#TBC

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
  • Vijana wanufaika wa Mradi wa BBT - Life Unenepeshaji wa Mifugo..waeleza mafanikio ya mradi huo na kuhaidi kutimiza ndoto zao na kuongeza Tija katika Sekta ya mifugo..

ความคิดเห็น • 6

  • @henrywambua7770
    @henrywambua7770 ปีที่แล้ว +1

    Jamani nmeipenda sasa ushauri ni serikali iweke mafunzo hayo mikoa yote na wilaya zote

  • @EmmanuelNgonela
    @EmmanuelNgonela 3 หลายเดือนก่อน

    Ivi wanao wezeshwa na serikali wanakuwa na vigezo gani?

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim3392 ปีที่แล้ว

    Samia hoyeeeeee❤❤❤❤

  • @jerrymysteries3055
    @jerrymysteries3055 ปีที่แล้ว

    Dr Samia udumu milele na milele sasa nakuomba hii ifanyike Tanzania nzima bara na visiwani ili vijana wajikwamue kiuchumi

  • @MamboleoPeter
    @MamboleoPeter 5 หลายเดือนก่อน

    Sisi huku Moshi tutapata wapi elimu hii?

  • @victorianambololo5718
    @victorianambololo5718 ปีที่แล้ว

    Sasa jina ni lipi???? Kesho bora ama shambani??,