Maa shaa ALLAH ww ni shekh mkubwa na elimu imebobea kichwani mwko maa shaa ALLAH bahati mbaya ni elimu ya matusi tu sijui ni madrasa gani unasomesha au unasoma maana uko vzur sana kwnye matusi
Malaika waandikishaji wanaoandika matendo ya mwana wa Adamu wanaingia kwenye nyumba ambazo ndani yake mna picha. Malaika ambao hawaingii kwenye nyumba ambayo ndani yake kuna picha ni malaika wa rehema. • Picha zinazozuia malaika kuingia ndani ya nyumba ni picha za viumbe hai, mbali na picha zinazoshughulikiwa kwa njia isiyo na heshima. • Haijuzu kuswali mahali penye picha isipokuwa Muislamu amelazimishwa kuswali mahali hapo na hawezi kuiondoa sura hiyo.
Wewe Allah akuongoze na atuongoze sote wewe upo kwenye entertainment. Watafuta viewers na sub-scribers tu. Wingi wa watu unakughuri sana hadi waongelea dini kwa ufahamu wako mwenyewe
Tunaomba nyinyi woote wenye elimu mpige cm namba zipo tuwaunganishe ili mfanye mjadala wa wazi ili tuone kati yenu n yke nani mwenye elimu nani anasema ukweli nani mtupu.....humu mitandaoni hawasikii wala hawaoni kijana yupo busy kumnad mtume😂😂😂😂😂😂....kwa hiyo karibuni sana kiti kipo wazi
Kuna mambo ambayo ni haramu lakini kuna dharura za kisheria ya dini zikikupata ukifanya hutopata madhambi kaupitie mlango wa dharura katika dini uelewe!ww waongea kidhihaka paka malaika pia wawafanyia stizai
Acha kufanya dhihaka na dini katika uislamu Kuna mlango wa dharura!picha ya paspot na I'd na I'd ya kazi haviingii katika haramu sababu ni lazima kulingana na Sheria ya nchi! So nakuuliza kutoa mimba ni haramu au la? Ikiwa amebakwa mwanamke akatiwa mimba kuitoa ipi hukmu yake?? Na ikiwa mke ana mimba na ikawa ile mimba yaweza sababisha yy kufa ipi hukmu yake??
Hii darasa ni kumjibu mtume swalla llahu aleihi wasallam, leo afanyiwa radd mtume Mohammad swalla llahu aleihi wasallam!!! Maana ni hadithi zaambiwa haziingii akilini!!! Kijana zingatia makini unachokisema!!!
Shekh kumbe ni mtupu hivyo hakuna hadithi sahih yoyote yenye kusema malakul mauti anaitwa Israel huo ni mlango mpana wa kuamin malaika majina yao na kazi zao ila hakuna pahala penye kusema malakul maut anaitwa Israel hakuna wacha urongo na nikushauri tu usifanye munaqasha na UST bacho utaumbuka wew ndyo hamna kitu kabisaaa
Kuna mlango mzima wa uharamu wa taswiir, yan picha.... Ushahidi wa hadithi za mtume... Sasa labda umkane yeye alosema kuwa hakutumia logic kukataza picha
Hawa ndio wapumbavu kabisa wao kazi yao ni kumghalifu mtume na kujifananiza na wanawake kukatika viuno wanacho soma kwenye vitabu na wanacho kifanya ni tofauti kabisa utakuta hapo anaongea lakini ndani ametundika picha za watoto wake na zake pia na masharifu wao wanazo wanazitundika wajinga wakubwa hawa
Malaika waandikishaji wanaoandika matendo ya mwana wa Adamu wanaingia kwenye nyumba ambazo ndani yake mna picha. Malaika ambao hawaingii kwenye nyumba ambayo ndani yake kuna picha ni malaika wa rehema. • Picha zinazozuia malaika kuingia ndani ya nyumba ni picha za viumbe hai, mbali na picha zinazoshughulikiwa kwa njia isiyo na heshima. • Haijuzu kuswali mahali penye picha isipokuwa Muislamu amelazimishwa kuswali mahali hapo na hawezi kuiondoa sura hiyo.
Ma sha Allaah taala al habib maneni ya ukweli ma sha Allaah taala shuqran 💚💚💚
Shukran sana habeeb zidi kutupa faida
Mashaa allah sheikh umezungumza ukweli kabisa.
Mashaallah
Santa Slum
@@hassanmwinyi7046 naam
Kwani hamna camera ya kuchukua vizuri mpaka mrecord na simu?
Dah huu mtihan 😢😢😢
Shukraan habeeb
Wewe kweli Bado kasome
Uchache wa elim ndo tatizo la wengi kama huyu au ufahamu fivyu au kibri ndo kinamfanya aingee hivi. Allah atuongoze
Wajua kibri Habib?
Wewe nizuzu mkubwa allah atakulipa kwa maneno yako. Kasome mwanzo. Ujuwe unachozungumza
Towa yako
Maa shaa ALLAH ww ni shekh mkubwa na elimu imebobea kichwani mwko maa shaa ALLAH bahati mbaya ni elimu ya matusi tu sijui ni madrasa gani unasomesha au unasoma maana uko vzur sana kwnye matusi
Yaani 🤔, hii channel ni ya kikhurafi lakini cooments nyingi za watu ahlul sunah, hii huuonesha wazi huyu sheikh saidi hana elmu
Ashirazi nakuhusia kusoma watu wa sawasawa
Kweli ni dalili ya kiama mpka majahil na wasanii wamekaa wanaongelea dini rudi ukasome ujinga utakuuwa
Malaika waandikishaji wanaoandika matendo ya mwana wa Adamu wanaingia kwenye nyumba ambazo ndani yake mna picha. Malaika ambao hawaingii kwenye nyumba ambayo ndani yake kuna picha ni malaika wa rehema. • Picha zinazozuia malaika kuingia ndani ya nyumba ni picha za viumbe hai, mbali na picha zinazoshughulikiwa kwa njia isiyo na heshima. • Haijuzu kuswali mahali penye picha isipokuwa Muislamu amelazimishwa kuswali mahali hapo na hawezi kuiondoa sura hiyo.
Wewe Allah akuongoze na atuongoze sote wewe upo kwenye entertainment. Watafuta viewers na sub-scribers tu. Wingi wa watu unakughuri sana hadi waongelea dini kwa ufahamu wako mwenyewe
Malaika wa Rahma ndio wanaokusudiwa Kwa Hadith Hta ukieka picture ya Sharif wako hawaingii2 hawaingii 2.
Kusema ukweli picha aina yeyote haifai.Hizo za passport zipo ndani ya passport na dharura.Haifai kubandika picha za watu wema katika nyumba.
Hiyo dharura kaiweka nani 😂yaan mtume swala llahu alayhi wasalama aseme haramu kisha wewe useme inafaa kwa dharura!
Ko tubandike picha wa watu wabaya
Tunaomba nyinyi woote wenye elimu mpige cm namba zipo tuwaunganishe ili mfanye mjadala wa wazi ili tuone kati yenu n yke nani mwenye elimu nani anasema ukweli nani mtupu.....humu mitandaoni hawasikii wala hawaoni kijana yupo busy kumnad mtume😂😂😂😂😂😂....kwa hiyo karibuni sana kiti kipo wazi
Huyu jamaa yupo kiushindani sana anaongea kwa jazba hana uadilifu ktk mambo ya dini
Haifai kumsikiliza na watu ambao hawajasoma
Kwani kuna malaika aneitwa izrili
Ndo hapo nashindwa ...malaika izraili n yupi jamani...DJ nawe wazidi kuchemsha
Huyu mpumbavu
Kuna mambo ambayo ni haramu lakini kuna dharura za kisheria ya dini zikikupata ukifanya hutopata madhambi kaupitie mlango wa dharura katika dini uelewe!ww waongea kidhihaka paka malaika pia wawafanyia stizai
Acha kufanya dhihaka na dini katika uislamu Kuna mlango wa dharura!picha ya paspot na I'd na I'd ya kazi haviingii katika haramu sababu ni lazima kulingana na Sheria ya nchi!
So nakuuliza kutoa mimba ni haramu au la?
Ikiwa amebakwa mwanamke akatiwa mimba kuitoa ipi hukmu yake??
Na ikiwa mke ana mimba na ikawa ile mimba yaweza sababisha yy kufa ipi hukmu yake??
Wale wenye ilmu ndio Wataona hapa ni ujinga unaongelelewa lakini wajinga Wataona NI kitu cha maana
Dini haiendi kwa akili zetu, inaenda kwa hoja za Qur an na hadithi kwa uwelewa wa maswahaba na waliowafata kwa wema.... Usipotoshe
Hii darasa ni kumjibu mtume swalla llahu aleihi wasallam, leo afanyiwa radd mtume Mohammad swalla llahu aleihi wasallam!!! Maana ni hadithi zaambiwa haziingii akilini!!!
Kijana zingatia makini unachokisema!!!
Shekh kumbe ni mtupu hivyo hakuna hadithi sahih yoyote yenye kusema malakul mauti anaitwa Israel huo ni mlango mpana wa kuamin malaika majina yao na kazi zao ila hakuna pahala penye kusema malakul maut anaitwa Israel hakuna wacha urongo na nikushauri tu usifanye munaqasha na UST bacho utaumbuka wew ndyo hamna kitu kabisaaa
Kuna mlango mzima wa uharamu wa taswiir, yan picha.... Ushahidi wa hadithi za mtume... Sasa labda umkane yeye alosema kuwa hakutumia logic kukataza picha
Mwanzo nani amesema aitwa izrail.kweli wewe zuzu kabisa hata wenyekukusikiza wewe pia majahil. Toa dalili kwa hadith uzizungumze kwa maoni zako
Hawa ndio wapumbavu kabisa wao kazi yao ni kumghalifu mtume na kujifananiza na wanawake kukatika viuno wanacho soma kwenye vitabu na wanacho kifanya ni tofauti kabisa utakuta hapo anaongea lakini ndani ametundika picha za watoto wake na zake pia na masharifu wao wanazo wanazitundika wajinga wakubwa hawa
WEE CHIZI TU TENA CHIZI KONKI
WATAFUTE DHAHIRI UWAONYESHE HIYO ELIMU KAMA UNAYO BADALA YA KUBWEKA TU HAPA
Izrail ni malaika gani?hawa ndo wale دعا ة إلى أبواب جهنم من أجابهم قذفوا فيها
Falsafa imekuangamiza.. إستهزاء بالدين
Subhanallh ww wata kujaza watu falsafa zako mbili hzo kitablisho na zengineo zimekubalika kw dharura lkn hio hadhithi wacha kuitafsiri kw hawaa zako
Kasema nani picha inafaa kwa dharura wakati mtume swala llahu alayhi wasalama kakataza!
Zimekubaliwa kwa dharura na nani ???
Zimekubaliwa kwa dharura na nani ???
Hakuna malaika aitwaye izlail pia usizunguze dini kwa hawaa zako
Kasomeni Ninyi Mbona Madrasa ni nyingi tuuuu
Naomba Al'akh Said utizame video hii ndio ujue kuwa mas'ala ya picha kuna tafauti katika hukmu take.
m.th-cam.com/video/OU8vzqGbYzc/w-d-xo.html
We jaaahil kweli malika izaraail umemtoa wapi
Nani alisema wewe ni sheikh nawewe nimwimbaji.sauti walegeza kama mwanamke.kasome ujuwe unachosema zuzu
Mbona unatukana? Ndio shekhe wakp alivyokufundisha hvo,? Au mtume alilingania Dini kwa maneno ya kebehi na kuwatukana watu
Anapoteza watu malaika anautowa roho hata club kwa disco vipi azungumza ujinga
Msanii unaongelia dini sbhanallah
Alafu kuna malaika akiitwa izraili😃 umepata wapi hiyo jina, am unakusudia malak- lmaut
Kiti kipo wazi nyie woote wenye elimu namba za cm zipo pigeni tutawaunganisha ufanyike mjadala wa kielimu tuone kati yenu na yake nani mtupu ...😂😂😂
Malaika waandikishaji wanaoandika matendo ya mwana wa Adamu wanaingia kwenye nyumba ambazo ndani yake mna picha. Malaika ambao hawaingii kwenye nyumba ambayo ndani yake kuna picha ni malaika wa rehema. • Picha zinazozuia malaika kuingia ndani ya nyumba ni picha za viumbe hai, mbali na picha zinazoshughulikiwa kwa njia isiyo na heshima. • Haijuzu kuswali mahali penye picha isipokuwa Muislamu amelazimishwa kuswali mahali hapo na hawezi kuiondoa sura hiyo.