ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
GETO LA USWAZ 2 |Gabo Zigamba |Rayuu |Muhogo Mchungu | Hidaya NjaidHalisi tv
มุมมอง 518K
วัยรุ่น ปรุงเเต่ง | วัยรุ่นวุ่นวาย 💢โจ๋ โซเชียล
มุมมอง 736K
开门竟然看见这一幕,看我怎么拿奖牌揍你#funny #cutebaby #萌娃 #搞笑 #twins一只小妤宝
มุมมอง 26M
WA KIPEMBA/HIDAYA BOLI/LUCKEY LUKAMO/RAYUU/JOHARI/MZEE FOTE/2020MOVIESHalisi tv
มุมมอง 261K
Arabic Beats - Deep House - FocusPiercing Gaze
มุมมอง 18K
SUBIRA MOVIE FULLDAILY TRENDING TV
มุมมอง 182K
SIRI YA GININGI 1B/GABO ZIGAMBA/HAMIS KORONGO/SABRINA TAMIMU/ZUBEDA IBRAHIMClear Picture Entertainment
มุมมอง 172K
FILAMU YA “FAMILY MATTERS”JASONS TV
มุมมอง 424K
ZAZUBA-Staring -GABO ZIGAMBA/RIYAMA ALLY/MAMA ABDUL/SENJELE/KONAHalisi tv
มุมมอง 202K
MWASITI/HEMEDY PHD/RAYUU/HIDAYA NJAID/DUMA/BONGO MOVIE 2020Halisi tv
มุมมอง 359K
The Lost Twins Part 1A - Steven Kanumba & Suzan Lewis (Official Bongo Movie)Africha Movies
มุมมอง 3.7M
ทักษิณ ทำไมขอไปดูไบ | เศรษฐาขอความเป็นธรรมศาล รธน. | อ.วีระถกงบดิจิทัล วาระ 2 | คุยให้คิดThai PBS Podcast
มุมมอง 124K
ลิเวอร์พูล 2-1 อาร์เซนอล | ไฮไลต์เกมอุ่นเครื่อง ปรีซีซั่น Pre-Season friendliesbeIN SPORTS Thailand
มุมมอง 589K
การแบ่งปันเป็นสิ่งที่ดี น้องเจเคแบ่งขนมให้คนอื่นจนหมด sharing is good #การแบ่งปัน #sharing #shortsคิดดีทีวี | Kiddee TV
มุมมอง 501K
🔴 Live ถ่ายทอดสดหวย สลากกินแบ่งรัฐบาล งวดประจำวันที่ 1 สิงหาคม 2567 | ข่าวช่อง8ข่าวช่อง8
มุมมอง 1.3M
ประวัติซุง Sungstarwin หัวเรือใหญ่ LovePotion + ตลาด SaveOneGo #sungstarwin #nwfinance #ธุรกิจNew World Finance by Thanayos Kongpichetkul
มุมมอง 181K
Cool Items!🥰 New Gadgets, Smart Appliances, Kitchen Tools Utensils, Home Cleaning, Beauty #shortsCool Items Official
มุมมอง 9M
Asante kwa kutuletea filamu zuri sana kabisaa kama unaikubali ihi filamu kwa 💯 na kwa 💯 gonga like first one
Vzr
Kbx ❤️❤️🔥🔥🔥🇧🇮
Kwawale mnaosoma comment tujuane apa
Nipo nasoma na uchuro wa boss
@@bibibakari7020 haha
But @@bibibakari7020
Nipo nasoma
Move inafundisha ulicho jaliwa nacho katika maisha uwe na moyo wakushukuru na uwe na subra katika maisha yko bila ya hayo utaingia baya katimaisha yawe mazuri yawe ya kimasikini nikutosheka na ulicho jaliwa nacho na... Mola.. Ndio utafaulu,,, Amiin Amiin ya rabbi Allah Amiin Amiin
Sahihi
Hawa wanawake wawili wakikutana wanashida sana 😃😃😃😃nawapenda na hivyo vituko vyao tu
Umeona.wanapendeza kwakwer kiwaenti pamoja.kama ile filamu ya mwasiti pambe
Mwanamke amekosa huruma kweli..
Ila iko poa itawafunza wengi wenye tamaa ya dunia
Dada ratifa unanimaliza nguvu kwa kucheka🤣🥰🥰🤣🤣🤣🤣 adi napata kwikwi by Abdul jayrani south Africa love you my sister umetulia umondani Safi Allah bless you
Asante sana gabo zigamba uko vizur
Jamani hii move mpk nimelia😭😭 uyu baba anateseka
Ukiwa huna chako unadharaulika hadi na sisimizi pole sana muhogo mchungu
🤣🤣🤣walo mfikiria baba ake diamond wa zaman kwenye hii movie tuonane kwa like
Mashaallh move iko na mafunzo mengi katika jamii maisha kama haya yapo... Allah,, atuongoze wepesi wa kila familia na mema ya dua na akhera na wepesi wa kila jambo katika maisha... Amiin Amiin ya rabbi Allah Amiin Amiin Amiin
Amiiin
Amiin ya Rabby
Amiin
Film bombaaaa mashaaallah vzr xnaaa
Mashallah movie makini sana)Wanaume tutafute pesa la si hivyo..........😂😂😂ila nimecheka mpaka nimeamsha walala mapema Eti nimechoka maisha mazuri ya ndotoni 😂
Hahahahahahahahahaha
Wanaake tulizike nakile tulichojaaliwa na allah
Wanawake waswahili ndio tabia zao hizi,,tamaa,wakosa adabu,kujilinganisha na familia zengine,hawataki kusoma
Et mamaweeee umeniulia wat🤣🤣🤣
Nzuri ila nilikua naipita 2 mpaka najuta kuikosa ila leo nimeenjoy
Mambo ya uswazi ayo👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Jamaaaan 😍 adi uluma
Maskin baba namuonea huruma😭😭😭😭😭😭
No
Mama mpuzi et ningejua baba yk akizeek anakuwa vile nisingemkubal😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Daa hii move n ya moto kali sana
Munguwang Huyu Papa Ananiumiza Sana Kbx 😭😭😭😭 Yoooo Dada Pole Sana 🤔🤔🇧🇮🇸🇦🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Swahili movies getting better nowadays
Nihuko kumtumia subiani wako vizuri😀😃😃
😁😁😁
Shimo Moja Wapo La Kila Ubaya Ni Mtu Kupenda Fedha, Guys Tutafute Fedha But Kuwa Makini Sana Na Kupenda Fedha Utaangukia Kwenye Kila Aina Ya Mashimo Mabaya Katika Maisha Yako...!!!
Big up Ukthy Tosa❤... MashaAllah
Nice mashaAllah filamu
Maiko nondo unasaut nzurii😘😋
Nimependa mom mmoja anae uza vitumbuaa
SUBRA KATIKA MAISHA HAYA NIKITU CHA MUHIMU SANA .MAANA KILA JAMBO LINAWAKATI WAKE .
Mm naiwatch movie kwanza ndio nicoment
Alafu wwe unawatch ama umecoment tyar
Firamu bora kabisa❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mmmmmh maisha magumu ad tunawazaga hivyoo daaa gud muv
Kikubwa dua ipo cku watanzania 2tatoboa
Ukiona kilemba kimejaa tope ujuwe msuli haufai
😀😀🤣🤣
Ntafanya chochote ili nyie muende chooni😆😆paka nyie
Ahsanten Kwa filamu nzuri it's is very nice
Jmn ukipata mume mwema anaye kupenda mueshim kwakl hata kama hana cocote unacho taka nikusaidian hujuwi kesho yake 🥺🥺😥😥
Ngoma nzur sana
Nice mv💞💞💞
Kweli kabisa pesa muhimu sana
Mbona Mnachelewa Kupost Bhana Mnazingua,,,,
Nimeipenda Sana
Hlw
Mungu akubariki KK tena akuzidishiye marifa kk yangu
😄😄😄😄😄 jamani unataka mtoto akajiuze kisa pesa 😄😄😄 tosa kz unayo
Wanaume tafuteni' Pesa 🤦♀️Isije. Kuwa 'kama Ya Mama dangote👌🏽👌🏽
😂😂😂😂
🤣🤣🤣mtoto wa Nyange
Watafute pesa kiukweli jamani
🤣🤣🤣👌👌👌👌 tafuta pesa
Aiseee
Ila sipendi mwanaume wakumtegemea nwanamke
Tunaomben mwendelezo jaman
nice move
Siyo kwa tamaa hiyo jamani
Nice movie
Wamekutana tena Mwasiti na shoga ake🤣🤣🤣🤣🤣🤣
wanatishaaa
@@daishajumanne5990 🤣🤣🤣hatar
Kwakweli 😅😅
Kaz kwanza vijana kuowa badae ukitoa droo ujanan penait uzeen
Tanesco kama Tanesco huwa atukosei deni kidogo tunakata Umeme hatunaga masiala
Hawa wanawake wawili hatari
asantee taam hiyooo
Hahahaaa eti unajifanya hajjaty sana wewee
Very nice is me ikiram malibiche
Jomoniii movie bombaaa
Jaman huruma kwa baba wawat
Gabo anacheka kizushi
Movie nzuri sana❤❤
Naomba part 2 Asante sana
Jaman part 2🥺🤦
Aisee mama kibok
Twaisubr part2
Nice
Kali sana
Tuletee na ya kigodoro pls
Ina Lilah waina ilaihi rajiun
kitenga uchumi wanakikalia
Ongereni jamani Paty 2
nzuri🤔
Tama mbaya
We Mama mwehu unarazimisha mtoto Mambo Kama hayo mbona ww haujaenda? Mpuzi kbx
Safi sana
Move nzuri nimeipenda😘
Part two please
Jaman mbon hamulet prt 2
Nawashangaa hii Filamu ni ya kitambo sana na haina Part 2
Hii Filamu mushawahi kuileta kitambo sana kama miaka miwili iliopita halafu hamkuleta tena Part 2 hadi leo mnairudia tena hii vipi nyie Producer mlikosana na mwandishi wa Script nini akasusa kuandika mwendelezo??? 🤨🤨🤨
Hishi na wakubwa uyajuye makubwa,ujue kumtumia subiani wako🤣🤣hapo wakubwa ndio wamehelewa.
wameelewa na siyo kuhelewa wewe nae nyoosha kiswahili vzuri😂😂
@@onesmomayala370 jua wewe kiswahili upate kubarikiwa zaidi mjua lugha sisi walala hoi kazi yetu nikubatisha.
Aiseeer
Astakfiru allah mungu tujaalie subra jamani
Muogo mchungu
Muendelezo 😢😢
❤️❤️❤️👌
Pati2
Part 2 tafadhali
Part 2 mpka mwakani 2022
Kabisa labda mwandishi wa Script hakulipwa hela yake ndio kasusa kutoa part 2
Movies kali😍😍😍
Hii bichwa au madafu?
Mama kimbo ulikuwa bonge duuu
😂😂😂Ety mashungi yk km unataka kwenda makkah
😂😂😂😂😂
@@lidiasaumu7116 hhhh
Tafuta hela bba heshima pesa
With gabo you can’t be deserving
@ Usimuwekee Mungu wa Isreal Mipaka
Tamaa mbayaa
Safi kashaulo
Madengo ntima
Filamu mzr hp kipande cha kucheza bao.nikipenda inaonesha tamaduni ztu ht kwa wenzetu wanao tazama