AINA ZA TALAKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 67

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 5 ปีที่แล้ว +3

    Jazaakaallah shekhe maada umeichambua vizuri nimeilewaa asantee shekhe Mimi niliiomba mume wangu alikuwa anatoka na mtu mwengine nikamshauri muowe basi nijuwe akanitukana mbele ya mama yangu mzazi ndio nikaiyomba taraka nikiwa na mimba ya miezi tiza amekataa akajibu najuwa kuowa hajui kuacha nikaondoka na mimba ya miezi Tisa shekhe nikarudi nyumbani nikajifunguwa mtoto mama akamwambia mkeo kajifunguwa akaja hakusema chochote baada ya kuosha arobaini kesho yake akaja kudai mke nikawa na msimamo nipe taraka amekataa nayo na Mimi nipo nyumbani kwetu basi Mimi nimilea mtoto mpaka kafikisha miaka mitatu nikampingia tena jibu lake ndio hilo hilo nikampandia gari nimemuacha mwanagu nyumbani nikamwambia Leo kitajulikana unipe taraka yangu basi akanipa siku akafikiria siku ya ahadi. Amenicha taraka mbili mpaka sasa mtoto hajui ndio maana napenda kufuatilia mawaidha yako yanafundisha nimeelewaa asantee shekhe

    • @maruthi8172
      @maruthi8172 5 ปีที่แล้ว

      Khadija K unaombaje talaka unadhan mattz hutayakuta sehem nyngn

    • @ngwelesalu8348
      @ngwelesalu8348 4 ปีที่แล้ว

      Duh!

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 10 หลายเดือนก่อน

    Darsa zuri hakika lina mazingatio...Jazakhallahu khairan(ummu Ahmad kutoka Northampton)

  • @iddykivu050
    @iddykivu050 5 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Vipi kuhusu Umempa Talaka Mkeo Kwa Mara 3 Ila Sio kwa Pamoja Megombana Mara ya kwanza mkarudiana Mala ya pili Mkarudiana na Mara ya tatu hiii Mmegona na kwa kigombanishwa na Mtu ambae kakusudia Mgombane Ili yeye HawevHappy Vipi Hapo Ina dwihi Kimrejea Mkeo

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 5 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah kheir sheikh wangu Allah akupe badala. Nakutakia afya njema na umri mrefu na upate mwisho mwema

  • @khadijamuhammad6677
    @khadijamuhammad6677 3 ปีที่แล้ว +2

    Assalam aleikum je mfano mume na mke wamekosana alafu mume aseme ukienda kupika nitajua nimke wangu usipoenda nitajua simke wangu jee talaka imepita mke hakwenda kupika kwa ajili mume amemchapa

  • @rahmahassan8341
    @rahmahassan8341 4 ปีที่แล้ว

    Ma shaa Allah shekh...may Allah guide ad protect you shekh....today i rily need to ask you question can you get marrd without you mum ad dad permission if you are marrd ad gotten talaka....i have found someone i love we undstnd each other so much....i know when we remain single bcox of my dad ad mum then we will commit alot of sin....my mum say he belong to another culture which is not pure in islm ad i know its bcoz the boy is not rich

  • @تيتيتؤزؤزين
    @تيتيتؤزؤزين 3 ปีที่แล้ว

    Assalamu Allaikum,je kama pengn mulikosana na mumeo halafu kazaa na mke mwengn na mm niko mbali wakati hatuna mausiano naweza hachika bila talaka?

  • @AshuraRamadhani-t7f
    @AshuraRamadhani-t7f 8 หลายเดือนก่อน

    Je akiacha taraka moja yafaa kumrudia kwa wakat gani

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  8 หลายเดือนก่อน

      kabla hajamaliza Edah

  • @mbayaolekimojinomaulid2010
    @mbayaolekimojinomaulid2010 3 ปีที่แล้ว +1

    Assalam Aleiqum na ikiwa mke wangu tuna zaidi ya mwaka sijalala nae kwasababu ya kukosana. Kisha nimpe twalaka, hesabu yake vipi na sijui hesabu ya hedhi yake

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  3 ปีที่แล้ว +1

      Kama anapata hedhi atakaa twahara tatu kama hapati tena damu atakaa miezi mitatu

  • @nancycharo7708
    @nancycharo7708 ปีที่แล้ว

    Na mume akikupa talaka wakaty wanyonyesha

  • @shufaamohammed5357
    @shufaamohammed5357 2 ปีที่แล้ว

    Shekhe talaka ya kadhi wakaa vipi

  • @mohammedsalum9079
    @mohammedsalum9079 3 ปีที่แล้ว

    Shahe mm naishi

  • @khadijaahmed7600
    @khadijaahmed7600 3 ปีที่แล้ว

    Jee akikuandikia nimekupa talaka hua ningapi na hujui kosa?

  • @7176M
    @7176M 5 ปีที่แล้ว

    Masha Allah.kwamawadha.malaika.waher.akutangulie.udhid.kutuelimisha
    .

    • @7176M
      @7176M 5 ปีที่แล้ว

      mwjuma.athumani

  • @innocentjay5844
    @innocentjay5844 5 ปีที่แล้ว +3

    Waislamu wamefeli upande wa ndoa.kitu kidogo NIPE TALAKA YANGU

    • @fatmasaid9115
      @fatmasaid9115 2 ปีที่แล้ว

      A.alaykum
      Swali langu ni hili nimeachwa talaka 2 mpaka eda imemaliza hakunirejea.baada y muda kupita akanioa tena. Je akiniacha tena hio talaka inahisabika y kwanza ama y 3?

    • @kautharramadhan-ej2iy
      @kautharramadhan-ej2iy ปีที่แล้ว

      @@fatmasaid9115 ya tatu shoga angu

  • @mahmuodmusa5883
    @mahmuodmusa5883 5 ปีที่แล้ว +1

    Jazakallahu kheir Ustadh

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 4 ปีที่แล้ว +1

    MASHALLAH ALEIK

  • @sayyidathmanabdulrahmanhh1467
    @sayyidathmanabdulrahmanhh1467 4 ปีที่แล้ว

    A a vp kuhusu wasopata kabsa hedhi kwa ajili ya maumbile ya الله

  • @zenastadi2772
    @zenastadi2772 2 ปีที่แล้ว

    Mume akimwambia nimeamua tuachane je talaka hapo imepita

  • @msafiridadisalim7341
    @msafiridadisalim7341 6 ปีที่แล้ว +1

    Kwa mtu asie jua na haja kusudia alikua na hasira na katoa bila kukusudia inakuaje

  • @mishisaidi8696
    @mishisaidi8696 6 ปีที่แล้ว +1

    sheikh lakini kunawanawake wengine hupata heidh mwezi adi mwezi

  • @HamzaHamza-zc2vs
    @HamzaHamza-zc2vs 6 ปีที่แล้ว +3

    Sheikh na je hawa watu ambao hawapati damu kwa sababu ya ugonjwa au family planning eda yao itakua vipi

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 6 ปีที่แล้ว

    NAPENDA sana kufuatilia darsa zko Ila kwa taraka umechemka

  • @jahifamau6873
    @jahifamau6873 6 ปีที่แล้ว +1

    Wallahi darsa zuri na pia lafurahisha.

    • @seifkhatib227
      @seifkhatib227 6 ปีที่แล้ว

      Muhammed idimaisha ya ndoa

  • @lindaanyango3418
    @lindaanyango3418 5 ปีที่แล้ว

    Sheikh,je mwanamke akipewa talaka kwa ajili yakutokwenda kwa Kina mume,Ni hatia?

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 2 ปีที่แล้ว

    🙆🙆🙆🙆

  • @nabiltwahir9109
    @nabiltwahir9109 6 ปีที่แล้ว

    Asalam alekum shekh . jee kuna talaka bila mashahidi .

  • @mamlatmudrik5469
    @mamlatmudrik5469 5 ปีที่แล้ว

    Asalam alaykum shekh jetalaka inaulazima wa shahidi

  • @khatibshkh5530
    @khatibshkh5530 4 ปีที่แล้ว

    Je km mke umepewa talaka ya 2 mkitaka kurudiana ni vipi

    • @shamomar629
      @shamomar629 3 ปีที่แล้ว

      Kama haijafika miezi mitatu na siku kumi tangu kukuacha basi aweza kukurudia, kama kipindi hicho kimepita anaweza kukuoa upya

  • @jumamwacharodzikowa523
    @jumamwacharodzikowa523 6 ปีที่แล้ว

    Sheikh,heidh ya mwanamke ni kila mwezi au kila wiki mbili,mana umenichanganya kusikia heidh ya mwezi mara tatu

    • @againstallodds8548
      @againstallodds8548 6 ปีที่แล้ว

      juma mwacharo dzikowa inategemea na vile mwanamke anapata heidh zake kuna wengine after 1month wengine after 2wks na wengine baada ya masiku kadhaa ndio ivyo sasa ule mda atakua ashajitwahirisha ni twahara ya kwanza sasa ivyo zikifika twahara tatu ndio khalas ashamaliza Eda

  • @jahifamau6873
    @jahifamau6873 6 ปีที่แล้ว +2

    Je kumueka.mke eda ni lazima.na kama ni lazima je mwanamume asomueka mwanamke eda hukmu yake ni nini?

    • @halimaabdullahi1201
      @halimaabdullahi1201 6 ปีที่แล้ว

      nini maana ya eda? kiswahili is so hard

    • @sarahbadawi7908
      @sarahbadawi7908 3 ปีที่แล้ว

      Talaka ikiandikwa kwa karatasi ina vunjika kama mwanaume ame kupa karatasi

  • @arafatmwamtind3410
    @arafatmwamtind3410 7 ปีที่แล้ว +1

    assalam alykm nina swali sheikh je kama mtu ameandika talaka kwenye kila karatasi ameandika nimekuatha talaka tatu imepita vp

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 6 ปีที่แล้ว

    Nausifananishe M pesa Na mambo ya dini

    • @zulekhahassan1025
      @zulekhahassan1025 5 ปีที่แล้ว

      ADAM NGUVU hio mpesa it’s just an example elewa bro

  • @dailylaughingworld0079
    @dailylaughingworld0079 7 ปีที่แล้ว

    vizuri sheikh

  • @zenastadi2772
    @zenastadi2772 2 ปีที่แล้ว

    A.a mume akisema umeamua tuachane je talaka imepita hapo, lkn hakutamka nmekuacha.akasema lkn hakua na Nia kuniacha

  • @glorsglors2197
    @glorsglors2197 6 ปีที่แล้ว

    Me nilipewa talaka 2 na mume wangu kaoa so.... na fanyeje....

    • @againstallodds8548
      @againstallodds8548 6 ปีที่แล้ว

      Glors Glors minaona mda ulioachwa mpaka sasa zimepita twahara tatu coz hapa nimeelewa twahara tatu basi ushamaliza Eda

    • @aishaibrahim5138
      @aishaibrahim5138 4 ปีที่แล้ว

      Kama ushamaliza eda na hajakurudia basi sio mke wake tena.

  • @aminaabdallah3136
    @aminaabdallah3136 6 ปีที่แล้ว

    Gghh

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 6 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh kwa upande wa taraka tatu umechemka taraka tatu hata iweje ni taraka ambazo hutolewa kwa twahara tatu sio ukisema tu mara tatu eti taraka tatu hpo umechemka

    • @alihussein5159
      @alihussein5159 5 ปีที่แล้ว

      Fungua channel yako na ww kisha toa elimu ya dini acha kuongea upumba

    • @thumaamsupa695
      @thumaamsupa695 4 ปีที่แล้ว

      Babu we ulikuwa wapi kwani c utoe ww hyo mawaidha ya talaka basi

    • @taqiyyuddincadis6281
      @taqiyyuddincadis6281 4 ปีที่แล้ว

      Ewe Adam replay the video. Fungua akili na masikio yako vizuri. Una ilimu ipi katika dini ili na sisi tusome kwako