BONGO DAR ES SALAAM S02EP01 - PESA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Hii ni Episode ya Kwanza ya SEASON 2 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV
Wangapi walio kuwa wamemci bongo dar es salaam kama mm gonga like yako hap twende pamoja
Na mm
Duuuu.. Hilo geti la mfanyabiashara wa magari.. Hapo mmechemshaaa kidogo kwenye uhalisiaa
Hii mmetudanganya vitu vingi sanaa
Wizi wa kishamba kabisa huo Dude kazingua ilikua aka matwe kabisa sema ki bongo movie usanii tu si hitaji like zenu
Wamaneno yakuambiwa tupo uku kwa dude yetu jmosi
Kileo Amani tupo uku pia 😁😁😁
Jamani siku hizi maneno ya kuambiwa hua inarusha Chanel gani na sangapi?
@@stellahjames1974 inarushwa kila jmosi saa tatu
Saa 4 wa Oman saa 3 ya Tanzania
@@kileoamani6744 mwambie stellah akianza moja wenzake tupo episode 81.
Yaani Bongo Dar Es Salaam ilikuwa nzuri zamani...Dude unaharibu sana cku hiz dah
Thumb up to the one en only known Dudeeee!!!!
mwarabu anambinuuuu af ana uchu na pesa kishenz yan
Mnazingua mnatumia uongo mwingi sanaa mpaka watazamaji tunajua kabisa
Noma sana Mzee wamipango dudeee
Kabali yao dude tapeli mwanzo mwishoooo
Hivi inaonyweshwa jumangapi sangapi hi bongodar es salaam
Mbinu Ngumu Sana Ulizo Tumia Dude Akuna Alie Zani Mbinu Kama izo Ungetumia Pale Ongera Kwa Kutufunza Wizi Pia
Hahahahahaha eti hongera kwa kutufunza wizi...!!
Van Braiysee j
Aendelee kutupa maujuz ya kitapeli🤣🤣🤣
@@danrevelian noma noma
Wizi wa simple sana huu
Mjini shule asante baba kwa kuwatimizia wahenga maneno waliyosema....
1st number dude chafu
Nawakubali kabisa
Dude noma samaaaa aaaah hii nimeipenda kwelikweli
BG up
Kweli nmeinjoi sana kuitizama hii kitu wara sjajutia
Daah bongo mnajuaa 🤣🤣🙌🙌
Hivi kwani bongo lazima mlinzi wa getini awe kama chizi 😂😂😂
Shahban Mazila sio bongo tu hadi Nigeria hahahaaaa
😂😂😂😂😂😂 ujinga sana
Hata mi nashangaa
Hata India home maid lazima awe chizfresh
Hv ww.... Unazo zote kabisa kichwan aseeeh unawez kuwa mlinzi wa getin
Dude noma xana
Dude iz back🔥
Mie naombeni like ata 10 tu maana cjawahig kupata hata
Idrissa Mohamed mbinu na idea za hii Episode zimekuwa fupi wala hazivutii
Inawabidi waboreshe au kutumia mbinu za utapeli kuliko njia za wizi ❌🚫🚫
Izo likes zitakuxadia nin
Zikuingiziee kipato tuu izo like ndugu yngu
@@siliverstar7229 Naww hizo hapo mbaba nimekupa ucjal nilichokuwa nakitaka nimekipata
Hahah pw mzee
Good...mko vizur
Good good 👍
Yoy yoy getting back to the best shoooowwwwww
Wa kujaribu ajaribu akamatwe apigwe afee azikwee aende motoni
Godfrey Orago kabisaa hii movie sasa mtu ajaribu kwa staili hii walah unadakwq
Bora imerud bongoo
Well done dude
Daaah ilipotea xan hii mambonbora mmerud huku😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Sana kazi kazi
Wow its amazing trick i have never seen before huu wizi sio wa kitoto hebu gongen like km zote hp 👇
Long time 🔥🔥🔥✊
Ety mwanamke "mtanashati mrembo" kma umeisikia hio nipe like yangu
Tapeli ni tapeli tu haishiwi mbinu. Hatareee
Walio jua bongo dar es salaam ndo bye bye tujuane hapa 😁
Noma sana
Dudeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Master of technique
Leo nimechelewa nmekuwa na 22lakin sio mbaya.walioimis bongo dsm wa like hapa twende sawa
We want long episodes of Bongo Dar es salaam like before
Respect dude nakubali umetumia akili ziada kweli hongera mzazi
dude siku nikikushikaaaaaa Hahahahahahaha
Safi sana, kazi nzuri..! 👏👏👏
Wangapi wanakubali kama dude ni zaidy ya komandoo
Mmemaliza kienyeji sana hata haipendezi kama zile zingine
Dude ni noma wew ni tapeli haswa yani siyo wakubahatisha
huyo demu hana skills za wizi hata kidogo ajengewe uwezo,bado sana.
Goog dude
Hata kama wizi sio kihivyo hata mtoto hawezi kuibiwa kwa staili hiyo🤣🤣🤣🤣🤣
Toa nawewe plan yako tuione sio unakosoa tu wewe
Yohana Fabian andaa script bas bro uwape
Yohana acha ujinga hiyo mbinu ya hali ya juu sana!
@@jumaedward7110 ok kaka ila huwezi hisi ndani kwako hakupo sawa halafu umeona mlango unajifunga dude anajificha kwenye kabati et unaacha huku umeona bora unge hisi sio kuona
Duuuuh ahsante kwa kukata kiu
Kama umemuona Machasub na unegundua kuwa yeye ndio Hashimu gonga like
Dude nomAAAAA
hamna wizi waivo ata siku mojaaaa
Ghalib Nadil andaa script uwatumie bro
Duuuh noma aisee
Nomaa sanaaa
dude namuelewaga sana, dude iz back
tujuane tunaoangalia uku tunacomment
Mmerudi,😄😄😄😄😄😄 nmemmic mwarabu
Matangazo mengi
Dudeee umeuwaaaaaa
Chombo Kwa Hewaa!
Mnakuja Mnapotea Mnafeli Bn
Dah nili mic Hi k2 balaa
Dude tunashukuru kwa ujio wako tena
Safi bongo darisalam Mr dude
Mnyama mkali zaid ya simba
Dude hufai kabsa nzur San hii gonga like kama umeikubali km mm
Dude noma kubwa sana
Nakubal dude.
acha tuangalie dude tukingoja maneno yakuambiwa.
Mwarabu kasha tapeliwa Sana nae kamua kuwa tapelii iyi dunia ukikawia kujifunza utafunzwa 😂😂
Daa kitambo
nakubali tapeli wa kiwango cha lamii
Kwa hii mmezingua sanaaaaaa imepooza mpaka xio vzuri
Yani mtu uhisi ndani kuna mwizi halafu uondoke usihangaike kumtafuta???😂😂
Mbona hakuelezwa yupo mfanyakaz wala mume wake analeta magari 🤣🤣🤣
Mh japo naipend bongo dsm ila leo mmetuletea mamb ya kweny flm za kihindii😁😁
Kabisa kumbe unauelewa wa ali ya Juu
mwarabu nomaa
mwana mke mtanashati
Nishakwelewa tuelewane yaishe 😂😂😂😂😂
Mlinzi bana
Dude bhana upo vzr but cyo ka zaman zidisha mautundu
nakubali
MAZAFAKA 😀😀
Dude 🤣🤣🤣
Aiseeeeee
Dude unatsha mzee,
Dude
Jamani.tucinfate.dude.
Msaada wa like kumi tuu jamanii
2020
Mwanamke ni mtanashati kumbe 😂!!!!
😂😂😂😂😂😂
Ndio mkewe?...
Huyu demu ajui bora wale wa mwanzo wote wawili wale ndo kiboko kipande cha demu angecheza yyt Yule kati ya wale ingekua poa sana
Gud mzee
Good
Acha michezo ya hatari hiyo 😀😁😁
inakuwa siku gani
Ssa hapa simnafundisha wizi
Na somo pia wanakufundisha...kwan movie za kivita ukiangaliaga huwa unaenda kutafta bastola??
I love you