ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

KAYUMBA- MAMA ( OFFICIAL VIDEO)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2020
  • ITS ALL ABOUT LOVE TO MOTHERS. THIS IS DEDICATION TO ALL MOTHERS AROUND THE WORLD. I LOVE YOU MAMA( Hii ni Kwa ajili ya upendo mkubwa kwa Mama zetu, Kama unampenda Mama yako hii ni Kwa ajili yake) .Enjoy a Good Music From Kayumba.
    #Kayumba#Mama#Goodmusic / kayumbaasosie

ความคิดเห็น • 3.5K

  • @user-jo1vj4ym8e
    @user-jo1vj4ym8e 27 วันที่ผ่านมา +8

    Hakuna kama mama yeye ndo kila kitu kwenye maisha yetu nakupenda sana Mungu akubariki uwe na maisha marefu💯💕

  • @raheemyusuph5694
    @raheemyusuph5694 4 ปีที่แล้ว +441

    kama unampenda mama yako na unaamini kabisa mama ndo kila kitu kwako gonga like

    • @erikageorge5349
      @erikageorge5349 3 ปีที่แล้ว +6

      %No One like Her "
      My Secret Matter ,,
      Yaan Mama Akuna
      Wakumufikia ,,
      IZ ONLY ONE 4r ever
      Je t'aime beaucoup
      Ma Mèré.

    • @kelvinlucasomoro309
      @kelvinlucasomoro309 3 ปีที่แล้ว +2

      Kelvin t lucas

    • @ashuramussa5362
      @ashuramussa5362 3 ปีที่แล้ว +4

      Mama Ni mama alhamdulilah kwa mama ujumbe mzuri Sana huyoo hapewe tuzo hiyo ndiyo miziki ya kusikia

    • @ashuramussa5362
      @ashuramussa5362 3 ปีที่แล้ว +1

      Yaan kajikongoja ujumbe tosha kwa mama

    • @ashuramussa5362
      @ashuramussa5362 3 ปีที่แล้ว

      🙏😭😭😭😭😭

  • @Shayonezippy
    @Shayonezippy 3 หลายเดือนก่อน +40

    😭😭 I'm here 2024 listening to this song huku machozi yananitoka😭😭nikikumbuka mama yangu jinzi amenyanyaswa na watu wa familia kisa tu sisi maskini😭😭😭but in all she has never left us alone 🫂mama wherever you are I love you so much 💓 and I pray to God anilinde uku Saudia Arabia nimalize contract vizuri na nitimize ndoto yangu ya wewe kuwa na furaha milele🙏🏼🙏🏼🙏🏼😇😭😭😭😭😭😭

    • @KaswitiKaswiti
      @KaswitiKaswiti หลายเดือนก่อน +3

      Same here 😢 but she always strong 🎉

    • @jezreel.jezreel.969
      @jezreel.jezreel.969 หลายเดือนก่อน +2

      Yatapita tu.. 😢

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b หลายเดือนก่อน

      Mungu yu pamoja na ww my deer

    • @salhafarajaljabry5439
      @salhafarajaljabry5439 5 วันที่ผ่านมา

      Pole

    • @Ruthmemei
      @Ruthmemei 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Same🥹🥹😭😭 oh God make it for us🤲🙏🙏 it shall be well all

  • @user-ph9en2wm5l
    @user-ph9en2wm5l 23 วันที่ผ่านมา +7

    Ushinde njaa me nishibe respect kwa mama wote gonga like mwanang 2024

  • @mpokisanga2502
    @mpokisanga2502 4 ปีที่แล้ว +434

    Wangapi wanasikiliza song huku wanasoma coment gonga like nice song am lisen again

  • @mcabrahamomoding
    @mcabrahamomoding 4 ปีที่แล้ว +583

    My song.........my best...wapi likes za MAMA...kama unafeel hii ngoma,... piga like

  • @henrietteselemani7842
    @henrietteselemani7842 ปีที่แล้ว +113

    Wimbo Bora kuliko zote zimeimbwa kwajili ya mama ✌️✌️

    • @leahwanjiku5466
      @leahwanjiku5466 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa tena ndo maana nikaifanya cover

    • @brianmunira2486
      @brianmunira2486 10 หลายเดือนก่อน

      ❤😊

    • @jacklinemugambi8689
      @jacklinemugambi8689 7 หลายเดือนก่อน +1

      Huu wimbo naupenda huwa naimbia babangu kila siku yeye ndio mama yangu tena baba.....❤❤❤❤❤

    • @monicakerova4657
      @monicakerova4657 7 หลายเดือนก่อน

      ❤❤

    • @FiveStar-uc5ec
      @FiveStar-uc5ec หลายเดือนก่อน

      Sina mama lkn hii nyimbo nikizikiliza namkumbuka sana mama angu roho Ina niuma sana

  • @jamilakangezi4640
    @jamilakangezi4640 หลายเดือนก่อน +5

    Nampenda sana mama angu😢mungu niwekee mama yangu milele na milele💕 Baba angu alimfukuza mama angu nikiwa na miezi kadhaa lakini mama angu hakuniacha aliangaika na mimi mpk hapa nilipo!! Nakupenda mama angu💕 mungu nipe pesa nyingi ipo siku nimuimbie mama angu hii nyimbo huku nikimtunza pesa na kumpa dhahabu!! Mungu nilindie mama angu💕

  • @abdulmakangana3784
    @abdulmakangana3784 3 ปีที่แล้ว +174

    Kama unaamin mama ndio Mungu wa dunia gonga like

  • @utambevilla9585
    @utambevilla9585 4 ปีที่แล้ว +622

    Niushauri wangu wabule kwenu nyinyi mashabiki wenzangu wa kayumba, ifikie hatua msanii anapotoa nyimbo yenye kugusa maisha ya watu kamba hii tuchangishane humu humu mtandaoni ili tumpe kama zawadi kwakile kizur alichokifanya tusisubili mchango wetu uwe kile kingilio cha kwenye show yake, nawaomba wadau tumpe pongez kayumba kwakumchangia pesa uyo jamaa nyimbo zake zote zinagusa maisha ya kila mmoja wetu, ongera sana kayumba

  • @jumakassimu3633
    @jumakassimu3633 2 หลายเดือนก่อน +5

    My mom pumzika kwa amani Usia wako ndio ngao yangu hakika kila nikikumbuka wosia wako napata fataja mnoo R. I. P my mom

  • @lilianprosper9440
    @lilianprosper9440 3 ปีที่แล้ว +37

    Ushinde njaa me nixhibe!!! Like kwa mama wote

  • @ramadhanihassanindevu7294
    @ramadhanihassanindevu7294 4 ปีที่แล้ว +83

    Kayumba katika watu ambao wanakufutilia mimi mmoja wapo ebu kama unamkubali kayumba kwa nyimbo yake inaitwa mama ebu weka like kwa kumsapoti msanii wetu wakitanzania

  • @teopistajonas6969
    @teopistajonas6969 4 ปีที่แล้ว +84

    Ambao tunafurahi Kwa sbb ya msaada Wa mama like apa👇👇👇👇

    • @amirinondo890
      @amirinondo890 4 ปีที่แล้ว

      i lov u mom❤️❤️❤️😭😭😭❤️❤️❤️

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 4 ปีที่แล้ว

      Nipo hapa mimi namshukuru mama naomba mungu ampe maisha marefu aje aone wajukuu na vitukuu juu amina

    • @scholasticasamsoni9227
      @scholasticasamsoni9227 4 ปีที่แล้ว

      Kaka upo vzr sana

    • @victorianyabiamali9938
      @victorianyabiamali9938 4 ปีที่แล้ว

      Kwa mama

    • @JonathaniRobert
      @JonathaniRobert 3 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @anethjohn6112
    @anethjohn6112 หลายเดือนก่อน +3

    Kama unampenda mama Yako weka like hapo

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha3143 3 หลายเดือนก่อน +12

    Ukanyage miiba mi nipite, nikiuangaliaga huu wimbo na kusikiliza huwa nalia sana😭😭😭nakumbuka mama yangu nilivyokuuguza hadi ukanifia mama😭. R.i.p mama yangu ni mwaka wa 11 sasa🙏🏾🙏🏾

  • @paulineviginia1209
    @paulineviginia1209 4 ปีที่แล้ว +78

    nimechelewa bt like mojamoja itanitosha

    • @HassaniLubilo
      @HassaniLubilo 5 หลายเดือนก่อน

      Umepiga baba

  • @zakarianhonya9524
    @zakarianhonya9524 4 ปีที่แล้ว +56

    Kamakwel umezariwa na mama hii nilazima ugonge like

  • @stellamatemu3103
    @stellamatemu3103 3 หลายเดือนก่อน +8

    "Ulichana nguo ili unistiri mimi" ni maneno makubwa sana haya. Ukiyatafakari yanaliza kwa kweli. Tuwapende

  • @williamanaklet-xc2py
    @williamanaklet-xc2py 11 หลายเดือนก่อน +4

    Wale tulio ludia hili goma 2023 gonga like hapa zakutosha

  • @danielmkinga4231
    @danielmkinga4231 4 ปีที่แล้ว +535

    Ohhhhhhhhh!!!!!!!! my mom she has been there for me since nikiwa mdogo, Nakumbuka Amepika maandazi toka ninaanza shule hadi ninamaliza chuo, ili mimi nisome, pesa ya kwanza kuja anza chuo aliuza miti yake ambayo mwanzo wakati aliipanda nilikuwa namkatalia nikisema sio kitu cha kutegemea lkn ndiyo iliuzwa na nikapata hela ya kuja anza chuo. Nimemaliza chuo akanipa pesa ya kuanzia kwasababu sina pesa tena toka serikali, na nipesa aliyokuwa akiipata kwa kupika maandazi. Leo kama ataumwa mm nitakuwa sababu ya kuumwa kwake nimemfanya ateseke maisha yake. I love you mom, nothing can come to your worth, my mother, you are unique and God bless you to live many years and see the success of your son.

    • @johnmatiko2596
      @johnmatiko2596 4 ปีที่แล้ว +6

      Wonderfull,That's great testimony

    • @danielmkinga4231
      @danielmkinga4231 4 ปีที่แล้ว +3

      @@johnmatiko2596 yes thnks

    • @danielmkinga4231
      @danielmkinga4231 4 ปีที่แล้ว +1

      @@geofreychengula7530 Thnks bro, thnk u so much.

    • @leoniafissoo5581
      @leoniafissoo5581 4 ปีที่แล้ว +4

      Hongera bro coz umeutambua mchango wa mama ktk maish yk

    • @danielmkinga4231
      @danielmkinga4231 4 ปีที่แล้ว +7

      @@leoniafissoo5581 for sure nimeutambua. Na najua mchango wake

  • @millicentjohn4743
    @millicentjohn4743 4 ปีที่แล้ว +131

    Kama unaamini hakuna kama mama gonga like hapa

  • @EdinaIsack
    @EdinaIsack 3 หลายเดือนก่อน +5

    Leo nimekukumbuka sana mama yangu Natamani ungekuwepo uone mwanao nimefika wap na kumbuka sana Mungu akupumzishe kwa amani na kupenda sana mama daima utaishi kwenye moyo wangu sintakusahau kamwe 😭😭😭😭

  • @hafidhihafidhi5007
    @hafidhihafidhi5007 5 หลายเดือนก่อน +5

    km umemic hii ngoma n umemkumbuka mamabppte ulipo gonga like ,mama wa thaman xana

  • @hiyginchuwa5133
    @hiyginchuwa5133 4 ปีที่แล้ว +68

    Nyimbo itaishii miaka mingi sana yaaaaannn had machoziii yanitoka kam nawewe umelia kama mimi like hapo

  • @koffianodichisesa238
    @koffianodichisesa238 4 ปีที่แล้ว +146

    Kama umetokwa na machozi Kama Mimi gonga likey

    • @veronicameshack9808
      @veronicameshack9808 3 ปีที่แล้ว

      Daaaah

    • @nuliahkhamis6152
      @nuliahkhamis6152 3 ปีที่แล้ว +1

      Duuuuu anxante Mama wamama wote wapewe balaka tele na amani katika maixha yao,xo i love mom

  • @user-uf1ok8bm3t
    @user-uf1ok8bm3t ปีที่แล้ว +29

    Mungu awape maisha maref mama zetu❤

  • @liliankwamboka3094
    @liliankwamboka3094 3 หลายเดือนก่อน +7

    and today is mama's day, happy mothers day 2024

  • @immatheboy5287
    @immatheboy5287 4 ปีที่แล้ว +38

    Mama sna mengi love u mama ad Leo npo online 💝💝 kama ña ww upo online kwajil ya mama weka ❤️❤️❤️ like

  • @fadhilakambwili8450
    @fadhilakambwili8450 4 ปีที่แล้ว +179

    Wa kwanzaa leoo😘,r.i.p my mom😥😥😥😥,natamnii hataa ningewaii kuionaa suraa yakee😥🤐 nicje kukufuru🙏🏽🙏🏽

  • @metrinevusaka-qt6zz
    @metrinevusaka-qt6zz หลายเดือนก่อน +3

    Nice song guys,,,kama umekuja after kuona challenge ya Akuku Danger na Sandra Dacha gonga like tukisonga❤

  • @chantalvumilia9779
    @chantalvumilia9779 7 หลายเดือนก่อน +14

    Nasema tena asanti Mungu kwa kuwezesha wazazi wangu kunipa malezi ya kweli❤ na poleni kwa wote ambao mumewapoteza wazazi mapema Mungu awatie nguvu❤❤❤

  • @magdalenalubaga6890
    @magdalenalubaga6890 4 ปีที่แล้ว +277

    Kayumba wengine unatuliza hatuna mama,nyie wenye mama watunzeni na kuwaheshim sana😔R.i.p mama yangu😢

  • @irenejaphety3265
    @irenejaphety3265 3 ปีที่แล้ว +11

    Waliondokewa na Mama Mungu awalaxe mahali pema peponi Amin na waliokua nao tuwapende na kuwaheshimu

  • @EdinaIsack
    @EdinaIsack 3 หลายเดือนก่อน +10

    Leo nimekukumbuka sana mama yangu Natamani ungekuwepo uone mwanao nimefika wap na kukumbuka sana Mama Mungu akupumzishe kwa amani na kupenda sana mama daima utaishi kwenye moyo wangu sintakusahau kamwe 😭😭😭😭

    • @NeemaKwingwa
      @NeemaKwingwa 2 หลายเดือนก่อน

      Nami pia nimemmic sana natamani angekuwepo sasa napitia meng mazito sina wakumueleza,nakupenda mama angu punzika kwa aman

  • @charityemmanuel9763
    @charityemmanuel9763 2 ปีที่แล้ว +59

    Sijawahi sikiliza huu wimbo nikashindwa kulia ...mama angu tumepitia mengi Sana mama nakupenda sanaaa😢... Nashukuru hukuwai nikatia tamaa kutokana na maisha tuliyopitia mama angu...NAKUPENDA KULIKO CHOCHOTE KWENYE HII DUNIA KIPENZ MAMA ANGU😭😭😢

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 ปีที่แล้ว

      Halafu ukioa eti mke wako anaanza kuweka bifu na mama yako eti ni mchawi, inakera sana hii.

    • @robertkipkoech008
      @robertkipkoech008 ปีที่แล้ว +1

      Your Email

    • @user-tv9md2vr6l
      @user-tv9md2vr6l 10 หลายเดือนก่อน

      ❤🎉

    • @ethelmarura5661
      @ethelmarura5661 10 หลายเดือนก่อน +3

      Aki nimelia nimechoka. Pumzika kwa amani mamangu 😢

  • @aminajibu6709
    @aminajibu6709 4 ปีที่แล้ว +285

    I love u mom I have nothing else to say about you mom I love ❤️. Gonga kama mama yako yupo na kwawale waliyo tanguliya mungu awapumzishe kwa Amani 🥰🥰🙏🙏🤍

    • @yusuphmlwati3848
      @yusuphmlwati3848 4 ปีที่แล้ว +1

      Amina Jibu mamb

    • @dynakileo1587
      @dynakileo1587 4 ปีที่แล้ว

      Aise hii nyimbo ik bomb san imenikumbuxh mbal xan 🎀 kayumb nakunakubal kwanyimb zak

    • @officialmusah4107
      @officialmusah4107 4 ปีที่แล้ว

      🤗🤗

    • @dynakileo1587
      @dynakileo1587 4 ปีที่แล้ว

      I love my wang

    • @dynakileo1587
      @dynakileo1587 4 ปีที่แล้ว

      @@officialmusah4107 haha

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 4 ปีที่แล้ว +137

    Jaman likes from Tanzania napenda music wenu muzuri sana.

  • @leylamark3193
    @leylamark3193 2 ปีที่แล้ว +7

    Hii nyimbo mm nimeisikia leo kwenye harus .... daah!!! Nikaipenda bure!!!! Aise mama.n kitu kingine

  • @lailatuyusuf9131
    @lailatuyusuf9131 16 วันที่ผ่านมา +2

    Uliweza III ndio nyimbo yangu ya miaka yote❤❤❤

  • @lenabikyeombe4191
    @lenabikyeombe4191 4 ปีที่แล้ว +44

    Nakupenda saaan mama yangu 👩👩👩❤❤❤ kama unaukubali hu wimbo gonga like apana chini👇👇

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 4 ปีที่แล้ว

      Hizi like huwa mnazipelekega wapi eti au zinaongeza nini kila mtu utasikia naomba like mmmmmh kazi ipo kwa kweli

  • @erastosolomon4554
    @erastosolomon4554 4 ปีที่แล้ว +70

    So sad 😭😭😭 Kayumba umegusa true my life. I love you so much my Mama😘. mnao dislike ngoma hii nawashangaa saaana

    • @davidotieno762
      @davidotieno762 4 ปีที่แล้ว +2

      this is my best song big ups to all mums😘😘😘😘

    • @frolajuma4343
      @frolajuma4343 4 ปีที่แล้ว

      Asante sana

  • @hildamkenda127
    @hildamkenda127 3 ปีที่แล้ว +118

    For all mothers in heaven and in earth❤️

  • @juniourernest5571
    @juniourernest5571 2 ปีที่แล้ว +15

    Nakupenda Sana mamaang mungu akupe maisha malefu🤱🙏🙏🙏🎻🎻

  • @mrkimurakhamis1402
    @mrkimurakhamis1402 4 ปีที่แล้ว +301

    Kayumba unaimba nyimbo kali ila hiii umevunja rekod

    • @matendoasman2216
      @matendoasman2216 4 ปีที่แล้ว +3

      Ok

    • @wemapaulo76
      @wemapaulo76 4 ปีที่แล้ว +7

      nikisikiliza huu wimbo najikuta nalia pumzika kwa Amani mama angu

    • @joyceseleman2143
      @joyceseleman2143 4 ปีที่แล้ว +1

      Kayumba umeniliza Sana kwahi ngoma jaman dah! Weniatali kayumba

    • @cpasalma1532
      @cpasalma1532 4 ปีที่แล้ว +1

      Sadakta

    • @abibemedy2195
      @abibemedy2195 4 ปีที่แล้ว +7

      Najiuliza wa Tanzania kwa nini Hawa support watoto Kama Hawa ila wanazidi ku msapoti mondi peke yake na team yake inauma Sana ila sio poa uyu kijana anashinda mondi kuimba nyimbo za maana najua muta nichukia ilaah naongea ukweli sio Kama za mondi ni xvideos

  • @maimamood7033
    @maimamood7033 4 ปีที่แล้ว +164

    Allah akupumzishe kwa Aman, akuondolee adhabu ya kaburi, kabur yako iwe na nuru, mama nilikupenda sana lkn, Allah kakupenda zaid, akuna mfano wako mama, ungekuwa rafiki wangu waukwel, Allah akusamehe dhambi zako, Inshaallah::
    Ameen:

    • @zawadigerald7619
      @zawadigerald7619 4 ปีที่แล้ว +2

      Mama ni zaidi pumzika kwa amani mama yangu kipenzi

    • @iraqgirl2143
      @iraqgirl2143 4 ปีที่แล้ว

      Pole sana dear.

    • @jescamwacha8635
      @jescamwacha8635 4 ปีที่แล้ว

      ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💔💔💔💔💔💔💔💔💔💓💓💓💓💓💓💕💕💕💕💕💕💖💖💖💖💖💖💞💞💞💞💞💘💘💘💘 love you my mom

    • @elvistv7601
      @elvistv7601 4 ปีที่แล้ว

      Pole sana

    • @latiphaibrahimu6986
      @latiphaibrahimu6986 4 ปีที่แล้ว

      Umenikumbusha mbali

  • @christineochuchi7448
    @christineochuchi7448 2 ปีที่แล้ว +94

    As long as your mother is alive - You have an extra reason to wake up and face the day ; Long live Mama , the name just below God.

  • @woldnewsjoseph7778
    @woldnewsjoseph7778 3 ปีที่แล้ว +7

    Jama Jamani hu do go noma saaaana wapi like zenu Namibian huu wimbo una towaga machozi saaana kuwa sina mama tena

  • @aishamohamed4727
    @aishamohamed4727 4 ปีที่แล้ว +110

    Wale mashabik sugu wakayumba tujuane hap......

  • @aizackamri2657
    @aizackamri2657 4 ปีที่แล้ว +292

    Like jaman kama unampend mama... Cjapat Ata like mja

  • @mctarrusMzangala
    @mctarrusMzangala 8 หลายเดือนก่อน +5

    1/12/2023
    This is the best song ever .
    I sing it to my mum and everytime she breaks down
    I love her so much

  • @user-un1im8wc5t
    @user-un1im8wc5t 2 หลายเดือนก่อน +2

    ❤allah akupe maisha marefu mama yang nakupenda sana❤🎉🎉🎉

  • @nestonesto1537
    @nestonesto1537 4 ปีที่แล้ว +113

    Kayumba nyimbo zako zote kali san upo juu sanaa❤

  • @denniswangila7954
    @denniswangila7954 4 ปีที่แล้ว +174

    I love you Mama, ushinde na njaa mm nishibe ...... Wapi likes za kayumba MAMA

  • @dizorking9608
    @dizorking9608 ปีที่แล้ว +3

    Nipeni like zangu Za 2023🎉🎉🎉

  • @travelstartours
    @travelstartours 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mama rest well...I will miss you forever......If you love your mama nipe likes

  • @liannyfaston9674
    @liannyfaston9674 4 ปีที่แล้ว +122

    "Ukanyage miba me nipite"

    • @bennymwashiuya9074
      @bennymwashiuya9074 3 ปีที่แล้ว +1

      Ulinitetea hata nilipo chokoza Mama sauti yangu uliimaki hata nikiwa mbliiii R.I.P my mumy

  • @jimmymarwamatjr491
    @jimmymarwamatjr491 4 ปีที่แล้ว +122

    Kuna jamaa jirani yangu anaipiga hii ngoma siku nzima bila kubadili... Nilikuwa sijui why but now nimegundua anavyo feel kwa mama yake... I love u mama.

  • @pendonoel2958
    @pendonoel2958 หลายเดือนก่อน +2

    Pumzika kwa amani Mama yangu kipenzi changu

  • @desiderias254
    @desiderias254 11 หลายเดือนก่อน +5

    here after 3years huu wimbo unanifanya nisimsahaau mama ata kwa sekunde moja🎉🎉🎉

  • @davidpatrick5713
    @davidpatrick5713 4 ปีที่แล้ว +622

    Kama una mkubal kayumba gonga like

    • @pmptvtanzania2560
      @pmptvtanzania2560 4 ปีที่แล้ว +5

      Safi sana kayumba nakukubali kinyaaaaama💪💪💪

    • @desmondstand4875
      @desmondstand4875 4 ปีที่แล้ว +1

      th-cam.com/video/9PaSh8ypFVI/w-d-xo.html

    • @davidpatrick5713
      @davidpatrick5713 4 ปีที่แล้ว +3

      Msela ana imba iyo sio mchezo

    • @ashabilal4785
      @ashabilal4785 4 ปีที่แล้ว +4

      namkubàli vbaya

    • @davidpatrick5713
      @davidpatrick5713 4 ปีที่แล้ว +2

      @@ashabilal4785 sio mchezo kwa ilo sorng

  • @bwastybwoyz8574
    @bwastybwoyz8574 4 ปีที่แล้ว +615

    Upendo kwako mama wapi like za mama

  • @anekituah7718
    @anekituah7718 ปีที่แล้ว +9

    kama na we umeusikiliza wimbo huu 2023 gonga like

  • @lizzyfanuely5275
    @lizzyfanuely5275 4 ปีที่แล้ว +89

    Km unakubali mama nikila kitu gonga like

  • @mkomachanel6803
    @mkomachanel6803 4 ปีที่แล้ว +13

    Gonga Like kuonyesha love kwa kina mama wote. Happy mother's day kwa mama zetu wote duniani. Wimbo huu ni dedication kwenu wote mliongia labour kwa ajili ya maisha yetu.

    • @zainabhassan4866
      @zainabhassan4866 2 ปีที่แล้ว

      I love you mama ❤️

    • @merypeter
      @merypeter ปีที่แล้ว

      Mungu akubarki Mama yangu

  • @sifasifa2217
    @sifasifa2217 3 หลายเดือนก่อน +4

    This song touch my heart may Allah grant all mothers to paradise ❤

  • @sefuabeid9742
    @sefuabeid9742 3 ปีที่แล้ว +22

    Mpende sana mama yako kwa kukuweka tumboni miezi 9 na kuteseka na wewe usiku kucha mpaka umekuwa unajitambua!!.....upate baraka na maisha marefu!!...!!!

  • @pilimiraji721
    @pilimiraji721 3 ปีที่แล้ว +43

    Nyimbo yangu ya mwaka na miaka yoote ijayo mungu awaweke mama zetu awape maisha marefu. Na wale waloondokewa na wazazi mungu awape kauli thabit mungu awape mwanga wa milele

  • @merymsigwa8438
    @merymsigwa8438 4 ปีที่แล้ว +85

    Rest in peace my mama nataman ningekuwa nawe but kaz ya mungu haina makosa polen na wenzangu mliowapoteza mama zenu but tuwaaombee mwenyez mungu awarehem😢😢😢😢😢😢😧😧😧😧

  • @user-xj8ul6by4w
    @user-xj8ul6by4w หลายเดือนก่อน +1

    Pumzika Kwa amani mamangu kipenzi 😭😭I miss you so much 😢😢

  • @MariamaKalume
    @MariamaKalume 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mama Nitakupenda daima.
    I love so much

  • @rahmayussuf8052
    @rahmayussuf8052 4 ปีที่แล้ว +83

    Watuonyesha. Kazi nzuri kutoka BSS...kayumba juma.. support from Kenya 🇰🇪😘

    • @reginampigachai8537
      @reginampigachai8537 3 ปีที่แล้ว

      Mama yangu mpendwa ubarikiwe kwa jina la Hellen John aliyopo geita kamena umenilea kwa wema mungu akupe afya njema mama angu kipenzi hakuna Kam mama duniani wakina mama hongereni🙏🙏🙏

    • @asinaibrahim6477
      @asinaibrahim6477 3 ปีที่แล้ว

      Hakuna kama mama ndio mana popote utapoisikia nyimbo ya mama yani kunakitu kinakugusa moyoni nakupenda sana kipenzi mama yangu

  • @kelvinbeautus1335
    @kelvinbeautus1335 4 ปีที่แล้ว +82

    Kama unampenda mama yako Kama mimi like hapa twende sawa

    • @jumajua5687
      @jumajua5687 4 ปีที่แล้ว

      ngoma kali sana hii mungu akuongezee zaid na kipaji chako, hizo ndizo tunazozitaka sisi zenye full maujumbe kama, cyo tipwatipwa tetema ooh mama tetema tupa kule

    • @tuseydifas2346
      @tuseydifas2346 4 ปีที่แล้ว

      Rip mom love iz not dead

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk 27 วันที่ผ่านมา +1

    ktk wanamuziki huyu na mpongeza ametoa ujumbe mzito sana kwa jamii kuhusu malezi yanapoanzia na kama mama unafeli kutelekeza ujitafakari je sifa hii inakuhusu au la Hasha

  • @mariachacha6927
    @mariachacha6927 2 ปีที่แล้ว +3

    Jinsi ulivyo ni handle usiku hulali....
    Ulale njaa mi nishibe...
    Ulichana nguo zako unistiri mwanao...
    Oooh i love u my mom Agness...Mungu azidi kukutunza na uishi miaka mingi mama

  • @ellymusa5598
    @ellymusa5598 4 ปีที่แล้ว +42

    Yaani ukitaka kunitibua umzarau mama yangu, duh hata kama nakupendaje Nina zima taaa ...I love u mamaa

  • @josephmoshi150
    @josephmoshi150 4 ปีที่แล้ว +50

    Fundiii mtoto big up 👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @JoeyKiel
    @JoeyKiel 18 วันที่ผ่านมา +1

    Nasikiliza huu wimbo nikilia
    Nani kama mama😢❤

  • @cellinenandos5327
    @cellinenandos5327 17 วันที่ผ่านมา +1

    Namkumbuka sana marehemu mamaangu ❤
    Mungu amlaze mahala pema peponi

  • @lightnessntaganyila8272
    @lightnessntaganyila8272 4 ปีที่แล้ว +7

    Aisee kayumba nouma....eb weka like apo Kama tupo pamoja

  • @alfredjustinian6193
    @alfredjustinian6193 4 ปีที่แล้ว +41

    Huyu jmaa yupo vzr anayemkubali kayumba like kama zote

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk 27 วันที่ผ่านมา +1

    Wote mliotelekezwa na Mama nawapa pole samehe tu wewe uanze kua Mama bora kunawamama ukichaa unapitiliza wasameheni tu ili naisha yaendelee kwa Amani na furaha

  • @IssaAdamu-jz3ng
    @IssaAdamu-jz3ng 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wote nawakubali kama c bb mama asingeweza peke yake

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 4 ปีที่แล้ว +21

    Ewe mwenyezimungu nakuomba umjaalie mamayangu afya nyema na umuondoshee marazi na kesho ahera umuweke kwenye pepo yako aamin 🤲

  • @Bangilana
    @Bangilana 4 ปีที่แล้ว +66

    Daaah ngoma tamu Hatari kayumba wewe ni "MWANAUME" JPM

  • @hillaryludenyo3612
    @hillaryludenyo3612 ปีที่แล้ว +11

    Nakupenda sana mama yangu Millicent Mungu akulinde na akuongeze miaka mingi duniani we ni kila kitu kwa maisha yangu❤💯

  • @SadaMbilinyi
    @SadaMbilinyi หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤popote ulipo mama❤❤❤

  • @RomwardWM
    @RomwardWM 4 ปีที่แล้ว +35

    Maneno yako na busara zako zinazunguka 😭😭😭 usia wako ndo ngao yangu 😭😭😭😭 mama hukunipa usia , mama ulinilea lakini mama ulinikimbia wakati nahitaji malezi yako , ila mama yangu NAKUPENDA SANA

  • @geraldtitto6969
    @geraldtitto6969 4 ปีที่แล้ว +81

    This is the best song mdogo wangu nimezisikia nyimbo nyingi zenye jina MAMA ila hii 💫 unajua sanaaa don't give up.....💪

  • @KilonzoAngela
    @KilonzoAngela หลายเดือนก่อน +2

    Live long mamaaaaa❤to witness my blessings

  • @entimaskithinji7848
    @entimaskithinji7848 2 หลายเดือนก่อน +1

    I love you mamake enti thanks alot to everything ❤❤❤❤nakupenda sana A

  • @angelinnamkingi2219
    @angelinnamkingi2219 4 ปีที่แล้ว +28

    Uko tayari udhalilike mama kwaajili yangu!! I love maaaa!!

  • @jeniphaphilipo3863
    @jeniphaphilipo3863 4 ปีที่แล้ว +28

    Mama nakupenda sana asante kayumba 💜💜💜💜💜

  • @sssnipergirl17
    @sssnipergirl17 ปีที่แล้ว +13

    Am here again after understanding what mommy go through to raise me, I was a kid I didn't understand anything bt now am a mom I understand everything it's not easy to be a mom, thanks mom 😢❤❤🫂 much love from Ke 🇰🇪

  • @user-se6zb9ct7b
    @user-se6zb9ct7b หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ndio zaidi

  • @ramadhanisalum2121
    @ramadhanisalum2121 3 ปีที่แล้ว +29

    Huruma ya mungu ikufikie maaangu huko kaburini ulipo mungu akupe kila la khery akujaalie pepo tukutane tena tukiwa na furaha ya huruma yako nilipo kua mdogo mama amin ... ahs kaka kayumba kwa wimbo mzur ulonitoa machozi nimeupenda sanaaa

  • @samilakategile1113
    @samilakategile1113 4 ปีที่แล้ว +44

    Nakumiss sn Mama 😭😭😭 maombi yng kwako kila siku Mama M,mungu akuweke mahali pema PEPONI. 3 years tk umetutoka Luv u an Miss u so much rest in peace MAMA😭😭😭😭

    • @haidarirumango8340
      @haidarirumango8340 4 ปีที่แล้ว

      😭😭😭

    • @colethacharles548
      @colethacharles548 3 ปีที่แล้ว

      Even me when i listen this song nalia kwa uchungu mkali,mama ungekuwepo ningekuimbia huku nakupa zawadi,mbaya zaidi ulitulea kwa shida Kali ulipambana kuhakikisha tunapata elimu na tunajitegemea,ulifurahi kutuona tuna raha siku zote,ulipokamilisha hayo ukatuacha oooh God siku zote namlilia mama yangu kipenzi,natamani mama unitokee Hata siku moja tuongee machache,two years past mama😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
      Hata ningekufanyiaje bado visingeendana na yote uliyotufanyia
      Pumzika mama yangu kipenzi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-kv4cn9iy5d
    @user-kv4cn9iy5d 23 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢 God keep my mam alive for me 🙏🙏🙏

  • @erickkimani8729
    @erickkimani8729 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kayumba upo juu sana bro

  • @isabellebaraka3716
    @isabellebaraka3716 4 ปีที่แล้ว +105

    Maman yangu nakupenda sana, nasikiya wimbo unanitowa machozi... nakupenda sana maman.

    • @johnkasongole6075
      @johnkasongole6075 3 ปีที่แล้ว

      Mungu akupemiaka Ming

    • @richardnyoni9387
      @richardnyoni9387 2 ปีที่แล้ว

      Keep it up kayumba nice song

    • @InesTabitha
      @InesTabitha ปีที่แล้ว

    • @fazilimudekerezajacques3628
      @fazilimudekerezajacques3628 5 หลายเดือนก่อน

      I'm such a fan of big brother Kanyumba, I have my heart with him, you were inspired by this beautiful song for me, really big thank you, this beautiful song gives me another power to live, at home my great hits the only one you know sung, come in Congo