo kwa kisingizio cha umachinga
Katoka kuongelea uwajibikaji wa waziri wa fedha na waziri mkuu
Tra wezi unalipa kodi vizuri leo mwaka 2024 unakuja kuambiwa 2007 hujalipa kodi unadaiwa si wizi huo
Solution ni Moja…Wamachinga nao waanze kulipa Kodi AU Wamachinga waondolewe Kariakoo na sehemu za Maduka…Hakuna Jinsi
Nakubaliana na wewe
Wamachinga watafutiwe sehemu hayooo😢😢
TRA wezi wakubwa...
Kuna shida nyingi. Kuna mfumo wa Kiletroni wa TRA ambao pia ni tatizo. Mfano PAYE unatakiwa ulipe 2,400/= ukichelewa kulipa panat ni 250,000/= na ukifungua kampuni ni na haifanyi kazi una penati mpaka milioni 5. kwa kutofili mauzo wakati biashara haifanyi kazi.
Wamachinga waondolewe hayo maeneo ya kkoo watafutiwe mahali nyingine kuepusha hilo tatizo
Kuna umuhimu CPA firms yani Certified Public Accountants firm kuungana na TRA kutoa elimu kwa wanabishara kuzielewa tax regimes(yaani sheria ya ushuru),tax enforcement procedures(muongozo wa ukaguzi wa ushuru katika ; mali(capital gain tax and other wealth tax),mapato(income tax,revenue tax(sales tax,output VAT)),expenditure tax(input VAT) and so on.Elimu ya ushuru(tax education and awareness) itasaidia walipa ushuru kukagua mali,mapato na matumizi yao na itasaidia voluntary compliance/walipa ushuru kujitolea kulipa ushuru. CPA Chilibasi.
Una biashara wewe unamiliki???😂 au mfanyakazi wa TRA hujikagui unajipa favour😂 kupitishiwa hesabu na hukamatwi efd. Mambo magumu ukiwa huna kimbilio
TRA wafungue Duka lao tuone wanatishia raia hizo faini za million 12, wazilipe Tatizo shule wa Tanganyika serkali ilishindwa maduka y RTC leo mnadhulumu raia,warudishe RTC tuone wanatishia raia na mi police,
Maneno mengi hakuna cha maana 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mtanzania wa kwanza mwenye akili nyingi
TRA wafungue Duka lao tuone wanatishia raia
Na kweli ni mbaya maana kiongozi ameshinda kuwasimamia wafanya kazi wake. Ndio maana huenda tu masokoni kuchukua pesa za wafanya biashara sio kisheria.
Watu wanakimbia kulipa Kodi ,na kuajili machinga pemben ,kwasabab nchi hii mfumo wa Kodi haueleweki wanalipishwa Kodi zingne zisizoendana kabisa na mfumo wa kazi pili, Kodi inayolipwa haiendi kufanya Kaz serikalin Bali ni wizi tu huko ndio maana Kila siku tunasikia matukio ya CAG, kwahio wananchi wanaona ni ujinga kulipa Kodi zinazoenda kuibiwa na wao wanaona sio mbaya kuzikwepa japo pia zinakua zinakusanywa pasipo kuwekwa mpango mzuri zinazoendana na kazi, tatu ,shida zimejaa sana za wananchi kutotendewa au kutatua vitu vingi ktk nchi hii ndio maana wananchi na wao wanachukia wanaona kama hamna viongozi ndio maana wanaona hata uvivu wa kulipa Kodi kwasababu serikal haiwatendei haki ktk nchi ,kwani uongoz umegeuka kama sio zamana tena, Bali imekua kama sehem ya upigaji, maoni ya Hilo serikal iwafanyie watu mambo yalio mazur yanayoendana na watu ktk sekta mbali mbalia uone kama Kodi watakua wanakimbia yaan hawataweza kukombia Bali watakua wanawahibika wenyewe watu kulipa pasipo shulutisho ,maana watakua wanaona kua wanalipa kitu ambacho kinawalipa ktk mafanikio ya uendeshaji wa nchi na kutimiza mambo ya wananchi wote kama madawa, Maji ,Barbara nakazalika, kwa hio hayo ndio matatizo na Wala sio vingnevyo ,na yasipokua hayo kuwekwa sawa ujue yatakua yanaendelea matatizo yakulipa Kodi siku Hadi siku pasipo kukoma ,utajikuta panakua shwar kwa muda alafu yanaludi Yale yale
Serkali mnatesa watu wafungue Duka lao tuone wanatishia raia na police,ubabe wao tu
Wamachinga kwani mbona wanalipa kodi keani anavyo
Nunua mzigo dukani mbona lisiti yake inakuwa. Amelipa kodi acheni chuki kwa wamachingaa maana mwisho mtakuwa. Kama kenya
Kweli
Huyu jamaa kichwa kimetulia sana Bora kumsikiliza huyu kuliko mkuu wa mkoa
Tatizo la hii nchi mtu anapewa uongozi wa kuendesha biashara na hajawah fanya biashara hata ya kuuza mayai
Suluhisho kama mnasema wanameza zaidi yamoja apo kila mmachinga awe na meza moja tu ili wafanya biashara wasiwe na mameza zibaki kuw za machinga tu,
😊😊😊
Kweli wanakamata tdm na mikoan wana hio kaz
Unajua ase🙏😅 #Famefate
Wamachinga ndio wateja wenu wakuu na maduka hamtoagi risiti msiwatupie machinga kodi
WANAJIFANYA KAMA WAMACHINGA MAJUMBAN MWAO WANAMASTOO MAKUBWA TU.
Mwenyekiti maelezo yako ni mazuri nimekuelewa sana. Biashara tz bado mfumo wa kodi hauko sawa. hasa panapokuwa na anayelipa kodi na asiyelipa kodi, bidhaa ileile, soko lile lile, mteja yule yule. Mzigo ukikamatwa kosa anabebeshwa anayelipa kodi he!!! Hapo pana shida!!
Serikali imelea wamachinga na kuwapa vikadi vya sh.20,000 kwa mwaka kwa gharama ya ujinga wetu wananchi!! Chinga halipi kodi kwa nini? Huo ni mkakati uliwekwa eti kuwafanya chinga wasisupport upande unaokinzana na sera mbovu za serikali! Sasa kimenuka
Serekali.inapoteza matrilioni kwa sekunde ktk kwa wamachinga
Shida ni sheria za kodi, VAT 18% ni kubwa mno kwa waTz + kodi ndogondogo zingine, Bora VAT iwe 7% ama 8%, kodi kibwa inaua uchumi wa Nchi
Kipindi kizuri lkn huo mdondo unakera undooeni.
Shida ni MACHINGA!!! Itakuwaje unauza bidhaa ambayo haijazalishwa Tanzania bila Risiti?
Wazir wa fedha wazir wa mipango wazir wa biashara na wazir mkuu inatakiwa wajihudhuru mgomo wa mwaka Jana walitudanganya wakamdanganya na rais kwaiyo hawafai kwendelea kumshaur rais
TRA msitumie nguvu kubwa kudai kodi na inavyoonekana mnafanya hivyo ili wananchi waichukie serikali na kama ni bunge ndo lilipitisha sheria hizi , Yafaa zipitiwe upya
Sheria haina shida, shida utendaji
Shida iko Bungeni wanakotunga Sheria za Kodi zisizozingatia uhalisia kipato na uchumi wa mwananchi wa nchi hii!
Kivipi
Ila yanga
TRA NDO SHIDA AU SAMIA NDO SHIDA
Rais anaingiaje hapo?naomba ufute hii comment
🤔
Unamatatizo ya akili wewe afute kivipi wakati ni mtazamo wake@@frankvianey2438
We usichezee MUNGU inamana hajui hata Wanaotoka nje hawarudi kariakoo,c ufungue duka we hutak hella acha rohoo mbaya hata Farao Firaun ilikua hivhiv ubabe,kutesa raia,et wanakwepa kodi fungua duka lenu TRA we umeshiba ww