Mtu akiwa kagombana na mtu na mkewe mume alimpiga mke mke akaamua kukimbia kwa mumewe tng alipoondoka kW mume hakurudi tn kW mume mume hatak toa talaka halafu mukaa miaka 4 kila mtu kivyake hamuulzan hata hali hata njian humuon humjui alipo miaka 4 bado anakuwa mumeo na ukijapata talaka waweza kaa EDA apo
Sheikh mm mume wangu yuko safari miaka miwili bt akija nyumbani hana mda na mm je nikizini ni makosa na hakiwa kazini pia anishuhulikii kwenye simu ni salam tu je nifanyeje
Shekhe mm mume wangu hana ata haja yakuongea maneno mazur katika simu na nipo mbali nae mm kila nikijutahid kumpa maneno mazuri mwenzangu hana mpango.tani neno nakupenda nalipata mr 1 kwa mwezi inauma shekhe
I feel sad for born Muslim men who even have guts to talk back and they know they are doing wrong. It’s wrong especially when a woman has reverted to Islam.
Mtu akiwa kagombana na mtu na mkewe mume alimpiga mke mke akaamua kukimbia kwa mumewe tng alipoondoka kW mume hakurudi tn kW mume mume hatak toa talaka halafu mukaa miaka 4 kila mtu kivyake hamuulzan hata hali hata njian humuon humjui alipo miaka 4 bado anakuwa mumeo na ukijapata talaka waweza kaa EDA apo
Hahaha
Sheikh Allah akuweke akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha
Uko yuu sheikh
MashaAllah
Aah sheikh umenena mm ndo maisha yangu ayoo ...kaja kakaa na mm mwezi na nusu basi mwaka hayupooo
Sheikh Allah akuhifadhi
JazakAllah khaira ya cheikh
Mashallah Allah akuzidishiee elimu yenyee manufaa uziidii kutuelimisha amin
Ma sha Allah shukran
Assalamu aleikum sheikh kwa mfano mke na mume kukaa mbali kma mke yuko town na mume yuko kisauni je yafaa kukaa mbali mbali
Jazzakallahu khery
Maneno yko c urongo,ni kweli kabsaa 👌
Weather together 😂🤣🤣🤣
Maa sha Allah
Asalamu alkm warhamtullah wabarik atu Kwa hyo ni makosa kuwa mbali Na waume zetu
MashaAllah mimi niko qatar mwaka mmoja lkn nimagumu sana ila twatafuta money
Fauzia Mwakunena deen imekuwa ya kuowa na pesa mbona hamzungumziye jihad awo mwaogopa ma bomb ya makafiri na muhogopi adhabu ya Allah
Fauzia Mwakunena !vipi Fauzia
Sai haswa ndio.kaz wake walioachwa kenya wachezewa n waume nao walioko arabun wachezea wake zawatu ..Allah atunusru
jazakum llah kheiren
Mashallah
MASHA ALLAH ALEIK
will try it shem inshaallh 😂😂😂😂
Mashaallah 😀😀😀😀
MASHAA ALLAH
Mashaallah
Sheikh mm mume wangu yuko safari miaka miwili bt akija nyumbani hana mda na mm je nikizini ni makosa na hakiwa kazini pia anishuhulikii kwenye simu ni salam tu je nifanyeje
Usizini .. bora uombe talaka utafte mume mwengine wa halali
Saharia haija kukulazimisha ubakie kunyanyaswa katika ndoa isio kua malengo yakuridhishana katiyenu madamu wahisi hupewe haki yako yamsingi unaruhsa na nafasi yakudai talaka . Naukifanya jengine lolote lislo ruhusiwa nasharia ujue utapata dhambi .
Ndio nimakosa kuzini
Napenda sana mawaedha yako,nakila unalolisema nikweli na nihaki,
Nilazma mujue hisia zawanawake
Jamani tumuogope Allah Kuna yaumul Hesab Mwenyezimngu atuongoze .
Bi idhhni laahi
Kwa makubaliano je
Mwanamke ikiwa ameridhika
Juu ya mume wake kwenda kutafuta maisha
Shekhe mm mume wangu hana ata haja yakuongea maneno mazur katika simu na nipo mbali nae mm kila nikijutahid kumpa maneno mazuri mwenzangu hana mpango.tani neno nakupenda nalipata mr 1 kwa mwezi inauma shekhe
Ashapata mwengine
Mim ninamwaka moja sijafanya tendo la ndoa na mume wangu nikimwambia tunagombana na tunaish pamoja
@@shellahsemasaba5813 whaaaaaaat. Mnaishi pamoja....?? This is a joke
Shukran
Wapo wengi hawo nimesiliza mpaka machozi yamenitoka shelh
I feel sad for born Muslim men who even have guts to talk back and they know they are doing wrong. It’s wrong especially when a woman has reverted to Islam.
ast sn sheh watu ila wan ume wang wapo hivy,,,anakuacha hat mwaz,naukimungusa,,,,,ww hapo ni majang tu
😂😂😂
Swadakta ustadh
Naomba namba yako sheikh
+254772611120
Sheikh funny 🤣🤣🤣
Twaibuuuuuuuuuuuu😁👋
😁 😁 😁👏
au mmi ndo,,,na muchake au mm ndo wakwza kumungusa,,,,,nyeny han habr ya kukuppsa kwnn
m.mungu akuzidishie elimu shekhe
msaaa ALLAH
maisha himekuwa ngumu mwalimu wacha tufanye kazi 5yrs saudia 😁
afathali yawe magumu kuliko kutokujistiri
😅😅😅😅
😁
Wanaume wengi wadharu hayo
Kumbe haifaiii
Twayyyyyib
abdulhalim maulana
mbon mmi nani miak 5,,,,sin mume na hisi sni kwnn
Duh pole
wana ume wangi wapo hivy tu mmi sin hamu tan🙆
Kweli sheh wanaume wanajipendelea wao eti kwa kua wamepewa fursa ya k uoa
Sina hata ham
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Twaibu shehe
Hhhhh aapo
au mume analal na nguo zake ni haki kw mkw au
Shakila swang hakutaki huyo dada
+Mohamed Mariano nikwli sas nafanyj
Ya kazini usiyalete nyumbani ddarsa ajjab
abeid juma kwelii
maasha ALLAH
MashaAllah
Mashallah
mashaallah
Shukran