KAJALA AKAA KANDO HARMONIZE ALIVYOWASILI KWA LAMATA /AJIBANZA PEMBENI KUMKWEPA AKAA NA LULUDIVA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - บันเทิง
Maze Kenya tunamkubali Temboooooo for life meeen
Dorah first born wa Lamata, huwezi kuona amemuweka mbali hata kidogo wakiwa kwenye shughuli yeyote ❤
Harmonize kammis kajala kaamua akamsapot shemej yake lamata😅😅😅
Tembo popo jeshiiii mnyama 🐘🐘🐘💥💥💥💥💥
Naombeni munipe jina ya hiyo ngoma iliyo kuwa ikipiga hapo. Na kama niya msanii gani please
Safi sana kwa upendo❤
Dora yupo na mama yake pemben 🥰😘
😮
Tuma fulani imekuwa dira ufupi raha 😂😂
💥🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘👏👏👏
haya mapara lkn 🌚🌚
Akuna mweusi wote ni warembo tz mashallah
Jamani!!!weusi ni urembo tena zaidi...
Ila konde😂😂
Ongera sana mtoto wa masanja kuwa mbali na huyo mmakonde unajiepusha na vingi
Kajiepupuaha vingi kma vp
Mim nashangaa tu mbona vipara vingi🤣🤣🤣
Hao ni watu wako na kensa ya nywele ikiwemo kajala😂
Hamo ana mpango nae kaja kimsapoet lamata
Nice
Harmonize nakupenda bure kaka angu❤
JAmani mad zangu na kaka zangu Mimi na tafu ta kaza za ndan
Njoo nikupe
😂😂😂
Bupe nakuona
Konde bwayyyy
Mungu baba naomba kikombe hicho nikiepuke nikiumwa nisije kuongezwa damu ya hamonize na diamond 😂😂😂
.....Utaaza mziki papoapo
Hata haiwez kutokea kwahyo kaa tu kwa kutulia mwaya😂😂😂😂
@@MAJChannel-01 itatoka tu niko paleeeeeee, dunia inazunguka hujafa hujaumbika katika maisha usije kuapa eti kitu flan hakiwezi kukutokea kwenye maisha yako hahaha pole yako kikubwa ni kuomba mungu tu
😂😂😂😂😂@@yusternyirenda7231
Doraa t-shirt lake hana habari
Mbona kama shughuli niya wana wake thu
Allah AKUONGOZENI ktk haki
Wapendw me nataft kaz za ndani
Sai maex viroho vyaongea😂😂 rajabu na Freda🤣🤣🤲
Kajala hanamtamani konde Hadi raha mbusu bas
Kichwa chahabari eti al8jiweja pembeni😂😂😂
😂😂😂watangazaji bwana
Hermonise tafuta msichana mdogo huyu ametombwa nyota ikachafuka
Shangazi asichangie damu. Please
Anna na siket yake ya kijani anaboa
Hivi Lamatah alishajifungua au mbona sielewi niliona baby shower tu mtoto sijasikia kabisa?
😂😂😂😂😂 WAbongo bhna mnavisa sana duh nmecheka sana
C ndo uyo anaye tamba naye kajala
Lamata anampenda Dora hadi natamani Mimi niwe Dora
Yaan had wivu 😢 raha sana❤❤
Nataka titre ya iyo nyimbo iliyo pigwa , harmonize alivyo chuka kwa gari please
Ni wimbo wa kwaya unaaitwa Permanent..... NEEMA GOSPEL CHOIR
Nimejickia vibaya kutomuona simba wanngu
Kajala asiongee nae
Wanawake kunyoa mipara haipendezi
Jaman yule mtoto kavaa gauni au tshert
Hiyo nyimbo inaimbwa hapo mwishon inaitwaje
Nami naitamani
Inaitwa Permanent - Imeimbwa na Neema Gospel Choir.
Konde Boy
Wnachangia damu wamepima ukimwi musituogezee damu zilizo asilika wapime kwanza
@zainabmartin Lugha unayotumia sio nzuri. Mbona unaonyesha una chuki sana? Watu wanajitahidi kuelimisha kuhusu maradhi ya Cancer wewe unawakatisha tamaa kwa upumbavu wako. Hujui matatizo wanayopitia wagonjwa wa cancer Mungu akusamehe.
@@ashaali7154🎉❤
Sasa kondeboy anachangia damu vipi na mitatoo hiyo
Sio hD damu hadi pesa pia mwenye tattoo haihusian na damu
😂😂😂😂kwahiyo mwenye tatoo damu yk imeharibika au wakati iko juu ya ngozi
😂😂😂😂😂😂
@@user-vy2bc6xg3i😂🎉