RECAP: KOMASAVA ya DIAMOND, HAKUNA MATATA ya MARIOO, DAH YA NANDY, FALLEN ALIKIBA ngoma za KIMATAIFA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Dah nzuri alioimba na kiba
leo mimi ni wa kwanza kutokea Kenya 🇰🇪🇰🇪
Unafilwa wewe wa kwanza ndo nini ili iwije acha habri zakoww
@@vansclassic2131 brooo sikujui na haunijui kwa hivyo usitukane watu ambao huwajui matusi sio kitu kizuri wewe ni mtu mzima kama waona kitu hakikufurahishi achana nacho kwa taarifa ya mimi sifirwi sawa....
@@vansclassic2131 hio inaonesha vile huna adabu ndio maanake video zako hazifiki hata watu mia huo mziki unaofanya haitakufikisha mahali hautawai ona faida yake ila hasara tu.....
@@ankalmzito254😂😂😂
😢Ila harmonize
Kama "Dah" ya Nandy is international then "Dharau" ya Ibraah ingekuwepo hapo..
Apo sasa jo anaboa
Dharau hamna kitu sio kama Dah ile ngoma Nandy sio poa
You expect This guy to tell you that? In your dream. Anakuanga nakachuki Fulani
Kabisa
C'est vous le king 👑 Bro🇨🇩🇨🇩
Derulo pia kashaingia kwenye mfumo. Pia kaifanyia komasava challenge
Ety Essences ya wizikid Rihanna alilipwa bro ucha uongo ngoma hili Rihanna alipagawa mwenyewwe
Ngoma zote producer ni S2Kizzy
Nawaza siku asipokuwepo duniani itakuwaje japo simtakii mabaya
Nawaza siku asipokuwepo duniani itakuwaje japo simtakii mabaya
Pls, Dah is not an international song, even alikiba new song fallen angel. I agree with you, kwamba both Alikiba and Nandy are good songs but nit international. I am sorry
App kwa nandy umesema kweli kabisa kwa sasa Ina 14million kwa 4monts
KOMASAVA niwimbi mbaya kulinganisha na FALLEN ANGEL ingawa KOMASAVA umeenda nje yanchi kwasababu ya promotion
Huundio ukweli
Snch tu😂😂😂ww wimbo wa wa komasava mtam kwanini nawao wasipuge promo😊
1komasava
2dah
3dharau
4matata
5disconect
Kupendwa inje ndani kwako hupendi ndo Nini? Anza ujenge upendo kwako
Huyu jamaa hajui anataka nn
Alikiba wimbo wake mm baya hata akifanyoa promo
Kana chuki saana
Unaongeya utumbo tu unaacha wapi disconect matako Yako kwanza
😂😂😂matus ya nn
Kwanza niulize kitu ule uwekezaji wenye el mando anasemaka nini ?
Hizo hela sasa za promotion itakuwa hwn 😮😮😮😮
Nami niwa tano
Namm niwatatu
Hapa kama kuna kujikanganya kidogo. Kama Dah ni bongoflava basi ndio wimbo unaofaa kuiwakilisha Tanzania nje. Hiyo miziki ya nje iliyoimbwa kwa Kiswahili itashindanishwa huko huko na nitafurahi wakishinda. Ni heshima pia. Ni muhimu kuzipa kipa umbele home grown genres katika TV, radios, clubs nk. Wanamuziki wakubwa waneshapita ile level ya kutafuta mlo wa siku moja sasa hivi wanatakiwa ku focus on national pride (wale wadogo waache wafukuzane na upepo kwa sababu baado wanatafuta).
Kakojowe ukalale myimbo ukiyona nyimbo unatumiaka nguvu kubwa ujuwe nyimbo mbuvu
Baki na huyo huyo diamond wako mzee
Kwaiyo wewe unataka ali kiba afanye mambo kama anayo fanya huyo diamond wako mngese weee
Jamani naomba ni uliza kuna tafauti ya kuwekeza na ku promoti ?
Ata dah ya nandy unasema kimataifa 😅😅 naku shangaa kwa hili 🤔
unashangaa nn kimataifa ni nnje ya mipaka ya tz sio had ifike USA 😂
Ety dah ya Nandi n international weee dharau intamba San n si intranational wewe unamchkia konde sanaa
Aka kajama kana chiki na kond gang aka diamond anaka filaga
Kizur chajiuza kwani komasava ina namba wapi acha umama ww
Boomplay ina 8m sio mchezo kumbuka hiyo ni audio,4.4m utube, haya nakupa kaz nitajie sportfy na apple music😂