Kwanza nizima Serikali ielewe KARIAKOO ni biggest MALL ambayo iliji unda yenyewe sasa Serikali na jiji iboreshe mitaa iweke mpangilio bidhaa zikae kwa jina la mtaa bango lionyeshe bithaa zilizopo
Mgomo huu ni tata, utaleta mgawanyiko wa watu kati ya machinga na maduka, inabidi kabla ya kuleta sheria mpya watu hawa wakae kwenye mdahalo wa pamoja tena mbele ya umma
Wazir wa fedha wazir wa mipango wazir wabiashara na wazir mkuu inatakiwa wajihudhuru mwaka jana wametudanganya wafanyabiashara wakaenda kumdanganga na rais ndio maana mgomo umejirudia tena wameshindwa kufanya kaz zao wateuliwe watu wengine wamalizie miaka ilobak ya Mama
Kwanza nizima Serikali ielewe KARIAKOO ni biggest MALL ambayo iliji unda yenyewe sasa Serikali na jiji iboreshe mitaa iweke mpangilio bidhaa zikae kwa jina la mtaa bango lionyeshe bithaa zilizopo
Mgomo huu ni tata, utaleta mgawanyiko wa watu kati ya machinga na maduka, inabidi kabla ya kuleta sheria mpya watu hawa wakae kwenye mdahalo wa pamoja tena mbele ya umma
Wazir wa fedha wazir wa mipango wazir wabiashara na wazir mkuu inatakiwa wajihudhuru mwaka jana wametudanganya wafanyabiashara wakaenda kumdanganga na rais ndio maana mgomo umejirudia tena wameshindwa kufanya kaz zao wateuliwe watu wengine wamalizie miaka ilobak ya Mama
Kero hii nitofauti, tena ni tata
Acha ujinga machinga wanamastoo makubwa wanapesa kuliko wewe
Duuuh hii balaaa