WASIRA ASIMAMISHA HOTUBA KWA DAKIKA BAADA YA TUKIO HILI/ASIMULIA KUHUSU MAGUFULI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 21

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 9 วันที่ผ่านมา +6

    Ni kwasababu mwenyezi mungu alitupa mwananchi John pombe magufuli

  • @RamadhaniRacx
    @RamadhaniRacx 9 วันที่ผ่านมา +4

    Maaaashallaaah....
    Angalia maajabu hayooo....
    Wakati manazungumzia Magufuli adhana inaaadhiniwaaaa.
    Eee mola wang ninakuomba.. mpumzishe kwa amani.. john Magufuli

  • @Butondo
    @Butondo 9 วันที่ผ่านมา +4

    Mgao wa umeme haujaanza wakati wa magufuli acha siasa mzee.

  • @MakweThegreat-k1q
    @MakweThegreat-k1q 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo sawa mmebadilisha na imesomeka vizuri

  • @MakweThegreat-k1q
    @MakweThegreat-k1q 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mim nilikuepo mnazi mmoja alisimamishwa kwa sababu azana ya wisilamu

  • @JohnKassimu
    @JohnKassimu 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mama vijana wameisha huko ccm

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 9 วันที่ผ่านมา

    Adhana Masha Allah allahu akbar

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 9 วันที่ผ่านมา +2

    Hili jamaa boga

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huitaji kutuambia kafanya nani huo ni ushamba kilichofanya hayo ni chama cha mapipi yanayojua kujlimbikizia mali za wananchi kwa faida za matumbo yao

  • @MakweThegreat-k1q
    @MakweThegreat-k1q 9 วันที่ผ่านมา +1

    Vyombo vya habari mnapotosha watu alisimama kwa sababu azana ya waisilamu ilipigwa

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mzee anvuta bangi

  • @WillbadBeda
    @WillbadBeda 9 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe unatamaa umri ushaa enda na uwache uwongo wewe ni mtuu mzima

  • @mbismarckredpenperfect4380
    @mbismarckredpenperfect4380 7 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 8 วันที่ผ่านมา

    Magufuli aliitwa na Mungu au alitangulizwa na mashetani wanaojiona miungu watu sasa hivi!?

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 9 วันที่ผ่านมา

    Mzee wasira siyo mbagala tuu mjini una wa mahali ni foleni toa suluhuu usisemq tuu mbagala shida ni nyingi

  • @DicksonMhutila95
    @DicksonMhutila95 9 วันที่ผ่านมา

    Pumbavuu wewererrr!

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 9 วันที่ผ่านมา +1

    Lakini nyie viongozi bado mkiumwa nyie na watoto zenu mnaenda kutibiwa ulaya na india mnapishana kufa kila siku kila mkiendelea kuwadhulumu wananchi mkienda mnarudi mfuu

  • @MayalaBusolwa
    @MayalaBusolwa 9 วันที่ผ่านมา +2

    Angekuepo jpm mlad yote ingekamilika achen siasa

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa 9 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli Miradi inasuasua mfano Dodoma barabara ya Lingi road inasuasua ujenzi wa airport msalato na Daraja la SGA ukitoka Bahi kabla ya kufika Kintiku Kuna daraja hapo limetelekezwa Ebu viongozi kuweni na uchungu na nchi yenu

  • @erickenock3198
    @erickenock3198 9 วันที่ผ่านมา +2

    Inamaana uyo Mzee akili ana adi wamlimoti wasaidizi wake