Hamza is telling the truth.. the truth is bitter to swallow... Hamza ameonyesha reality in the quran.. but muslims haa! ! Hamko wakweli! Sheikh waambie kweli.. bila yesu! Hamna lolote! Too much pride :D
JIMMU Abdul we we utabaki kufungwa macho.. uki cram quran badala uisome kwa hekima na kumuomba mungu akufungue macho ueze kuielewa sio kuketi na kufanywa kufundishwa. Keti upige sujudi kwa Allah afungue macho na roho kisha uketi usome quran. Sio kusikiza kipofu utabaki kipofu anafuata kipofu!mwenzako amefunguka macho hivi unaniambia at mkristo? Kwani akiwa mkristo ndio? Hata ndani ya quran ni jumamosi karim wewe wafuata ijumaa. .. niendelee? Wacha tu! Sisi tuombeane sipendi kuteta sababu dini!tumungoje yesu wetu yuaja kwa nguvu na hekima hiyo siku ndio kila mtu ataijua! Utaita mtume mohammed na hatafika!
Mashaallah Allah akuhifadh shekh maan kaum ya mtume Muhammad watu wanaleta habar za nabii alie pita nabii ambae ni binaadam kama Mimi na wewe wao wakamuita mungu hadi Leo kama sio udhwalim huo nnn?
Yesu angekuwa kilakitu angemuomba mungu mungu wangu mungu wangu mbona umeniasha meme tumia akiri luka 4:7 welcome to muslim truth religion in the world mark 13:21 quran 3:19
hallelujah hakika mawazo ya Mungu sio ya wanadamu hazuiliw na yeyote hatimaye Yesu anahubiriwa na mashehe tena wanavutana wenyew kwa wenyew ..hakika kila ulim utakir na kila goti litapigwa kuwa Yesu kristo ndio njia kwel na uzima
@@financialloan9818 kusoma Quran sio kwamba ndo muislam na kwenda bakwata sio ndo kua muislam....wapo mayahudi,wakristo na watu wa dini nyengine wanasoma quran na kuifatilia wengne wana lengo la kupotosha na wengine wanaweza wakawa wanapinga na kubisha kwa lengo la kutaka kujua zaid wa kile wanachokijua ....sasa itategemea ni njia gani anaitumia mtu....pengine ameamua kujifanya muislam ili iwe rahisi kwake kupotosha au iwe rahisi zaidi pia kutaka kujua zaidi maana kutokana na alivojifunza Quran kuisoma na kuilewa kwake kwa mtu ambaye hajui vzuri uislam ataamin kabsa kama huyo amza au askof amza ni muislam hvyo yeye na mungu wake ndo wanajua kama anapotosha au anataka kujfunza zaidi ...kwa haraka na kwa umakini ukiangalia ni kwamba anapotoshaa nionavo mimi
@@financialloan9818 Na kusema anasoma kitabu iko iko ni kweli kwasababu Yesu amezungumziwa kwenye Quran na ndio mada zote zinatakiwa zitumie Quran ndomana lazma atumie hiko kitabu ila tatizo linakuja katika kutafsiri hiyo Quran kwa ufasaha....na nikujulishe vizuri tu Quran imetafsiriwa na mtume tu sio mtu mwengne yeyote hivyo ukitafsir Quran bila kufata mtume alivyotafsiri basi utakosea kwahyo hao mashekhe wote dunian wanatakiwa wasome tafsir ya mtume ya Quran ili kuelewa na kuwaelewesha waumin wanaowangoza sio kutafsiri jinsi wao wanavyoona wao....Sasa kuna maeneo huyo Hamza au sijui Askofu amza sijajua jina sahihi ni lipi apo ...ni kwamba anajaribu kutafsiri Quran kwa maono yake ukishatafsiri hvyo unakosea na hautokua sahihi....KWAHIYO UISLAM INA TARATIBU NA MISINGI YAKE SIO TU MTU UNAKURUPUKA NA KUWAZA UNACHOWAZA NA KUKIFANYIA MAAMUZI UNAYOTAKA WEWE....UHURU HUO KWA MUISLAM WA KWELI HAUPO ...Ndio tofauti ya uislam na dini nyengine anajifanya muislam ila hayupo katika misingi ya uislam...
M, mungu amsamehe hamza kwan ajui alisemalo... Bora akasome dini ya kiislam asije kupoteza waislam.. Si vizur kuongea vit ambavy una hirimu navyo... Allah atupe mwisho mwema
Asalam Aalaykum wa rahmatullahi wa barakatuhu shukran ma sheikh wetu kwa juhudi yenu ya kum elimisha huyo Askof hamza issa yeye ni mnafiki amechanganyikiwa tu huyo ni wakutibiwa. Hakuna Haja ya kuhojiana nae kuhusu ukweli wa dini maana ana maskio haelewe. Sheikh Diwani ma sha Allah , Allah awalipe jema kwa hilo mlifanyalo.
Isa ni na bee na ni muislam atakuja kama mmungu alivyosema mmungu ni mmungu wa mitume wotee wote ni mmungu ila binadam wanawatenganisha waislam wanamkubali kama mmungu alivyo sema isa bin mariam ni na bee
Yesu ni na bee na alie mleta duniani mmungu ni mitume wake wote hata ukiangalia wote ni wamoja na ndugu mana bee ibrahim ndio baba yao kizazi cha ishac na esmael na wote ni mashariki ya kati sio kwa wazungu inamanisha mmungu dini ni moja na alikamilisha kwa muhamad saw
Mnashimdana na mmungu mwenye mana bee wake isa ni muislam na Muhammad ni ndugu kwa ibrahim je wazungu hapo ni biashara na music kupiga hamna kitu Muhammad ndio alie kamilisha dini kwa Amir ya mmungu kumshishia gibriel na isa alimtabiri atakuja bada yangu Mfateni Kitabu cha isa wamekibadilisha cha ukweli na isa hajajenga kanisa you Brahmin ndio alie jenga alcaba kibla aliamrishwa na mmungu
Shekhar Hamza is a truly man of God: 1. Shekhar Hayek upended wowote anatafsiri ukweli wa dini,haswa mahali waislam wanapotea! Msisahau city vya dini viliandikwa kulingana na Marsha na Swallah za karne izo more than 600 years back. Kiukweli Maisha imebadilika unafaa utafsiri vitaly Vyadini kulingana na karne ama nyakati tulizo...
Finaly it is happening. Masihi anakuja na hukumu ya kweli na haki wapendwa. Hamza nakubaliana na wewe sio kwa Ukristo jina au Uislam jina tu masihi is coming back. "Abba Father"
waisram aminn Yesu atakuja kuuhukum ulimwengu ,nakama ndio,bac aminn kuwa Yesu ni Mungu ,kwakuwa mtoto wa binadam ni binada wanyoka ni nyoka.Na Yesu ni mwana wa Mungu bac aminn kuwa mwana wa Mungu ni Mungu.
Mwenye Elimu Utamjuwa Ata Kwa Muonekano Tu. Sheikh Diwani Weye Ni Mwenye Elimu Kubwa Kuliko Huyo Mganga Njaa Hamza. Ufafanuzi Wako Tu Na Unavyoyapokea Maswali Ya Hamza Unaonyesha Kabisa Yakuwa Weye Ni Mwenye Elimu. Allah Akulipe Kheri.
issue moja nakubaliana na huyu bwana ni kwamba dhiki tulonayo waislam nikuondokewa na utukufu wetu ambayo ni Al-khilafah.Hii lazima tujikakamue kuirudisha ismamie maisha yetu!
Nawasiwasi na tafsiri zetu sisi wanadamu. Mimi naimani ninachokiamini ambacho Mwenyezi Mungu ananifunulia nikifuate. Basi ninapokosa Yeye ndiye mwenye kunisamehe na ndio mwenye kunihukimu.
Fatwima Makungu huyu mtu anaikili tena sana. Mi nadhani anatumiwa kukoroga waislamu kwasababu wamemuona yuko very INTELLIGENT. Kwasababu maneno anayoyaongea kama mtu hana ilmu ya QUR'AN vizuri Wallah anaeza kumkubali huyu jamaa. Lakini Alhamdulillah kuna masheikh wasomi ambao wako makini kabisa katika kukabiliana na watu kama HAWA.Insha Allah Mungu awaongoze na awape umri mrefu masheikh.
Uzima uelezwayo sio uzima wa hapa duniani. Wote tutakufa ila kule tutakakokwenda baada ya kufa ndiko kwenye uzima wa milele endapo utakuwa umempokea Yesu kama ni bwana na mwokozi wako.
Inna hillah wa innallilah hamna yesu atakae wapoke katika kabuki ndungu tulikuja kwa jalia na tutarudi kwa jalia utakayo yachuma ndio utakayo kwenda nayo hamna atakae kutetea wala ukifa hauonani na mtu yoyote isipokuwa malaika peke siku ya kukutana ni siku ya malipo na pia mola wetu mlezi hazidishii mtu dhambi yote utakayo yapata kwenye hesabu yako kumbuka umeachuma mwenyewe wala yesu haja watuma na atawakana madai munayo zusha kwa sasa
@@janetsemahimbo8083 mungu pekee ndo atakupa uzima wa milele yesu hana uwezo huo hakuna musilaam utakaemdanganya upo yesu ni mtu kazaliwa kama ww waongo wakubwa nyie
Atarudi kwa ajili ya wale walie muacha mmungu na kufata wasio kua mmungu na atakuja kuipinga ukristo kwankuwambia yy sio mmungu mmungu hajazaliwa yy ni nibaee na atakua na mana bee wenzake wa ukweli sio picha za mcheza cenema
Mungu alizungumza na manabii na baba zetu ktk agano LA kale ila zama hizi amezungumza nasi kupitia Yesu,hata mlimani alipogeuka sura,Mungu aliwambia wanafunzi wake wamsikilize Yesu,ndiye aliyepewa kutawala na kwa damu yake ametununua.Nabii Hamza Issa ana ujumbe wa kuwakoa waislaumu,msikilizeni msimpinge na hata kama unapinga,wewe unamjua Mungu alivyo? soma yohana 14:1
Haaa!haaa!.Kweli hakika kwa Yesu kila goti litapigwa,Shehe Hamza Mungu atakubariki mpaka ushangae,Kwanza waisalam mna makosa makubwa mno,kwa kumtukuza Muhammad badala ya nabii Issa,,,Qur an yenyewe imethibitisha ukuu wa nabii Issa(yaani Yesu Kristo)Unaambiwa kwenye 3:45 Qur an Yesu kristo ana mamlaka mbinguni na Duniani,Waislam nini tena mnataka badala ya kuja kwa Yesu,Shehe Hamza Eliasa God bless u for explain afficil report of Jésus,.😀😊😀😊😄😁😊😂😇😄😁😀.
@@hansiselemani8025 ulaya unapajua wewe ulaya ktk nchi gani ulaya ni bara .. nimeishi Austria ,Salzburg makanisa nimengi zaidi misikiti unaesabu kwa tochi labda Uturuki kwa ndugu zenu najua hiyo ulaya yako Amerika na Asia na maisha yangu nafanya japan auniambi kitu ... Baadhi ya nchi za ulaya wakimbizi ndio wanakuja na mambo ya kislamu unayumba wewe ... Mnayumba na majini kila kukicha
Alhamdulillah. But to be honest the chairman was not at all fair. The rest is ok. That false prophet can only fool Christians and some very weak Muslims.
Rafiki Hamza unaufunuo nzuri sana lakini haitakufaidi kwasabu unahubiri Kristo lakini umekataa kutoka gizani (uislamu).Uislamu ni ushetani kwasabu tazama jinsi ibada hiyo ilivyo ya kidhambi, wanaua kwasabu ya imani hiyo ,wanapenda waislamu pekee nakuchukia wakristo,wanatukanana bila kuogopa mungu pamoja na mambo yaushirikina (majini). my friend believe in Christ and be saved .AMEN.
Mnamtukuza na kumuabudu Yesu/ Issa na kumsahau aliyeumba mbingu na ardhi, aliyeumba viumbe vyote duniani. Unafikiri ni kwanini kulikuwa na Mitume tofauti, kazi Yao ilikuwa ni ipi? Ujumbe mkubwa ni kuacha kuabudu mnavo abudia ili Tumuabudu Mwenyezi Mungu pekee.
Na auwez kuwa muislam bila kuamini kwa moyo mmoja na hoja nyingi ndio alizowasihi mtume(s.a.w) maswahaba wake kuwa wanaweza kukufuru ka kaumu zilizopita. Waislam atupaswi kuhojihoji Sana
Mpaka hapo huyi Hamza hayuko sawa kwa sababu Elimu inayotolewa hapo hata mtt mdogo angeelewa yy hajijui masikini yuko dini gani lkn kwa mujibu wa imani yake sio muislamu tena. Itabidi akae tena upya atafakari.
Abeid Abbas si ana vielementi vya kikafiri ktk wazazi wake mmoja si muislam lzm awe na wepesi wa kufanya machafu lkn kuna siku atajuta itakua ameshachelewa masikini!
stevin titus mkorea asijaribu ataumia hayana kazi za kufanya haya kazi kuzaana tu ndio mana mungu kayanyima ufahamu badala yasome yanakazi yakutaficri lugha za wa2 zakiarabu manyumbu wakubwa hawa
Huyu Kikofia hajui hata Nahau, la nafiya na la nahiya hajui, huyu hakuja kwa hoja, amekuja madrasa, Sh. Diwani mfunze huyu kijana ilmu yake ni pumba saana, yuwabobokwa tu Hana ilmu yoyote. Hamza rudi ukasome bro uache ubishi, utaenda motoni ww, Sh. Diwani Allah akujazi kheri!
Hamza okoka umfuate Yesu, anakupenda sana.. Achana na usanii wa dini maana unaishi hapa tu. wala Mohammad si Mtume, ni mtu tu na mwenye dhambi anayesubiri hukumu. Yesu ndo atahukumu kila mmoja, wanaopinga watasaga meno
Issa au yesu ni mtume wa Israel sasa ukristo sio dini maana wakatoliki wao Roma sijui wainglikana sijui marekani wasabato sijui uiengereza sasa hiyo dini gani na badala ya kukufuata Israel na sio Roma itali au marekani
Waallahy shekh yusuf nimekuelewa vizuri sanaaa mashaallah mungu akuzidishie hikima zaidi uwailimishe hao murtad
Sheikh Diwani Jazaakallahu khaira Allah akujaalie kilalakheri nduguyangu nakupenda kwa ajili ya Mwenyezimungu
Alhamdulillah hahahaha kakoma huyo firauni hana elimu mpeni dawa huyo mwenye wazo km mm gonga like hapo
Wewe mzee chunga sana ulimi wako njaa yako usitake kuupotasha uisilam angalia usije ukachomwa moto kwanza wewe inajiita Nabil wewe uounabii umeupata wapi
Mwalimisheni huyo kafir muraliba 😂😂😂😂
Mwalimisheni huyo kafir muraliba 😂😂😂😂
Hamza yuko vizuri kwa kweli. Yesu ndo mwokozi wa ulimwengu na lazima kila ulimi ukiri kuwa ndiye mwokozi na saa ndiyo hii. Barikiwa sana Hamza/Eliya
Yesu ni muokozi WA wale waliomkataa mwenyezi MUNGU
Kwa maana wakristo wamemkataa mwenyezi MUNGU na kumuabudu Yesu
Ernest Thomas kwaiyo munakubali yesu hajasulubiwa sindio??? Ama munakubali kizembekizembe
Hamza mm nimekuelewa kusema
Mungumuweza wa kila kitu Hamza akuwezeshe kutamgaza injili Duniani kote, Mungu yuko na Wewe daima
Safiii mungu atakusaidia hamza
Hamza uko vizuriiii
Hamza sio mkristo wala muislam yeye nimpinga old dini
Kafirj tu uyo
Hivi naakilizako huyu hamza ukimiangalia yuko upandegani kafiri huyu hajulikani u slim wala ukristo laana tupu alizo nazo
huyu Mgonjwa wa akili haitwi hamza anaitwa nabii elias huyu ni mjinga na wala si muislamu gonga like km uko sawa na diwani
Allah akupe jazza ya moyo wako uko vizuri sana shekhe diwan mashaallah
Mashallah
Nakupenda saaana hamza yesu akutunze kwa ajili yetu tunaomuamini yesu kipenzi cha roho yangu
Ila usitambue miungu mitatu.Hakuna mungu baba mungu mwana na mungu Roho mtakatifu...Hakuna kitu kama iyo, huo ni upagani....
@@MosesLewa sikupingi inawezekana
Hamza is telling the truth.. the truth is bitter to swallow... Hamza ameonyesha reality in the quran.. but muslims haa! ! Hamko wakweli! Sheikh waambie kweli.. bila yesu! Hamna lolote! Too much pride :D
wewe huyo anayejiita HAMZA ni mkristo kumbe hujamsoma
JIMMU Abdul we we utabaki kufungwa macho.. uki cram quran badala uisome kwa hekima na kumuomba mungu akufungue macho ueze kuielewa sio kuketi na kufanywa kufundishwa. Keti upige sujudi kwa Allah afungue macho na roho kisha uketi usome quran. Sio kusikiza kipofu utabaki kipofu anafuata kipofu!mwenzako amefunguka macho hivi unaniambia at mkristo? Kwani akiwa mkristo ndio? Hata ndani ya quran ni jumamosi karim wewe wafuata ijumaa. .. niendelee? Wacha tu! Sisi tuombeane sipendi kuteta sababu dini!tumungoje yesu wetu yuaja kwa nguvu na hekima hiyo siku ndio kila mtu ataijua! Utaita mtume mohammed na hatafika!
Hujielewi ww upo gizan
Ibrahim bakozi upo vzr mjukuu wangu hongera mungu akuzidishie ilmu
wakrsto mtachomwa hiv hamuoni mnavyodangnywa kitabu chenu kila siku kinafanyiwa edition sijui mpo ,mungu wenu hajui hajayo au hana msimamo
Kuran iko kwa kiharabu pekeyake ama kiswahili na kizungu pia
tia mo ,ipo kwa kiswahili,kizungu, hata ukiingia online imetafriwa kwa lungha nyingi wew tu na lugha yako
Biidhin llah watachomwa maana kila siku wanadanganywa kuwa yesu ameshuka wakat hajaonekana kushuka na wao wanakubar nakushangilia
Seif Rajabu yan ukiwa muislam ni neema kubwa kuliko aliyepewa utajiri kama rwakatare halafu akawa kafiri.
Mashaallah Allah akuhifadh shekh maan kaum ya mtume Muhammad watu wanaleta habar za nabii alie pita nabii ambae ni binaadam kama Mimi na wewe wao wakamuita mungu hadi Leo kama sio udhwalim huo nnn?
hamza wakristo wanakupenda sana kwa sababu unaudhalilisha uislamu wako kwa maslahi ya kidunia
Maasha Allah sheikh yusuph ma shafii mko vizuri sana
Four h rfffgtutpt
Allah akubarik Shaffy kwa kumueka Sawa huyo Hamza njaa tu inamsumbua
gonga like kwa diwani twende sawa
Refa kafuga goli leo
diwani falatu hanalolote
@@stivutitus963 diwani hana lolotee
Hamza wwe muongope mungu wako.
Hamza kachizika haeleweka hawajaelewek wap nyie ndo hamuelewek
Yesu angekuwa kilakitu angemuomba mungu mungu wangu mungu wangu mbona umeniasha meme tumia akiri luka 4:7 welcome to muslim truth religion in the world mark 13:21 quran 3:19
ASALAM ALEYKUM SHIEKH DIWANI WEWE NAKUPONGEZA NABADO KIJANA MUNGU AKUZIDISHIE ELIMU UFIKEMBALI
Mwenyezi MUNGU , Mfalem wa majeshi atasimamia kila mwenye kuamini shekh. Hamza wasatahiri heshima katika mafundisho
Nakupenda sana SHEIK Hamza. Nakuelewa sana sana sana hiyo Sheikh diwani achana naye.
Unishindi mm
jazaka lahu kheir shekhe kwa kutuzindua Allah atakulipa badala
Sheikh hamza ni mgonjwa ya rabb mpe shiffa
Aamin yarrab
Labda mgonjwa ni wewe kwani yeye anasoma maandi matakatifu!
Tena mgonjwa hasa wala MMungu amuoneshe njia ya haki
Wewe hamza mbona unakufuru
Inna Lilahi Waina Ilayhi Rajoun
Maasha Allah shekh Yusuf Allah akupe afya na umri mrefu ili tusome mengi kutoka kwako Alhamdulillah
hallelujah hakika mawazo ya Mungu sio ya wanadamu hazuiliw na yeyote hatimaye Yesu anahubiriwa na mashehe tena wanavutana wenyew kwa wenyew ..hakika kila ulim utakir na kila goti litapigwa kuwa Yesu kristo ndio njia kwel na uzima
MATUNDA YA UKOMBOZI WA DAMU YA YESU KRISTO mpuuzi wewe hujui utendalo
Huyu hamza sio shekhe ni askofu ucmuone kavaa kanzu ukadhani nimuislam
@@mohamedAli-vf8hp mbona Alienda bakwata unasema sio shehe wkt anasoma Qran yenu Kwan yy anadanganya wkt anasoma kitabu iko iko bado mnakataa😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌👌👌👌kila goti litapigwa
@@financialloan9818 kusoma Quran sio kwamba ndo muislam na kwenda bakwata sio ndo kua muislam....wapo mayahudi,wakristo na watu wa dini nyengine wanasoma quran na kuifatilia wengne wana lengo la kupotosha na wengine wanaweza wakawa wanapinga na kubisha kwa lengo la kutaka kujua zaid wa kile wanachokijua ....sasa itategemea ni njia gani anaitumia mtu....pengine ameamua kujifanya muislam ili iwe rahisi kwake kupotosha au iwe rahisi zaidi pia kutaka kujua zaidi maana kutokana na alivojifunza Quran kuisoma na kuilewa kwake kwa mtu ambaye hajui vzuri uislam ataamin kabsa kama huyo amza au askof amza ni muislam hvyo yeye na mungu wake ndo wanajua kama anapotosha au anataka kujfunza zaidi ...kwa haraka na kwa umakini ukiangalia ni kwamba anapotoshaa nionavo mimi
@@financialloan9818 Na kusema anasoma kitabu iko iko ni kweli kwasababu Yesu amezungumziwa kwenye Quran na ndio mada zote zinatakiwa zitumie Quran ndomana lazma atumie hiko kitabu ila tatizo linakuja katika kutafsiri hiyo Quran kwa ufasaha....na nikujulishe vizuri tu Quran imetafsiriwa na mtume tu sio mtu mwengne yeyote hivyo ukitafsir Quran bila kufata mtume alivyotafsiri basi utakosea kwahyo hao mashekhe wote dunian wanatakiwa wasome tafsir ya mtume ya Quran ili kuelewa na kuwaelewesha waumin wanaowangoza sio kutafsiri jinsi wao wanavyoona wao....Sasa kuna maeneo huyo Hamza au sijui Askofu amza sijajua jina sahihi ni lipi apo ...ni kwamba anajaribu kutafsiri Quran kwa maono yake ukishatafsiri hvyo unakosea na hautokua sahihi....KWAHIYO UISLAM INA TARATIBU NA MISINGI YAKE SIO TU MTU UNAKURUPUKA NA KUWAZA UNACHOWAZA NA KUKIFANYIA MAAMUZI UNAYOTAKA WEWE....UHURU HUO KWA MUISLAM WA KWELI HAUPO ...Ndio tofauti ya uislam na dini nyengine anajifanya muislam ila hayupo katika misingi ya uislam...
M, mungu amsamehe hamza kwan ajui alisemalo... Bora akasome dini ya kiislam asije kupoteza waislam.. Si vizur kuongea vit ambavy una hirimu navyo... Allah atupe mwisho mwema
msimamiz na mwongozaji Wa hicho kikao Upo making sana, nimependa sana Allah akuongoze kwanu una ( leadership skills))
Uhm
Luo and woman in uganda is
Hapo tuSheikh SHAFII huwa nakukubali akijitokeza tu mpumbavu yeyote kutaka kupotosha humuachi,ALLAH akujaalie INSHALLAH
Kinacho nisumbuwa Nikuti Kuskia Kiswahili Vizuri Inge kuwa kirundi Ninge Ellewa Vizuri Sanaaa!Ila nwashukuru sanaa!!
Mungu ni mwema n mnavokua mnajadili neno lake vaeni vtu vya rohoni so kubishana ki mwili....Mungu ni kherii
Asalam Aalaykum wa rahmatullahi wa barakatuhu shukran ma sheikh wetu kwa juhudi yenu ya kum elimisha huyo Askof hamza issa yeye ni mnafiki amechanganyikiwa tu huyo ni wakutibiwa. Hakuna Haja ya kuhojiana nae kuhusu ukweli wa dini maana ana maskio haelewe.
Sheikh Diwani ma sha Allah , Allah awalipe jema kwa hilo mlifanyalo.
Huyu jama noma bora asije akapewa msikiti atowefatwa zake
Anapotosha umma
Huyu akionekana msikitini anatowa hutba apigwe nakora na ramadhani hii
Mashekh muko wapi wakini kishki na kipozeo na mzinge munamsikiya huyo
Na mazinge
Hamza ushindwe na uregee nguvu za mwenyezi mungu zikushukie Shekhe diwani mwenyezi akubariki akuzidishie kila la kheri na baraka hamza umenikera
Km unasoma coment na unaona hao wote ni wasanii😂😂 gonga like.
YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine Yeyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa
Isa ni na bee na ni muislam atakuja kama mmungu alivyosema mmungu ni mmungu wa mitume wotee wote ni mmungu ila binadam wanawatenganisha waislam wanamkubali kama mmungu alivyo sema isa bin mariam ni na bee
Yesu ni na bee na alie mleta duniani mmungu ni mitume wake wote hata ukiangalia wote ni wamoja na ndugu mana bee ibrahim ndio baba yao kizazi cha ishac na esmael na wote ni mashariki ya kati sio kwa wazungu inamanisha mmungu dini ni moja na alikamilisha kwa muhamad saw
Mungu akutie nguvu shehe Hamza
hata sisi tunaongalia na kusikia tunaangalia na tunaelewa mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe. hamza juuuuuuuuu tuuuuuuuuuu
Good shehe hamza,,,ukovizur sana,,,Yesu ndo atakae uhukum ulimwengu kkwa habar ya dhamb na hak,,,Yeye ni mtawala wa dunia yote
Kweli Yesu ni msindi.Bwana Hamsa Akili yako iko juu Sana.
Mnashimdana na mmungu mwenye mana bee wake isa ni muislam na Muhammad ni ndugu kwa ibrahim je wazungu hapo ni biashara na music kupiga hamna kitu Muhammad ndio alie kamilisha dini kwa Amir ya mmungu kumshishia gibriel na isa alimtabiri atakuja bada yangu Mfateni Kitabu cha isa wamekibadilisha cha ukweli na isa hajajenga kanisa you Brahmin ndio alie jenga alcaba kibla aliamrishwa na mmungu
Hata na bee sulaiman alijenga alagsa msikiti wa kwanza wa kislam
Jesus is over all things
Shekhar Hamza is a truly man of God:
1. Shekhar Hayek upended wowote anatafsiri ukweli wa dini,haswa mahali waislam wanapotea!
Msisahau city vya dini viliandikwa kulingana na Marsha na Swallah za karne izo more than 600 years back.
Kiukweli Maisha imebadilika unafaa utafsiri vitaly Vyadini kulingana na karne ama nyakati tulizo...
daaaah kweli shekhee Hamza unaongea points tupu,
Huyo sio Sheikh
Finaly it is happening. Masihi anakuja na hukumu ya kweli na haki wapendwa. Hamza nakubaliana na wewe sio kwa Ukristo jina au Uislam jina tu masihi is coming back.
"Abba Father"
waisram aminn Yesu atakuja kuuhukum ulimwengu ,nakama ndio,bac aminn kuwa Yesu ni Mungu ,kwakuwa mtoto wa binadam ni binada wanyoka ni nyoka.Na Yesu ni mwana wa Mungu bac aminn kuwa mwana wa Mungu ni Mungu.
Pia yy ni mtoto wa mariyam na maryam ni binaadamu basi naye ni binaadamu
Huyo Yesu Kristo ndie nyinyi mumkubali kuwa mwokozi wenu, inatosha.
amza amka usiku uswali sunti tasbihi umuombe msamaha mungu 😂😂😂 duuuuh hyu pesa zinampotosha
Huyu hamza nja inamsumbua kwaza ape we chakula
muna seif Yesu ndiye njia na mwokozi wa ulimwengu
Xubuhanaallah
Hamza ni kafiri Tena dajaal miongoni mwa madajal 30
Hamza amenunuliwa subhanallah tusomeshe watoto wetu wamjue Allah
Mwenye Elimu Utamjuwa Ata Kwa Muonekano Tu. Sheikh Diwani Weye Ni Mwenye Elimu Kubwa Kuliko Huyo Mganga Njaa Hamza. Ufafanuzi Wako Tu Na Unavyoyapokea Maswali Ya Hamza Unaonyesha Kabisa Yakuwa Weye Ni Mwenye Elimu. Allah Akulipe Kheri.
Hamza anauliza very critical ,maswali ,Hamza hawa watu hawatakuelewa elimu yao ndogo sana ,ndiyomaana hawana majibu ,
Njoo ww basi
asante sheikh, bora umtoe ujinga sheikh mwenzak
Yesu kristo ndio mkombozi full stop
Isack Baton ndungu yangu chambuwa qurani na bibilie usimzikile mtu wala askofu alafu utajuwa ukweli
hamza songa mbele.. amin unachoamini wasioamini bdo Muda wao haujafika na wao IPO Siku mungu atawafungua watambue ukweli ni upi...
HUYU MSHENZI HAMZA KAMA HUJASOMA UNAHISI KAMA ANAONGEA POINT
Mwenyekiti unatumia muda mwingi sana unarudia sana maneno punguza ufafanuzi
We pumbavu Mtume siyo mwislam wa kwanza. Qur’an inasema Uislam ulianza tangu Adam. Qur’an, 22:78.
Abdillahi Kitota X
acha kujidanganya
Kitota Abdillahi acha kupanik kwan ungesema umeanza tangu Adam!
tupe aya
Mwajuma Fadhily haha ati Adam hahaha uwiii! Nacheka. .. blind follow the blind.! Pharasee!
Allah awaifazi ma Shekh wetu Allahum ameen 🙏
Kati ya wote HAMZA ndio msomi kuliko wote
Kwer
Kijuu Borongo exactly
Sheikh Diwani umetisha sana Jazaakumullahu khairan 🙏
Allah alisema Qur'an atailinda yeye mwenyewe.
issue moja nakubaliana na huyu bwana ni kwamba dhiki tulonayo waislam nikuondokewa na utukufu wetu ambayo ni Al-khilafah.Hii lazima tujikakamue kuirudisha ismamie maisha yetu!
Bahati nzuri hapo hakuna mkristo hata mmoja ni ninyi kwa ninyi. Mtakuja kwa Yesu mmoja mmoja.
YIRE TV Mwl Boniface Mwamafupa hahahahahahahahahaha kabisa
hiyo ni mada tu
Nabado wanapata kumjua sawa sawa yesu kristo
Utasubiri saana Uisilam ndo dini ya kweli kabisa
Nawasiwasi na tafsiri zetu sisi wanadamu. Mimi naimani ninachokiamini ambacho Mwenyezi Mungu ananifunulia nikifuate. Basi ninapokosa Yeye ndiye mwenye kunisamehe na ndio mwenye kunihukimu.
yesu ni bwana ndiyo atakuja kukomboa ulimwengu
Kesho au
innalilahi wainnailahi rajiuuni wakristo sio ummati Muhammad?????? we hamza achakuadanganya waikristo
Tatizo la baadhi ya waisilamu wanapenda mashindano hawataki ukweli anaowaambia Hamza
Amzaha yuko vzr hao wanachobishana nikukupinga kuwa ww sio nabii je mungu siku akija utamjuwa
Hmn nabii kwa sasa musidanganyane kanisani na nguvu zenu za giza hizo
Hapa Bahati Mbaya Mwenyekiti upeo wake Mdogo Sana.
😂😂😂 hamisi lee wanichekesha wallah yani sijui uyo amza anatafuta kiki au akilizake aziko sawa wallah mtihan
Fatwima Makungu huyu mtu anaikili tena sana. Mi nadhani anatumiwa kukoroga waislamu kwasababu wamemuona yuko very INTELLIGENT. Kwasababu maneno anayoyaongea kama mtu hana ilmu ya QUR'AN vizuri Wallah anaeza kumkubali huyu jamaa. Lakini Alhamdulillah kuna masheikh wasomi ambao wako makini kabisa katika kukabiliana na watu kama HAWA.Insha Allah Mungu awaongoze na awape umri mrefu masheikh.
Fatwima Makungu
Qur'an imejitosheleza mungu ameeleza haina shaka hamza umepotea rudi kwa allah subhanna
Ukweli utabaki kuwa ukweli mm ndiyo nuru ya ulimwengu aniaminiye na kunifuata atapata uzima wa milele Yesu ndiye nuru na uzima
😐pole sana mbona nyinyi mloo na uzima wa milele mbona mwafaa?
Uzima uelezwayo sio uzima wa hapa duniani. Wote tutakufa ila kule tutakakokwenda baada ya kufa ndiko kwenye uzima wa milele endapo utakuwa umempokea Yesu kama ni bwana na mwokozi wako.
Inna hillah wa innallilah hamna yesu atakae wapoke katika kabuki ndungu tulikuja kwa jalia na tutarudi kwa jalia utakayo yachuma ndio utakayo kwenda nayo hamna atakae kutetea wala ukifa hauonani na mtu yoyote isipokuwa malaika peke siku ya kukutana ni siku ya malipo na pia mola wetu mlezi hazidishii mtu dhambi yote utakayo yapata kwenye hesabu yako kumbuka umeachuma mwenyewe wala yesu haja watuma na atawakana madai munayo zusha kwa sasa
@@janetsemahimbo8083 mungu pekee ndo atakupa uzima wa milele yesu hana uwezo huo hakuna musilaam utakaemdanganya upo yesu ni mtu kazaliwa kama ww waongo wakubwa nyie
Frederick ilikuaje sasa yesu akapigwa misumadi nanyundo ?
Yesu alikua fala tu hata watu wake wakaamua kummaliza AMA issa yy aliku nabi wamungu
Yesu ni JIBU na atarud duniani............ Tuwe tayari.........
Atarudi kwa ajili ya wale walie muacha mmungu na kufata wasio kua mmungu na atakuja kuipinga ukristo kwankuwambia yy sio mmungu mmungu hajazaliwa yy ni nibaee na atakua na mana bee wenzake wa ukweli sio picha za mcheza cenema
nampongeza sana askof hamza kwa kutaka tambua ukweli
Innalilah waina illah raajiun, njaa mbaya jmn duuh! Shukran mashekhe mlotoa ufafanuz kwa hao watumikaj, ila nmetaman Ostadh Mazinge angekuwepo hapo.
Amnza Yupo Safi namkubali Sana
Hujielew inaonekana
Wallahi dini yakiislamu ingekuwa yakukopi ingeshapotea zamani naona watuhawalali mpaka Quran, feki wanatoa lakini wapi kweli kafili nikafili tu
Wachana nao !God will come to jugde !!!!were doomed
Mwenyezi Mungu akutie nguvu na akusimamie Askof Hamza!!!
Mungu alizungumza na manabii na baba zetu ktk agano LA kale ila zama hizi amezungumza nasi kupitia Yesu,hata mlimani alipogeuka sura,Mungu aliwambia wanafunzi wake wamsikilize Yesu,ndiye aliyepewa kutawala na kwa damu yake ametununua.Nabii Hamza Issa ana ujumbe wa kuwakoa waislaumu,msikilizeni msimpinge na hata kama unapinga,wewe unamjua Mungu alivyo? soma yohana 14:1
lengo la kuitwa Hamza ni kupigwa msasa unadhani atauchafua uislam atazamwe? sisi sio wakristo kila mmoja kaisoma dini
Sana
alah atupe njia ya kweli dini na viongoz wetu watatupoza kwakuupinga ukweli
Haitaji kuchafua uislamu bali anahitaji kuitoa kweli iliyopo ili kila mtu awe huru nayo.
Haaa!haaa!.Kweli hakika kwa Yesu kila goti litapigwa,Shehe Hamza Mungu atakubariki mpaka ushangae,Kwanza waisalam mna makosa makubwa mno,kwa kumtukuza Muhammad badala ya nabii Issa,,,Qur an yenyewe imethibitisha ukuu wa nabii Issa(yaani Yesu Kristo)Unaambiwa kwenye 3:45 Qur an Yesu kristo ana mamlaka mbinguni na Duniani,Waislam nini tena mnataka badala ya kuja kwa Yesu,Shehe Hamza Eliasa God bless u for explain afficil report of Jésus,.😀😊😀😊😄😁😊😂😇😄😁😀.
Yesu alipokuwa matumboni mwa mamake , nani aliongoza dunia? Kama Yesu (mungu) alizaliwa je alikuwa akinya na kujikojolea ovyo ovyo.
Je mtumewenu mzinf
kila atakalo lifanya alikua anaongozwa namajini je atakua nimtume uyo au jin
Hata daso alifungiwa alijinyea na kujikojolea kama mm hapa
Steven Titus
mtume hakuwa mshrikina nyiny mnafundishwa kuuchukia uislam ,,ndoman ulay wameujua ukweli kla kkicha wanaslim
@@hansiselemani8025 ulaya unapajua wewe ulaya ktk nchi gani ulaya ni bara .. nimeishi Austria ,Salzburg makanisa nimengi zaidi misikiti unaesabu kwa tochi labda Uturuki kwa ndugu zenu najua hiyo ulaya yako Amerika na Asia na maisha yangu nafanya japan auniambi kitu ... Baadhi ya nchi za ulaya wakimbizi ndio wanakuja na mambo ya kislamu unayumba wewe ... Mnayumba na majini kila kukicha
kiu yangu natamani nyote mliokaa hapo mmkabidhi Yesu awe mwokozi wa maisha yenu maana hapana aliye muona Mungu pasipo ueye
Mnamacho lakini hamuoni mna masikio lakini hamsikii kusema yesu Ndio Kristo iliwagarimu mitume kifo
Hamza upo sahihi100%
mwenye kuelewa ameelewa ila Yesu atadumu Milele na Milele
gabriella isack Amen
Yesu yup unamjua ww
Amina baba
Allha s.w awapanye hamjui mliongealo
Amin akuna alie kawa yesu kristo
Mashaallah i love my religion
Alhamdulillah. But to be honest the chairman was not at all fair. The rest is ok. That false prophet can only fool Christians and some very weak Muslims.
Mi kwa Rai yangu naona ndugu diwan unapoteza mda wako
Haujamuelewa that's y
Amza yupo sahihi sana lazima utafakari neno ra Mungu kwamaarifa ario tujalia
Kaburini mtu ikifa hajui lolote yupo amelala anamgoja hukumu siku ya kiama.
Nimependa nguvu ya Yesu inavyowapa taabu ad mnabishana niny kwa ninyi
Kwanza huyo sio katika sisi, pili huyo ni tapeli tu. Search video hii: cWDMDx62DRI
Copy hizo herufi halafu search kwenye TH-cam au Google.
Rafiki Hamza unaufunuo nzuri sana lakini haitakufaidi kwasabu unahubiri Kristo lakini umekataa kutoka gizani (uislamu).Uislamu ni ushetani kwasabu tazama jinsi ibada hiyo ilivyo ya kidhambi, wanaua kwasabu ya imani hiyo ,wanapenda waislamu pekee nakuchukia wakristo,wanatukanana bila kuogopa mungu pamoja na mambo yaushirikina (majini).
my friend believe in Christ and be saved .AMEN.
Subiri ufe ndiyo utaelewa Uislamu ni ushetani
😂😂😂😂nicheke na yesu wangu mm
Yuko wapi?
Sialikimbia kicapo
Huwezi kumuelewa yesu kama unaabudu mapepo
@@lucasgasper5235 nawew huwezi kuwa naakili km unaabudu kiumbe mwenzio
Mnapoteza muda kwa ujinga kama huo mungu wetu sote, yesu ni nabii tu
Mnamtukuza na kumuabudu Yesu/ Issa na kumsahau aliyeumba mbingu na ardhi, aliyeumba viumbe vyote duniani. Unafikiri ni kwanini kulikuwa na Mitume tofauti, kazi Yao ilikuwa ni ipi? Ujumbe mkubwa ni kuacha kuabudu mnavo abudia ili Tumuabudu Mwenyezi Mungu pekee.
Sheikh Diwani upo sahihi kabisa na auwez kuwa na Iman thabiti bila mitihani
mashekh uyu hamza katumwa sio bure
Sioni majibu hapo
Na auwez kuwa muislam bila kuamini kwa moyo mmoja na hoja nyingi ndio alizowasihi mtume(s.a.w) maswahaba wake kuwa wanaweza kukufuru ka kaumu zilizopita. Waislam atupaswi kuhojihoji Sana
Mwenye kuelewa ameelewa waislamu mkubaliane na ukweli jamani ukweli utabaki ukweli
Ibrahim bakozi uko juu
Mpaka hapo huyi Hamza hayuko sawa kwa sababu Elimu inayotolewa hapo hata mtt mdogo angeelewa yy hajijui masikini yuko dini gani lkn kwa mujibu wa imani yake sio muislamu tena. Itabidi akae tena upya atafakari.
Tom Mariam huyu katumwa itakua si muislam kabisa
Yaani sijui haoni huu utukufu wa ALLAH! Maana M'mungu anatisha ktk qudra zake yaani ni msiba Mkubwa sana.
Abeid Abbas si ana vielementi vya kikafiri ktk wazazi wake mmoja si muislam lzm awe na wepesi wa kufanya machafu lkn kuna siku atajuta itakua ameshachelewa masikini!
Tom Mariam mwenye kt apendelea mskilizen amnza sipia atoa kwenye msaafu nyie vp
stevin titus mkorea asijaribu ataumia hayana kazi za kufanya haya kazi kuzaana tu ndio mana mungu kayanyima ufahamu badala yasome yanakazi yakutaficri lugha za wa2 zakiarabu manyumbu wakubwa hawa
Huyu Kikofia hajui hata Nahau, la nafiya na la nahiya hajui, huyu hakuja kwa hoja, amekuja madrasa, Sh. Diwani mfunze huyu kijana ilmu yake ni pumba saana, yuwabobokwa tu Hana ilmu yoyote. Hamza rudi ukasome bro uache ubishi, utaenda motoni ww, Sh. Diwani Allah akujazi kheri!
Yesu ni njia kweli na uzima ,alafu diwani anasema Yesu atarudi kama mtu ,hv kweli unaakili ,una tope ,alafu mwenyekiti simama kama mwenye kiti ,
Dennis Mataula elewa msingi wa maandiko
Yesu ndie njia!
Ww si muislam hayakuhusu haya ww baki na yesu wako kumuona ni mengi
Dennis Mataula Kweli uko
Dennis Mataula.Kwani Yesu atarudi kama nani kimawazo yako? Duhh hatari!!!!!.
Mwenyekiti nimbea avutia upande mmoja mkubalin Isa bn mariam
Hamza okoka umfuate Yesu, anakupenda sana.. Achana na usanii wa dini maana unaishi hapa tu. wala Mohammad si Mtume, ni mtu tu na mwenye dhambi anayesubiri hukumu. Yesu ndo atahukumu kila mmoja, wanaopinga watasaga meno
atamfata vip nabii wa wana Israel makabila 12 hakuna kabila hta moja African miongon mwao
Ww kafiri achana Na Muhammad .alaf angalia sana kwaza yesu nidudu gani
Issa au yesu ni mtume wa Israel sasa ukristo sio dini maana wakatoliki wao Roma sijui wainglikana sijui marekani wasabato sijui uiengereza sasa hiyo dini gani na badala ya kukufuata Israel na sio Roma itali au marekani
uyu si mwislam kabisa Wala asihangaike watu tunaimani uyo mwacheni iyo Vita niyake namwenyezi mungu Allah amnusuru Inshallah
TUMKIMBILIE YESU MAANA NDIO NJIA SAHIHI, TUIFUATE BIBILIA MAANA NDIO NENO LA MUNGU
Njoo
wewe mwenyewe huijui bibi lia unafata mkumbo tu naushabiki
Yesu ndio njia ya uzima
@@tomjuma7679 😂😂😂😂😂😂😂tumulize yesu eti ww njia ya kwenda wapi
@@salmaothman153 Yemeni 😅😅
Yesu no mshindi
wallah waislam tusomeni tutapotezwa
asma binti kiwasha nyinyi waisilamu mtaenda motoni
Evans Okemwa Ww mwenyewe waabudu mtu Yesu ndio utaenda motoni umesahau alie kuumba ww na huyo yesu bin mariam.
haswaaaa
Yesu ndiye njia na mwokozi wa ulimwengu
asma binti kiwasha NIKWELI DADA YANGU