MBUNGE AIBANA SERIKALI KUHUSU KUFUNGA ZIWA TANGANYIKA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- MBUNGE wa Nkansi Kaskazini Aida Kenani leo Mei 3 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ameibana Serikali ije na suluhusho la wavuvi wa Ziwa Tanganyika badala ya kusema wanafunga ziwa kwa kipindi Cha miezi mitatu kwa kigezo cha kupungua kwa samaki.
Mashaaallah allah akubalik
Ee mama sema mama semaa😂
Wee dada ni nomaaa sanaaa wambieee haoooo huo ni uonevu watupe nchi yetuuuuu
Wana inchi wa kigoma tunategemea ziwa alafu munafunga ziwa familia zetu tulete kwenu
Aisee una tema madini bola kabisa wambie ao wasiojua uvuvi ni nini dada mungu akulinde wanataka kigoma na kusini majambazi tuwe wengi
Kigoma tunakufaa kwasababu machokola vibaka wakabaji watakuwa wengi
Atuku shilikishwa kiujumla
Wafunge na shule