SHEIKH KISHKI AVUNJA UKIMYA ATOA MSIMAMO KINACHOEDELEA PALESTINE-ISRAEL, NAOMBA SERIKALI ITOE TAMKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2023
- • SHEIKH KISHKI AVUNJA U... #KHIDMATV #sheikhnurdeenkishki #mhadhiriwakimataifa #mayahudi #israel #palestine #amani #utulivu #gaza #baloziwapalestine #sheikhkishki #baloziwaamani
Shekhe na kupenda kwa ajili ya Allh ishaallh mkono kwa mkono mgu kwa mgu mpaka pepon❤
Ameeen
Mwenyez mungu akufanyie wepes uendeelee kutukumbusha daima
masha allah allah akuzidishee wambiye waeleze
Allah tulindie mashekhe wetu wape umri mrefu
Sheikh pekee wkitanzania wa kwanza kutoa wito kwa serikali kuhusu mauaji yanayoendelea palestina...ALLAH akujaalie umri mrefu SHEIKH KISHK,,,,Ameen
Amiin
amana
Namshangaa huyu anayesema ardhi ya wayahudi ni Palestine
Amiin yaarab
Mashallah sheikh Mola akuajalie afya na mwisho mwema Kwa kweli umeongea mambo yalio wazi yenye yanaji jionyesha Kwa muda huu
Ya rabi wape ushindi Palestine walinde na vita mbaya Allah wanakufa bila haki na hakika wanagombania haki yao....ikiwa islaely wanauwa wapelestine kila leo na UN wapo kimya leo hii wanaogombania haki yao wamekuwa ndio wagaidi wakubwa......Naongea kwa uchungu😢😢 kutoka Sauth Africa
Nakuombea mmwenyezi mungu akulinde sn Amina
Yaa raab wape Imani na subra ndugu zetu wapalastin wape ushindi na nusra kwa watoto wa mama wazee wasio hatiya
Sisi hatufurahii vita tunaombea aman pande zote mbili Israel na Palestine. Waelewane
Nikweli wao wanashabikia ulipaji kisasi
@@rajogemzanaki3030wayaundi hawaezi pata amani hata tukiomba, walishalaaniwa
Neno la Mungu la kweli haliwezi kutengeneza uadui kati ya mtu na mtu! Unaposema adui yako ni Myahudi ni kujenga chuki isiyo ya msingi! Adui halisi wa mwanadamu yeyote ni mwili, Dunia na shetani.
Mwili ni adui Kwa sababu unashawishi kutenda dhambi ili kumwasi Mungu, Dunia na shetani wote hushawishi mwanadamu atende dhambi. Kuna kila sababu ya kuona thamani katika kila mwanadamu aliyeumbwa na Mungu. Imetupasa tupendane bila kujali kabila, dini, rangi hata utaifa!
Mungu ni pendo.!
SASA wewe unaona vizuri kila siku wapalestina kuuliwa na mayahudi kuzichukuwa kwa nguvu ardhi za wapalestina? Wacha kulipendelea taifa ovu LA kiesrael, ,,solution MUISRAEL ni LAZIMA AONNDOKE KATIKA ardhi za wapalestina, ,,hapa hapana chuki kinachojadiliwa ni HAKI
Kama haujuw maadiko kausho
Kakojoe ulale akili yko yakitoto huwez kuelew mambo ya wakubwa
Wenye chuki mungu wao anaitwa shetani na ndiye hupiganisha watu. Wanajidamganya wanamfuata Mungu lakini uongo.
We hujui kitu kaa kimya kenge ww Mayahudi ni watu waliolaaniwa kwa kumpinga Mungu na kuua mitume na manabii mbali mbali tunaposema mayahud ni maadui wa dini ya Mungu ww unatetea nn kenge ww?? ivi unaelewa Mayahud hawakutambui ww??
ALLAH akupe mwisho mwema shehe Kishki.Hatujawasahau ndugu zetu katika duwa
Muhikumu awe ni Mungu, sisi tumwombe Mwenyeenzi mungu
Inshallah Mungu akulipe kwa habari njema shekhe Kishki
Mashaallah…Mungu akuhifadhi ya Sheikh. Amin
Wakristo sie twafundishwa upendo na tunawaombea amani ndugu zetu wapate amani sie kwetu tumechanganyika Wakristo na waislamu kila mtu anaadabu na ibada ya mwenzake
Apate amani myaundi? Unamaanisha unamuombea myaundi kwa yote aliomfanyia yesu? That is why kifo cha yesu ni maigizo, hakuna amani kwa mtu aliyelaaniwa hata uombe Mungu miaka yako wote,
@@shakila3982 Amini unacho amini huwezi nitoa kwenye imagine yangu kamwe
Siyo kweli waislam ndyo mnaongoza kuwachukia wakristo kituambacho siyo sawa Mbele za Mungu ili umsaidie mtu aweze kukuelewa upaswi kutanguliza chuki na hasira.😢😢
Waislam hawawezi kuwachukia wakirsto na wakirsto na waislam hakuna tatizo, tatizo ni wayahudi wanao waua waislam palestina
Ndugu yangu usifuate wahadhiri wale wanalingania dini sawa ila pia wanakosa hekima badhi ya wakati ndio unahisi wana chuki lkn sio hivyo.
mashaAllah sh Nurdin kishki.Mungu Atuongoze InshaAllah
Yaaa Allah muifadhi Sheikh Bourdin kishik kwa kutulimisha nakutufunua Ila Sheikh wakrsto wakatolika ndio nitasema wanaukubali Wi islamu ina wengine ni wapizani awatutaki Nina mana yakusema ivyo yamesha tokeya Sana uku kwetu Burundi ukifika sehemu umeva Abaya wana kulani eti kwa jina la yesu shetani
😆
Allah akupe pumzi ndefu sheikh kishki
Yarabbi wanusuru woto walio fikwa na mazito inshallah
N yiye.furahiyeni gisi munabyo juwa .iposiku Allah atajibu... Imana imbere Imana niyo yogukora inyishu inshaallah abarimungorane Musilimu Na Mutsilimani Allah azidi kunusulu viumbe byadunia inshaallah
Waslam tunaonewa sana
Sio kweli ndugu, soma usisikilize tu
Mnaonewa Nini Mungu wenu Yuko wapi?
Dini yenu mnaabudu majini kwamini mungu asitumie watu wake kuwanyoosha!
Tuzidishe dua Allah azidi kuinusuru ardhi takatifu ya Palestine dhidi ya Mazayuni wa kizungu..
Wakristo adui wao na shetani yani waislamu wao adui wao ni myahudi izlaeli ni taifa teule la mungu wapelestina na waizraeli wote ni watu wa mungu kwanini mnaweleana uadui na wote mmeumbwa na mungu moja adui ni shetani tu kwa mwanadamu
Basi watu wote wanaoamini ukristo ni maadui wakubwa wa uislamu ,maana Imani yetu chanzo chake ni Wayahudi,Yesu alikuwa Myahudi
Wayahudi hata kama sio wakristo sawa nani kamchokoza mwenzie
Umeongea ukweli shehe mm mkristo na nakataa umwagaji wa Damu nchini palestrina
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
Mungu awabariki Wayahudi❤ tunawaombea sana.
Maashaallah.Alla akuhifadhi
Nimesoma comments wengi hawajui dini nausawa.upuzi na kulaumu hawajui history.kishki ndio kiboko yenu Allah atamlinda amueke maisha marefu na mtume ni muhammad wa mwisho mutake musitake musojua kujisafisha
Umeona ee hawajijui hawana hoja wao lawama Allah awaongoe
Subhanallllah
❤ shekhe durdeen maashaallah.
Allah Akubarik na atakunusuru kwa kila lenye kuleta hasadi juu yako inshallaha
Hakuna ukweli apa..wayahudi niwantu waakili sana
Shame on u
Mashaallah Mashaallah❤❤❤❤❤❤
Mwenyezi mungu isimamishe imara dini ya haki yaarab islaam
Dini yakwel ni upendo alio uacha yesu siyo kujidai eti uisilamu ni dini ya mungu
Allahu Akbar
Waislamu wao wameshikilia nusra tu bila kujua nan anae pewa nusra sifa zao zikoje hao wapewa nusra wazee ebu acheni bidaa Allah awape nusra
Mayahud na wakristo wote nimakufar na nimaadui sema ukwel ufungwe uuliwe sema huwez una mashule nk bora unyamaze bora uskilze ata gwajima kuliko mijuha hii
Free palestina
Achana na dini wayahudi ni nomaaa.... Niliwahi kufanya kazi na hao miesi3 tuuu duuuh over 30 years... Wasumbufuuu... Wabaguzi. CII
Mashsallah
Sahihi Yaaa Sheikh wetou
Mashallah
Waislamu dunia mzima tuache uzushi tutasaidiwa na Allah lkn tumezidisha bidaa dini ya mtume huikuti msikitini ukiingia unakutana na din ya mazoea hakuna nusra ya wazushi
wewe peke yako mzushi. Usilaumu wenzako.
Huyo jamaa kaongea ukweli muhelewe hachakupinga usijilazimishe kupenda kitu ulichokikuta hpo unawaza kuoa mke wapili kinywani mwako umejawa na Matusi jeuri ubishi kiburi je unafikili Dini unaweza ingia mbinguni ukiwa mchafu Mungu anapenda mtakatifu tuh sio muislamu wala mk😮
Tumuombe Allah musaada kwa kuwasadia ndugu zetu wa Palestina kushinda vita hivi innshAllah Allah awaletee usadizi wa Malaika kwenye Madigan hayo.
aiseee waisiramu mmezidi na nyie ndo mtaleta vita tanzania ila nawapa pole huo ujinga nenda muuongelee palestina
Allah awarehe mashehe zetu wasemao kweli wenyekumcha Allah,
Takbiiir
Palestine yarabi inusuru na mauwaji yasiendelee
Allahum amiin
Asallamu allaykumu ndugu napat a taabu sana kuona Hawa mabwana wanauwa watoto wamama wazee bila huruma kabisa keel ni magaidi wao
Mashaallah
kuma la mama sisi watanzania hatuna ujinga wa kivita nenda uwasaidie wew sisi wengine tunataka kuishi miaka mingi
We endelea kuishi miaka mingi usitutukanie she wetu wew ulotoka mkunduni shoga wew!
@@JafariAbdallah-ot9gp mlete mama ako nisipo mtoa malinda ndo uamin ndo uongee makundi gan unafiki tu ety sheh makundi ya kigaid mnajiita din upumbavu tu wajinga wasio elewa ndo wanawasapoti
Shekhe unapswa kulaani vita na kuwaombea amani wote wawili,
Hujafahamu Maneno ya Shekhe. Sikiliza tena. Amka bwana acha kulala
Kwa habari ya Palestina tunapaswa kumlejea Mungu tu, vinginevyo tutajikuta tukitenda dhambi wenyewe ya kutoa hukumu kazi ambayo Mungu pekee ndiye anaestahili kuifanya.
Kulingana mzozo wenyewe, historia inaonyesha wazi kabisa anaeanzaga kumchokoza mwingine hua ni Mpalestina, hata leo kinachoendelea wote tunajua, ni baada ya kikosi cha kipalestina kuvamia Israeli na kufanya mauaji zaidi ya watu 1300, hapo hakuna shekhe wala mchungaji aliesimama na kulaani, lakini eti kwa sababu leo mpalestina ameonekana kuumizwa sana, ndo tumtangaze myahudi kama adui wa aislamu wote dunia nzima, hii si sawa, ikubukwe kua vita ni dhidi ya Israeli na Paletina, wala si Israeli na Waislam, cha msingi tuendelee kumuomba Mungu aingilie kati, ili kupata suluhu ya kudumu kati yao
Hujamuelewa shee sikiliza tena mpaka mwisho
Allah azidi Kuku hifadhi sheikhe wetu mpendwa na akuzidi shie juhudi na akujalie mwisho mwema
Sheikh wa michongo
InshaAllah Allah takabal dua
Sheik Nurdin kiski Ma sha Allah
Alianza kumshambulia mwenzie ndie mchokozi nagaidi
Mwenye alianza ni aliyekaribisha na amekua akimpiga Palestine tangu kitambo Hilo hujui wajua hii ya sai soma historia ujue
soma history ase
mashaallah;
Mungu atupe mwisho mwema
acha uwongo shehe because wakiristo ni dini pekee namba moja duniani yenye amani
Am christian but nakubali mafundisho yako
Bro don't be tempted na unafiki wao hao jamaa waislamu bro hawajawahi, na hawatokuja kuwah kuwapenda wakristo ,hapo ukiwaona hvyo wanatafuta huruma ya kuungwa mkono ,
Juz tu apa Pakistan 🇵🇰 hawa mbwakoko waislamu wamechoma makanisa mengi sana na hukusikia wakristo wakilia lia , hawa jamaa ni wakorofi in nature hawawez kuishi na jamii yotote ile bila chokochoko , yn ktk hili la Gaza wacha wapambane na hali yao wasituusishe sis upumbavu wao kwan wao ndio walienda wachokoza mbwa hawa
@@jamesmbata8542Kama wewe ni Mkristo na akili yako ndo hiii, Bora ungekaa kimya
@@jamesmbata8542wewe ndio mwenye chuki, unatafuta upendo wakati mlishiriki kikamilifu kuwakoloni watu Africa pasina haki, kuwaua mababu zetu, kuwateka na hata wengine kuwatupa, sasa unajiona wewe ukona upendo kuliko muislamu? Yanayoendelea Libya mbona walikuwa sawa, walipoingia wakristo wenu nini kilifanyika? Vita zote duniani vinasambabishwa na mkristo, alafu unajiona ukona upendo kuliko muislamu
@@prosperjohn2047sasa kwani wewe ukona akili gani?
@@shakila3982 Akili ya kusikiliza kuliko hii ya kwako ya kujiita Mkristo, lakini hujui hata vitabu vyasemaje,
AMOSI 1:6-12 someni hapo mtaona nini Neno la MUNGU linasemaje
Hapo ndo utajua yanayo tokea si ya kustaajabisha maana biblia imeweka bayana GAZA itaharibiwa
Mbona huongelei vita vya sudan , Congo au damu ya wapalestina ndo ya dhamani sana acha unafiki wewe
ALLAH AKBAR
Ya Allah
Amiina Amiina yarrab lalamiin .....
Nathan kunawengine hamjamfaham vzur sheikh nurdin yy lengo nikutetea uislam nawasio waislam kuhusu owonevu naukatili ju yakutowa roho zawa2 zczo kuwa nahatiya na anathinitisha kwa maneno matkuf ya kuran maneno ya Allah alivyotufahamisha ktka kuran just yy ananukuu2 anafikisha ujumbe kwaiyo tumuelewe vengine
Yesu alisurubiwa kisa kujiita mwana wa Mungu kitu ambacho mpaka leo hii waislam hamtaki kutambua kwamba yeye ni Mwana wa Mungu kweli na sifa yake aliwapenda wote hadi adui zake ni mwanadamu gani ana roho ya hivyo isipokuwa Mungu tu maana Mungu hata ukufuru vipi mbele yake atakubaliki mfano uwanyeshea mvua wema na wabaya hitimisho waislam hawana roho ya upendo kwa adui zao kwahiyo Yesu hawezi kuwa nabii wao uislam ulienezwa kwa upanga duniani yaani Jihad,ambacho Yesu aliwaambia mitume wake kwamba wakiienda kuhubiri injili watu wasipowakaribisha waanue jamvi wajikung'ute mavumbi wasonge mbele lakini mfano uislam katika nchi za africa maeneo ya morocco,libya,Tunisia maeneo yote hayo vita vilipiganwa ndipo ukasimama uislam
Asante Shekh Kishki kwa kutoa elimu ya Wayahudi
SAW❤😢
Kuingia Israel kuua watu na kuteka watu ule cyo ugaidi.
Assalaam alaykum, Kishki inabidi uende na wakati bana unavuta sana, sasa hivi inabidi upunguze hiso madda, unavuta sana. Zama zimebadilika.
Mungu onekana
ya Allah wangameze mayahud
Kwa taarifa yako hakuna watu mungu anawapenda Kama wayahud genius wengi duniani niwayaud jiulize ni kwann na ujijibu
Mungu hapendezwi na damu za watu kumwagika, tiombe rehema Kwa Mungu
Naam
Ukweli kbs shekh inauma sana 😭😭🇪🇭maskin💔💔❣️
Allah atakunusuru
Nchi hii haifungamani na dini youote ndio maana tunadunda,wewe vaa Combat nenda Palestine kapigane
Kinacho leta ugomvi pale israel ni ardhi sio dini. Ila waislamu kwakua uwezo went wa kufikiri ni mdogo mnaleta udini. Myahudi anamjua mungu wa kweli hawa habari na mungu went huyo ala
Huyu jamaa bhana...anajikutaga mtu fulani ivi kama alishawahi kukutana na MUNGU...kumbe nyuma ya pazia ni mnafiki tu
😂😂😂😂😂😂😂😂 dah comments zingine bhana
Wewe umejuaje kama mnafiki mbona kama una Akiri au njaa inakusumbua ebu chunga domo rako ilo
😮
Bani Israel laana tullah aleikh
Saudi arabia aliipiga yemen bila huruma mbona hamkuongea ila kwa sababu anayepiga. Palestine ni myahudi ndo mmeibuka kusikojulikana acheni unafiki
Tatizo hujalijuwa sio waislam,,ongelea kikundi cha ,HAMAS ,
Duh
Shekhe hakuna mtu atakaemshinda MyahudI hapa duniani ameahidiwa na Mungu atalimiliki lango la Adui zake,Poleni sana kwa kuwa Adui aliye barikiwa na Mungu
We zuzu kweli
😂😂😂😂unajua kwakua inaelezewa wazi kua Israel nitaifa la Mungu walichokoza saii wanajaribu kulaani lakini wamekwisha barikiwa hawalaniwi tena
Ushaambiwa Myahudi sio Mkristo. Acha kuwashwa na pili pili usoila. Acha kiherehere.
Nawewe pole kwa kumshobikia myahudi ambaye kwa iman yko Unaamini yesu kafa bac uyo adui namba moja ambaye alimuua yesu ni myahudi kwahyo pole ndugu
Hujaitwa kumsikiliza sheikh. Kamsikilize papa.
Mungu wetu nusulu Palestines inshaaallah tunaku Omba uweke wepesi inshaallah
Kwely tumuombe Mungu
😭😭😭😭
Huo masjid alaqsa nauvunjwe hiyo ni nchi takatifu ya Mungu anayejulikana kama JEHOVAH
Hakika dini ya haki mbele ya Allah ni uislam
Endelea kujidanganya,, kama ni ya haki kwa nini mnauwa kwa upanga mnalipiza kisasi.Fuatilia Saudi Arabia
Ardhi ni mali ya Mungu,wamepewa Wayahudi
Ardh ya mungu aliepewa ardhi ni Ibrahim alaihi ssslm ambao ndio Babu yao
Baba Wawa islm wot
Wakati damu ya watanzania wenzio inamwagika ngorongoro mbona ulikua kimya au palestrina ndio ndugu sana
Kweli kabisa
Acha Kufannanisha. Vita Ya Palestina ni Vita Kubwa sana na huenda ikaathiri Uchumi wa Dunia na kuleta shida kila pahali. Na pia Hatari za Ugaidi kuenea kila pahali. Acha tabia ya ubishi na Kufananisha kipuuzi.
@@user-pc8wo1hh9lkama lilipangwa kutufika litatufika maana alipangalo Allah mja hawezi lipangua
Ee Hilo nalo neno yawezelana palestina ni udini ngorongoro sio mambo ya dini hata wakifa wamasai wote sio shida Kwa Maana hawahusiki na dini
Umeongea ukweli kabisa
Hawa wqtu ujiona baada ya Mungu ni wao, mkae mkijua kuwa Mungu ni wa wote. Mzee beba jambia nenda kapigane hapo unapotezea watu muda wao.
Haya mambo yanatakiwa umakini sana
Assalaam,alaykum. Hao washirikina ndio wepi?