#LIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024
- #LIVE: HIVI NDIVYO MAJINI WANAVYOWAINGIA WATU | WADHAKKIR
TAREHE: 06.10.2023
MUDA: SAA 2:30 | BAADA YA INSHAA
SHEIKH NURDEEN KISHK (MHADHIRI WA KIMATAIFA)
KIPINDI CHA 269
TUTAKUA LIVE
KUPITIA CHANNEL ZETU ZA KISHKI ONLINE TV (TH-cam, Facebook na Instagram)
PIA USISAHAU KU_FOLLOW NA KU_SUBSCRIBE ACCOUNT ZETU ZA KISHKI ONLINE TV
TH-cam: / @kishkionlinetv
Facebook: / sheikhnurdinkishki
Twitter: / sheikh_kishk
Instagram: / sheikh_nurdeen_kishk
Am a Christian lakini nimejua mengi ambayo sikuwa najua kuhusu majini, nashukuru sana. Mwenyezi Mungu azidi kuwapa hekima
Am a Christian from Kenya haya mafunzo yameniguza sana ,mungu akubariki sheikh🙏
Allah Akubarik❤from Oman to Kenya
Pia Niko Kenya, Allah akuongoze dadangu
Hello
Masha Allah am watching from Zambia 🇿🇲🇿🇲 may Almighty Allah bless you sheikh
Subhannallah mm hpo kwenye swalah fikra nying n kupiga miayo
Am from Kenya...Maa Shaa Allah taabaraka llahu
Alhamdulillah Rabbil aalamiin, sheikh mafunzo yako mazuri kweli
Mansha ALLAH tuna kupenda kwa ajili ya ALLAH Mwenyezi_Mungu akuhifadhi na akuhifadhi na akuweke kwa ajili ya wengi ❤❤❤
Naitwa kaltuma kutoka moyale,naota mwanamke ananikujia nikiogopa na kila wakati nikimsomea ayatul kursi anaanguka anazirai kwa ndoto huyu ni mjini ama?
Madaa nzuri sana
Mashallah sikupata live lkn Naomba kipind kiendelee pls Shukran sheikh Nurdiin Allah akupe Afya njema na Umr mref wenye kher na wewe😍😍😍😍🤲
Shukran sheik kish wajazakumullah ll kheir wabaada ll kheir jannatu naima
Mashaallah Mashaallah
Jazakallahkheili shek Mimi nonatatizo Hilo lamajini naninahangaika bado cjaaliwakupona naomba msaada wako shekh kwaajili ya Allah shukrani Allah Akupe umri mrefu wa uchamungu
Jitahid ujisomee ruqya mwenyewe na ubadili mwenendo wa Maisha yako
Ahsanteeeee sheikh kishk nimejifunza MENGI tu
Mashaallah shukurani sana 🤝
Vizur sheikh
Manhallah asante sana sheikh kishiki
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh, Mashaallah, sheikh wetu, Allah akulipeni pepo ya firdaus, na akuhifadhi, na akuwekeye wepesi katika kazi zako na kundi lako, mimi ni yule mja wa Allah aliye kutana na wewe marekani ( minisota)
Aliye kusomeya Quran! Jina naitwa:
Cishahayo Ali
Masha Allah
Jazakallah khaira shehk wetu ALLAH MTUKUFU akujalie mwisho mwema Amiyn
Jazaka Allah khaira
Sheikh. Kishk ALLAH azidi kukupa umri mrefu zaid na zaidi utupe elimu zaid inshaa llah! Jazaqkh khel Sheikh tufundishe. Jinsi ya kuyatoa haya majini...maan wengi wao sie. Wasichana tunakumbana na changamoto izo sheikh
Assalamu aleikum,asante nimejifunza mengi
Haya m kweli shekh yamenitokea.sana mpaka sasa bado
Asalam alaykm warahma tullah wabarakatuh alihamdulilah shekhe Allah akulipeni Kila la kher akupe umuli mrefu wenye mafanikio kesho akhera
Shukran sana kwa darsa zuri
Jazakallah khaira
Asc , shukrani ya sheikh!
Nampenda shekh wang kishik
MashaAllah Darsa ninzuri sn JAZZAKAALLAH KHAYRA🙏🧡🌹
Shekh nimekuekewa Tupe namba ya whasapp
Mashaallah mwenyezi mungu akuweke uzidi kututolea mawaidha in shaallah
Ndio maana sisi wakristo tunajifunika kwa dmu ya Yesu😊
Haisaidi maana waingia chooni na kujui Dua,ipo siku watakuvaa 😂
Allah akuongezeyekilalaheli
Jazaqallah khaillla Mada indereye navitabudutumiyeburundi
Am a Christian watching from Nairobi and you are on point
MaashaAllah nakupenda kwa ajili ya ALLAH ya sheikh
Maashallah mawaidha mema mungu akuhifadhi na akupenguvu za kuhudumia uislamu.
Allahmdulilah leo nimejifunza vitu vingi sana hasa kwenye kumwang vitu hasira kupiliz na hof kuzd kias Mashahlla Allah akuzdishie nuru na Ermu juu ya waja wa mola 🤲🤲
MashaaAllah shukran jazakAllah ukheri sheikh
Asalamu alaykum warahmatullah wabarakatuh.Sheikh Kishk hii mada tamu sana tena ifundishe kwa upana zaidi mana imani zetu zinapotea kutokana na madhila ya maradhi ya uchawi wa kijini.mtaani Matabibu wengi wa ruqya wanatupiga pesa ndefu sana na bado huponi.Fundisha na Ruqya kwa upana zaidi ili tuepuke shirki mana ukienda maostadh wengi wanakuuliza majina ya mama na kuendelea.Allah akupe kheri kubwa duniani na akhera.
Anza kuzingatia ruqya ya kisheria Ina sifa zipi
Barak Allahu feekum
Mashallah, sheikh mimi ni m christo lakini napenda kusikiza vipidi vya kii islam, mimi nime kuwa na shida sana kimwili kwa mda karibu miaka 6 sasa nasikiaga vitu vikinitembea mwilini na maumivu mingi, na mambo yangu yanakuwa aiendi vizuri. JE unaweza kunizaidia tafanthali
Great teaching
Asalama alaykum warahmatullh wabarakatu asante sana sheikh nurdeen kishk kwa mawaydha mungu akujaaliye maisha mema na akuepushe na husida pamoja na familiya yako na kutakiya Kilala heri kwenye maisha yako 🙏🙏🙏
ALLAH AKUBARIKI SAANA SHEIKH NURDIN KISHKI TUMEPATA FAWAAID ALHAMDULILLAH
MashaAllah ×3 ...Sheikh Kishki Jazzakullahu kheir Ya' Sheikh Nikiwa Qatar...Ikibidi muendelezesho In sha Allah Taallah 🤲
Allah Akupe umri mref na mwisho mwema inshaAllah sheikh
Mashallah sh. Kishki. Allah akuhifadhi uzidi kutupatia il'mu zaidi.
Mashaa Allah Tabarak wataala
Maasha Allah Natamani Nami Pia Liendelee Shekh
Mashaallah ❤️ elimu nzuri yenye manufaa Jazaka wallahu lkheir sheikh
Assalam Alaykum warhamatullah wa barakatuh...Sheikh mafunzo Yako yameniguza 😭😭😭 Niombe kwa Allah anifanyie uwepesi katika Dini yangu ya kislam 🙏🙏🙏 Allah akubariki humu duniani na Akhera
Allah Akbar Amiiin Inshaallah.
Mashaallah sheikh Allah akuhifadhi sana imetufunza mengi
Jazaka llahul kheir Sheikh kishki
💐💐💐
Mashaa Allah. In shaa Allah
Sheikhnurdeenkishk ndoto izo zinatufikia ssi wanawake
Pambana kujisomea ruqya
Maa shaa Allahu!! Shukran sana shekh wetu!! Allah akubariki na akulipe Kila la kher, Ila me Kuna ndoto ilikua ikinisib Sana!! Naota mambo ha maiti maiti Sana,eidha tunaosha au anaenda kuzikwa, au namna yoyote Ile,Sasa inanipelekea nakua na khofu Sana!! Naogopa mnoo!! Hata kushiriki masuala mbalimbali ya kustir ndugu zetu waliotangulia, he nifanyeje? Halafu pia nilikua nimekaa nalo mimi Kama Mimi suala hili, Ila nilipomwambia mume wangu kuwa napatwa na ndoto hizi, alhamdulillah haijajirudia tena!
Ata mm nilikuwa na ota hivyo hivyo ....kila siku ...naota maiti au watu walio kufa au naosha...lkn mm nilitibiwa Sasa sipati tena hizo ndoto
Ukiwa unaota ndoto mbaya usisimulie Bali Muombe Allah akuepushe na Shari ya ndoto hiyo na pia ukiota waliokufa Sana unahitajia uwafanyie Dua
Itakuwa wang wamekuon mkoshaj mzur wanakuchkua kufany kaz zao ao Allah atunusur natania
@@joharifarahani2739ulifanyaje😢
Na mm nateseka sanna
Mashaallah sheikh wetu allah akuhifadhi tumeilimika naam
Shukran mwalimu wetu
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
MashaAllah,shukran jazakAllah kheir
Mashallah tabaraka llah 🥰 Jazaka llahu Khair Sheikh Nurdin 🌹❤️❤️
mashallah asante shekhe
wetu akika nimejifunza vitu vingi sana mim nina jini na natamani sana Atoke jee ntakupataje uweze kunitoa mana nashindwa ata kufanya swala sabab yake
mashaaallah sheikh kishk Allha akujaliye kila hitaji unalo lihitaji Nimejifunza kitu kikubwa leo Alhamdulllihah nakupnda sanaaa kwajili ya Allha ❤❤❤❤
Daaaah... kweli hzo ndoto zilinisumbua mm kama serias kwa maisha yangu..
Mashallah mungu amuhifadhi uzidi kutuilimisha
Aaw nakutakiya kila la heri apendayo Allah Niko na shida hizo ulotaja na Niko Kenya ukija huku nikuone tafadhal ni shida ya miaka mingi takriban miaka kumi ss naomba msaada wako nikufikiye Wabillahi Taufik gd
Mm leo shekh umenifungua masikio kuhusu kumwaga uchafu Alhamdulillah Allah akulipe nilikuwa sijui
Nikuulize kwani kutokwa na ucha
Kwani kutokwa nauchafu sinikawIda ama nivip hebunieleze mana mmi najuwa Kuna uchafu wakawaida na Kuna wakilala namumeo
@@NaimaSalim-hv6bd mm nimekusudia kumwaga uchafu jaani sio kutokwa mtu uchafu
Asalam alaykum nashukulu sana sheikh wetu Allah. Akulinde
Shukran shekh wetu jazakallah khaira
Mashallah tabarakallah allah akuhifadhi nakupenda sana kwa ajili ya allah shekhe
Nimejifunza kitu hapa
Shukurani sana maana Atamimi nikiwa nasali napingamiyanyo 😢
Allah akujaze nying rehem shekh
Mashallah sheikh wangu
Assalam aleykum warahma thullah wabarakatu shekh nurudin mimi nina binti yangu ana jini alipandisha akasema alimpenda huyo jini asema hawezi kutoka. Binti yangu hawezi. Maudhi akisirika anapandisha vibaya mno anaumia lkn ukimwita shekh kumsomea anamtuliza tu mashekh wengi wanataka kiasi kikubwa cha pesa nashindwa kuzimudu hizo pesa binti yangu waallah anamtihani. mzito
Jazzakallah kheri sheikh naomba unisaidie Niko na matatizo ya Siri sijui nitakufikia vipi
Masham allah❤❤❤🎉🎉
Shekh Mungu akulipe wema kwa hili hakika wema mkubwa uliofanya kwetu
asalam aleykum jazaka Allha kheri ustadh
Shukurani shekshe Allah akulipe kirakheli
Kweli shekh umenena mimi toka ni mdogo wachawi nawaona na mpaka sasa akija na muona
💚🤲
Mashallah Tabarak Allah I'm from Kenya
Assalam aleikum,jee kama ameshakuingia,na ruqia nishaenda mda mrufe sana,ila tatizo lipo bado, nifanye nini, shukran jazzakah Allahu
Tabaarakaallah habiib
HII MADA IENDELEE
❤❤❤❤
Allah barik jamia Sheikh
MashaAllah tabaraka Allah
Haya mawaidha ys sheikh ni matamu sana mashallah
Neema na maarifa zikuongoze sheikh .!!....Kenya....watamu.
MashaAllah.Vp sheikh ukiota Kwa kisima unavuta maji kwa kamba,Kuota Pete nyingi za dhahabu,Kuota uko juu ya ghorofa yenye haijaisha kujengwa uko juu unaona Kila pembe na ukiongea na Kuota ukiongea na mzazi wako wakike kwa furaha?
Assalamu shukran
Mashallah
nimependa somo lako sheikh
Wonderful 🤲
Asalam Aleykum mada iendelee
Asalamu alikumu warHmatulahhi wabarakatuh shekhee kihemba mada iendeleye
Mada iyendeleee sheikh kishki
wonderful
Asante sana kwa mafunzo yako mwenyezi Mungu asidi kubariki,, ila naomba kuuliza swali, mimi naitwa Yvonne kutoka Kenye nina shemeji yangu ambayo anaanguka kifafa lakini hakuzaliwa na huo ugonjwa, Je hiyo pia inaweza kuwa jini mahaba?? Na je anaweza kupona maana amekaa na huo ugonjwa kwa miaka kumi na mbili sasa, tafadhali naomba ushauri wako 🙏🙏🙏
Muombe mungu
Asalam aleikum mashallah