BONGO DAR ES SALAAM S02EP03 - MAPACHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2019
  • Hii ni Episode ya Pili ya SEASON 03 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
    Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
    USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 204

  • @heryerasto503
    @heryerasto503 4 ปีที่แล้ว +40

    Gongaaa like twendeee sawaaaa kama unamkubaliii dude

  • @queensuzy6847
    @queensuzy6847 4 ปีที่แล้ว +44

    Aisee dude the boss hujawahi kukosea @bongodaresaalam 🔥🔥🔥🔥hatuna mpinzani

    • @youngbizzy7856
      @youngbizzy7856 4 ปีที่แล้ว

      Umekosekana wewe tu😜

    • @madayjulius6052
      @madayjulius6052 4 ปีที่แล้ว

      Madam suzyeeee

    • @mamazahra3591
      @mamazahra3591 3 ปีที่แล้ว

      Queen Suzy inabidi muwe makini ktk vitu vidogo vidogo mfano hiyo Pete na saa aliyovaa dude inabidi atofautishe kt pacha.

  • @yussuphkazumar6229
    @yussuphkazumar6229 4 ปีที่แล้ว +84

    Wangap 2naangalia bongo dar es salaam huku 2nasoma coment

    • @arnoldngailo6223
      @arnoldngailo6223 4 ปีที่แล้ว +1

      Yussuph Kazumar 😂😂😂

    • @jumannemasondore5433
      @jumannemasondore5433 4 ปีที่แล้ว

      Up gud san dude kiukwel

    • @tidybway2411
      @tidybway2411 4 ปีที่แล้ว +1

      a dude wa siku hz sio mwz kama wa zaman bhna zaman alikuwa hatar jaman au wasemaje

  • @alfrednjambilo909
    @alfrednjambilo909 4 ปีที่แล้ว +13

    Dude is the BEST ACTOR

  • @kizinja7873
    @kizinja7873 4 ปีที่แล้ว +4

    wakati tunamsubiria kitale na maneno ya kuambiwa hatuna budi ya kumcheki dude bahati nzuri dude yuko vzuri hatuangushi bando letu haliendi bure

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo หลายเดือนก่อน +1

    Tunao angalia 2024 tujuwane kwa like

  • @irenechristian3281
    @irenechristian3281 4 ปีที่แล้ว +16

    Huyu dada wanapenda kumtapel jmn😥😥...ila Me nampenda 😍🤗

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 ปีที่แล้ว

      Sana wanamuoga mnyonge cjui sema huaga mpole

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 ปีที่แล้ว

      😂🤣😄♥️atamimi

    • @nkwimbakipili8044
      @nkwimbakipili8044 2 ปีที่แล้ว

      Mi napenda sauti ya huyu Dada anae tapeliwa!

  • @NEXTtz
    @NEXTtz 4 ปีที่แล้ว +15

    Mnatisha wazee🔥🔥🔥✊

  • @simonandrew2238
    @simonandrew2238 3 ปีที่แล้ว +1

    Dude noma Sana kubali xana kinoma an big up

  • @user-xh7vw4kk7o
    @user-xh7vw4kk7o 3 ปีที่แล้ว +2

    Boss dude tuna kupenda

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 4 ปีที่แล้ว +8

    mapacha walim dhurumu màmà angu ýâãņ MPAKA uwajue uwe makin śàñàà ila wana tofaut ndogo śàñàà ima kulwa au dotto anakua mwmbamba ila saùť ñà matendo hufanana ķàmà una date ñàò wawezaa ukawa changanya 😂😂😂😂

  • @rajuabdou8293
    @rajuabdou8293 4 ปีที่แล้ว +4

    Paka paris tunagalia bongo dar es salaam 👌

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 4 ปีที่แล้ว +4

    Hii imerudiwa dude jiangalie usiwe unarudia rudia unatumalizia bundle

  • @jodanyusuphy6470
    @jodanyusuphy6470 4 ปีที่แล้ว +7

    Naikubali sana Bongo Dar es Salaam lkn mbn leo mmeirudia hii. Tushaiona tangu season one

  • @Cambarada
    @Cambarada 4 ปีที่แล้ว +5

    Pamoja na kasoro ndogo ndogo, me nawakubali sana aisee

    • @gordonisaac1467
      @gordonisaac1467 ปีที่แล้ว

      Kweli mimi mwenyewe nimeviona sema Dude baba Lao 👏👏👏👏

  • @mikenicoottaru8574
    @mikenicoottaru8574 4 ปีที่แล้ว +5

    Hatari moto

  • @mohamedishabani4167
    @mohamedishabani4167 4 ปีที่แล้ว +4

    Mshenzi ww wizi ndo kazi yako duuuhh Yani we noma Kama vizuli sana

  • @alexlastan5078
    @alexlastan5078 4 ปีที่แล้ว +3

    Dude master mind

  • @sottithomas9443
    @sottithomas9443 4 ปีที่แล้ว +3

    Ulitukwamisha sana mzee baba dude

  • @timotheopaulo7699
    @timotheopaulo7699 3 ปีที่แล้ว +2

    Kama umeixikia mwenyezi mungu hatatuxaidia gonga like twende xawa.

  • @emmanuelsamwel2865
    @emmanuelsamwel2865 4 ปีที่แล้ว +22

    Mbona marudio hiiiii jmn kama umejua ni marudio gong like

  • @allyyussuf4604
    @allyyussuf4604 4 ปีที่แล้ว +9

    Mh dude utauwa mzee wangu🤣🤣

  • @malijanihamadi8310
    @malijanihamadi8310 4 ปีที่แล้ว +3

    Kali sana hii

  • @mohamedsenyere9349
    @mohamedsenyere9349 4 ปีที่แล้ว +2

    Noma Sana

  • @prophetessmsolo981
    @prophetessmsolo981 4 ปีที่แล้ว +5

    Hahahahha... Kawatapeli Ndo mmekwishaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mulastar
    @mulastar 4 ปีที่แล้ว +12

    Dude Leo umetupa macho ya utapeli mara moja tu 15:32 but ungetakiwa umalize nayo tena hapa 24:08

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 ปีที่แล้ว

      Pale kwenye pacha uswazi eeeh

  • @heartmanbreven7186
    @heartmanbreven7186 4 ปีที่แล้ว +2

    Dude your the baddest MVP

  • @dennisjulius1136
    @dennisjulius1136 4 ปีที่แล้ว +5

    Hahahahaaa ss hapo mwanaume kaenda kuongea. Na mwanaume mwenzie alafu analiaa kitotoo
    Alafu et mkewe et nisamehe mie mume wng duh! Hahahahaaa kwel asee bongoo hyo kwel n daresalam 😂😂😂😂

  • @hilalaman2155
    @hilalaman2155 4 ปีที่แล้ว +5

    Dude..umetsha mzee

  • @jrculdickson6629
    @jrculdickson6629 4 ปีที่แล้ว +1

    aaaaaah aise dude kwel noma umetisha bro

  • @mariamhassan4841
    @mariamhassan4841 4 ปีที่แล้ว +5

    Da flora umebackkkk 😍😍😍😍

  • @fadhilimkungura7453
    @fadhilimkungura7453 4 ปีที่แล้ว +4

    huyo dada bonge mrefu ana MFUKO WA RAMBO😎😁😁

  • @mulastar
    @mulastar 4 ปีที่แล้ว +2

    26:25 huyu jamaa aliyeshika gazeti hongera zake, amevaa uhusika sana. Na Team nzima hii ya season 1 huwa ipo vizuri ila yule dada mwingine fanyeni njia arudi kwenye Bongo cs wakiwa wawili ndyo wanatia chumvi ya utapeli

  • @patsonnzogoro790
    @patsonnzogoro790 4 ปีที่แล้ว +3

    Am the one best

  • @franklinemoi8516
    @franklinemoi8516 4 ปีที่แล้ว +4

    Kaliiiii 🔥 🔥 🔥

  • @samwelimayauka2899
    @samwelimayauka2899 ปีที่แล้ว

    Haya mzee baba ongeza nyingine

  • @shabanshaban1259
    @shabanshaban1259 4 ปีที่แล้ว +2

    u made it Dude

  • @tolumnyama3935
    @tolumnyama3935 4 ปีที่แล้ว

    Dah.! Dude we noma mm nitakujaga kukutafut unifundshe hayo mapekerechee Etty.!!

  • @Northman003
    @Northman003 4 ปีที่แล้ว +1

    Ni wangapi wanafurahishwa na haka kasauti kanatokeaga kama dili la pesa limeivana

  • @user-zw4tf5os8b
    @user-zw4tf5os8b 7 หลายเดือนก่อน

    Mtu akitaka kuja bongo lazima wamweke kikao, uwe makini huko dar, 😂😂

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 ปีที่แล้ว +1

    Hata kumsogelea namuogopa maana atachomoka na sim zangu

  • @paulmwanyika7622
    @paulmwanyika7622 4 ปีที่แล้ว +2

    Alikupigia simu asubuhi akakwambia njoo upate dinner....umetisha Dude

  • @azashaban5846
    @azashaban5846 3 ปีที่แล้ว

    mnanikumbusha mbaliiiì sana kumne imeludiii safi

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂daaah ila Dude fundi sana

  • @nkaturamussa8537
    @nkaturamussa8537 4 ปีที่แล้ว +2

    good job

  • @wavinonoclassic1274
    @wavinonoclassic1274 4 ปีที่แล้ว +1

    Zinafanana na ya kitambo kidogo

  • @kingpengo9998
    @kingpengo9998 4 ปีที่แล้ว +1

    Hakia mungu mmekwisha asha wataperi 😂😂😂!!!!

  • @chilolomaandrew7931
    @chilolomaandrew7931 4 ปีที่แล้ว +3

    Mmh da frola kachapia et wawil tuu kwenye ukoo mmh kma umskia mkono juu

    • @blessjuniortz2766
      @blessjuniortz2766 17 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 hapa nimesikia

  • @mshumbusideogratias9567
    @mshumbusideogratias9567 4 ปีที่แล้ว +2

    hambao hatupitwi like zenu

  • @jimmykikwa3131
    @jimmykikwa3131 4 ปีที่แล้ว

    SO! Waaaaooooo! i like it

  • @sammyhassan6033
    @sammyhassan6033 3 ปีที่แล้ว +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Watema23
    @Watema23 4 ปีที่แล้ว +1

    Auja badirisha pete dude.

  • @chakubalomaster1623
    @chakubalomaster1623 4 ปีที่แล้ว

    Dude umetisha mzeee

  • @justinhabonimana3890
    @justinhabonimana3890 4 ปีที่แล้ว +1

    Dude upo juu

  • @godfreykatunzi9680
    @godfreykatunzi9680 3 ปีที่แล้ว

    Umetishaa Kaka Dude

  • @tekala8778
    @tekala8778 3 ปีที่แล้ว

    Dude upo vizuri xana

  • @kidongetz8184
    @kidongetz8184 4 ปีที่แล้ว +4

    Dude hata macho tu yanaonesha tapel

  • @samwelimayauka2899
    @samwelimayauka2899 ปีที่แล้ว

    Jamaa ww

  • @nahedstationery3851
    @nahedstationery3851 4 ปีที่แล้ว +4

    Mmefeli kwenye mavazi tu.

  • @mcanada.
    @mcanada. 4 ปีที่แล้ว +3

    Episode 3🔥 likes

  • @rickstyleboy9373
    @rickstyleboy9373 4 ปีที่แล้ว +1

    Apa dude umecheza duuuuh!!!!

  • @juliuschuwa5889
    @juliuschuwa5889 4 ปีที่แล้ว

    noma sana engineer

  • @issaadinaniissa6487
    @issaadinaniissa6487 3 ปีที่แล้ว

    Mr "A" or dhoom

  • @fadmwangosi1007
    @fadmwangosi1007 4 ปีที่แล้ว +2

    Mbona mnairudia iyooo

  • @rajabubojo5306
    @rajabubojo5306 4 ปีที่แล้ว +2

    Dude kaka mbona unaalibu shati lilelile

  • @mummysuh2289
    @mummysuh2289 4 ปีที่แล้ว +3

    I mbona merudia jamani Ilikuwa seasons one

  • @lighudalabia2773
    @lighudalabia2773 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwenye wasafi tv inarushwa lin

  • @slumwaalid5274
    @slumwaalid5274 4 ปีที่แล้ว

    Kdg mumebuki kwenye Saa na Pete wote Sawa mungetofautisha pacha mmoja asivae au yuwavae tofaut

  • @uredipeter412
    @uredipeter412 4 ปีที่แล้ว

    Nakubali uyu jama nimkali kweli

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga8150 4 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂😂Bongo

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana Bongo.

    • @nassiromari8030
      @nassiromari8030 4 ปีที่แล้ว

      Yeah from Calgary Alberta Canada tunawakubali big up bongo Dsm

  • @princessiyalicious4185
    @princessiyalicious4185 4 ปีที่แล้ว +4

    mbn marudio hiiiii

  • @furahabaraka2705
    @furahabaraka2705 4 ปีที่แล้ว +4

    Mbon ep y 2 mim sijaiyon

  • @timotheopaulo7699
    @timotheopaulo7699 3 ปีที่แล้ว

    Ahaaaa mapacha hao

  • @emmanuellaizer4548
    @emmanuellaizer4548 4 ปีที่แล้ว +3

    DUDE UNATAFUTWAAAA;;;~

  • @husseinmillinga1920
    @husseinmillinga1920 4 ปีที่แล้ว +4

    Wamechapia kwenye mavazi suruali na shart zinafanana

  • @adjakulwa2444
    @adjakulwa2444 3 ปีที่แล้ว

    Yan dude we akuna tena

  • @mwinchumualli9458
    @mwinchumualli9458 4 ปีที่แล้ว

    Dude we ni shida tupu nakukubali mno

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 4 ปีที่แล้ว +3

    Shat mbona lile lile.

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso129 4 ปีที่แล้ว +4

    Kama unamkubal dude achia like

  • @mikehjackson8146
    @mikehjackson8146 4 ปีที่แล้ว +1

    Unajua mpaka unakela

  • @darkplatnum9006
    @darkplatnum9006 4 ปีที่แล้ว

    Good to good

  • @mulastar
    @mulastar 4 ปีที่แล้ว +12

    9:23 kwani dude ulishakuwaga tapeli kweli au uliachiwa laana ya utapeli>? Mimi nikikutana na ww, nakuwa makini na ninachoongea na mifuko yangu cs hata kama sio tapeli lakini unaweza ukageuka hapo hapo

  • @emanuelelphas2537
    @emanuelelphas2537 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbona nahao wadada wanafanana au mapacha

  • @deodominicus6433
    @deodominicus6433 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbona mmeirudia iliyopita kulikon

  • @hamzaomar9731
    @hamzaomar9731 4 ปีที่แล้ว

    Kiuhalisia mumefeli ,
    Kwanz , hili wazo mulishawah kuekti hiv hiv inxhort mumeridia .
    Pili , mavaz ni hayo hayo labda kuvua na kuvaa miwani na tai ,
    Tatu , mazingira ni hayo hayo yaan huyu na huyu wamefan mnooo kias cha kujuulikanwa .

    • @zaidfarid6647
      @zaidfarid6647 4 ปีที่แล้ว

      hamza omar huu nimuendelezo broo sio malidio

  • @ibrahimunasiry1555
    @ibrahimunasiry1555 4 ปีที่แล้ว +1

    Kama wote

  • @frankmanyesela3226
    @frankmanyesela3226 4 ปีที่แล้ว +1

    We jamaa .. Ni shida

  • @rajathedon408
    @rajathedon408 4 ปีที่แล้ว

    Nakubali

  • @afterx3172
    @afterx3172 4 ปีที่แล้ว +3

    MBONA KAMA MMERUDIA HII EPSOD?

  • @assleeali2302
    @assleeali2302 4 ปีที่แล้ว +2

    Dude unafel au umeishiwa.maan hii clips ni ya kitambo sana

  • @hajisadick255
    @hajisadick255 4 ปีที่แล้ว +1

    💥💥

  • @jannsenmalando5833
    @jannsenmalando5833 4 ปีที่แล้ว +4

    20M hot

  • @rajabubojo5306
    @rajabubojo5306 4 ปีที่แล้ว +1

    Dude ni tapeli wa kizamani

  • @paulkkinuma1587
    @paulkkinuma1587 4 ปีที่แล้ว +3

    dude acha uongo yani ulipigiwa simu asubuhi ili ukapate dina mh kumbe kuna diner ya asubuhi et

    • @jaggaludegula6826
      @jaggaludegula6826 4 ปีที่แล้ว

      Duh kutakuwa na dinner ya asbh

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 ปีที่แล้ว

      Sasa pale ameact kam hajui anachoongea hat kam ni ww

  • @Paty_wangu
    @Paty_wangu 4 ปีที่แล้ว +4

    marudio?

  • @jumamichael4083
    @jumamichael4083 4 ปีที่แล้ว +1

    Hatari

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii tushaiona bhana

  • @irenendenga8361
    @irenendenga8361 4 ปีที่แล้ว +2

    Dude punguza kugeuka geuka

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 ปีที่แล้ว

      Sasa c lazma aangalie mazingira ya utapeli wake

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 4 ปีที่แล้ว

    Njoo tu upate dina