Nyie ni wanahabari, sio wanasheria. Sheria zimewekwa sio tu ili zidhibiti mambo, bali pia zipo kutoa faida pia kwa wadau wake. Kinachotakiwa ni kuztumia fursa zinazotokana na sheria husika. KESI YA MADAI HAIWEZI KUHUKUMIWA KAMA ZA JINAI. Tafuteni elimu kwa wataalamu wa sheria husika
Nyie ni wanahabari, sio wanasheria. Sheria zimewekwa sio tu ili zidhibiti mambo, bali pia zipo kutoa faida pia kwa wadau wake.
Kinachotakiwa ni kuztumia fursa zinazotokana na sheria husika.
KESI YA MADAI HAIWEZI KUHUKUMIWA KAMA ZA JINAI.
Tafuteni elimu kwa wataalamu wa sheria husika
Hakuna utoto hapo mzee kudaiwa hata nchi inadaiwa mbn.. au na nchi iache utoto????
😂😂😂😂 nayo nchi iache utoto
Ndiyo nchi iache utoto ni ujinga kukopa kopa😅
Wa kwanza leo nipeni like zangu😂😂
Wee oska acha ujinga kudaiwa siyo utoto. Kwani Yanga ikifungiwa wewe inakuhusu nini? Achana na sisi
Nakujua wewe no mnafiki mwambie acha maneno ya kinafiki nenda kwenu kigoma
Mbona akina mudadhili walifukuzwa kwa ajili ya kudai haki zao azam
Kama wachezaji wasipotokea Pre-Season shuda ni malipo basi Madunduka mujitathmini
Unapiga kelele za deni,...wakati oscar unadaiwa adi bar
Ww ni fala India kwenye page za fifa ni timu nyingi sana Duniani sema hamsomi pumbavu
Kenge we mungu peke yake ndio hadaiwi lkn sisi sote binadamu madeni ndio zetu
Wewe acha dharau. Pesa unazochangia ni kiasi gani?
Vilabu vyetu vibadilike kwasasa
Semeni Utopolo waache utoto kila mwaka kesi na wachezaji
😂😂😂 ndo cc tunapendaga ... Na nyie c mnapenda kutokuchukua makombe 😂😂😂
Utopolo inawahusu
Babalevo upo wap?