Masingo mama kwakwel ambao tunalea watt wetu peke yetu tupo radhi tufanye lolote watt wale waende shule na baba zao wapo* had watt wetu wanakua naomba Mungu aniweke nije nione mafanikio y mtt wangu hata akiwa na Kaz yyt kama mama Ake namuombea mwanangu 😭😭🙏
Amina dada angu Naelewa hali uliyopo nayo kwa maana me pia nimelelewa na mama pekee na baba yupo wacha tu nampenda sana mama angu Alhamdu lillah bado yupo hai
Maneno Yametumika Yote Ynagusa sana Hasa kwa Watu ambao mama zao wametangulia mbele za haki, mUNGU AWALAZE MAHALA PEMA, Inshort Mizki ni Mzuri Bro BIG UP
Kasi smela... Mzeee unajua kinyama , Yani umenigusa maisha yangu halisi nilioishi... Ningekuwa na hela nikuzamini mzee.... Ilaa godblees u , never give up . Yupo nyuma yako.
Wangapi Bado tupo Humu 2024🎉🎉
Like ❤❤
Nipo mwanangu
@@Lilta660 👊
❤❤❤❤❤❤❤
Kwa sisi tulopoteza mama twaelewa haya maneno😢😢😢😢😢
Pole
Pole sana
Kabisa😭😭😭😭
Jinsi unavy imba huu wimbo nikama ulikuwa unaishi jirani na nyumbani kwetu unaona kila kinacho endelea big up sana unajua mdogo wangu
Daah uliyoyaongea yote mama yang kayafany,aisee mungu nilindie single mom wang 🙏🙏 and r.i.p kwa mama wote dunian
God bless you
Masingo mama kwakwel ambao tunalea watt wetu peke yetu tupo radhi tufanye lolote watt wale waende shule na baba zao wapo* had watt wetu wanakua naomba Mungu aniweke nije nione mafanikio y mtt wangu hata akiwa na Kaz yyt kama mama Ake namuombea mwanangu 😭😭🙏
Amina dada angu Naelewa hali uliyopo nayo kwa maana me pia nimelelewa na mama pekee na baba yupo wacha tu nampenda sana mama angu Alhamdu lillah bado yupo hai
Maneno Yametumika Yote Ynagusa sana Hasa kwa Watu ambao mama zao wametangulia mbele za haki, mUNGU AWALAZE MAHALA PEMA, Inshort Mizki ni Mzuri Bro BIG UP
😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭, Asante
Ameeeen
@@user-hs5dz6li3b 🙏
Ameni
Mama angu yupo ila najikuta naliaa mana wapo wasio na mama
Una roho nzuri sana
Hongera❤
maaaaaaama always perfect ❤❤❤❤
Saut mujarabu.kabisa.
HUYU NDO SIMERA TRANSPORT AU
Nakupenda Sana ❤❤❤❤❤ from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Oyaaaaaaa sio poaa goma kali yani mpaka nimelia😢❤❤❤
Ndg yangu unajua Sana kuinba kwa ihii nyimbo noma sema ihii nyimbo fanya remix na msani Kama meja kunta ili uingiyee mjini❤
Sio nyimbo ni wimbo
Haswaaa mtafuta meja msujudie fanya remix Alaf mengn yanafuata
Aisee kipaji unacho mungu akuzidishie
Hii nyimbo ni nzuri kweli jaman🙏💞💞💞💞💞
Waoooooo ninzuri sana mungu akukuzie kipaj chako❤❤❤❤❤
Kasi smela... Mzeee unajua kinyama , Yani umenigusa maisha yangu halisi nilioishi... Ningekuwa na hela nikuzamini mzee.... Ilaa godblees u , never give up . Yupo nyuma yako.
😭😭😭
Mwambie dogo anitafute
GONGA LIKE APA KWAAJILI YA KIJANA WETU SIMELA✨✨
Gd job
Kàz nzr🥀🌹🍉🍎🛺
mambo vip simela nakukubali
Da
nrod
Kwakweli
Nampenda sana mama yangu mungu alinde daima
Penda weweeee Mom
Hongera kwa kuwafariji mama zao waliotangulia mbele za Hali😭😭😭
Huu wimbo nimeutafuta hatimae nimepata, asee huu umeua hongera sana 🤝
Sawa
hongera Sanaa kasi simela up vizur❤
Mungu azid kukuza kipaj chako salute
Ujumbe mzito kwa kweli amenifanya kukumbuka mbali...2zidi kuwaombea dua mama zetu walotangulia mbele ya haki.
Pole sana yauma kuishi bila mama
Oya weee sana mwane2 imetoka iyo one love
Tuwaheshim mama zetu coz pepo iliyo njema ipo nyayon Kwa mama 😢😢😢
nyimbo sichoki kuisikiliza hongera sana sanaaa
Mashaallahuu
Wimbo huu unafundixh ongera yak😢😢😢❤❤❤
Safi nimeipenda sana ❤❤❤❤❤
Jamaa katisha san kipaj kikubw san blood ♥
Mungu akulinde sana mama❤❤🎉🎉
Wimbo huu unanitia uchung san daaah
Nakupenda saana kas simela
😭😭 nimejikuta nakumbuka mbali R.I.P Kwa wamama wote waliotuacha Dunia ❤
😀😀😀😀😀😀😀
Acha2 mm mpk nimelia usiombe uondokewe na mzazi
amina dear
@@rehemahamad4442 Napendaga kusema sikuzote IS MORE THAN PAIN 💔💔😭😭
@@happinesspascalnyambita8426 Bless
Anajua jamani gonga 👊
Nyimbo nzuri San imenigusa
Nyimb inanihus kabix,pongez kwak kaka
❤❤❤ umejua kunikoxh unajua can jmn
Aallah akuongezee kipaji chako
Umenikumbuxh mbali all in all umetixha
🥹💔 endelea kupumzika kwa amani MAMA yangu 🙏
❤ nyimb mzuli jitaid
Eembuuu mtafuteee kayumbaa au Mejaa au Makabilaaa
Nimeguswa Cana hongera dogo
Saaafi saaana kijana,wa mama wabalikiwe kwa mema waliofanya
Ujumbe mzurii sana hakika mama ndio kila kituu❤
😢😢😢😢 jaman sjui niseme nn kwel 😢😢😢😢machoz yang nan atanifuta
Mama ❤❤
Nyinbo zuriii sana
Usikate tamaa kaka❤❤
Simelaaaa unajua jmna❤❤❤
Na wale walokua nao wanawadharau maskin....duuh!
Kwauwezo wa mungu tuna kuombea ufike mbar
Ngoma Kali mwanangu
Ongela kwaujumbe mzito
ngoma kali kaza kijana
Umetisha broo ❤❤❤
Kwel kabisa
mwenyez mng akusaidie ufike mbl
Wimbo mzur sana
Big up sana👍👍👍👍👍👍
😢😢binafsi Nimeumia sana, R.I.P mama
Nakupenda sanaa
Safi sana unaweza
Kiukweli mmmmh inagusa
Heshima kwamam❤
Saluti imenikumbusha mengi sana
Congraturation good work❤❤😂😮
Hii nyimbo kila nikisikiliza inaniliza😭😭
The same to me!!
Nakupenda Sana nyimbo hiii
Saf mama ndokiraktu ongera kwa kutukumbusha
Daaa huu wimbo umeimba vzuri sana umenigusa sana broo
Nimeikubali sana
Nakubali sana hii.
Sana mwanangu unajua
Brow yupo vizr
Kazi kali sana
Mama ndo Kila kitu❤❤❤❤❤
😭😭😭😭😭Akh Mungu asaidie wazazi wetu
Umeipangaa bwana
Alooooooow 🎉🎉 dog wew hatariiiiiiiih
Nyimbo nzuri sanaa ndugu yangu
Iko powa sana
Noma sana my bro nawatakia kila la kheri kina mama wote 😭😭😭❤️❤️❤️
Kaka uko vizur sana mtafute meja kunt kwa rimx
Mi pia ni msanii ila nakukubal sana mdogo ang na hili song umeandika sana ni kama umemuimba mama ang had nalia nkiusikiliza👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sana Kaka,,nyimbo hii ilinigusa ingawa bado mama yangu yu hai,,
Big up sana broooh!!!
Umen kumbusha mbal sana mwamb
Hakuna nyimbo apo fanta remx na msanii yoyote hata meja mana pia anajua kulalamika
Namimi nimelia sana😭😭😭😭🇧🇮🇧🇮
Dah unajua sio Siri umenigusa keep it up
Mama yangu wew nikisema nikusifiee siwezimaliza I love you so much Martha brother good job ongeeraaaaa❤❤
Umetisha bro
Dah good job
nyimbo ni kubwa Sana hongera dogo.hapo fanya remix na artist mkubwa Ili ipae zaidi
Dah nimejikuta tu machoz yananitoka.....Ilove u mama wote dunian
Chumaa kimepenyaa
Hii nyimbo naikubali xnaaaa
NGOMA KALI🔥🔥🔥🔥
❤❤love these song hongera kijana hapo umesema hakuna kma mama