Mnaosema lisu Anafanya siasa za uchochezi n 1-mtakuwa ccm 2-hamjui maana ya siasa 3-mathayo 10:34-39 kasome 4-sio uchochezi anaongea ukweli 5- kama hamjui Ni kwamba siasa uwa zinaangalia pale penye udhaifu wa mwenzio ndo wanakuchapia Kama kipindi kile magufuri anapiga push up hiyo ilikuwa ni challenge kwa Lowasa. 6-usije tegemea hata siku moja kusikia mwana siasa anamsifia mwenzake , maana yangu ni kwamba siasa uwa haipo kwenye kusifiana. Ni unapigwa vitu vikali unaweza kulia 😂😂😂😂
Huyu jamaa ni mfano wa kuigwa Mungu akulinde Mungu anakusudi na wewe ndo maana uko hai mpaka leo Mungu akulinde juu ya maadui hawa wa Wanao dhamini wanyama pori kuliko watu wake.
Hoja zilizokuwa zinatolewa kwenye hotuba hiyo ni za uongo kwa mujibu wa mtazamo wako ndo maana watu wajinga kama nyie tusi linakufaa tupo kwenye mambo ya maana ya maisha halafu wew unaona wenzio hamnazo?
Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli
Acha kumlinda Rais , unadhihirisha jinsi tulivyo na kiongozi dhaifu kwani hayo yanayelezwa ni miujiza mpaka ashindwe kubaini na kutoa amri ya kuwaajibisha.
Barua hiyo madhumuni yake ni ili kusudi watu maelfu wa makambi yale ya wakimbizi wasipate elimu yako kubwa wakajua siri, wawe akiba ya kura za ziada kwa ccm nyakati za uchaguzi,na mkakati huu wananchi tunaamini kabisa kuwa una baraka zote za serikali,na sasa yamefichuka mchana kweupee!
Kumbe kuna Watu Wajinga Km Ww Anachokiongea Lissu Ni Ukweli Mtupu Tunahitaji Hali Kwa Kila Mtu Aheshimiwe Na Kusikilizwa Tuchague Kiongozi Ambaye Ni Bora Sio Wa Tumbo Lake Na Family Yke Amka Kwenye Usingizi Mzito Huo
Sema Baba sema msema kweli always msema kweli hapendwi na wote mpenda haki hawi CCM hata siku moja
Good job my brother lissu Salam zangu kutoka USA
Lisuuu tupo pamoja kamanda
Wazanzibar tumeshayazoweya sasa zamu yenu wenzetu wa Tanganyika pole zetu sote
Lissu Mungu akutangulie 🙏🙏🙏🙏
Mnaosema lisu
Anafanya siasa za uchochezi n
1-mtakuwa ccm
2-hamjui maana ya siasa
3-mathayo 10:34-39 kasome
4-sio uchochezi anaongea ukweli
5- kama hamjui
Ni kwamba siasa uwa zinaangalia pale penye udhaifu wa mwenzio ndo wanakuchapia
Kama kipindi kile magufuri anapiga push up hiyo ilikuwa ni challenge kwa Lowasa.
6-usije tegemea hata siku moja kusikia mwana siasa anamsifia mwenzake , maana yangu ni kwamba siasa uwa haipo kwenye kusifiana. Ni unapigwa vitu vikali unaweza kulia 😂😂😂😂
Kabisa mkuu
Naam imeeleweka mr
Usiwe wa nduhu tabu wewe .tundu anasema kweli tu
Kwa wale mliokuja Kwa ajili ya barua ya polisi...peleka mbele hadi dkk ya 10...ili usipoteze mda
Una akili sana
Kwa dhuluma hii lisu tuko pamoja
we jamaa Mungu akupe maisha marefu kwani unatufumbua macho tuliowengi
Mungu atakupa maisha marefu monyampaaa kusoma ni raha Sana.
Kamanda sema
Risu unakidhi vigezo kua rais wa jamhuri ya muungano wa tz
Rais wa Tz
Uzuri wa kusoma.Nchi isomeshe wananchi wake
Unachokisema marazote ni kutetea mtanzania pia hukomi pamoja na kupigwa Marisasi
Wewe Ng,ombe Hina lolote kbsa,usicheze na serikali,wewe sema unachotaka mtanzania aishije
@@wilsonmkumbo alietahiriwa hatahiriwi tena lisu kama kuacha angeachakuikosoa serikali baada ya marisasi
Tanapa ni washenzi sana hawana huruma na binadamu Hilo tunalijuwa Mzee,wanathamini wanyama kuliko binadamu huu ni upumbavu kabisa.
Yuko na hoja, ajibiwe na serikali au chama cha mapinduzi. Hiyo ndio siasa.
Hapo unatukosea nchi Ina waamiaji wengi zungumza ukweli
Kama hayo yote lissu unayosema ni kweli, Mungu wa mbinguni atupiganie na kutuinulia watetezi, ili waovu hao wawe kama majani makavu mbele za moto,,,
Huyu jamaa ni mfano wa kuigwa Mungu akulinde Mungu anakusudi na wewe ndo maana uko hai mpaka leo Mungu akulinde juu ya maadui hawa wa Wanao dhamini wanyama pori kuliko watu wake.
Sema Baba sema msema kweli always msema kweli hapendwi na wote
Mmmmm.Enzi za Jiwe mida hii Police wamemzingira!!
❤❤❤
Hata yesu kwa kumsamini mtu mmoja akaona vema nguruwe elfu mbili wafe kuliko mtu mmoja kufa mali ya asili wanaua watu kuliko wanyama
Sema
Watu hawa Ni hahadii ya mungu kwenu jamannii
Tundu halisi
Duuh!
Unachoongea ni sawa lkn si sahihi
mmmh
Mm nipo mwamkulu lissu Apo umetupanga kwanZa sie atupo karb na hifadhi kwel uyu ni mchochez
wa maharage au
We kweli katani! Hewa kweli.
Acha ujinga mbweha wewe
@@geraldgedi4657jibu hoja sasa matusi ya nn au ndio sera ya chadema?
Hoja zilizokuwa zinatolewa kwenye hotuba hiyo ni za uongo kwa mujibu wa mtazamo wako ndo maana watu wajinga kama nyie tusi linakufaa tupo kwenye mambo ya maana ya maisha halafu wew unaona wenzio hamnazo?
Narada
Ndo mikutano ulioitaka
Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli
Wapeleke kaka Hawa ccm
Yaani tunawashukuru mjitahidi kutoa elimu tu muache kumsema raisi vibaya htyeye mengine hajui jamani ni kweli shetani amehamia tanapa
Ndiyo anajulishwa hivyo
Sasa kazi yake ni ipi kama hajui? Tunamlipa mshahara wa bure? Kama kazi imemshinda ajiuzulu tu!
Acha kumlinda Rais , unadhihirisha jinsi tulivyo na kiongozi dhaifu kwani hayo yanayelezwa ni miujiza mpaka ashindwe kubaini na kutoa amri ya kuwaajibisha.
Barua hiyo madhumuni yake ni ili kusudi watu maelfu wa makambi yale ya wakimbizi wasipate elimu yako kubwa wakajua siri, wawe akiba ya kura za ziada kwa ccm nyakati za uchaguzi,na mkakati huu wananchi tunaamini kabisa kuwa una baraka zote za serikali,na sasa yamefichuka mchana kweupee!
Tuheshimishe wapenda haki
Wakenya leo hawana ardhi watz wanamiliki ardhi kushuka kweli mpayukaji ndicho anacho kitaka
Kwakuwa wewe unamiliki ardhi ndio maana unaona anapayuka ila kwa tulioguswa na hayo anayaongea,, yatukuungi mkono hata
Tundu Lisu sio zote Unafanya Siasa za Uchochezi tu wananchi na Serikali vitu unavyo sema vingi sio vya kweli
Vema ungetoa mfano angaa mmoja au miwili katika vitu unavyodai kuwa Lissu asema uongo.
Tupe mifano unayo dhani kuwa ana sema uwongo
tuambie wewe ukweli sasa unao ujua usitu letee ujinga wako hapa
Yaani ukweli huwa unauma hivyo ukweli unao tajwa sasa haujawaacha huru wahusika tumbo joto wee
Kwenda zako huko hujui lolote wa zwa zwa
Watu mbna hamna
Huyu mchochezi sana ongea sera za chama chako nn itawafanyia wananchi,ili ueleweke..
Nyie wanufaikaji mpo tuu na maslahi yenu
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana
Kumbe kuna Watu Wajinga Km Ww Anachokiongea Lissu Ni Ukweli Mtupu Tunahitaji Hali Kwa Kila Mtu Aheshimiwe Na Kusikilizwa Tuchague Kiongozi Ambaye Ni Bora Sio Wa Tumbo Lake Na Family Yke Amka Kwenye Usingizi Mzito Huo
Hapo anafanyaje sas
@@frankhoffa8356 lisu anaongea point za msingi kama huzioni basi
tundulis sela zake hazina mashiko kwa asilimia 65 mwambien atumie elim yake kulikomboa taifa nasio kupandikiza chuk baina ya watu na serikal
Wewe utakuwa umchukia lakini anaongea ukweli
Unamchukia tu Lissu wewe unafaidika na maslahi yako CCM
Maneno yako yakujifanya,unajua, kila,kitu usichokuwa, unakielewa. Hizo nindoto huwezi kufanikiwa.Zungumza,sera,.Tatizo lako lingine Tundulisu nikutetea,ujinga siasa,siyo sheria,.pia,usiwapotoshe wananchi
shyenz kabisa wewe
Wewe unajua nini sasa makasiriko tu huna lolote
😢
Jitu zima hovyo kabisa wew
Fara wewe