Bongo bdo sana saiv tunachek movie zenu ili kuwap moyo tu ila hmna sanaa ya uigizaji,half hao walinzi wa mageti me cwaelewag,,,, dahh bongo kwel baht mbya
Sauti na picha kuna vipande mumechemka kidogo lakini asanteni sana kwa funzo kununua kitu mkononi ni hatari sana hapa nagundua kua mumetumia akili nyingi sana kutuelewesha athari zake
Hujaelewa unakumbushwa cocoo jeuri yake maana aliona dude Hana akili mwarabu kamtia mjini mbele yasheri tim dude inatisha cocoo mwarabu dude hongereni sana bila kumsahau huyo madam
17:11 sijui kama na nyie mmegundua hii episode ilikuwa na shida ya sauti sana na kwenye hiyo dk ya 17 ndyo imedhihirisha. Umakini kidogo uongozeke na sauti ilikuwa ndogo sana
if so, which evidence shows that he stone, cause you can't just police station and then go report like somebody stell from my car for which means of evidence shows that's if it's true orno not. I thank you, you guys areteachare teach us something people do not know, esle it keeps opening our brian tuwemacho in these kind situations like that. thanks for what you have done.
2:06 hii shot inaboa jamani ebu jirekebisheni na bora ingekuwa imetokea mara moja, hapa tena 5:09 . kwani kulikuwa hakuna umuhimu hata wa kubadilisha shot ili zisifanane?
20:30 Mmmmhhh baba sasa hao mapolisi nao ni Vilaza sana Price ya hvyo vyote haifiki hiyo pesa uliyoitaja Cs Macbook Pro mpya zinaanzia M5, iPhone 6+= Laki 6....iPHONE 11 ni M 1 point sometin. so hata kama ni kuigiza just be specific an professional.
Lengo la kuweka sehem ya comment ni kutoa maon kushauli kukosoa nk sio kutoa sheet Kama ww unazo mbinu wasiliana nao mtengeneze kitu kizur Au ndo ule ugonjwa wetu wa africa kutopenda maendeleo ya mwenzako
Watu kama awo nabapiga risasi nikibashika
Bongo bdo sana saiv tunachek movie zenu ili kuwap moyo tu ila hmna sanaa ya uigizaji,half hao walinzi wa mageti me cwaelewag,,,, dahh bongo kwel baht mbya
Yaan wanakuaga wehu wehu kwan mtu ukiwa na akili timamu hufai kua mlinzi
Favorite of all time.
Kwel Kabisa
Uyu dada ni mjnga
Sana akisikia police mkojo
Debe ukiwa na mwana mke
Kama uyu basi asala tupu
Sauti na picha kuna vipande mumechemka kidogo lakini asanteni sana kwa funzo kununua kitu mkononi ni hatari sana hapa nagundua kua mumetumia akili nyingi sana kutuelewesha athari zake
Hila kuen makini
Katika kuedit nazisikia
Saut zilizo pita
Hakiwa dude amekutwa
Nyumban Kwa uyu boss
Akijifanya police
Hahaaa huyu jamaa kiboko ya Dude
Pamoja nakukosewa lakini funzo usinue vitu mkononi nimbaya sana
Punguzeni watu, huyo mwarabu piga chini' halafu kwani mlinzi mpaka awe chale chale?
Hahahaaa,asante huku unaondoka,mlinzi katishaa
Coco kakalishwa na mwarabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sauti zmeingiliana Sana Leo Ila sio kesi ajali kazin mpo vzur Dude hongera
Sauti kuingiliana ilikua ni fikra alizokua nazo mwarabu kwa kilichompitia Dude
Hapana chezea dude
Hii episode director wa sauti hakuwa makini
Yaani hongereni sana.... View iko vizuri....
Big up muabeshi
Nmekumbuka mbali sanaaaaaa
Aaahhh leo imekuaje sauti jameni mhariri amelewa nini
Hujaelewa unakumbushwa cocoo jeuri yake maana aliona dude Hana akili mwarabu kamtia mjini mbele yasheri tim dude inatisha cocoo mwarabu dude hongereni sana bila kumsahau huyo madam
Leo mmezingua Sanaaaaa sauti imejichanganya kweli
Duhh bonge la idea wabongo mmeanza kuniita sasa big up sana coco.
17:11 sijui kama na nyie mmegundua hii episode ilikuwa na shida ya sauti sana na kwenye hiyo dk ya 17 ndyo imedhihirisha. Umakini kidogo uongozeke na sauti ilikuwa ndogo sana
Dude wewe ni askar😂😂😂😂leo wamekunyoosha yaleo kaliiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
yan hii imekosewa kama hamna wahariri wazur niajirini ata Mimi nitawasaidia
Pw
Good ..,.
Like tuendeleee kuwa sawa
Mnapunguza credit za kurushwa WASAFI TV na mnapoteza mvuto wa reality maigizoo hayajawa sawa kabisaa kuna watu hawako serious kabisa bt Good Work
Bongo Dar Es Salaam! Salute crew
Mbona kama huyu binti anafanana na lulu diva
Kwel mzee
Mi nilijua ni yeye
Picha za ngono
Mm nilijua ni yeye
Nimeielewa san
Dude sasa mnaharibu kila siku mnaweka kuwa koko anamjua dude inakua kama muendelezo wakati ni kitu kipya
Yani ndani ya kumjua kunakitu wanatufundisha
Hapana hajamjua ila ameshtukia sababu Coco ni mtoto wa mjini so sio muendelezo
Jaman nampenda uyo mdada alikuwa kwenye gari pindi move inaanza
Kuna kitu kinaitwa character development. Hii character ya DUDE mnaishusha thamani inatakiwa ibaki vilevile ilivyokua au iongezewe thamani.
Hawa Askari wamecheza vizuri sana walipokuja kumkamata dogo hapo nimependa 🙄
Wa ukweli
Nimemiss sana hiki kipindi kama na wewe umemiss dodosha LIKE hapa
Sauti sio nzuri
if so, which evidence shows that he stone, cause you can't just police station and then go report like somebody stell from my car for which means of evidence shows that's if it's true orno not.
I thank you, you guys areteachare teach us something people do not know, esle it keeps opening our brian tuwemacho in these kind situations like that. thanks for what you have done.
Yani hii series ......kuna kitu imekusewa Aseee hamjui Tu
I love u dude
Dude umeniinspire kuwa tapeli 😂😂😂
sauti mbovu sana
Dude dili zako zimekua zikibuma balaa...
Wakati askari wanakuja kuchukua simu mlinzi alikuwa wapi?
Mbona mnazingua nyie sanaaa saut mala mbili mbili
Hajaonekana jinsi alivyoingia getin
kwenye hii episode sauti imechemsha sana,siyo nzuri hata kidogo
🤣🤣🤣🤣 Asante huku unaondoka
I loves this movie is teach a lot thing I didn't know
nimependa kile kipande cha "we ni askari?" kaa chini
Halafu kafika kwa mwarabu kaongea vice versa,dude buana
Naona sasa mmechoka kazi hizo sauti vipi
Dude unabahati mbaya sana na uyo jamaa
Mmeharbu sana kwenye sauti
🔥🔥🔥 likes
Dada kafanana na lulu diva
Sanaa
dudeeeee
Jamani eti bongo hawa walinzi huwa mnawapata wapi???
Hv mbna kila kibande dude umekuwa ukishtukiwa Sanaa na huyu mzee hapo cjui nimkongo
Askari na madevu wapi na wapi wazee.. 😀😀..?
Wapelelez wanakuwa as raia
Iddi Jabir icho ni kitengo kumbuka cyo tatizo
Dude unatupa mafuzo wote tunaofwatilia hii shukran
Bude anafel wap
Kiboko Ya Dude Huyu
Uyo dada amevaa kidude Kama changu mkononi 😜
Mchukue madebe aandike series humu
mmezingua sauti ipo chini
Mtoto wa kishua huyo
Dah
Kakamatwaaaa hahahaaaa....
Duuuu
Nipewe namba yake
Coco amekalishwa round two
mnaomkubali dude 2juwane lakn sijui dude yey anasemajee
🤣🤣🤣🤣kiboko ya dude
Dude mwenye bongo yake manina
Dah ihi kiboko
Voice ina jucha sana kama ipo kwenye pipa hivi
😆😆😆😆😆😆😂😂
Yani kabla picha haijaisha ushaelewa picha linaishaje
Hilo ndo tatizo dude abadili mfomo maana tutashindwa kua tunatazama kabisa
Napita
Very good brother keep acting
Wasafi kuna kitu na mitambo yenu maana tangu juzi video zinakwama alafu sauti ni distorted... work on it..
Leo mbaya
Ngulath Fundikira kaigize yako
Dude bongo
😂😂😂😂😂
Hivi kwanini walinzi wa geti wanakuwa mawenge kwenye bongo movie??
Dude amapata kiboko yake
wewe ni askar ni idea nzur sio kila siku ww 2 ndo unawin kwa ujumla bongo dar sio ya kukuosa
Sauti mbona hakuna??
Vp tena
Sauti
kuna vituu mmezingua hiii
sini nzuri lakini sound bado hazijakaa sawa.
😂😂😂
2:06 hii shot inaboa jamani ebu jirekebisheni na bora ingekuwa imetokea mara moja, hapa tena 5:09 . kwani kulikuwa hakuna umuhimu hata wa kubadilisha shot ili zisifanane?
Maneno ya kuambiwa ni bola zaid kulo muv zte
Hakunaa anaeiweza maneno ya kuambiwa
Saut leo vp
Nakubali
25:24 Editor umezingua
Sound Engineer
Iko sawa kabisa
Kkkkk
Bring back our Hamis wa bss😔😔
😁😁😁😁😁😁😁😁
Abdi Single 😂
20:30 Mmmmhhh baba sasa hao mapolisi nao ni Vilaza sana Price ya hvyo vyote haifiki hiyo pesa uliyoitaja Cs Macbook Pro mpya zinaanzia M5, iPhone 6+= Laki 6....iPHONE 11 ni M 1 point sometin. so hata kama ni kuigiza just be specific an professional.
mh, Hapana I phone 11 million 1 sio kweli na I phone 10 plus itauzwajee.....Navyojuwa mimi ni 2.5M Tena ikiwa pro inaingiaa 3M kabisa
@@itsjonahfather7941 am talkin about official bei zao toka kwao ambayo 11 kavu sio pro ni M 1 na laki 6
Hivi kwenye maigizo ya kibongo lazima kila mlinzi aigize kama chizi chizi au?
Nakushkur kwakunisemea,Yan kilamlinzi ajifanya hamnazo,
leo nimewahi mimineni mi like kama yote 😁😁😁😁
Best naso
Hii mumefeli haina sauti
Mnabugi sana mbinu mbona ndo zile zile tu mmekwama nendeni kijijini mkalime tu
Lengo la kuweka sehem ya comment ni kutoa maon kushauli kukosoa nk sio kutoa sheet
Kama ww unazo mbinu wasiliana nao mtengeneze kitu kizur
Au ndo ule ugonjwa wetu wa africa kutopenda maendeleo ya mwenzako