BONGO DAR ES SALAAM S02EP01 - PESA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2019
- Hii ni Episode ya Kwanza ya SEASON 2 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV - บันเทิง
Wamaneno yakuambiwa tupo uku kwa dude yetu jmosi
Kileo Amani tupo uku pia 😁😁😁
Jamani siku hizi maneno ya kuambiwa hua inarusha Chanel gani na sangapi?
@@stellahjames1974 inarushwa kila jmosi saa tatu
Saa 4 wa Oman saa 3 ya Tanzania
@@kileoamani6744 mwambie stellah akianza moja wenzake tupo episode 81.
Wangapi walio kuwa wamemci bongo dar es salaam kama mm gonga like yako hap twende pamoja
Na mm
Mbinu Ngumu Sana Ulizo Tumia Dude Akuna Alie Zani Mbinu Kama izo Ungetumia Pale Ongera Kwa Kutufunza Wizi Pia
Hahahahahaha eti hongera kwa kutufunza wizi...!!
Van Braiysee j
Aendelee kutupa maujuz ya kitapeli🤣🤣🤣
@@danrevelian noma noma
Duuuu.. Hilo geti la mfanyabiashara wa magari.. Hapo mmechemshaaa kidogo kwenye uhalisiaa
Mie naombeni like ata 10 tu maana cjawahig kupata hata
Idrissa Mohamed mbinu na idea za hii Episode zimekuwa fupi wala hazivutii
Inawabidi waboreshe au kutumia mbinu za utapeli kuliko njia za wizi ❌🚫🚫
Izo likes zitakuxadia nin
Zikuingiziee kipato tuu izo like ndugu yngu
@@siliverstar7229 Naww hizo hapo mbaba nimekupa ucjal nilichokuwa nakitaka nimekipata
Hahah pw mzee
tujuane tunaoangalia uku tunacomment
Hii mmetudanganya vitu vingi sanaa
Hivi kwani bongo lazima mlinzi wa getini awe kama chizi 😂😂😂
Shahban Mazila sio bongo tu hadi Nigeria hahahaaaa
😂😂😂😂😂😂 ujinga sana
Hata mi nashangaa
Hata India home maid lazima awe chizfresh
Hv ww.... Unazo zote kabisa kichwan aseeeh unawez kuwa mlinzi wa getin
Wizi wa kishamba kabisa huo Dude kazingua ilikua aka matwe kabisa sema ki bongo movie usanii tu si hitaji like zenu
Kweli nmeinjoi sana kuitizama hii kitu wara sjajutia
Yaani Bongo Dar Es Salaam ilikuwa nzuri zamani...Dude unaharibu sana cku hiz dah
Dude iz back🔥
Thumb up to the one en only known Dudeeee!!!!
We want long episodes of Bongo Dar es salaam like before
Kama umemuona Machasub na unegundua kuwa yeye ndio Hashimu gonga like
Ety mwanamke "mtanashati mrembo" kma umeisikia hio nipe like yangu
Kabali yao dude tapeli mwanzo mwishoooo
Walio jua bongo dar es salaam ndo bye bye tujuane hapa 😁
Yani mtu uhisi ndani kuna mwizi halafu uondoke usihangaike kumtafuta???😂😂
Chombo Kwa Hewaa!
1st number dude chafu
Mnazingua mnatumia uongo mwingi sanaa mpaka watazamaji tunajua kabisa
Hivi inaonyweshwa jumangapi sangapi hi bongodar es salaam
mwarabu anambinuuuu af ana uchu na pesa kishenz yan
Tapeli ni tapeli tu haishiwi mbinu. Hatareee
Huyu demu ajui bora wale wa mwanzo wote wawili wale ndo kiboko kipande cha demu angecheza yyt Yule kati ya wale ingekua poa sana
Wizi wa simple sana huu
Mjini shule asante baba kwa kuwatimizia wahenga maneno waliyosema....
Yoy yoy getting back to the best shoooowwwwww
Dude noma samaaaa aaaah hii nimeipenda kwelikweli
Wa kujaribu ajaribu akamatwe apigwe afee azikwee aende motoni
Godfrey Orago kabisaa hii movie sasa mtu ajaribu kwa staili hii walah unadakwq
Mh japo naipend bongo dsm ila leo mmetuletea mamb ya kweny flm za kihindii😁😁
Kabisa kumbe unauelewa wa ali ya Juu
Daah bongo mnajuaa 🤣🤣🙌🙌
Wow its amazing trick i have never seen before huu wizi sio wa kitoto hebu gongen like km zote hp 👇
Dude noma xana
Safi sana, kazi nzuri..! 👏👏👏
Leo nimechelewa nmekuwa na 22lakin sio mbaya.walioimis bongo dsm wa like hapa twende sawa
Hata kama wizi sio kihivyo hata mtoto hawezi kuibiwa kwa staili hiyo🤣🤣🤣🤣🤣
Toa nawewe plan yako tuione sio unakosoa tu wewe
Yohana Fabian andaa script bas bro uwape
Yohana acha ujinga hiyo mbinu ya hali ya juu sana!
@@jumaedward7110 ok kaka ila huwezi hisi ndani kwako hakupo sawa halafu umeona mlango unajifunga dude anajificha kwenye kabati et unaacha huku umeona bora unge hisi sio kuona
Km umeona mlinzi ana wenge gonga like
Dude unakwama wapi mbona unapotea mara kwa mara
Mnakuja Mnapotea Mnafeli Bn
Good...mko vizur
Bora imerud bongoo
Mwizi yupo ndani anapigiwa cm na inatoa mlio na bwana hashim aisikii cm ya mwizi ndani iki ita kwann bwana dude ucnge weka vibration
Mmemaliza kienyeji sana hata haipendezi kama zile zingine
Daaah ilipotea xan hii mambonbora mmerud huku😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Master of technique
Dudeeeeeeeeeeeeeeeeeee
hamna wizi waivo ata siku mojaaaa
Ghalib Nadil andaa script uwatumie bro
Respect dude nakubali umetumia akili ziada kweli hongera mzazi
Wahaya buana bado mlinzi lkn kujionaa! Mtakuja kufa na sifa!
nakubali tapeli wa kiwango cha lamii
Good good 👍
bwana Dude nmeona kitu, mara ya pili bi hawa anavotoka ali lock kitasa na funguo, ukafungua maji bwana Hashim amekuja kufungua mlango bila funguo
Kuna mambo madogo madogo ya msingi ambayo yangeifanya movie iwe really sana na wezi waonekane smart... nahisi udhaifu wa director unachangia.. haiwezekani mtu ambaye ame raise suspicion katika chumba ambacho amewek ma milioni ya hela aondoke bila kuhakiki izo hela tena amekuta dro iko wazi?
Kumbukeni ni act bhana anafundisha kuwa hutakiwi kufanya hivo sasa mnakomaa na kukosoa tu
Pia Mtu huwez kuhisi kitu kipo ndani na vitu vimevurugika. Ukashika kabat na kuliacha kisa simu. Kingine.. Dogo Mama yake aliondoka na Gari lkn wakati mtu amegonga mlangoni .. ameonekana na Ufunguo as Gari kwenye Luksi. Afu pia huwez kumkaribisha mgeni hamjaongea kwa undani ..humjui deep kisha unasema unaondoka utarudi Baada ya Saa moja .. amekwambia anafahamiana na mumeo ..then anaomba namba tena
@@njeyabox1009 hio ni kweli kabisa
@@marinyasaxistv8121 una upeo mdogo sana wa kufikir kwaiyo umekalili kua kila funguo kiunon ni za gar ? Na kuhusu kuacha kabat na kupokea cm ni kawaida hata move za mataifa yaliyoendelea wanafanyaga. 3 kuhusu kuomba namba ni kawaida kuna kupoteza cm nk so kuomba namba alikua sahihi coz kama angekua na namba angempgia kashasema alionana nae tangu ashim akiwa mdogo sana mpaka kawa mtu mzima piga picha ni miaka mingap imepita mtu habadilish lain tu
Safi bongo darisalam Mr dude
Nomaa sanaaa
Hiyo nyumba ndo ya muuza magari dubai aya bhana dude mana nje kama zile za walimu wastaafu na ndani kidogo ya teller bank
Mnyama mkali zaid ya simba
Hayo ni maigizo ya kayumba primary school
Wangapi wanakubali kama dude ni zaidy ya komandoo
Sana kazi kazi
Mwarabu kasha tapeliwa Sana nae kamua kuwa tapelii iyi dunia ukikawia kujifunza utafunzwa 😂😂
2020 gonga like hapa
Dude bhana upo vzr but cyo ka zaman zidisha mautundu
Dude tunashukuru kwa ujio wako tena
Matangazo mengi
acha tuangalie dude tukingoja maneno yakuambiwa.
Dude
Bado kdg mbinu siyo
dude namuelewaga sana, dude iz back
Dude ni noma wew ni tapeli haswa yani siyo wakubahatisha
WATU WABAYA SANA 🤟SIZON 1 MLIPONDA KUWA UBUNIFU ZERO PIA MKAWAPONDA WALE WADADA KUWA NI WAKITAMBO MSHAWAZOEA 😂DUDE AKASEMA OKY NGOJA AINGIE CHIMBO KALETA SIZON 2 MSHAANZA KUONGEA TENA KUWA UBUNIFU ZERO BOLA SIZON 1😂😂😂DUDE LETA MAWE WASIOJIELEWA WALIELIE
Binadamu ndivyo tulivyo hatukosi la kusema....!!!
Waigize waooo tone izoo sizoni
BG up
Ni nzuri lakini hayo mambo mengine sidhani kama yanawezekana,,, mtu kwenye chumba chake tena chenye hela nyingi hawez kubali kuondoka na kuacha ndani akiwa na was was.... haiwezekan kabisaaaa....
Movie nzima mistake tupu.Haina mafundisho yeyote.Wameiga kwenye sinema tu.Tunataka story za kweli zinazotokea hapa nchini kwetu.kwa hali hii bora mpotee tu tuangalie vichekesho vya joti
Part 2 bac mwenderezo
mwana mke mtanashati
Well done dude
dude siku nikikushikaaaaaa Hahahahahahaha
Yaan mm wanaoomba like wananiudhi sana kama makuma vile
Daa kitambo
Dude nomAAAAA
inakuwa siku gani
Dudeee umeuwaaaaaa
Nawakubali kabisa
Ila hizi za dude ckuiz cyo kaaali mbinu hizi uwezi kumpata mtu kiukweli
Unahis ndan kuna mwiz kajificha kwenye kabati halafu unamuacha na kumpotezea kwa hapo mmechemka kaabisa! Ok nimewakumbusha tu.
Dude noma kubwa sana
Duuuuh ahsante kwa kukata kiu
At the first huyu dada kajibu hadi maswali ambayo hajaulizwa
Nishakwelewa tuelewane yaishe 😂😂😂😂😂
Mlinzi bana
Noma sana
Mbona hakuelezwa yupo mfanyakaz wala mume wake analeta magari 🤣🤣🤣
Long time 🔥🔥🔥✊
Mwanamke ni mtanashati kumbe 😂!!!!
😂😂😂😂😂😂
Ndio mkewe?...
Gud mzee
good creative but my advice ni at the end of the show wekeni behind the scene ili watu wacheke the way way mna act seriuz.
Dude hufai kabsa nzur San hii gonga like kama umeikubali km mm
Dude karudi tena kutoka mafichoni😂😂😂😂
Alikua anakimbia madeni
Dude ebu rekebisha apo mtoa taarfa kasema anafanya biashara Dubai huyu mpokea taarifa nae kaongeza biashara ya magari inakuwaje apaa
Kumbuka mtoa taarifa hakutaja kuwa ni biashara Gan.
Sasa yeye kajuaje huyo mpokea taarifa
Ni maajab...
Like zitakusaidia nin acheni usenge