Kweli wee engineer kiukweli nilikuwa simpend haji ila alivokuja yanga nikachange nakuanza kumuelewa, nb well done boss we trust you ndani ya miaka miwili mmetengeneza history unbeaten, ubingwa fa, league, na ngao sio mchezo
He deserves to be called president, a very composed guy
Rais wangu Heirs una nusu ya moyo wa wana Yanga tunakupenda sana 😘😘😘
Humble man very intelligent and educated🙌
Engineer hersi nakuon kwend kuwa wazir, naibu, katibu au mkurugenzi wa mpira ktk wizara ya michez..Mungu akutangulie
Naam uko sahihi rais wetu uko vyema sana hongera kiongozi wetu
Eng hersi salute brother I'm appreciate you
Naamini ipo cku yanga itakuwa namba one football club in the world. VIVA.
Rais wa wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🔥🔥🔥🔥 unaongea kisomi sn bro hongera Sana😘😘
PRESIDENT OF YOUNG AFRICAN'S🙌🙌🙌💚💛
Interview nzuriii sanaa but mnachelewa ku apload Interview
Respect aunt
What an interesting interview
Hongereni
Rais wa boli ume tutoa mbali sana tuna kujivunia allah akuzidishie
hersi 👏👏👏💚😘
Rais wa mpiraa🙌🔥
Ipo poaaaa sanaaa
Leo hujaweka part 1 au? Part 2 jmn
Salama ACHA kumchafua Rais wa Yanga kwa kumwambia eti yeye ni shabiki wa simba timu zetu tunazijua mama kwani utasababisha shida sana kwake.
😆😆😂😄 daah salama banah eti alikukimbia mayele wakat unaenda kumtongoza
ENG, HERS
Salama kweli huyo Rais wa uto aendelee kuota tu
Anajibu maswali kisomi mno asee mpaka vitu usivyo vijua unajifunza, Yanga shikilieni bomba kwa uyu Engeniar
Bonge ya interview
Kwenye swala la Haji kakosea Haji hatumtaki ,yanga ina watu wanaojilewa..hatutaki watu wa kuvuma kwa msimu hatuendi Kama bendera kufuata upepo...
Huyu Jamaa is well spoken na hii ndio maana halisi ya shule. Humble and intelligent , Interview bomba sana
Asante Na Endelea Kuenjoy