BONGO DAR ES SALAAM S02EP03 - MAPACHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2019
- Hii ni Episode ya Pili ya SEASON 03 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV - บันเทิง
Gongaaa like twendeee sawaaaa kama unamkubaliii dude
Aisee dude the boss hujawahi kukosea @bongodaresaalam 🔥🔥🔥🔥hatuna mpinzani
Umekosekana wewe tu😜
Madam suzyeeee
Queen Suzy inabidi muwe makini ktk vitu vidogo vidogo mfano hiyo Pete na saa aliyovaa dude inabidi atofautishe kt pacha.
Wangap 2naangalia bongo dar es salaam huku 2nasoma coment
Yussuph Kazumar 😂😂😂
Up gud san dude kiukwel
a dude wa siku hz sio mwz kama wa zaman bhna zaman alikuwa hatar jaman au wasemaje
Dude is the BEST ACTOR
¹llq
wakati tunamsubiria kitale na maneno ya kuambiwa hatuna budi ya kumcheki dude bahati nzuri dude yuko vzuri hatuangushi bando letu haliendi bure
Tunao angalia 2024 tujuwane kwa like
Huyu dada wanapenda kumtapel jmn😥😥...ila Me nampenda 😍🤗
Sana wanamuoga mnyonge cjui sema huaga mpole
😂🤣😄♥️atamimi
Mi napenda sauti ya huyu Dada anae tapeliwa!
Mnatisha wazee🔥🔥🔥✊
Dude noma Sana kubali xana kinoma an big up
Boss dude tuna kupenda
mapacha walim dhurumu màmà angu ýâãņ MPAKA uwajue uwe makin śàñàà ila wana tofaut ndogo śàñàà ima kulwa au dotto anakua mwmbamba ila saùť ñà matendo hufanana ķàmà una date ñàò wawezaa ukawa changanya 😂😂😂😂
Paka paris tunagalia bongo dar es salaam 👌
Kwema kaka nichek kaka whatsapp +255693355892
Hii imerudiwa dude jiangalie usiwe unarudia rudia unatumalizia bundle
Naikubali sana Bongo Dar es Salaam lkn mbn leo mmeirudia hii. Tushaiona tangu season one
Jodan Yusuphy muendelezo huu
Pamoja na kasoro ndogo ndogo, me nawakubali sana aisee
Kweli mimi mwenyewe nimeviona sema Dude baba Lao 👏👏👏👏
Hatari moto
Mshenzi ww wizi ndo kazi yako duuuhh Yani we noma Kama vizuli sana
Dude master mind
Ulitukwamisha sana mzee baba dude
Kama umeixikia mwenyezi mungu hatatuxaidia gonga like twende xawa.
Mbona marudio hiiiii jmn kama umejua ni marudio gong like
Angalia ad mwisho
Emmanuel Samwel Ni Part 2....
Nenda katengeze yako
Ni tofauti mbn
Umerudia ww kuWatch au
Mh dude utauwa mzee wangu🤣🤣
Kali sana hii
Noma Sana
Hahahahha... Kawatapeli Ndo mmekwishaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Dude Leo umetupa macho ya utapeli mara moja tu 15:32 but ungetakiwa umalize nayo tena hapa 24:08
Pale kwenye pacha uswazi eeeh
Dude your the baddest MVP
Hahahahaaa ss hapo mwanaume kaenda kuongea. Na mwanaume mwenzie alafu analiaa kitotoo
Alafu et mkewe et nisamehe mie mume wng duh! Hahahahaaa kwel asee bongoo hyo kwel n daresalam 😂😂😂😂
Dude..umetsha mzee
aaaaaah aise dude kwel noma umetisha bro
Da flora umebackkkk 😍😍😍😍
huyo dada bonge mrefu ana MFUKO WA RAMBO😎😁😁
Fadhili Mkungura ☺☺☺
26:25 huyu jamaa aliyeshika gazeti hongera zake, amevaa uhusika sana. Na Team nzima hii ya season 1 huwa ipo vizuri ila yule dada mwingine fanyeni njia arudi kwenye Bongo cs wakiwa wawili ndyo wanatia chumvi ya utapeli
Am the one best
Kaliiiii 🔥 🔥 🔥
Haya mzee baba ongeza nyingine
u made it Dude
Dah.! Dude we noma mm nitakujaga kukutafut unifundshe hayo mapekerechee Etty.!!
Ni wangapi wanafurahishwa na haka kasauti kanatokeaga kama dili la pesa limeivana
Mtu akitaka kuja bongo lazima wamweke kikao, uwe makini huko dar, 😂😂
Hata kumsogelea namuogopa maana atachomoka na sim zangu
Alikupigia simu asubuhi akakwambia njoo upate dinner....umetisha Dude
taarifa hutolewa asubuh Dinner huliwa jioni hujaelewa wapi Labda?
Ni dinner chakula cha usiku
mnanikumbusha mbaliiiì sana kumne imeludiii safi
😂😂😂😂daaah ila Dude fundi sana
good job
Zinafanana na ya kitambo kidogo
Hakia mungu mmekwisha asha wataperi 😂😂😂!!!!
Mmh da frola kachapia et wawil tuu kwenye ukoo mmh kma umskia mkono juu
😂😂😂😂 hapa nimesikia
hambao hatupitwi like zenu
SO! Waaaaooooo! i like it
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Auja badirisha pete dude.
Dude umetisha mzeee
Dude upo juu
Umetishaa Kaka Dude
Dude upo vizuri xana
Dude hata macho tu yanaonesha tapel
Cjui kwel huyu
Jamaa ww
Mmefeli kwenye mavazi tu.
Dude karudia nguooo
Episode 3🔥 likes
Apa dude umecheza duuuuh!!!!
noma sana engineer
Mr "A" or dhoom
Mbona mnairudia iyooo
Dude kaka mbona unaalibu shati lilelile
I mbona merudia jamani Ilikuwa seasons one
Kwenye wasafi tv inarushwa lin
Kdg mumebuki kwenye Saa na Pete wote Sawa mungetofautisha pacha mmoja asivae au yuwavae tofaut
Nakubali uyu jama nimkali kweli
😂😂😂😂😂Bongo
Safi sana Bongo.
Yeah from Calgary Alberta Canada tunawakubali big up bongo Dsm
mbn marudio hiiiii
Mbon ep y 2 mim sijaiyon
Ahaaaa mapacha hao
DUDE UNATAFUTWAAAA;;;~
Hahahaa nimecheka jaman
Wamechapia kwenye mavazi suruali na shart zinafanana
Yan dude we akuna tena
Dude we ni shida tupu nakukubali mno
Shat mbona lile lile.
Kama unamkubal dude achia like
Unajua mpaka unakela
Good to good
9:23 kwani dude ulishakuwaga tapeli kweli au uliachiwa laana ya utapeli>? Mimi nikikutana na ww, nakuwa makini na ninachoongea na mifuko yangu cs hata kama sio tapeli lakini unaweza ukageuka hapo hapo
Hahahaha
Hahahaha
Noma Sana 😂😂😂😂
wakat yy alsha tapeliwa
Dude mbon alishawahi kuwa tapeli tuu mzuri Etty..!
Mbona nahao wadada wanafanana au mapacha
Mbona mmeirudia iliyopita kulikon
Kiuhalisia mumefeli ,
Kwanz , hili wazo mulishawah kuekti hiv hiv inxhort mumeridia .
Pili , mavaz ni hayo hayo labda kuvua na kuvaa miwani na tai ,
Tatu , mazingira ni hayo hayo yaan huyu na huyu wamefan mnooo kias cha kujuulikanwa .
hamza omar huu nimuendelezo broo sio malidio
Kama wote
We jamaa .. Ni shida
Nakubali
MBONA KAMA MMERUDIA HII EPSOD?
Dude unafel au umeishiwa.maan hii clips ni ya kitambo sana
💥💥
20M hot
Dude ni tapeli wa kizamani
dude acha uongo yani ulipigiwa simu asubuhi ili ukapate dina mh kumbe kuna diner ya asubuhi et
Duh kutakuwa na dinner ya asbh
Sasa pale ameact kam hajui anachoongea hat kam ni ww
marudio?
Hatari
Hii tushaiona bhana
Mm naihtaj hii mental ya hii nyimbo
Inaendelea
Dude punguza kugeuka geuka
Sasa c lazma aangalie mazingira ya utapeli wake
Njoo tu upate dina