Shukrani sana Sheikh kwa juhudi zako na kwa faida tunayoipata watazamaji. Hayo matamshi uliyoyatamka mwanzo, kwa lugha ya Kiarabu, yanapendeza sana. Nadhani ni vyema ufanye uwezavyo utuelimishe hayo na utufafanulie, kwa lugha ya Kiswahili.
Asalaam Aleikum....sio siri ila hakuna wanaume wanaodhulumu wanawake kama wanaume wa kiislamu...Mapenzi yao ya haram huwa matamu kuliko ya ndoa....na wako hapo na wewe sheikh wanakusikiza ila zaingilia sikio la kulia latoka sikio la kushototo....Wanawake yasemekana wamejaa motoni ila wanaume wa kuoa wanawake zaidi ya mmoja nao vile vile watajaa...REHMA NYINGI TU ZA ALLAH NDIZO ZITAKAZO TUOKOA...MANAKE NI GHAFUR RAHIIM...ARAHMAAN.
MashaallAh Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin
Shukrani sana Sheikh kwa juhudi zako na kwa faida tunayoipata watazamaji. Hayo matamshi uliyoyatamka mwanzo, kwa lugha ya Kiarabu, yanapendeza sana. Nadhani ni vyema ufanye uwezavyo utuelimishe hayo na utufafanulie, kwa lugha ya Kiswahili.
Izudin Alwy namkubali sana sheikh huyu....Am Kassim 4rm Zanzibar...tunakukaribisha sana Zanzibar Sheikh
Msisahau kuwa wanaume pia wana mitihani wakiwa na umri mkubwa hukosa nguvu za kiume
Mashallah shekh unafahamika yani mawaidha yko ni illmu tosha allhmdllh
Mwenyezi Mungu Anijaarie Nipate Kuolewa Na Mume Mwenye Hofu Ya Mwenyezi Mungu
A.aleikum Sheik wetu wake zetu wengi huwa wanasema Mtume hakuongeza mke wapili mpaka mke Bibi Khadijah akaaga
asante shehe mungu atuzidishie imani
Asalaam Aleikum....sio siri ila hakuna wanaume wanaodhulumu wanawake kama wanaume wa kiislamu...Mapenzi yao ya haram huwa matamu kuliko ya ndoa....na wako hapo na wewe sheikh wanakusikiza ila zaingilia sikio la kulia latoka sikio la kushototo....Wanawake yasemekana wamejaa motoni ila wanaume wa kuoa wanawake zaidi ya mmoja nao vile vile watajaa...REHMA NYINGI TU ZA ALLAH NDIZO ZITAKAZO TUOKOA...MANAKE NI GHAFUR RAHIIM...ARAHMAAN.
Allah akulipe pepo
Napenda sana mawaidha ya Izdun
Mashaallah shukran shekh
Mashaallah
mashallah mafunzo mazuri sana
Minatka kuolewa make WA pili ama Watatu ila sjapta mume sahihi
Allahumma amiin
Mashaallah ajiyyyb shekh izudin. Lakini kama nyinyi hamuna uwezo wakitandani kikombe kimoja cha chai chapili hamuwezi tena jee sisi tufanyeje wanawake
Mashallah
MASHALLAH ALEIK
wanaume hamzeeki naona mnajisahau