TANESCO TARIFFS ! (Makundi ya Watumiaji Umeme)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ย. 2021
  • .#umeme#tanesco#ewura
    Geared Consult Tv imepata nafasi ya kuongea na Meneja Masoko wa Tanesco kupata ufafanuzi kuhusu makundi ya Watumiaji wa umeme na Bei tofauti kulingana na kundi husika, kwa kuanzia tumeanza na D1 na T1. Tukiamini kila mtu ni Mdau wa Umeme na angependa kujua.
    Usiache ku-subscribe, ku-like, ku-comment na ku-share video zetu kwa wengine ili wapate elimu kuhusu umeme.
    .
    Kwa Mawasiliano:
    LINE 1: +255 785 911 260
    LINE 2: +255 655 290 333
    .
    Tufuate mitandaoni:
    INSTAGRAM: / gearedconsulttv​
    FACEBOOK: Geared Consult TV
    WEBSITE: geared-consult.co.tz​
    #Umeme​ #GearedConsultTV

ความคิดเห็น • 30

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dg 2 หลายเดือนก่อน

    WELL DONE

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork 2 ปีที่แล้ว +1

    Good content...

  • @francis991993
    @francis991993 2 ปีที่แล้ว +2

    Thanks

  • @salmamzee7453
    @salmamzee7453 2 ปีที่แล้ว +1

    That's my dear brother

  • @salmamzee7453
    @salmamzee7453 2 ปีที่แล้ว +1

    👏

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 9 หลายเดือนก่อน

    Wezi tu Hawa

  • @mohammedmponda6837
    @mohammedmponda6837 2 ปีที่แล้ว +2

    Binafsi nimeelewa kuhusu D1 na T1 hakuna utata kuhusu Hilo

  • @chisongmedia39
    @chisongmedia39 2 ปีที่แล้ว

    Nimemuelewa sana Afsa

  • @user-hs5pg7ft6e
    @user-hs5pg7ft6e 3 หลายเดือนก่อน

    Asante...Nimeisikiliza maelezo kuhusu (makundi ya ununuzi wa umeme yaani -TARIFFS- )...KWANINI MMEWEKA -TARIFFS- HALI YA KUWA NATUMIA (LUKU) NDIO KIPIMO CHANGU CHA MATUMIZI...naomba ufafanuzi, LUKU...LIPA UMEME KADIRI UNAVYOTUMIA...SASA -TARRIFS- ZA NINI....!!!???.

  • @user-of2xo9jl8v
    @user-of2xo9jl8v 8 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa vizuri. Mimi ninahitaji tuwasiliane, hivyo naomba namba yoko.

  • @israelmaasa6562
    @israelmaasa6562 19 วันที่ผ่านมา

    Umeme wa three phases vijijini umbali usiozidi umbali wa mita 20 ni Tsh ngapi Tafadhali

  • @israelmaasa6562
    @israelmaasa6562 19 วันที่ผ่านมา

    Three phase vijijini umbali wa mita 20 ni Tsh ngapi

  • @dj_sila_tz
    @dj_sila_tz 2 ปีที่แล้ว +1

    mbona sasa mnatoza shiling elfu 30 ili mbadilishe tarriff?

  • @user-hs5pg7ft6e
    @user-hs5pg7ft6e 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nauliza...(TARRIFS) ZA NINI WAKATI LUKU METER IMEFUNGWA HAPO...?

  • @meclinanyamwihura3748
    @meclinanyamwihura3748 2 ปีที่แล้ว +1

    Sasa hivi Kuna makato ya sh Elfu Moja.Mimi matumizi yangu hayazidi unit 75 Je,nilipe sh 9 au 10?.

  • @ladislausriwa7768
    @ladislausriwa7768 หลายเดือนก่อน

    Mimi natumia pungufu ya unit 70 nimeomba kupewa ķundi D1 hamtaki kwa kuwa niko Dar kwa nini?

  • @ladislausriwa7768
    @ladislausriwa7768 หลายเดือนก่อน

    Na akinunua pungufu kwa msimrudishe bila kumsumbua kuandika barua

  • @CyprianJoseph-kb6te
    @CyprianJoseph-kb6te หลายเดือนก่อน

    Mimi nime elewa isipokuwa nauliza mteja wa baada ya miezi mitatu anaweza kuandika barua kwa njia ya mtandao ili kuwa D1?

  • @mwadawayusuph8102
    @mwadawayusuph8102 ปีที่แล้ว

    Punguzen hzo tarrif kundi la pili jaman muongeze yawe matatu ili la pili lpunguzwe gharama dahhh km tuna viwanda wakat n wapangaj

  • @martinmwalega8670
    @martinmwalega8670 ปีที่แล้ว

    Asanta Sana binafsi Niko nashida ya kupata unit chache wakati matumiz yangu ni madogo napata unit 2.5 kwa 1000 je nawezaje kusaidiwa

  • @ngwanyijekatanga1682
    @ngwanyijekatanga1682 11 หลายเดือนก่อน

    Mie kwenye bei ya umeme sina sana shida japo wapo wateja wamehamishwa matumizi wakati hawajawahi kutumia unit 70 na wapo kijijini lakini shida yangu ipo kwenye tozo za nyumba ambazo sserikali imeamua kuwachonganisha na watanzania maskini waishio vijijini pango sh 18000 kwa mwaka ni kiwango kikubwa sana mtu ananyumba chumba na sebule anataa tatu jamani ati tu ana umeme sh 18000

  • @denceyustas9857
    @denceyustas9857 10 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba kujua kwann mita za umeme Zina tofauti kuna elfu Moja wanapata unit 8 zingine elfu Moja tuna pata unit 2.8 Tatizo nn jamani mtupe elimu wakuu tatizo nn

  • @patrickkamoga3469
    @patrickkamoga3469 2 ปีที่แล้ว

    Kwa zaidi ya miaka miwili sijawahi kuzidi unit 75 kwa mwezi nikija TANESCO msisumbue

  • @isackmwaluko407
    @isackmwaluko407 2 ปีที่แล้ว

    Nilikuwa kwenye taarifu o nikatolewa bila Mimi kuzidisha hata unit 75. Na Niko kijijini..nilienda mpaka tanesco kuuliza nikajibiwa kaka we habari yako imeshaisha..mtatolewa mmojammoja mpaka mtaisha was taarifu 0..watabaki wa umeme wa rea tu..

  • @paschalmajoge3090
    @paschalmajoge3090 2 ปีที่แล้ว

    Mbn sisi huku musoma umeme warea nibei gari sama mfano elf5000 unapewa unit12 ukienda tanesco wanakwambia iyouduma yakutolewa katika matumizi makubwa haipo duuuh wemzee kuwa mkweli mungu anakuona

  • @amidujuma6330
    @amidujuma6330 ปีที่แล้ว

    Nyie tanesco mmejawa rushwa mimi toka mwezi wa kwanza nime OMBA umeme savea
    Mbaka leo hajaja mbaka nimlipe pesa za MAFUTA

  • @sumunijackson1579
    @sumunijackson1579 ปีที่แล้ว

    Namba yenu ni ipi

  • @user-hs5pg7ft6e
    @user-hs5pg7ft6e 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nauliza...,Hivi Meter ya LUKU Inafanya nini...? Mteja umuwekee (tarrifs)...? LIPA UMEME KADRI UNAVYOTUMIA...SASA (TARRIFS) INAWEKWAJE HAPO...? ACHENI KUTUUMIZA.

  • @benjaminbatano698
    @benjaminbatano698 2 ปีที่แล้ว

    Huu ni uongo mkubwa, kama ni hivyo mbona maelezo ni kinyume na wanavyofanya Tanesco gharama zipo juu sana

  • @mrafb7224
    @mrafb7224 9 หลายเดือนก่อน

    compressor ya friji haiwaki mda wote kwaio hio input power izidishe kwa 8 sio 24 madam injinia,lkn hongera,