#UNABII
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2019
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
Mungu naomba nibariki na mimi nifanikiwe na unifungulie milango ya mafanikio yangu na nyota yangu ing'ae misili ya dhahabu na wabaya wangu washindwe katika jina la yesu NAAMINI KWA JINA LA YESU na kupitia maombi ya NABII ntafanikiwa kwa jina la yesu kristo AMINA
Naomba mungu tatizo langu linalo nisumbua kiafya mwezi huu wanane nipone AMINA
Bwana Yesu uliyehai naomba ni bariki na mume ambaye ni mume wangu, pia Bwana Yesu kumbuka mahitaji ya kijana wangu, IN JESUS MIGHTY NAME AMEN.
Ashukuriwe Mungu kwa kutupatia Nabii Mkuu nchini Tanzania,Twakupenda sana Baba yetu
Mungu wetu tumekuwa wakosaji kila siku,hats hapa tumekosea kujiona sisi ni bora kuliko wewe Mungu,Tumejivika utukufu tusiostahili,Kifupi nabaki na safina yangu,sitoki nilipo,Nasimama na Yesu wangu.
Wow,Thank you Holy Spirit
Aki dad uwa nakuangalia kila siku nimeangaika sana watoto wangu vivyo mimi ni mkenya nimeshidwa vile naeza kukufikia jameni dad
Amen mungu atusadie
May God bless u Nabii wa Mungu
Nabii,nakupenda xn,napenda huduma yako.naomba unisaidie wanangu wanamagonjwa sugu.
Amen,sifa na utukufu ni kwako Jehova.
Amen tuna chukuru mungu kwa unambii wako
Mungu agupe maisha mulefu nabi mkuu nagupenda saaaaaana
Tungekua namacho yaloho tungejuwa au tungeona jamani fungukeni mubarikiwe ngonga like yangu kma umeelewa
Napokea uponyaji kwa jina LA yesu,Amina
Amen 🙏
Senior prophet hon Geordavie
Ashukuriwe Mungu
Paster,nawapenda,sana,munitinye,pinya.
Amina na kweli baba
Amen
Naomba unisaindie tafadhali Nabii was Mungu
amen.
Nabalikiwa sana Nabii naomba MUNGU Anipe Neema nikija Tanzania nifike ulipo Balikiwa mno Nabii
Mchungaji nabarikiw
Ameen
Nimependa iyo
Senior prophet jua Mungu anakuona unavyopotosha watu
Ubarikiwe
daa mungu atupe macho ya rohon bila HVO kujua ni vigumu
Kwel kabxaa
Mungu anayaona aya
Nabii mkuu namba unisaidie maisha yangu yanasida nyingi Sana naomba unisaidie Sana natamani siku moja .nikuone tu
Nabii naomba uniombee🙏
Nabii Mkuu nionekanie ,nimefungwa na Ibilisi ni siolewe na kuzaa. Naomba muujiza kutoka kwako Unifunguwe Naitwa Mawazo Mwamba Asany
Bwana yesu asifiwe naitaji kufunguliwa baba
Mimi nimelemewa nabii na maisha plz nahitaji msaada wako
MUNGU aliyeumba ulimwengu akazidi kuwaponya wengi, HURUMA YA MUNGU itawale ulimwenguni kote ili sote tukaone ufalme wake MTAKATIFU. Amina
Nan mweny no yake anipe
@@agustinakessy428 mimi
Nitabaki na safina assemblies of God,.
Nitizamiye na mimi kama ni mume wangu. Tusaidie na sisi tukombar ya mazabaoni
Sielewi kabisa Mungu ndie anayetakiwa kuliliwa kiasi hiki sio mwanadamu nashindwa kuelewa jamani nashindwa
😀😀😀😀..mungu atusaidiye
Nimatapeli hawa
Anna huyu mtu tumwombee tu kwa Mungu Baba. Kwanza anajiita nabii mkuu. Inamaana yeye ni mkubwa kuliko Yesu, sasa huyu ni mtu wa namna gani??? Uwiiii cjui kwakweli.
@@micamathew6433 venye unaongea niukweli jamani hatanamavazi yake niyaleyale muwe making🙊🙈
Anayeliliwa sii mwanadamu bali ni Mungu aliyeko ndani yake. Kumbuka Mungu mwenyewe hawezi kushuka ni lazima amtumie mwanadamu kufanya matendo yake makuu
Wanaliaga unafik
Mungu nisamehee tu😯😯😯
Baba tafathali nisaidie katika maombi mm Niko kenya
Baba, mimi niko Congo rdc napenda uombeye ndowa yangu katika ulimwengu wa roho
DHA 😭🙏
Nabii ambaye unakazia mutu kuitika abacho hana. 🤣🤣🤣🙆🏻♂️ nashangaa sana. Eti unasimu 📱😏 anajibu apana sasa Nabii Ana panic 😳🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️
Hahaha hahaha
Hata hasomi bible wala kutaja yesu
Hahaaaa Mimi mavazi yake tu Mimi hoi,,,,
uyu mganga😂😂😂😂
Aifichae zambi itamwaibisha na itamwangamiza kabisaa sema tupone nabii wa Bwana
Amen
Jesus is great
Mungu akubariki prophet weyu mkuu tunajivunia kuwa na ww
jamaa anajiweka juu kuliko Yesu
hauna lolote, kula sadaka za kondoo
😂😂😂 Umeona eee
Ongera kwakazi.yako nabi
.baba.Nabi number ya kuungana na huduma yenu musada wenu mawasiriano yenu baba
Nimecheka
Jamani huyu nabii ni msaidizi ameshinda mganga
Nabii huyu Yuko vizuri sana Tena anajua kiukweri,lakini najiuliza kwanini unabodigardi,sierewi niereweshe
Ifi nyinyi ndungu zangu Yani meshindwa kumuletea bwana musingo wenu munapeleka kwawadanganyifu yesu alima njooni kwangu muliolemewa naa msingo nitawapusisha mathayo 11-28
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ni maarifa tu
Nabii naona mambo mwingi kwa you tube channel yako, na sijaona ukiombea single ladies and men looking for serious relationships. I'm Sammy juma from Nairobi Kenya. Thank you!
Ombea ndoa yangu mtu wa mungu
Wow 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🤣🤣🤣🙏🙏🙏
Jmni naomb mutengeneze group kwa tuliombal group WhatsApp
Duh
Baba nisaidie kwa maombi niko kenya na niko na sida sana tafathali nisaidie baba
Mwambie mungu akusaidie. Fungua macho dadangu.
Iroswari namimi naritaka. Namimi nirikuwa na mum akanovurug. Kwakwer mimi naomba nimuace
Baba samahn naitaji kufika ulipo kanisan bab niwp baba
Natamani siku moja nikutane na nabii
Mmmm Jesus Christ
Alazimisha aseme ana
Simu wakati hana.
Nyakati za mwisho
Tutaona mengi
Lakini Neno la Mungu
Litasimama.
Ila sijamuona kapuku ata mmoja nimatajir2 wanaokuja madhabauni ayo niyakwer
Sina simu !!!!!! Nasoma msg zako. Hahahaaaa.
Uwiii kuumbuka huku
Mmmh
baba naomba na mimi niombee
Umefanya vema wanawake wamezidi umalaya
Jamani natamani kwenda kwa nabii nauli ninayo ila hela lakitatu ya kumuona na bii sina
Laki tatu ya nini
Lkn mim naona nabii kacheza na ajili za watu
Naitaji musahanda wa maombi yako baba
Habari ninahitaji msaada yako upo wapi??
Jamn nataka namba niongee nae
Huyunabii anatoa huduma kanisagani jamani nataka nikaombewe
Pole dada nenda ukaombewe na we utupeushuhuda wako
Kisongo Arusha
@@yassminassey6044 wewe kaa na maovu yako
Naomba namba ya nabii
Huo ndio unabii uliotuka
Haka kachalii ka R kaongo jamani😂😂
Kumbe yupo kwa ajiri ya kutenganisha ndoa za watu
Mmh kwel ndo mana tukaambiwa watu Wang wanaangamia kwa kukosa maarifa ila tusome sana vitab vya mung tusiweze kupotoshwa kiivo mung atusaidie sana
Nabii Mm ninapata namba yako nige fulahii
#"maana yake umenivuruga" , #"nishakasirika sasa" , #"Hakuna, staki. Umeshaniudhi", #"Mi staki mchezo", #"Nimechukia kabisa mimi"
😂😂😂😂😂
Sasa nawe nini tena 😁😁😁😁
Sadock Sebastian wwe umevurugwa😁😁😁
Sadock Sebastian 😀😀😀😀😀 nacheka kama mazuri vile
Baba ni Ombee Mimi na omba Number za nubi kukuu
Shika sana ulichonacho asije mtu akakupokonya.
Aty kila mtu anavimeseji ndo mnagombana alaf anauliza mbona mnagombana?yaani hii movie zaidi ile ya jackchan
Waheri wasioona wakasadiki
Kwa wale wadangaji hili kanisa cio maana cio kwa kuumbuliwa hukoo
Shetani anajua ndoa ikisimama kanisa litasimama hila jamii ikiwa na misukosuko basi ata kanisa ni hivo.
Mnapatkana wap mi nko dar
Unabii wakugombanisha
Nasimama nilipo kwakweli
Nabii kaamuwa kuchonganisha mke na mme kwakusoma msg😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hebu soma msg zangu tuone😂😂😂😂
😀😁😁😂😂😃
AMEN Nabii wa MUNGU
Jaman dar huwa hafiki
Ndenitoria Kimaro hatariiii,
maombi yako tulio mbaliii
@@bababelle4328 yann tena
Naomba namber ya Nabi muku ili ani ombee
Naomba kujua siku gn na gn naweza kumpata nabii mkuu
Karbu sana kesho atakuwepo..Karibu
@@mejgodsgal1340 @naomba namba zako kama hutojal niweze kuwasiliana na ww niko moshi
@Ummu namba za hudumu ni 0784315191 watakusaidia kwa urahisi zaidi..KARIBU SANA
@@mejgodsgal1340 @dear nikipiga hii cm haipokelew
@@ummuayman2591 nipe jina lako la insta nkuelekeze
Matapeli hao
Maigizo tu wamechagua kudanganyika.
Hinyie mungu katupa akili hakutufananisha na wanyama mnatapeliwa tu yaani badalaa mumlilie mungu mnalilia binaada eti hadi unifurahiche ndio nitoe unabii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😁😁
Nabii havunji ndoa pia hasira haitoki kwamungu niyashetan pia haitendi haki
Mambo gani ya ku aibishana hivi mbele za watu
hii kanisa bora nije tu ili nicheke
😃😃😃😃😃sharon nitft tuende wote 😂😂