Mimi nakuskiizaga na napenda mihadhara yako upo vzr lakini tattizo linalo kumaliza civ zako ni ule ujadida tuu, bhasi ila kiilmu upo vzr xana ukianzaga kutowa red card katika manhajji fulani msim sikilize so mtu wa sunnah hapo ndo nafunga masikio yangu lakini unapo watandika makhurafi masufi huwa nakukubali xana darsa zako shida yako mafuta ujadida tuuh!
@@ShakimTyger-vw4ly ndo man hajji ya ahlsunnah hiyo kutukana huo ndo ujadida mttume akutukana watu katika dahawa yake na maswahaba hawakutukana shekhe salafi wa wapi ww watukana watu hamna hoja mnashika misimamo ya mashekhe zenu mnaile asili ya masufi shekhe kanena madamu kasema shekhe basi wengine hawafai
@@ShakimTyger-vw4ly hakuna sunnah ya kutukana watu ww na kuwatowa watu kwenye man hajji huo so mwendo wa saafu swalehe kutukana katika dahawa ndo tunasema huenda mkajuwa au hamjui maana ya ufahamu wa salafi mnadhani chama sijui
@@user-yj5on8cz3endugu yangu Allah akuongoze zaidi, naona njia unaiona taratbu, mtume swallah Allahu alayhi wasallam aliwasema maswahaba zake ambao walienda kinyume na dini sana tu, hata maswahaba pia kma umar radhiya Allahu anhu kuna wengne amewakata vichwa, na usalafi si hvyo unavyodhania ww, nenda markaz uone watu wanavyosomeshwa. Wallahu aalam. Tuna fwata dini kwa quran na sunna kwa ufahamu wa masalaf. Na kma tukikosea tukoradhi kukosolewa na kma mtu akikosea tutamkosoa kwa mujibu wa quran na sunna. Au ulitaka tuache tu watu wafnye watakavyo tuwe kma wakristo na mayahudi.
Allah akupe siha na afya sheikh wetuu akufungulie bahari ya elimu upate kuongoza ummah
Subhanaallah Allah akuhifadhi nilikuchukiaga lkn asaiv Nakupenda kwaajili ya Allah
ALLAH akuhifadhi sheykh wetu Abaal fadhi na akuzidishie Elim na qabuul
Allah Akuhifadhi Abu Fadhil
حفظك الله
Ingekuwa darasa za dr islamu allah amkubali,wanafunzi wake wangejibu nawadhania hivo
Tatizo lako hna elimu ya kawaida lakn wajikweza sana kana kwamba hakuna masala yanayokishinda
Umeongea nini kaka! Chuki zina nafasi gani hapa?
Allah akuongoze
Hujuwi unachokiongea, muogope Allah kaka, na acha chuki na choyo
Ukiwa unasema lazima usemwe . @@abuutamiimattanzaaniy8676
Mimi nakuskiizaga na napenda mihadhara yako upo vzr lakini tattizo linalo kumaliza civ zako ni ule ujadida tuu, bhasi ila kiilmu upo vzr xana ukianzaga kutowa red card katika manhajji fulani msim sikilize so mtu wa sunnah hapo ndo nafunga masikio yangu lakini unapo watandika makhurafi masufi huwa nakukubali xana darsa zako shida yako mafuta ujadida tuuh!
Wendo jahidida hjielewi. Utapata wapi Sunnah Kam sio kwamasalafi. W mjinga katika dini
@@ShakimTyger-vw4ly ndo man hajji ya ahlsunnah hiyo kutukana huo ndo ujadida mttume akutukana watu katika dahawa yake na maswahaba hawakutukana shekhe salafi wa wapi ww watukana watu hamna hoja mnashika misimamo ya mashekhe zenu mnaile asili ya masufi shekhe kanena madamu kasema shekhe basi wengine hawafai
@@ShakimTyger-vw4ly hakuna sunnah ya kutukana watu ww na kuwatowa watu kwenye man hajji huo so mwendo wa saafu swalehe kutukana katika dahawa ndo tunasema huenda mkajuwa au hamjui maana ya ufahamu wa salafi mnadhani chama sijui
@@user-yj5on8cz3endugu yangu Allah akuongoze zaidi, naona njia unaiona taratbu, mtume swallah Allahu alayhi wasallam aliwasema maswahaba zake ambao walienda kinyume na dini sana tu, hata maswahaba pia kma umar radhiya Allahu anhu kuna wengne amewakata vichwa, na usalafi si hvyo unavyodhania ww, nenda markaz uone watu wanavyosomeshwa. Wallahu aalam. Tuna fwata dini kwa quran na sunna kwa ufahamu wa masalaf. Na kma tukikosea tukoradhi kukosolewa na kma mtu akikosea tutamkosoa kwa mujibu wa quran na sunna. Au ulitaka tuache tu watu wafnye watakavyo tuwe kma wakristo na mayahudi.
Kwaiyo we ndio kama imam shafii sindio
Allah akuongoze
Whatever you think