INASIKITISHA: NENO LA MWISHO YA MFANYABIASHARA BABU RAMA NA MWANAHALISI TV KABLA HAJAJIPIGA RISASI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

ความคิดเห็น • 262

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 6 หลายเดือนก่อน +40

    Waziri mkuu ajiuzulu.kwa Hili naomba mheshimiwa majaliwa ujiuzulu umeshindwa majukumu yako kwa heshima na taadhima mheshimiwa Majaliwa achia ngazi umeshindwa kazi!

    • @stevenkomanya1442
      @stevenkomanya1442 6 หลายเดือนก่อน +1

      Uongoze wewe apo

    • @mawazoaliselemani
      @mawazoaliselemani 6 หลายเดือนก่อน

      @@stevenkomanya1442 .duh mtanzania mwenzangu watanzania Tupo milioni 63 na ziada hivi unafikiria hakuna mtanzania anayeweza kuziba nafasi ya uwaziri Mkuu?kweli.
      Hata kama una chuki binafsi tumia basi hata busara kuelewa komenti yangu.
      Mimi Sina haja ya kuwa na Wala siwezi kuja kuwa waziri hata wa maji ukiacha huo uwaziri Mkuu.
      Hata udiwani siuwezi/siutaki.ila wapo watanzania wenye uwezo zaidi ..na sizungumzii siasa hapa..maana siasa ni upofu Ngoma Kila mtu uvutia kwake🙏🏿

    • @naimatemba8061
      @naimatemba8061 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa

    • @heritier5119
      @heritier5119 5 หลายเดือนก่อน

      Familia yake utailisha wewe

    • @mariyammariyam1454
      @mariyammariyam1454 5 หลายเดือนก่อน

      😅😮😮

  • @mpetafrank7195
    @mpetafrank7195 6 หลายเดือนก่อน +6

    Nimefatilia story nzima ya mfanyabiashara huyu Ina umiza kiukwel na inakatisha tamaa nikiendelee kuandika kitu naweza nikatukana nikachukuliwa hatua bure 🤬 maana watu kufatilia haki za mtu wagumu ila kufatilia ujinga wepes na wanajua kutu nyoosha ila mungu yupo Ipo siku

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t 6 หลายเดือนก่อน +26

    Umeteseka sana umepambana vya kutosha yoyote aliesababisha mpaka uchukuwe maamuzi magumu Mungu atashughulika nae Pumzika kwa Amani

    • @heritier5119
      @heritier5119 6 หลายเดือนก่อน

      Ujinga wake

    • @AminaKweya
      @AminaKweya 6 หลายเดือนก่อน

    • @abdirizakibrahim1975
      @abdirizakibrahim1975 6 หลายเดือนก่อน +6

      Kuna mtanzania kaandike ni ujinga wa Marehem umekosea labda nawewe umedhulumu

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 6 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@heritier5119na hujui unachokisema ndo maana ila siku yakikukuta utajua ni ujinga au vipi msongo wa makwazo ni mbaya sana

    • @patsonanyitike9584
      @patsonanyitike9584 6 หลายเดือนก่อน +1

      Wengi tutapotea mjambazi tamaaaaaaa unyaga nyi

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 6 หลายเดือนก่อน +14

    Yaani ukiwa masikini mtihani ukisema ujikwamue kimaisha mtihani yaani dah mungu ndie hakimu wa haki atalipa wote mungu alali wala, asinzii

  • @eliudgathuthi8601
    @eliudgathuthi8601 5 หลายเดือนก่อน +8

    Late rais moi alisema, shinda ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Yaani mwafrika mwenzako anakuangisha mpaka umauti. Pole kwa marafiki na familia

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 หลายเดือนก่อน

      duuh kumbee hiii statement ni kutoka kwa Rais Moi ivi eh?

    • @liverpoolfootballclub9985
      @liverpoolfootballclub9985 2 หลายเดือนก่อน

      Our legend Daniel toroitich arap moi.🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 6 หลายเดือนก่อน +14

    Mwenyezi Mungu tujaalie Mwisho mwema

  • @ABSTemu
    @ABSTemu 5 หลายเดือนก่อน +3

    We mtangazaji unacheka cheka nini kwa swala serious kama hilo. Haileti picha nzuri. Kuwa serious.

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 6 หลายเดือนก่อน +9

    Tunashukuru sana Mungu kwa kuweka muda wa kuishi miaka isiyozodi 120 kwa kila mwanadamu ,kuna baadhi ya watu wako Duniani kama wataishi milele ,

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 6 หลายเดือนก่อน +33

    Selikari ya CCM ni majizi 99%

    • @oyay2821
      @oyay2821 6 หลายเดือนก่อน +1

      Chama Cha Maharamia

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 5 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani kama tungeweza tusiwape kura kabisa ,maana wanongea kwa kiburi ,hawatujali ,wanajijali wao tu, wanajilimbikia mali ili hali sisi tuanakufa na umaskini ,maisha yamekuwa magumu ili hali wanaishi kama malaika . So sad

  • @sethnyenzitv6617
    @sethnyenzitv6617 6 หลายเดือนก่อน +14

    Inaumiza sana,tulippewa dhamana tutimize wajibu wetu

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i 6 หลายเดือนก่อน +13

    Makonda Makonda Makonda nakuita Mara 3 unaona serkali unayo itetea hata imenzarau Makufuli kweli hivi wataenda kwa wananchi utawaambia nini na Juwa Mungu atawalipa nyinyi nyote mulio sababisha umauti wa Ramadhani

    • @amanimyolo1478
      @amanimyolo1478 5 หลายเดือนก่อน

      Tena wataanza kuungua hapahapa duniani

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt 6 หลายเดือนก่อน +14

    Poleni sana inauma kweli kweli😩😩

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 6 หลายเดือนก่อน +14

    Mungu atakulipia na hao majambazi

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hivi Mama Samia haoni haya,badala ya wafanyabiashara kutiwa moyo na kuwezeshwa wanadidimizwa,inatakiwa wafanyabiashara wanyanyuliwe hata kama ni kwakusamehewa kodi,hili suala linawachafulia CV viongozi wa nchi

  • @fredgonga
    @fredgonga 6 หลายเดือนก่อน +6

    Mimi sasa hivi nafundisha watoto wangu jinsi ya kwenda kuishi inchi za watu... Hii ni dunia yetu sote.. hii inchi ni taabu tupu uwe na hela usiwe na hela.

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 6 หลายเดือนก่อน +1

      Upo sahihi kabisa ndugu..

  • @pascalntandu1217
    @pascalntandu1217 6 หลายเดือนก่อน +9

    Alafu watu waje kuleta mitaji yao nchi hii kufanya biashara;mtasubiri sana nchi ya ajabu sana hii.

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 5 หลายเดือนก่อน

      Walimvuta wakijua watammaliza na watamdhulumu haki yake ..

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 6 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda makonda unaona Aya madudu ya chama chako kweli waziri mkuu anajua yote Aya mungu anawaona

    • @naimatemba8061
      @naimatemba8061 5 หลายเดือนก่อน

      Huyu majaliwa kwa nini asijiuzulu kwa hichi kilichotokea

  • @daudiniyonsaba1113
    @daudiniyonsaba1113 5 หลายเดือนก่อน +2

    Japo kuwa magazeti mnatangaza kuwa amejipiga risasi; nahisi, ameuliwa! Kujipiga risasi ni kisingizio tu!
    Tunaomba uchunguzi wa kina na ufanywe na FBI.

  • @user-vs2nf8qe1x
    @user-vs2nf8qe1x 6 หลายเดือนก่อน +2

    Inalillah wa inaillah Rajuuun ,Haki tutaipata siku ya Hukumu Duniani tuishi kwa Tahadhari tu pumzika salama Mzee wetu .🎉🎉🎉😢😢😢

  • @SurprisedAtom-vp5qe
    @SurprisedAtom-vp5qe 6 หลายเดือนก่อน +9

    Hamza hamza hamza nimekuita mara 3 tunaitaji watu kama ww mzee asingejiuwa mwenyewe angeenda huko tra awe kama hmza

    • @antidiusalfred4686
      @antidiusalfred4686 6 หลายเดือนก่อน

      Lingekuwa jambo jema

    • @Ernestlaiza
      @Ernestlaiza 6 หลายเดือนก่อน

      Angekufa hata na watu wa tra kama kumi kwakua ana silaha

  • @sofiaantonioantonio7265
    @sofiaantonioantonio7265 6 หลายเดือนก่อน +21

    Wote walio husika Kudhulumu haki ya huyu Baba Mungu na awahukumu!

    • @kaaakwakutuliaa5179
      @kaaakwakutuliaa5179 6 หลายเดือนก่อน +3

      Achana na maswala ya Mungu hapa duniani ni vita alitakiwa kuwa maliza mtandao wote .

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu kwanza yeye ndiyo analipa kilamtenda mabaya. Duniani na Allhlah
      Kamanimtukamuua huyu baba atakiona chamoto sijuiyeye atakufaje mana hatobaki

    • @user-ut3gf1tg2n
      @user-ut3gf1tg2n 6 หลายเดือนก่อน

      Unamtoa Mungu embu acha ujinga wewe​@@kaaakwakutuliaa5179

  • @YusufFamau-w2x
    @YusufFamau-w2x 2 หลายเดือนก่อน

    Nimeumia sana nimeishi nae na nimelea watoto wake wakiwa wanaishi urambo mtaa wa majengo ya tabora Allah akuweke pahal pazur

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 6 หลายเดือนก่อน +7

    Baba alikuwa na akili sana huyu Tena sana amepambana sana mpaka akachoka amewapa ushindi TRA wezi wakubwa ili wale vizuri pesa zake Pumzika salama Baba laana uliyowaachia sio ndogo. 😢😢

    • @amanimyolo1478
      @amanimyolo1478 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli jasho la mtu haliliki wataungua duniani mpaka kwa mwenyezimungu

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 6 หลายเดือนก่อน +20

    Wamemdhulum huyu m2 lakini kila alie husika Allah atamhukum hapa hapa duniani na wa2 watashuhudia

    • @kaaakwakutuliaa5179
      @kaaakwakutuliaa5179 6 หลายเดือนก่อน +1

      sema iyo bunduki hajaitendea haki kabisa ilitakiwa jino kwa jino

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 6 หลายเดือนก่อน +1

      Allah awazalil8she wote kamakweri wamemxurumu nafsi yake. Inaumiza sana Ila Munguyupo atawalipa kwani akuna atakae baki

    • @arthurdonnietello9691
      @arthurdonnietello9691 6 หลายเดือนก่อน

      Amin

    • @user-im9zj7wv1m
      @user-im9zj7wv1m 6 หลายเดือนก่อน

      Amiiin 🙏

    • @heritier5119
      @heritier5119 6 หลายเดือนก่อน

      Ah wapi

  • @gorettimtungwe9011
    @gorettimtungwe9011 6 หลายเดือนก่อน +3

    inaumiza huyu Mz. amejipingania haki yake huwezi amini watanzania tunaoneana

  • @YusufFamau-w2x
    @YusufFamau-w2x 2 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuuh siamin jmn polen sana wadogo zang Sharifu,karmu,najaty najua maumiv mlionayo kumpoteza baba nawapenda na nawamis sana ni mda sasa tumepotezana

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 6 หลายเดือนก่อน +8

    Eeeh mwenyezimungu uwalipe mabaya wale wote waliochangia kumdhulumu huyu jamaa yani damu yake haitaenda bure ni stress na mawazo kuona familia itaadhirika na ilihali alikua na mtaji wake itawagarimu wote walioshiriki na hawana mda mrefu mungu atawaonyesha wakati wa mungu ni sahihi

    • @smarty1064
      @smarty1064 6 หลายเดือนก่อน

      Haitoshi

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 6 หลายเดือนก่อน

      @@smarty1064 Dua tosha hilo yani mwaka huu litajibu kwanza naskia walosababisha kumdhulumu huyo jamaa watu wanasoma albadiri ya dhulma

    • @AminaKweya
      @AminaKweya 6 หลายเดือนก่อน

      😮😮

    • @NazaeliMollel
      @NazaeliMollel 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu hatanyamaza kwa hili

  • @muturidorcas6798
    @muturidorcas6798 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana hata hivyo mshukuru Mungu bado una afya njema

  • @winfredkaroli5065
    @winfredkaroli5065 6 หลายเดือนก่อน +1

    Duuu!!? Muha mwenzangu pole sana mungu anawaona ,yan hii nchi sijui kama inaviongozi ,yani mda wote huo hawakumsikiliza ?mpaka anaamua maamuzi magumu hivo!!?mm namuombea kwa mungu hiyo damu iwe juu yao waliomfanyia ushenzi huo na mungu akawalani

  • @philipomwazyunga4572
    @philipomwazyunga4572 6 หลายเดือนก่อน +5

    Daah inasikitisha sana...am shocked,

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 6 หลายเดือนก่อน +6

    Kwakweli inauma sana Mungu akupokee maana kupitia ayo yote akuna anaejua vita uliokua unapigana Mungu ibariki Tanzania.

    • @heritier5119
      @heritier5119 6 หลายเดือนก่อน

      Mungu na shetani hawapokei mtu aliyejiua

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 6 หลายเดือนก่อน +3

    Yaniiii duuu kunakutu siyo bule lala salama mzee pole kwa familia

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 6 หลายเดือนก่อน +3

    MH. RAIS SAMIA....MH. WAZIRI MKUU....DA
    U YA MAREHEMU RAMADHANI IKO MIKONONI MWENU....NA WOTE WALIOHUSIKA KWENYE KASHFA YA KUMDHULUMU WA TRA WAWAJIBISHWE! FAMILIA YAKE ILIPWE HAKI YAKE!

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 6 หลายเดือนก่อน +9

    Hii nchi ngumu sana hata ufanyeje ni mateso tu

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 6 หลายเดือนก่อน +3

    Daa inasikitisha sana!😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa simulizi yake, ikiwa hakujiua wakati ule, taarifa kuwa kajiua linatia shaka.

  • @user-jj3nc9rn2q
    @user-jj3nc9rn2q 6 หลายเดือนก่อน +7

    Daah! Inauma sana 😢😢😢

  • @mussamalick1045
    @mussamalick1045 5 หลายเดือนก่อน +1

    Inasikitisha sana .nchi hii inahitaji raisi mwwnye maamuzi magumu kama hayati Magu.tutamkumbuka daima

  • @christianlutego1288
    @christianlutego1288 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu wetu, atawalipia wanyonge, Mungu tunakuomba, tenda

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ewe mungu tunahurumie.Kiukweli tunahishi kwaneema zamungu tu.Lakini hii nchi inawatu wenye rohoo zaajabu sana pamoja NAKUWA navyeo VIKUBWA mishahara mikubwa wanauwezo wakukopa wakupata chochote ndani yamadaraka yao,lakini unaweza kuteseka mpka ukakataa TAMAA yakuishi.Upumzike Kwaamani shujaa wetu mfanyabiashara uliekuwa unalipa Kodi mlipa Kodi Mtanzania mwema.

  • @IrenePhilip-ek4lw
    @IrenePhilip-ek4lw 6 หลายเดือนก่อน +7

    Wamemuua hii nchi jaman ishakuwa haina aman hatjazoea hv

  • @henryyuda2989
    @henryyuda2989 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mmmmm inaumaaaaa sanaa

  • @ABSTemu
    @ABSTemu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Very Sad! Kwanini tunafanya hivi? Akili timamu kweli hawa watu wetu viongozi wetu?

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 6 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akurehemu akusamehe iwe umejiuwa au umeuliwa

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 6 หลายเดือนก่อน +2

    Daaaah inaumiza sanaa

  • @babuafya3446
    @babuafya3446 6 หลายเดือนก่อน +7

    pale TRA angeendq kufanya kama hamza

    • @josephbizzy1813
      @josephbizzy1813 6 หลายเดือนก่อน

      Una mawazo kama yangu yaani.

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji Uwe na hekima ya kuhoji kulingana na hali ya maudhui ya unachohoji.
    Ktk jambo hilo kicheko kitatokea wapi??!!

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 6 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU ailaze roho yake mahala pema Amina

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 6 หลายเดือนก่อน

    Uko kawaida sana kujipga risasi, tena mungu amekuongaza sana amepgana naww toka 2017 hadi 2024 mungu akuweke mahala salama mzee wangu.

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 6 หลายเดือนก่อน

    Haki ya kweli iko kwa Mungu hivyo pamoja na kuwa kimantiki una haki muombe Mungu kwani wanaosimamia dhamana wengi wao wanajifanya ni miungu watu, wanasahau kuwa yupo Mungu mkuu anaejua mambo yote yaliyo wazi na yaliyo sirini.
    Maisha yote tumtumaini Mungu wala tusiwatumaini wanadamu ambao nao wako chini ya hukumu.
    Kweli na haki huwa havifi vinaishi milele ila magumashi (njia za uongo) vina mwisho na mwisho huo ni mbaya.
    Mungu tutee tutee tutee.

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndiyo maana hawataki kuleta katiba mpya wanaogopa kushitakiwa

  • @gwaluganosaiba629
    @gwaluganosaiba629 6 หลายเดือนก่อน +2

    Pole kaka hii selikali hatari

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 6 หลายเดือนก่อน

    Kumbe jamaa alikuja kujiua?!, very painful!.Hakika damu yake ni juu ya wote walioshindwa kutatua hili jambo lake!.

  • @user-pr6jq1st1q
    @user-pr6jq1st1q 6 หลายเดือนก่อน +1

    Laaa inauma sana

  • @ZachariaNgesse-el1ge
    @ZachariaNgesse-el1ge 6 หลายเดือนก่อน

    Inaumiza xn 😭😭😭😭😭kwa mtu huyu ukimfatilia mkasa wake Mungu anawaona😭😭😭 hata waziri mkuu yuko ni mmoja wa wahusika kumzurumu ukisikiliza vizuri hii stor

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 6 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana kaka

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 6 หลายเดือนก่อน +1

    hiyo Bunduki haja itumiaa kwa haki ,ilitakiwa amtafute kwanza alie sababisha iyo hasara ,akafuta theni akaenda kwa yule mwingine ana leta nyodo akafuta ,angefuta watu kama watano hivi. ili hata kwenda mbinguni wangekua safari moja saivi kawaacha hapa duniani wanaendelea kutusumbuaa.

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 6 หลายเดือนก่อน +6

    Ivi viongozi wa nchi yetu hamuoni aibu watu mliowakabidhi kazi hawatendi haki kwa wananchi au hao trą mnagawana nao pesa trą imo mikononi mwa majambazi waziri mkuu mungu anakuona ivi kweli ulishindwa kumsaidia huyu baba mpaka amejiua mnawaogopa wafanyakazi mliowaajiri wenyewe kwa ajili ya rushwa hatuna imani na serikali yenu

    • @vickylupemba6055
      @vickylupemba6055 6 หลายเดือนก่อน +1

      Jmn imeniuma kupita kiasi, miaka yote Hii hakuna solution. Dada pia mkewe waliadhirika. Hakika ni wangapi wanapitia Haya🙏🏾

    • @reginas1832
      @reginas1832 6 หลายเดือนก่อน

      Viongozi au majambazi na wauwaji

    • @lailafakhihaji
      @lailafakhihaji 6 หลายเดือนก่อน

      @@reginas1832 viongozi ndio majambawazi wakubwa wateuliwa wsuwani yaani ni team

  • @modestamashoke9038
    @modestamashoke9038 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mhe: Rais tunaomba haki ya huyu mtu itendeke hata kama amefariki familia yake ilipwe hizo pesa,

  • @shamimukanju8402
    @shamimukanju8402 5 หลายเดือนก่อน

    Pole kwa familia inauma sana

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu atakuinua baba

    • @luthermajoji7300
      @luthermajoji7300 6 หลายเดือนก่อน

      Kashajiua tayari, ni marehemu. INAUMA SANA😭

  • @user-qi2bt7mw4x
    @user-qi2bt7mw4x 5 หลายเดือนก่อน

    Mama Samia,mana samia,mama samia, jmn Makonda,Makondoka, Makonda jmn Wazir mkuu Wazir mkuu jmn Wazir mkuu nyie ndio viongozi wateteze jmn mfuatilieni huyu baba inaumiza sana tunapinga umaskini lkn bado kumbe kuna watu wanahitaji nchi yetu watu wake wabaki kua maskini 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @mussamalick1045
      @mussamalick1045 5 หลายเดือนก่อน

      Alishakufa huyu.amefariki juzi juzi tu inasadikiwa amejipiga risasi😭😭

  • @JumaMambo-dp6bj
    @JumaMambo-dp6bj 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli wa afrika mwafrika mwezao akiaza kupata mafanikio inakuwa shida ila wengine wa ngozi nyeupe ndio halali kwa mafanikio kweli wakoloni wameondoka ila wamebaki wakoloni uchwara

  • @apboy8944
    @apboy8944 หลายเดือนก่อน

    Mbn hao police na TRA hawasumbui biashara za akina Moh, Bakhresa na Gsm?

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 6 หลายเดือนก่อน

    Pole mungu akuondoleer adhabu ya kaburii

    • @heritier5119
      @heritier5119 6 หลายเดือนก่อน

      Mungu apokei mtu anaejiua

  • @miraculolopa
    @miraculolopa 5 หลายเดือนก่อน

    Nimegundua tanzania kuna mauaji sana Ila ya chini kwa chini 😮 Hujajiua wamekuua mbwaa hao

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi wa habali badilisha hio logo ya mailing mbona imechakaa sana inatia aibu😂😂😂😂

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 6 หลายเดือนก่อน

    Inna lillah wa Inna ilayhi raajiun 😭 m kumbe ulijiua mzee wangu!!! Kwaniniiii!!!!!? Imeniuma Sana kwakweli

  • @oscarwasenga1333
    @oscarwasenga1333 6 หลายเดือนก่อน +1

    Pole ndugu jamani

  • @ghostballcone531
    @ghostballcone531 6 หลายเดือนก่อน

    TRA ni majambazi, mzee ungeondoka ata na watano tu!.

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hvi kweli mliosababisha yoote yaliyomsibu huyu baba mnaami ni kweli mmeumbwa na Mwenyez Mungu

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 2 หลายเดือนก่อน

    Ccm kweli mnavaa nguo zenu mnatembelea v8 mnasababisha kifo cha ntunzwe kisa kudai haki yake innalilahi wainnailah rajiun pumzika Kwa aman 🕯️🕯️🕯️😭🕯️ nch hi inagiza totoro

  • @norbertkyando
    @norbertkyando 5 หลายเดือนก่อน

    😊😊.

  • @user-du6su6mh1h
    @user-du6su6mh1h 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nch yetu ni yatima tutapata Rais 2025 ..na wote wanaojiona ni wanyonyaji watanyea debe juani

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 หลายเดือนก่อน

    Kwanini huwezi sikia mfanyabiashara wa Asia yanawakumba haya , jamaa wanajua maafisa wa ushuru wa TRA wananuka Rushwa kwahiyo hutumia huo mwanya , Ndo utakuta wanao ongoza kuwa mijengo ya Maana Ni wao, Rushwa wanaipata wapi? Kwenye makadirio ya kulipa Kodi, lipa hii au hii , kama huchukui Rushwa vita ya Rushwa huwa Ni nyepesi Saaana tena mno

  • @siyabamnubimohamed-yr9jx
    @siyabamnubimohamed-yr9jx 5 หลายเดือนก่อน

    🤔wezi wanalindana

  • @apboy8944
    @apboy8944 หลายเดือนก่อน

    Hii nchi ngumu we acha tu 😢😢😢😢😢😢

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 6 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wengi wanaumizwa na hatuoni kama kuna kuumizwa hadi mtu wa karibu yako yamfike. Tunapoambiwa kuna uonezi huwa hatukubali. Tutakuwa hivi hadi lini ?

  • @AminaKweya
    @AminaKweya 6 หลายเดือนก่อน

    ❤🎉

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa 6 หลายเดือนก่อน

    Kuna kazi ukikosa laana, ni neema tu. Lkn ni lazima

  • @user-dz4ob1xj8g
    @user-dz4ob1xj8g 6 หลายเดือนก่อน

    INNAA LILLAHI WAINNAA ILAHI RAAJIUN
    HUYU MZEE TAYARI AMESHAFARIKI TAARIFA KUTOKA URAMBO TABORA

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri mkuu ni mmoja ya walio mhujumu huyu mtu kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa kwenye serikali iliyosema huyu mfanyabiashara alipwe.Inaudhi tena inaumiza sana

  • @NjooAustralia
    @NjooAustralia 5 หลายเดือนก่อน

    Kitu Tanzania mnatakiwa mjifunze ambacho wazungu wamekifanya kwa muda mrefu, ni kushirikiana kuwa na kundi la wafanya biashara mnafanya pamoja kitu kimoja (corporate company). One man show mara nyingi utakwama tu hamna kingine unatafuta hapa duniani...utachoka manake unashindana na kundi la wafanya biashara wa kihindi na waarabu ambao ni group. Waafrika hata souz africa bado wanafikiria ku run things alone... hiyo haiwezekani milele ndio maana tunajikuta tuna fikia mwisho huu! Ahsanteni Mungu awape ufunguo wa kuona hilo mapema...

    • @omarykabonga908
      @omarykabonga908 5 หลายเดือนก่อน

      Ukiwa mfanya biashara lazima utafute rafiki mkubwa awe polisi na tra

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 6 หลายเดือนก่อน

    KWA HAKIKA HAKUSTAHILI KUJIUA.....ALITAKIWA AMWEKE MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MBELE BILA KUJALI HALI YAKE KIUCHUMI.....NA KWA WALIOMDHULUMU WOTE MWENYEZI MUNGU MTUKUFU HATAWAACHA SALAMA....KUANZIA HAPA DUNIANI MPAKA KESHO BAADA YA KIFO!

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 6 หลายเดือนก่อน

    Yaani nyie mliomdhulum huyu baba mungu atahukum mmechangia sana hili laleo

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 5 หลายเดือนก่อน

    Dunian kuna binadamu wanatisha utafikili wataishi milele

  • @mkombozifreshoil
    @mkombozifreshoil 6 หลายเดือนก่อน

    Laaah Eee Mungu.

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 5 หลายเดือนก่อน

    Father hukupata elimu vzr ya skuli lkn uko vzr sana kuliko hao watendaji wa serikali uko brain sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 หลายเดือนก่อน

    Ukitaka kujua Wanasiasa wana roho kiasi gani na hawana Nia ya dhati ya kumkwamua Mwananchi wa kawaida atoboe, fuatilia sakata la huyu jamaa tokea mwanzo, utaona unafiki ulioko kwenye Maisha ya watu, utamsikia Mwanasiasa tudumishe Kiswahili na shule zetu mitaala iwe ya Kiswahili kuanzia KG hadi class 7 , Sasa Ni Kiongozi gani anaesomesha mtoto shule za mitaala ya Kiswahili, kama kweli wana Nia ya dhati ya kudumisha Kiswahili mbona Karb watoto wao wote wanasoma international au English medium schools, hili Ni dogo tu , ukiona Mwanasiasa analefanya jambo la maendeleo Ni Ku draw attention tu ili aendelee na kuchaguliwa lakini Nia ya dhati au sera za kulimlinda Mzawa ktk uwekezaji hakuna na kama ziko sakata la huyu Mzee lisingefikia hapa

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 6 หลายเดือนก่อน

    Mm nashangaa wanao shobokea ccm ujue hayajawakuta

  • @justuswaweru1703
    @justuswaweru1703 5 หลายเดือนก่อน

    i dont believe this man took his life,this must b the mafais in TRA.second its a shame to the government of the day.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutie nguvu hii ni dhuruma ya wazi

  • @kingsofa6006
    @kingsofa6006 5 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @duncannjau1223
    @duncannjau1223 5 หลายเดือนก่อน

    Hata TZ imefika hapa? Miaka ngapi mtu moja na swala la wazi kachukua muda mrefu hivyo? Shame shame to the government of Tanzania...

  • @jediokokoma8670
    @jediokokoma8670 6 หลายเดือนก่อน

    Hii CCM mnatawala kwa Damu za Wazalendo wa Nchi hii ya Tanzania

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 5 หลายเดือนก่อน

    Aibu kubwaaaaa Tanzania siyo nchi ya wafanya biashara ila ya wizi ukiwa mwizi utaishi vizuri saaaana

  • @bny3595
    @bny3595 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri mkuu nae muoga tu mbona kwa utawala wa JPM hakuwa hvo ' hana msaada wowote

  • @edmundmakoye7322
    @edmundmakoye7322 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu muhukumu wa haki yupo!

  • @alexkamba5264
    @alexkamba5264 6 หลายเดือนก่อน

    Da Mungu atunusuru.