ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
KAYUMBA- MAMA ( OFFICIAL VIDEO)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2020
- ITS ALL ABOUT LOVE TO MOTHERS. THIS IS DEDICATION TO ALL MOTHERS AROUND THE WORLD. I LOVE YOU MAMA( Hii ni Kwa ajili ya upendo mkubwa kwa Mama zetu, Kama unampenda Mama yako hii ni Kwa ajili yake) .Enjoy a Good Music From Kayumba.
#Kayumba#Mama#Goodmusic / kayumbaasosie
Hakuna kama mama yeye ndo kila kitu kwenye maisha yetu nakupenda sana Mungu akubariki uwe na maisha marefu💯💕
kama unampenda mama yako na unaamini kabisa mama ndo kila kitu kwako gonga like
%No One like Her "
My Secret Matter ,,
Yaan Mama Akuna
Wakumufikia ,,
IZ ONLY ONE 4r ever
Je t'aime beaucoup
Ma Mèré.
Kelvin t lucas
Mama Ni mama alhamdulilah kwa mama ujumbe mzuri Sana huyoo hapewe tuzo hiyo ndiyo miziki ya kusikia
Yaan kajikongoja ujumbe tosha kwa mama
🙏😭😭😭😭😭
😭😭 I'm here 2024 listening to this song huku machozi yananitoka😭😭nikikumbuka mama yangu jinzi amenyanyaswa na watu wa familia kisa tu sisi maskini😭😭😭but in all she has never left us alone 🫂mama wherever you are I love you so much 💓 and I pray to God anilinde uku Saudia Arabia nimalize contract vizuri na nitimize ndoto yangu ya wewe kuwa na furaha milele🙏🏼🙏🏼🙏🏼😇😭😭😭😭😭😭
Same here 😢 but she always strong 🎉
Yatapita tu.. 😢
Mungu yu pamoja na ww my deer
Pole
Same🥹🥹😭😭 oh God make it for us🤲🙏🙏 it shall be well all
Ushinde njaa me nishibe respect kwa mama wote gonga like mwanang 2024
Wangapi wanasikiliza song huku wanasoma coment gonga like nice song am lisen again
Nimekuelewa braza noma sana braza
Hakun km mam dunian
Nani kama
Mama nakupend sanaaa mungu akupe maisha marefu mama ang akuna kama wew
Rip mom
My song.........my best...wapi likes za MAMA...kama unafeel hii ngoma,... piga like
Abraham Nakhero mamaaaaaa
Abraham Nakhero no one like mumy
Asante san
Mama ndo kila kitu kwangu
Abraham Nakhero kayumba broo unatisha Kaka
Wimbo Bora kuliko zote zimeimbwa kwajili ya mama ✌️✌️
Kabisa tena ndo maana nikaifanya cover
❤😊
Huu wimbo naupenda huwa naimbia babangu kila siku yeye ndio mama yangu tena baba.....❤❤❤❤❤
❤❤
Sina mama lkn hii nyimbo nikizikiliza namkumbuka sana mama angu roho Ina niuma sana
Nampenda sana mama angu😢mungu niwekee mama yangu milele na milele💕 Baba angu alimfukuza mama angu nikiwa na miezi kadhaa lakini mama angu hakuniacha aliangaika na mimi mpk hapa nilipo!! Nakupenda mama angu💕 mungu nipe pesa nyingi ipo siku nimuimbie mama angu hii nyimbo huku nikimtunza pesa na kumpa dhahabu!! Mungu nilindie mama angu💕
Kama unaamin mama ndio Mungu wa dunia gonga like
Sio kweli
Like
Niushauri wangu wabule kwenu nyinyi mashabiki wenzangu wa kayumba, ifikie hatua msanii anapotoa nyimbo yenye kugusa maisha ya watu kamba hii tuchangishane humu humu mtandaoni ili tumpe kama zawadi kwakile kizur alichokifanya tusisubili mchango wetu uwe kile kingilio cha kwenye show yake, nawaomba wadau tumpe pongez kayumba kwakumchangia pesa uyo jamaa nyimbo zake zote zinagusa maisha ya kila mmoja wetu, ongera sana kayumba
Umeongea point xanaaaa duh anagux maixh halix xana
Dogo katoa ujumbe
Kweli kabisa...najitolea kupokea michango...
Haaaaaa
Kwel kabisa 👏👏
My mom pumzika kwa amani Usia wako ndio ngao yangu hakika kila nikikumbuka wosia wako napata fataja mnoo R. I. P my mom
Ushinde njaa me nixhibe!!! Like kwa mama wote
Kayumba katika watu ambao wanakufutilia mimi mmoja wapo ebu kama unamkubali kayumba kwa nyimbo yake inaitwa mama ebu weka like kwa kumsapoti msanii wetu wakitanzania
Hatari sana kayumba mama
Nisaidie na contact yake kama yeyote anayo...
Mama kayumba
Ambao tunafurahi Kwa sbb ya msaada Wa mama like apa👇👇👇👇
i lov u mom❤️❤️❤️😭😭😭❤️❤️❤️
Nipo hapa mimi namshukuru mama naomba mungu ampe maisha marefu aje aone wajukuu na vitukuu juu amina
Kaka upo vzr sana
Kwa mama
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Kama unampenda mama Yako weka like hapo
Ukanyage miiba mi nipite, nikiuangaliaga huu wimbo na kusikiliza huwa nalia sana😭😭😭nakumbuka mama yangu nilivyokuuguza hadi ukanifia mama😭. R.i.p mama yangu ni mwaka wa 11 sasa🙏🏾🙏🏾
nimechelewa bt like mojamoja itanitosha
Umepiga baba
Kamakwel umezariwa na mama hii nilazima ugonge like
"Ulichana nguo ili unistiri mimi" ni maneno makubwa sana haya. Ukiyatafakari yanaliza kwa kweli. Tuwapende
Wale tulio ludia hili goma 2023 gonga like hapa zakutosha
Ohhhhhhhhh!!!!!!!! my mom she has been there for me since nikiwa mdogo, Nakumbuka Amepika maandazi toka ninaanza shule hadi ninamaliza chuo, ili mimi nisome, pesa ya kwanza kuja anza chuo aliuza miti yake ambayo mwanzo wakati aliipanda nilikuwa namkatalia nikisema sio kitu cha kutegemea lkn ndiyo iliuzwa na nikapata hela ya kuja anza chuo. Nimemaliza chuo akanipa pesa ya kuanzia kwasababu sina pesa tena toka serikali, na nipesa aliyokuwa akiipata kwa kupika maandazi. Leo kama ataumwa mm nitakuwa sababu ya kuumwa kwake nimemfanya ateseke maisha yake. I love you mom, nothing can come to your worth, my mother, you are unique and God bless you to live many years and see the success of your son.
Wonderfull,That's great testimony
@@johnmatiko2596 yes thnks
@@geofreychengula7530 Thnks bro, thnk u so much.
Hongera bro coz umeutambua mchango wa mama ktk maish yk
@@leoniafissoo5581 for sure nimeutambua. Na najua mchango wake
Kama unaamini hakuna kama mama gonga like hapa
Mungu awarinde nakuwapa miaka mingi yakuishi
Mungu awape maisha 10000000 kama yote
Hakuna kama mama
Nice one
Leo nimekukumbuka sana mama yangu Natamani ungekuwepo uone mwanao nimefika wap na kumbuka sana Mungu akupumzishe kwa amani na kupenda sana mama daima utaishi kwenye moyo wangu sintakusahau kamwe 😭😭😭😭
km umemic hii ngoma n umemkumbuka mamabppte ulipo gonga like ,mama wa thaman xana
Nyimbo itaishii miaka mingi sana yaaaaannn had machoziii yanitoka kam nawewe umelia kama mimi like hapo
Ujumbe sahihi
ilove you mama
Kama umetokwa na machozi Kama Mimi gonga likey
Daaaah
Duuuuu anxante Mama wamama wote wapewe balaka tele na amani katika maixha yao,xo i love mom
Mungu awape maisha maref mama zetu❤
and today is mama's day, happy mothers day 2024
Mama sna mengi love u mama ad Leo npo online 💝💝 kama ña ww upo online kwajil ya mama weka ❤️❤️❤️ like
Yaan
Very nice
Like sana mama
Wa kwanzaa leoo😘,r.i.p my mom😥😥😥😥,natamnii hataa ningewaii kuionaa suraa yakee😥🤐 nicje kukufuru🙏🏽🙏🏽
Pole dada
Santee love
mmmmmmmmmmmm pole mmmmmmmm poleeeeee
@@fadhilakambwili8450 pole dear 😥
@@sarahkanyana5099 santee mamy
Nice song guys,,,kama umekuja after kuona challenge ya Akuku Danger na Sandra Dacha gonga like tukisonga❤
Nasema tena asanti Mungu kwa kuwezesha wazazi wangu kunipa malezi ya kweli❤ na poleni kwa wote ambao mumewapoteza wazazi mapema Mungu awatie nguvu❤❤❤
Kayumba wengine unatuliza hatuna mama,nyie wenye mama watunzeni na kuwaheshim sana😔R.i.p mama yangu😢
Pole sana dada angu umenifanya chozi litoke
Dah mama yangu jaman rip my mom nakumic sana kayumba umenilza so cri
Asant sn kwa ushaul wak
Daha kweli 😭😭
Pole kipenz
Waliondokewa na Mama Mungu awalaxe mahali pema peponi Amin na waliokua nao tuwapende na kuwaheshimu
Leo nimekukumbuka sana mama yangu Natamani ungekuwepo uone mwanao nimefika wap na kukumbuka sana Mama Mungu akupumzishe kwa amani na kupenda sana mama daima utaishi kwenye moyo wangu sintakusahau kamwe 😭😭😭😭
Nami pia nimemmic sana natamani angekuwepo sasa napitia meng mazito sina wakumueleza,nakupenda mama angu punzika kwa aman
Sijawahi sikiliza huu wimbo nikashindwa kulia ...mama angu tumepitia mengi Sana mama nakupenda sanaaa😢... Nashukuru hukuwai nikatia tamaa kutokana na maisha tuliyopitia mama angu...NAKUPENDA KULIKO CHOCHOTE KWENYE HII DUNIA KIPENZ MAMA ANGU😭😭😢
Halafu ukioa eti mke wako anaanza kuweka bifu na mama yako eti ni mchawi, inakera sana hii.
Your Email
❤🎉
Aki nimelia nimechoka. Pumzika kwa amani mamangu 😢
I love u mom I have nothing else to say about you mom I love ❤️. Gonga kama mama yako yupo na kwawale waliyo tanguliya mungu awapumzishe kwa Amani 🥰🥰🙏🙏🤍
Amina Jibu mamb
Aise hii nyimbo ik bomb san imenikumbuxh mbal xan 🎀 kayumb nakunakubal kwanyimb zak
🤗🤗
I love my wang
@@officialmusah4107 haha
Jaman likes from Tanzania napenda music wenu muzuri sana.
Karibu
Love mom
kayumba apa umeinba mwanangu nimeupenda sana uumziki wa mama
Hii nyimbo mm nimeisikia leo kwenye harus .... daah!!! Nikaipenda bure!!!! Aise mama.n kitu kingine
Uliweza III ndio nyimbo yangu ya miaka yote❤❤❤
Nakupenda saaan mama yangu 👩👩👩❤❤❤ kama unaukubali hu wimbo gonga like apana chini👇👇
Hizi like huwa mnazipelekega wapi eti au zinaongeza nini kila mtu utasikia naomba like mmmmmh kazi ipo kwa kweli
So sad 😭😭😭 Kayumba umegusa true my life. I love you so much my Mama😘. mnao dislike ngoma hii nawashangaa saaana
this is my best song big ups to all mums😘😘😘😘
Asante sana
For all mothers in heaven and in earth❤️
th-cam.com/video/sqznSi2Ae-U/w-d-xo.html
Suvscribe for sunny boy gitaarist
Yaani naumia. Maumivu hayaelezeki
Sure
Kabisa
🙏😭
Nakupenda Sana mamaang mungu akupe maisha malefu🤱🙏🙏🙏🎻🎻
Kayumba unaimba nyimbo kali ila hiii umevunja rekod
Ok
nikisikiliza huu wimbo najikuta nalia pumzika kwa Amani mama angu
Kayumba umeniliza Sana kwahi ngoma jaman dah! Weniatali kayumba
Sadakta
Najiuliza wa Tanzania kwa nini Hawa support watoto Kama Hawa ila wanazidi ku msapoti mondi peke yake na team yake inauma Sana ila sio poa uyu kijana anashinda mondi kuimba nyimbo za maana najua muta nichukia ilaah naongea ukweli sio Kama za mondi ni xvideos
Allah akupumzishe kwa Aman, akuondolee adhabu ya kaburi, kabur yako iwe na nuru, mama nilikupenda sana lkn, Allah kakupenda zaid, akuna mfano wako mama, ungekuwa rafiki wangu waukwel, Allah akusamehe dhambi zako, Inshaallah::
Ameen:
Mama ni zaidi pumzika kwa amani mama yangu kipenzi
Pole sana dear.
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💔💔💔💔💔💔💔💔💔💓💓💓💓💓💓💕💕💕💕💕💕💖💖💖💖💖💖💞💞💞💞💞💘💘💘💘 love you my mom
Pole sana
Umenikumbusha mbali
As long as your mother is alive - You have an extra reason to wake up and face the day ; Long live Mama , the name just below God.
Jama Jamani hu do go noma saaaana wapi like zenu Namibian huu wimbo una towaga machozi saaana kuwa sina mama tena
Wale mashabik sugu wakayumba tujuane hap......
Like jaman kama unampend mama... Cjapat Ata like mja
Asie mpenda mama yake mchawi
Nampenda sana mama
Nampenda sana mama
Penda sana mama langu
I love her
1/12/2023
This is the best song ever .
I sing it to my mum and everytime she breaks down
I love her so much
❤allah akupe maisha marefu mama yang nakupenda sana❤🎉🎉🎉
Kayumba nyimbo zako zote kali san upo juu sanaa❤
I love u mama
Nakupenda mama
Pamoja sana
Pumzika kwa amani mama angu
I love you Mama, ushinde na njaa mm nishibe ...... Wapi likes za kayumba MAMA
Thnx mam
Mama n mama nakupenda mama yangu pamoja na mama wengine
1
Usinikumbushe
Nipeni like zangu Za 2023🎉🎉🎉
Mama rest well...I will miss you forever......If you love your mama nipe likes
"Ukanyage miba me nipite"
Ulinitetea hata nilipo chokoza Mama sauti yangu uliimaki hata nikiwa mbliiii R.I.P my mumy
Kuna jamaa jirani yangu anaipiga hii ngoma siku nzima bila kubadili... Nilikuwa sijui why but now nimegundua anavyo feel kwa mama yake... I love u mama.
Nzur sana
Yes kwa kweli ni nzuri sana
Nakupend sn mam yang
We speak English only.. kirikuu wewe
Pumzika kwa amani Mama yangu kipenzi changu
here after 3years huu wimbo unanifanya nisimsahaau mama ata kwa sekunde moja🎉🎉🎉
Kama una mkubal kayumba gonga like
Safi sana kayumba nakukubali kinyaaaaama💪💪💪
th-cam.com/video/9PaSh8ypFVI/w-d-xo.html
Msela ana imba iyo sio mchezo
namkubàli vbaya
@@ashabilal4785 sio mchezo kwa ilo sorng
Upendo kwako mama wapi like za mama
bongo move
R
bwasty bwoyz saf naipenda
Asante mama
kwel
kama na we umeusikiliza wimbo huu 2023 gonga like
Km unakubali mama nikila kitu gonga like
Hakuna kama mama
Hii nyimbo sichoki kuisikiliza hongera Sana
Gonga Like kuonyesha love kwa kina mama wote. Happy mother's day kwa mama zetu wote duniani. Wimbo huu ni dedication kwenu wote mliongia labour kwa ajili ya maisha yetu.
I love you mama ❤️
Mungu akubarki Mama yangu
This song touch my heart may Allah grant all mothers to paradise ❤
Mpende sana mama yako kwa kukuweka tumboni miezi 9 na kuteseka na wewe usiku kucha mpaka umekuwa unajitambua!!.....upate baraka na maisha marefu!!...!!!
I love my mam
Ndio wajibu wake kaka
Nyimbo yangu ya mwaka na miaka yoote ijayo mungu awaweke mama zetu awape maisha marefu. Na wale waloondokewa na wazazi mungu awape kauli thabit mungu awape mwanga wa milele
amina
Rest in peace my mama nataman ningekuwa nawe but kaz ya mungu haina makosa polen na wenzangu mliowapoteza mama zenu but tuwaaombee mwenyez mungu awarehem😢😢😢😢😢😢😧😧😧😧
Poleh kwa sote, ilobak tuwaombee
Pole sana ,Ni njia ya wote
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Nakupenda mama
Pole sana
Pumzika Kwa amani mamangu kipenzi 😭😭I miss you so much 😢😢
Mama Nitakupenda daima.
I love so much
Watuonyesha. Kazi nzuri kutoka BSS...kayumba juma.. support from Kenya 🇰🇪😘
Mama yangu mpendwa ubarikiwe kwa jina la Hellen John aliyopo geita kamena umenilea kwa wema mungu akupe afya njema mama angu kipenzi hakuna Kam mama duniani wakina mama hongereni🙏🙏🙏
Hakuna kama mama ndio mana popote utapoisikia nyimbo ya mama yani kunakitu kinakugusa moyoni nakupenda sana kipenzi mama yangu
Kama unampenda mama yako Kama mimi like hapa twende sawa
ngoma kali sana hii mungu akuongezee zaid na kipaji chako, hizo ndizo tunazozitaka sisi zenye full maujumbe kama, cyo tipwatipwa tetema ooh mama tetema tupa kule
Rip mom love iz not dead
ktk wanamuziki huyu na mpongeza ametoa ujumbe mzito sana kwa jamii kuhusu malezi yanapoanzia na kama mama unafeli kutelekeza ujitafakari je sifa hii inakuhusu au la Hasha
Jinsi ulivyo ni handle usiku hulali....
Ulale njaa mi nishibe...
Ulichana nguo zako unistiri mwanao...
Oooh i love u my mom Agness...Mungu azidi kukutunza na uishi miaka mingi mama
Yaani ukitaka kunitibua umzarau mama yangu, duh hata kama nakupendaje Nina zima taaa ...I love u mamaa
Majaliwa good sanaa
Fundiii mtoto big up 👏👏👏👏👏👏👏👏
Nasikiliza huu wimbo nikilia
Nani kama mama😢❤
Namkumbuka sana marehemu mamaangu ❤
Mungu amlaze mahala pema peponi
Aisee kayumba nouma....eb weka like apo Kama tupo pamoja
Huyu jmaa yupo vzr anayemkubali kayumba like kama zote
Wote mliotelekezwa na Mama nawapa pole samehe tu wewe uanze kua Mama bora kunawamama ukichaa unapitiliza wasameheni tu ili naisha yaendelee kwa Amani na furaha
Wote nawakubali kama c bb mama asingeweza peke yake
Ewe mwenyezimungu nakuomba umjaalie mamayangu afya nyema na umuondoshee marazi na kesho ahera umuweke kwenye pepo yako aamin 🤲
Daaah ngoma tamu Hatari kayumba wewe ni "MWANAUME" JPM
Official Wizdolla kaniuza
Unaweza sana
Ilove you my mum
I missing my dear Mom
Nakupenda sana mama yangu Millicent Mungu akulinde na akuongeze miaka mingi duniani we ni kila kitu kwa maisha yangu❤💯
❤❤❤popote ulipo mama❤❤❤
Maneno yako na busara zako zinazunguka 😭😭😭 usia wako ndo ngao yangu 😭😭😭😭 mama hukunipa usia , mama ulinilea lakini mama ulinikimbia wakati nahitaji malezi yako , ila mama yangu NAKUPENDA SANA
William Mlengera pole san
I love mom
Mipango ya god
This is the best song mdogo wangu nimezisikia nyimbo nyingi zenye jina MAMA ila hii 💫 unajua sanaaa don't give up.....💪
I love u mamy
Hakuna kama mama jaman
Dah ingoma Kali
😍😍😍😍🤰🤱🙏🙏
Rip mumy
Live long mamaaaaa❤to witness my blessings
I love you mamake enti thanks alot to everything ❤❤❤❤nakupenda sana A
Uko tayari udhalilike mama kwaajili yangu!! I love maaaa!!
Mama nakupenda sana asante kayumba 💜💜💜💜💜
Am here again after understanding what mommy go through to raise me, I was a kid I didn't understand anything bt now am a mom I understand everything it's not easy to be a mom, thanks mom 😢❤❤🫂 much love from Ke 🇰🇪
Mimi ndio zaidi
Huruma ya mungu ikufikie maaangu huko kaburini ulipo mungu akupe kila la khery akujaalie pepo tukutane tena tukiwa na furaha ya huruma yako nilipo kua mdogo mama amin ... ahs kaka kayumba kwa wimbo mzur ulonitoa machozi nimeupenda sanaaa
Nakumiss sn Mama 😭😭😭 maombi yng kwako kila siku Mama M,mungu akuweke mahali pema PEPONI. 3 years tk umetutoka Luv u an Miss u so much rest in peace MAMA😭😭😭😭
😭😭😭
Even me when i listen this song nalia kwa uchungu mkali,mama ungekuwepo ningekuimbia huku nakupa zawadi,mbaya zaidi ulitulea kwa shida Kali ulipambana kuhakikisha tunapata elimu na tunajitegemea,ulifurahi kutuona tuna raha siku zote,ulipokamilisha hayo ukatuacha oooh God siku zote namlilia mama yangu kipenzi,natamani mama unitokee Hata siku moja tuongee machache,two years past mama😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hata ningekufanyiaje bado visingeendana na yote uliyotufanyia
Pumzika mama yangu kipenzi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😢😢 God keep my mam alive for me 🙏🙏🙏
Kayumba upo juu sana bro
Maman yangu nakupenda sana, nasikiya wimbo unanitowa machozi... nakupenda sana maman.
Mungu akupemiaka Ming
Keep it up kayumba nice song
❤
I'm such a fan of big brother Kanyumba, I have my heart with him, you were inspired by this beautiful song for me, really big thank you, this beautiful song gives me another power to live, at home my great hits the only one you know sung, come in Congo