Shilole Feat Aslay - Ukintekenya (Official Video) SMS SKIZA 7917810 to 811
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
- #Shilole #Ukintekenya #Aslay
Shilole Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/shilole
For Bookings: OfficialShilole@gmail.com | mxcartertz@gmail.com
Follow Shilole on:
/ officialshilole
/ shilolekiuno
/ officialshilole
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Wapili mie hapa nausikia nikiwa Lusaka Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 I need All like for this one
Jamani kutoka +254 sijawahi pata likes..nipeni tuu juu ya hiyo nguo ya yellow alovaa shilole
Vile nampenda Shilole kila wakati najikuta tu naongoza viewers ili afike kileleni.Kama unampenda shilole kama mimi gonga like hapa twende sawa
Nyimbo kali sana hii, Aslay ameuteka wimbo dah congratulations 🎉 shishi and Aslay wimbo ni motrooo imepenya hadi Germany
Dah huu wimbo siuchok penda san asly
nice3ee bwana Axileeeiiii
Aisha Elias good song👍👍👍
Iko poa saanaaa
haa
Wenye wanapenda nyimbo ya Aslay hit like ❤🔥💪
Farah Musa
nac
Wakwnanza mimi hapa I need all my like right here 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
sedrick Jack 💜
Kawimbo kazuru mpaka basi raha tupo
Nice
Good song
From Kenya.nacomment kwa shishi ila likes mbili sijapata😭😭😭😭😭
Nko ndani
Betty Wanjiru nakulola🔥💞
Shilole nataka kuimba na ww nimependa life stail yko nichek Whatsap +258849447771
eva return soma hiyo😂😂
Kanyimbokatmu
Ngoma kalii kuliko jomonii shishi baby mwanamke jasiri ww Penda Saana 😘😘 ,weka like yako hapa tujuane basi team shishi 💪💪💪💪
Mombasa hapa twende pamoja na shishi baby
Yani naipenda mpaka naumwa💯
Aslay’s voice is the reason why I’m listening to this song he made the song lit 🔥 where’s team Aslay??
Am here team aslay
team aslay oyooo, tupooooooo
We here the guy is good honestly @julienne heart
there we go from 254
that is true
Aiseee Hii ni Hit.....Daaaah nimerudia zaid ya mara 10....Mpaka nasisimka....Asante shilole
Khaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pole 🤣🤣🤣🤣🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️
Kama mm APA❤❤
shishi wangeee 😘😘😘ujawaikuniangusha big up mumy 😍😍😍'👌👌👌
Ila aslay jamani hujawai kufanya makosa,ufundi kama woteee, good song madam
Mungu azidi kumbariki huyu aslay
#Ukinite ukiongeza nchi yangu #Kenya =ukinitekenya ngoma moto
Kalii sanaaa shishi bby.From +254.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ngoma kali shishi, sauti ya Aslay basi tena unazidi kutekenya
Noma sanaaa Aslay fund kwakweli
congratulations aslay.. kasa tuko
Shilole jamani , I swear I love it....ukintekenya🔥🔥🔥.Aslay√√√ nawapenda nyote
Safi sana dada Shilole,,, 🔥 🔥 🔥,,,,from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪,,,naskia ka wasema waja Kenya,,# ukite Kenya!!!
Aisha Athman .mimi mzaliwa kutoka Kutoka 🇰🇪🇰🇪,lakini sai ninaishi swissland🇨🇭🇨🇭 its five years .safi sana Shilole🍹🥧❤❤❤❤
Katika nyimbo zote za shishi, hu kajua kuimba kwa kutulia sanaaaa.... kali sana
amazing one yaan n hatari watapata tabu sana ww tekenya°°°°°
Ila madada hao wamecheza vzr,pamoj maduu wananikataa sn.Ila hao madada wanajua kucheza sn.Ila watu wan matatz
Wakubalio Aslay 254 pitia huku
Woow ongera shishi 🤗 umejitaid aslay namuamini hakoseagi nyimbo tamu sna 😋👌🙌
+97450580766
Amina Yahya 🎶🎶🎶🎶
Nimependa Sana performance Yao wote aslay na shilole munaweza Sana
Naona rahaaa....weeuwewe,kweli umetolewa utoto😋😋
Team Shishi Na Aslay Wapi Likes Zenu😍😍
Vivaida Ramsy hi
Vivaida Ramsy
Embu nataka nizione like za aslay hapa faster ..........
Zimetosha izo kaka
#mkali wao aslay
kazi mzuri aslay
Sir cure21 hapa braza
Aslay vc é melhor em Tanzânia
Congrats shishi baby
daah mwanikosha mie nyie da shishi baby and aslay star nawapenda mie mwaaaaaa%
huu wimbo mzuri sehemu aliyoimba aslay tu
Ngoma kali sana bt Aslay anaogopa kulisogelea zigo hilo au unamuogopa mzee wa vyuma
Hahahaa
Hahaha kweli apoo, umeonaee😂😂😂, Aslay Shkamoo kkkkk
Mkude Tv hahahaha
Mkude Tv hahaaaa
Sumu😬
Ukinitekenya 😍😍😍😍2022 na bado Niko hapa☺️dada Shilole na kaka Aslay Kenya 🇰🇪 tunawapenda🥰
Xkuedwéqfh
Omg! Shiii x Aslay mapenzi tele toka 254. Hii wimbo kali jamani kenyans let hit that like button. This ngoma deserves millions of views. I love you 😘❤️
Kweli penzi n kidonda.... Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Am impressed very impressed.piga msamba mpaka nichanike shishi baby imeweza hii from+254.
Ok
👏👏👏👏
nimetekerenyeka hapa 254...
Good job shishi na aslay
Mashallah Nawapenda wawili hawa hadi naumwa..... mimi ni mnyonge sijiwezi naombeni likes zao...
P
Nem Nem nkpnd naomb no zk
@@alaphathamis9366 np ww zk
Like
Sema uchebe kaniwah tu me nlikuwa na plan za kukuowa,, mamae unanikosha sana like hapa kama unamkubali SHISHI MAGU
Ukinitekenya naona rahaa..
Its so sweet..naipendaaaa
Nime ikubarii ngoma kariiiiiiiiiiiii
*Kama hii nyimbo imefanya u subscribe Chanel hii ya Shilole gonga like tujuane* 👍👍
nice
Hahahahahahahahahaha
😁😁😁😁😁😁
Duuuuu shilole uko poa wallah kamoy kngu mie kanachonyota
MREMA MLOWE
Kama umependa kipande alicho Imba aslay kama..mm tujuane
jack Nelly nzriii hatari
Kamoyo kanachonyota🔥🔥❤👌😁😁😂🤣
Nyimbo yote kaandika aslay...
kipande cha aslay niatari kimenizingua sana
Ukojuu aslay
hooo nimechelewa namba like lakini
👍👍👍💟song iko fire
kiuno ft aslay
🇹🇿🇹🇿🇹🇿tupende vya kwetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ukinitekenye usiniguse kwenye mbavu good Sana brk hapa
jaman shishi unakoelekaea c utaimba na masufuria!!! ha ha ha ! ila nimeipenda sana shishi
BONGE LA NGOMA ASLAY FUNDI SANA MWENYEZ MUNGU AZIDI KUMFUNGULIA INSHALLAH 🙏
Amiin
Ukintekenya usinguse kwenye mmmmmh😄,,,,maana naona Raha..😍!!This hit is on anatha level,real talent..anatha collabo plzzzz,,great job👏?😘..nimedata..aisee@+254..
ngoma kali tamu mmekutana wote mnajua yani ukintekenya da! bonge langoma
Mwaa ukinitekenya naona raaaaha😘😘😘😘
Mama mpambanaji Safi Sana 🙏 🙏
Team shishi igunga home nataka like
Auuuuuch.... ouuch motoooo xana.mpaka natekenywa tabasamu ndo za kwangu
Inaisha naanza tena can't stop listening 😭😭😍😍😍🔥🔥🔥🔥💌
Same here ..adi neighbour amecomplain Leo😂😂😂😂😂😂
Same
Wow iko rada hi song......Shi bby 254 nimeikubali saaaaaana.
(Ukinitekenya shilole )ngoma iko sawa na natabir hii inaenda kuwa ngoma bora ya mwaka kwako
Waoow nc song
+254 nahua hamnipi like zenu watanzania jamn plz!
Pamoja sana very simple
Together
Asley katisha sana kama mnamkubali asley gonga hap
bigap mnapendeza sana namnaimba kwa hisia zaid
My favorite collabo ya Aslay ever✌️👌💖💖
Muringo good xna big up
thanks Good
@@tumainichaula4200 anytime 💖
Team shishi tia like yako hapa
me napenda wale wadada wanaocheza wamecheza vzr sana hongereni
Jamani nishida ila nakubali ngomayako 💋👌🙏💋
Mapenz kipimajoto ukanipima bariidi ulipo na mm Nipo Kikubwa nifaiidii
Husna Ngapu nice
Jamani aslay ni fire naombeni like zenu kama unamkubali aslay kanachonyota
Shilole is the one lady Tanzanians have 😂😂shes so real and just sweet by nature. Big up boo
She's been nice, and I loved her since that song with q chillah ametoka mbali huyu dada Respect 👸
Sana hadi wa leo🥰
Raha kweli 👌
kanachonyoota,ukinitekenya naona rahaaaaaa
Bingwa wa ngeli anachonyotwa jamani tumpe sapoti ya nguvuuuuuuu!!!
Mashaallh Saudi zenu ni nzuri mashaallh 👍
Tanasha usimukose wengine niwamachambo
Wivine mwamini usimukoseye chabu chamakoda namukubari
Miyesimupedi hamonaiz apana
Nani ako hapa 2020
Safi Sana kazi zuri nipeni hata na mimi like
Martine Belinda 🤣🤣🤣
Asante mwanjina wa maman yangu
waoooooh jamaniiii shishi food & Aslay...ukinitekenya naona rahaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Elizabeth James 😂😂😂ahhahahhh utatekenywa Leo usk usjl
Afelist Michael 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
One of my fav,haijaw kuchuja wallah ❣️❣️❣️
Abanaaaa hii ngoma nibalaaaa aksanteee kanachoootaaaaa🕺🤸🤸🤸🤸
Love you shishi 🥰🥰🥰💕 all the way from USA Minnesota
hongera kaka
Atawaua anajua Bana as
Kama ASLAY kauuuaaaa, kafunikaaa tupia like apa...
Naikubali sana iyo ngoma
sawa salmini naona mapenziiiiiiii time
Goodluck
Nyimbo katam gonga like tujuane ❤️❤️
Nyimbo nzur
Waoooooh 🔥🔥🔥🔥🔥 Mpaka basi,Hongereni yani Shishi na Aslay .
shiiishiiii beeeeiiiibiiiiii🤙👌
uchebe najua hakuwa mbariiiii.!!
Eeeeeh wallah kweli penzi nikidonda love u shishi bby ❤❤❤
Nice song🎶.
Jamani like sionagi. Natokea Kenya🇰🇪
Hahaha kwetu ni 255. Chuga si unaelewa kina jambo. Nairobi Kenya🇰🇪 nipo natafuta life
Gabu Rica nice song
Uongo unaongopa
Nyimbo hii iko vizur
Nice
Nimesikilza Mara kumi na tono mpaka umesababisaha nilitaka kuingia kwenye mtalo shishi na asley msifanye hivi jamanii yaniii nyinyi ni zaidi ya mafundi shishi shikamoooooookooo....katika nyimbo zako zote hii yangu nzuriiii Sana Sana....
Mamb
Ngom kal jmn inanikosha
mapenzi yameumiza wengi shishiweee toto la nzega
Manze shishi naipenda ii, naikubali, kazi mufti, Mara ya hamsini kusikiliza.. Kenya represented
Tisha sanaaaa
Shishi umeua hii nzuri sana tabora tuna kukubari sana marikia wa nguvu.
Aslay Mtu mbaya sana gonga like 👇👇hapa kama umeikubali ngoma
shishi kwenye hili song umeuaaaa
GISTOFF MUSIC New label in Nairobi Kenya we like this collaboration
Ukinitekenya naona raha....aaaauuch
Wow..!! You kill it ma people..so sweet voice from both of you.
Jamani kila mtu waitisha likes nami sijai wacha niitishe leo iam from 254 lkn wamekataa kunipatia lke 255 twendeni
💔💔💔
Yani hii nyimbo iko sawa yani nimeiwatch karibu mara 10 👌👌👌👌👌
Eee bwana eee ngoma kali shishi wangu jaman
Waoooh tamu mno
team aslay malike kama yote yan gongelea ma LIKE tujuane wazee
Woow, iko pw
Waooo ikopw
Woooow🔥🔥🔥🔥🔥🔥😘😘💃💃💃💃💃💃💃👊👊👊👊👊👯👌
Safi sana.shishi.na baba.mozza.
Tamu kama shilole
Asly Chilol 👌👌❤❤❤❤❤💃💃💃💃💃💃
waaaaao shishi wangu mwaaa mwaaamwaaa
piga msamba mpaka nchanike 🔥 🔥