One day watu watakuja irudia hii interview Kwa lengo la KUPATA faida maradufu Niamini Mimi hii ni interview Bora ya muda wote imegusa engo zote Salama you will be remembered
Brother kuzeeka tu ndio umeona😂😂😂yaani umekosa the whole idea mzee uko busy kuangalia bebe😂 wazee wa gazeti kwa kuangalia picha🏃🏽🏃🏽🏃🏽hausomi mzee🏃🏽🏃🏽🏃🏽🏃🏽😂
Amelelewa na Mtaa ndio maana huna ni muislamu ambaye hujui thamani ya imani yako ya uislam, anahisi maisha ya kisela ndio maisha ya mafanikio kumbe anajiandalia maangamizi ya milele😭😭😭😭
Uyu dada na mpenda sana ajawahi kuniangusha ata siku moja alafu apendagi uchoko Big up salama
Yaaaaan Mie nikiangalia interview za Salama lazima nitoke na kitu thank you sister 🎉
Uko sawa kabisa salama,redio ni kioo cha Jamii,sababu watu wanaposikiliza wanataka wajifunze kitu,thanx salama nakupenda sana mamy.
Wapi maua ya salama jabir❤❤❤❤
One day watu watakuja irudia hii interview Kwa lengo la KUPATA faida maradufu
Niamini Mimi hii ni interview Bora ya muda wote imegusa engo zote
Salama you will be remembered
Interview za salama ni noumer sana unaenjoy kumskiliza anakichwa timamu kichizi..ata anavyohoji mtu pia yuko smart anaresrch zakutosha before akuhoji
Huyu mama KICHWA SANA. Tena ametulia sana. Salama ni SALAMA.
Yupo sahihi kabisa wengi wanasifia ata pasipo na cha kusifia
Female presenter of all time 🙌🙌🙌
I love me some Salama. Very big respect to her.
43:22 , 44:16 hapa kuna ujumbe muhimu sana kwa vijana wasio na ajira na wanavipaji.
Yesss sis , you said it all
Salama pls usi isahau kiponda mimi humuod mwzangu alikuwa Abdul jeered muscat jabir Ibrahim kuki bg up sana
I lov her❤
Huyu jamaa white Anajua SANA
Salama nakuelewa sana sister angu
Nice one ❤❤❤❤❤
Huo mlango umeniacha hoi nilifikiri kabati mara naona mtu anatokea kwwnye huo mlango😂😂😂
Huyo demu mtangazajii anajitahid sanaa
Hip hop 🐐🐐🐐
Big up Salama💪
Why can't u guys don't use dada salama
@yahstoneTown appreciate you
👍👊✌️.
Msaada jaman hiyo beat ni ya ngoma gani
Hii interview ni hatarii
Sasa mtu yuwaongea na back ground nyimbo Iko na sauti ya juu kuliko anaeongea
👌👍
Nipe namba ya salamaa
Uliemponda bongee msaniii
Plz umulize uyo salama ame olewa au ana mchumpa na jina lake nani
❤❤❤
Salama mwanangu jitahidi kuvaa mtandio utimize uislaam wako
Kasha zeeka
Omba mungu ufike umri Kam sister Maana vijana WA sasa ukifika age kma Iyo fanya hata part Ni ushauri tu
Brother kuzeeka tu ndio umeona😂😂😂yaani umekosa the whole idea mzee uko busy kuangalia bebe😂 wazee wa gazeti kwa kuangalia picha🏃🏽🏃🏽🏃🏽hausomi mzee🏃🏽🏃🏽🏃🏽🏃🏽😂
Lakin Ana madini❤
Mama yako hazeeki
Anazeeka vipoa lkni.....acha chuki za kijingaaa www😮😮😢
Hasa wadangaji WA wasafi ni wazinguaji
Salama rudi kwa Allah umri umekwenda binaadam hatujijui sahivi hslafu hatupo wewe ni mtoto wa kiislam
Kwani wewe hauna dhambi Anza kurudi wewe
Hivi salama mbona kama yuko uzazi au ndo ametoka uzazi
Wewe mbona hujasema km umetoa mimba achia mbali uzazi
Haha haaa haa
Sio vizuri kujaji muonekano wa mtu kwa afya yake! Kuna mtu anafanya kazi zake huku anaumwa sio lazima ajitangaze.
Amelelewa na Mtaa ndio maana huna ni muislamu ambaye hujui thamani ya imani yako ya uislam, anahisi maisha ya kisela ndio maisha ya mafanikio kumbe anajiandalia maangamizi ya milele😭😭😭😭
Bado husema
Kwani wewe ni msafi kiasi gani mpaka umuongelee salama kwa kiwango hicho acha izo
Hivi salama kashaolewa au bado nilete posa manake naona taa nyekundu inataka kuwaka
Huyu ni lesbian
Tom boy
Mungu aingilie kati aweze kuokoka ktk jina la Yesu
Salama anapenda wasichana huwezi kumuoa alafu Msela mno
Soggy Doggy