Alafu ndugu zetu wa lamu mnapenda sana kujikuza, yani hao watanzania mpaka wampigie goti huyo mgunya ndio watajua kusoma!!!??? Mbona una madharau sana mgunya wewe...
Ww chizi ilimu mulikua mukitoka tz kuja kutafuta ilimu lamu hata wagunya pia walikua wakija lamu kutafuta ilimu sasa ww huna ujuwalo ni ujinga tu na hakuna mgunya ni wabajuni lamu waswali na warabu kama hujui na masharifu wako lamu baki na uhasidi wako
@@mohammedsuleiman1555 kazi yenu kushambulia watu wa sunnah kwasababu wanapinga bid, a mbali mbali mnazo fanya, lkn mashia wanaolinga utume wa mtume wanapinga qur, aan wanatukana maswahaba wanawatukana wakize mtume Hilo hiliwashughulishi kwasababu Hao mashia ndio sponsa wa maulidi zenu😂
Ikiwa kumtukuza mtume swalla llahu aleihi wasallam ni kufanya maulidi basi kwa kweli maswahaba hawakumtukuza mtume swalla llahu aleihi wasallam. Nyinyi mumewashinda maswahaba.
Na mtume s a w alisema kuwambia maswahaba kutakuja vipenzi zangu maswahaba wakamuliza ni nani vipenzi zako zaidi ya sisi maswahaba mtume s a w alisema nyinyi ni maswahaba zangu vipenzi zangu niwale watakuja hawakunikuta mm mtume s a w wakaniamini ndio mana twamtukuza
Ndugu yangu mtume salalahu caleyhi wasalam alifunga saum siku ya kuzaliwa kwake ambaye ni jumatatu..na haku amrisha masahaba kusherekea wewe kama unampenda mtume salalahu caleyhi wasalam mbona unalifanya katika dini jambo ambaye hajalifanya
Sie tunafunga lakini pia jua tafauti ya kusherehekea siku na kumtukuza mtume sie tunasoma maulidi twamtukuza mtume na hio ni taarif ya maulid kisheria kasome katika اعانة الطالبين
@@khalidhemedabubakaralhasan8825 ndugu yangu nikulize jee mtume salalahu caleyhi wasalam si alikuwa na habari na siku yake ya kuzaliwa? Ndio je mbona hakuamrisha maswahaba kusherekea??? Na hata kutukuza hiyo siku kwa kusoma seerah yake? Mtume salalahu caleyhi wasalam anafaa kutukuzwa kila siku na kufuatwa kila siku apana siku moja katika mwaka mzima mwogope Allah usizushe katika dini ya
Inasikitisha sana unapotembelea comments za waislamu wa madhehebu tafauti wanajishuhulisha zaidi na tafauti ziliyoko kati yao kuliko yale wanayokubaliana ...hali unachangia pakubwa kuwapa nguvu wasiokuwa waislamu kuendelea kuitawala hii Dunia kwa mfumo ya Ibilis na shetani ...hata hii mitandao ni ktk silaha zao wanazozitumia kuwashughulisha waislamu kujenga uwadui baina yao ili zidhofike nguvu zao za waumini wa hii Dini ya uislamu na lakisikitisha zaidi kuopalilia hii fitna ni mashekhe wengi waliusoma huu uislamu kwa njia ya urathi tu na juju ndiposa hawaoni thamani ya waislamu kuwa kitu kimoja kabisa ...ilihali Allah(sw)kashasema قال الله تعالى في كتابه العزيز وهو أصدق القائل وقوله الحق ((بسم الله الرحمن الرحيم )) وَٱعْتَصِمُواْ بِحَبْلِ ٱللَّهِ جَمِيعًا وَلَا تَفَرَّقُواْ ۚ وَٱذْكُرُواْ نِعْمَتَ ٱللَّهِ عَلَيْكُمْ إِذْ كُنتُمْ أَعْدَآءً فَأَلَّفَ بَيْنَ قُلُوبِكُمْ فَأَصْبَحْتُم بِنِعْمَتِهِۦٓ إِخْوَٰنًا وَكُنتُمْ عَلَىٰ شَفَا حُفْرَةٍۢ مِّنَ ٱلنَّارِ فَأَنقَذَكُم مِّنْهَا ۗ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ ٱللَّهُ لَكُمْ ءَايَٰتِهِۦ لَعَلَّكُمْ تَهْتَدُونَ، Maneno haya Allah(sw)amewaelezea waislamu walokuwepo enzi za mtume(saww)ungali hai hata kabla hajaaga dunia Uislam ulikuja kuwakuya Bin Adam wapo kwenye ujinga ambao imewaletea aina zote za uadui...ukiona jamii inajishuhukisha sana na tafauti zao basi ni dalili ya ujinga umetawali jamii hiyo na matokeo ni kuporomoka ....
@@abdallasalim4104 Swadaqta. Jazaka llahu lhairi. Ni kweli kaka yangu yaani saiv imekuwa sisi waislamu wenyewe kwa wenyewe kugombana na kutiana motoni.
Mimi nasema Ni sunna,manake kwa somwa qur'an,kwa swaliwa mtume,kwa tolewa mawaidha,kwa tolewa swadaka ya chakula,kwa hitimishwa kwa dua,jee yote hayo si sunna?kataa hilo ukufuru.
Maulidi ni kheri au ni shari? Ikiwa ni kheri, kheri hiyo aliijua mtume swalla llahu aleihi wasallam au hakuijua? Ikiwa aliijua, je aliifanya au hakuifanya? Ikiwa aliifanya tunaomba ushahidi, na hamna!!! Ikiwa hakufanya, waonaje umemtangulia mtume swalla llahu aleihi wasallam katika kheri ukaijua wewe na kuifanya wewe na yeye hakuifanya!!! Wacheni ubabaishaji wenu!!! Dini ni inayotoka kwa Allah wala sio fikra zako. Na kumheshimu na kumtukuza pia tumefundishwa katika sheria wala sio kwa kuzua!!!
Acha makelel yako humu ukiwatukana wanawazuoni utakuwa kichaa maan shkhe kusoma hajatoa kichwani mwake sasa ukitaka kupinga wapinge hao walio tunga vitabu kama una elimu kuwashinda wao
MSOME MNAPOTENGENEZA SENTESI ZA. KUPINGA JAMBO,SASA MTU ANASEMA ETI MAULIDI NI BIDAA;MAANA YAKE SIKU YA KUZALIWA NI UOVU NA UZUSHI,DUH! KUMBE MTUME AMESHUSHWA KUTOKA MBINGUNI??
Mashallah ustaadh kusoma Barka yetu allah akupe umri mrefu ummah ustafeed yaa rab
masha allah ya shekh tutasoma maulid mpka kufa kwetu
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم
MASHA ALLAH 💚💚💚💚
Suratl Maidah Ina Aya 120
Naam nisunnah
Mashallah nakubali
Mashallahu wafundishe hao mawahabi japo hawaelewi ila ipo cku wataelewa hao watoto wa bachu
Mtusifun sana bwana mtume
Ukitaka kujua kua ni sunnah jiulize lipi katika maulidi linalofanyika ambalo halijafanyika zama za mtume
Aya ya mwisho kwenye suratul maadah ni Aya namba 120
Alafu ndugu zetu wa lamu mnapenda sana kujikuza, yani hao watanzania mpaka wampigie goti huyo mgunya ndio watajua kusoma!!!??? Mbona una madharau sana mgunya wewe...
Ww chizi ilimu mulikua mukitoka tz kuja kutafuta ilimu lamu hata wagunya pia walikua wakija lamu kutafuta ilimu sasa ww huna ujuwalo ni ujinga tu na hakuna mgunya ni wabajuni lamu waswali na warabu kama hujui na masharifu wako lamu baki na uhasidi wako
Lete aya acha pumba
Mashia hata siku moja hamwasemi😂😂😂
Duùùu
@@mohammedsuleiman1555 kazi yenu kushambulia watu wa sunnah kwasababu wanapinga bid, a mbali mbali mnazo fanya, lkn mashia wanaolinga utume wa mtume wanapinga qur, aan wanatukana maswahaba wanawatukana wakize mtume Hilo hiliwashughulishi kwasababu Hao mashia ndio sponsa wa maulidi zenu😂
@@banihashim5347umekosea nyie ndio munawakufurisha watu wa mawlid kwa hio lazma mutajibiwa na mutafundishwa.na hao mashia pia twatahadharishana.
Ah huyu mt anaongelea nyuso znazo ngara zifatwe jaman sio sunna na quran
Ikiwa kumtukuza mtume swalla llahu aleihi wasallam ni kufanya maulidi basi kwa kweli maswahaba hawakumtukuza mtume swalla llahu aleihi wasallam.
Nyinyi mumewashinda maswahaba.
Na mtume s a w alisema kuwambia maswahaba kutakuja vipenzi zangu maswahaba wakamuliza ni nani vipenzi zako zaidi ya sisi maswahaba mtume s a w alisema nyinyi ni maswahaba zangu vipenzi zangu niwale watakuja hawakunikuta mm mtume s a w wakaniamini ndio mana twamtukuza
Ibni kathir hayo aliyasema wapi ndugu yangu? mbona unawazulia maulamaa uwongo
Bidaa kwako unae tumika watu
Ndugu yangu mtume salalahu caleyhi wasalam alifunga saum siku ya kuzaliwa kwake ambaye ni jumatatu..na haku amrisha masahaba kusherekea wewe kama unampenda mtume salalahu caleyhi wasalam mbona unalifanya katika dini jambo ambaye hajalifanya
Mtume kutofanya jambo kunaitwa
الترك
Sio
التحريم
Nenda ukasome
@@mussaissa6796 kk الترك katika jambo la ibaada na Kuna tark katika Mambo ya aada enda ukasome ndugu yangu
Ww wafunga hiyo sunna?
Sie tunafunga lakini pia jua tafauti ya kusherehekea siku na kumtukuza mtume sie tunasoma maulidi twamtukuza mtume na hio ni taarif ya maulid kisheria kasome katika اعانة الطالبين
@@khalidhemedabubakaralhasan8825 ndugu yangu nikulize jee mtume salalahu caleyhi wasalam si alikuwa na habari na siku yake ya kuzaliwa? Ndio je mbona hakuamrisha maswahaba kusherekea??? Na hata kutukuza hiyo siku kwa kusoma seerah yake? Mtume salalahu caleyhi wasalam anafaa kutukuzwa kila siku na kufuatwa kila siku apana siku moja katika mwaka mzima mwogope Allah usizushe katika dini ya
Maulid jee ni sunna?
Maulid ni jina bid'a,lakini yanayo fanywa ndani ya maulid ni sunna tupu.
Inasikitisha sana unapotembelea comments za waislamu wa madhehebu tafauti wanajishuhulisha zaidi na tafauti ziliyoko kati yao kuliko yale wanayokubaliana ...hali unachangia pakubwa kuwapa nguvu wasiokuwa waislamu kuendelea kuitawala hii Dunia kwa mfumo ya Ibilis na shetani ...hata hii mitandao ni ktk silaha zao wanazozitumia kuwashughulisha waislamu kujenga uwadui baina yao ili zidhofike nguvu zao za waumini wa hii Dini ya uislamu na lakisikitisha zaidi kuopalilia hii fitna ni mashekhe wengi waliusoma huu uislamu kwa njia ya urathi tu na juju ndiposa hawaoni thamani ya waislamu kuwa kitu kimoja kabisa ...ilihali Allah(sw)kashasema
قال الله تعالى في كتابه العزيز وهو أصدق القائل وقوله الحق
((بسم الله الرحمن الرحيم ))
وَٱعْتَصِمُواْ بِحَبْلِ ٱللَّهِ جَمِيعًا وَلَا تَفَرَّقُواْ ۚ وَٱذْكُرُواْ نِعْمَتَ ٱللَّهِ عَلَيْكُمْ إِذْ كُنتُمْ أَعْدَآءً فَأَلَّفَ بَيْنَ قُلُوبِكُمْ فَأَصْبَحْتُم بِنِعْمَتِهِۦٓ إِخْوَٰنًا وَكُنتُمْ عَلَىٰ شَفَا حُفْرَةٍۢ مِّنَ ٱلنَّارِ فَأَنقَذَكُم مِّنْهَا ۗ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ ٱللَّهُ لَكُمْ ءَايَٰتِهِۦ لَعَلَّكُمْ تَهْتَدُونَ،
Maneno haya Allah(sw)amewaelezea waislamu walokuwepo enzi za mtume(saww)ungali hai hata kabla hajaaga dunia
Uislam ulikuja kuwakuya Bin Adam wapo kwenye ujinga ambao imewaletea aina zote za uadui...ukiona jamii inajishuhukisha sana na tafauti zao basi ni dalili ya ujinga umetawali jamii hiyo na matokeo ni kuporomoka ....
@@abdallasalim4104 Swadaqta. Jazaka llahu lhairi. Ni kweli kaka yangu yaani saiv imekuwa sisi waislamu wenyewe kwa wenyewe kugombana na kutiana motoni.
Mimi nasema Ni sunna,manake kwa somwa qur'an,kwa swaliwa mtume,kwa tolewa mawaidha,kwa tolewa swadaka ya chakula,kwa hitimishwa kwa dua,jee yote hayo si sunna?kataa hilo ukufuru.
Mawlid maanake nini?ili tujue ni sunna au la
Hayo yote unayo yazungumza hapo huya egemezi katika dalili, na mengine hapo umeya chomeka tu, sio mahala pake
Maulidi ni kheri au ni shari?
Ikiwa ni kheri, kheri hiyo aliijua mtume swalla llahu aleihi wasallam au hakuijua?
Ikiwa aliijua, je aliifanya au hakuifanya?
Ikiwa aliifanya tunaomba ushahidi, na hamna!!!
Ikiwa hakufanya, waonaje umemtangulia mtume swalla llahu aleihi wasallam katika kheri ukaijua wewe na kuifanya wewe na yeye hakuifanya!!!
Wacheni ubabaishaji wenu!!!
Dini ni inayotoka kwa Allah wala sio fikra zako.
Na kumheshimu na kumtukuza pia tumefundishwa katika sheria wala sio kwa kuzua!!!
Acha makelel yako humu ukiwatukana wanawazuoni utakuwa kichaa maan shkhe kusoma hajatoa kichwani mwake sasa ukitaka kupinga wapinge hao walio tunga vitabu kama una elimu kuwashinda wao
Lau tutafanya mizani ya haki iwe quran sunnah na vitendo vya maswahaba Sheikh tusicheze na dalil .maulidi ni bidaah
Ni kitabu gani
Ambacho kimetungwa na Mtume au maswahaba
Ambacho wewe ndicho unatoa hizo dalili unazodai kuwa unafuata.
Mmh! Bidaa kwako tu,,, wewe wafanya vingapi vya bidaa?
MSOME MNAPOTENGENEZA SENTESI ZA. KUPINGA JAMBO,SASA MTU ANASEMA ETI MAULIDI NI BIDAA;MAANA YAKE SIKU YA KUZALIWA NI UOVU NA UZUSHI,DUH! KUMBE MTUME AMESHUSHWA KUTOKA MBINGUNI??
Huyu amuaibisha Sheikh lake
Kusema
Fiylu mathi marfuu