Marhabaaaaaaaa Unasomeka vyema sana mwamba wewe ni jiwe kubwa,,,,,, Lakin kua makini hao unao watoboa na huo uongo wao hao mawahabi ni matawi ya mayahudi kwahio usile nao wala usinywe nao kwa usalama wa maisha yako.
Waislam, Mkitaka uhakika wa kila linalo wakwaza njooni kwangu. Masheikh, wanazuoni,, na wengine wote na madhehebu yote. Mimi nasoma habari zinazotokana na mbinguni moja kwa moja. Ila siwalazimishi. Ila yanayokuja mjuwe ndiyo yatakayo walazimisha. Nayo ni mwelekeo kuwa ile safari yetu imekaribia. Mimi si mwanafunzi wa yeyote miongoni mwao wanafunzi wenu. Ila ni HAKI INAYOKUJA KUITETEA HAKI ILI WATU WAIJUWE HAKI, PASIJE KUWA NA HOJA SIKU HIYO MBELE YA MOLA WETU KUWA HATUKUJUWA. Napatikana Toangoma Block 13 Plot 76 Mtaa wa Upendo No. 11.
Wacha KUTUKANA kama huwezi sikiliza fuatilia Vitabu huwezi Wacha uchoko we vipi wafananisha bangi Na Suna yaani hii katika MITANDAO itakaa Hadi Kiama labda ufute ila kesho utaulizwa
Wenye akili timamu hawawezi shawishika na maneno hayo ,bali haki itabaki kuwa haki,alie zoeya kucheza Miziki na ngoma ndio anaweza shawishika, lakini haki ixha tambulika kitambo, uzuxhi utabaki kuwa uzuxhi,
@@user-lo1ui8tb6b Km nyie mnavyojibu kwa chuki za kikhurafiy. Mm nimemuuliza ktk whatsapp kwa heshma na tawaadhui..na akaahidi atanijibu nami nikasema sawa shekh..lkn mpk leo hajajibu kitu Na hata ukimuuliza kuhusu vitab hajibu
Shekh idi nashukuru watowa huja bila kutukana nitakufwatiliza kuanzia sasa mngu akuhifadhi
Masha Allah sheikh endelea kutoa elimu Kwa mawahab
Shukran sheikh Muhammad eid.wallah Allah atakulipa.
Shekh letu ABUU IDD .. Zidi kubwaga NONDO ..
Alhamdulillah jazaka llahu khaira tunapata uelewa kidogo kdgo inshallah
Shukran shukran sanaa sheikh kwa ubainifu mzuri
❤❤❤❤ kwa ajili ya dini
shukrani sheykh.tunaomba ututajie namna gani tutapata vitabu hivyo
Marhabaaaaaaaa
Unasomeka vyema sana mwamba wewe ni jiwe kubwa,,,,,,
Lakin kua makini hao unao watoboa na huo uongo wao hao mawahabi ni matawi ya mayahudi kwahio usile nao wala usinywe nao kwa usalama wa maisha yako.
Ahsante sheikh Allah atakulipa na zitabakia hizi vizazi vitasoma
Allah akulipe.. yani nazidi kuwa mbali na hawa makafiri ( mawahabi )
ndugu yang nakuomba sana wacha kuwaita waislamu wezako makafir
Maashaallah
Uwahabi ni uasi
Alhamdulillah sheikh tunakuelewa vema kabixa
Waislam,
Mkitaka uhakika wa kila linalo wakwaza njooni kwangu. Masheikh, wanazuoni,, na wengine wote na madhehebu yote.
Mimi nasoma habari zinazotokana na mbinguni moja kwa moja. Ila siwalazimishi. Ila yanayokuja mjuwe ndiyo yatakayo walazimisha. Nayo ni mwelekeo kuwa ile safari yetu imekaribia.
Mimi si mwanafunzi wa yeyote miongoni mwao wanafunzi wenu. Ila ni HAKI INAYOKUJA KUITETEA HAKI ILI WATU WAIJUWE HAKI, PASIJE KUWA NA HOJA SIKU HIYO MBELE YA MOLA WETU KUWA HATUKUJUWA.
Napatikana Toangoma Block 13 Plot 76 Mtaa wa Upendo No. 11.
Tatizo unachelew sana kutoa mpaka tunasahau
Mashia hamna mpya nyinyi bana
Acha uchizi wewe. Sasa hapo kuna ushia?
Mungu ametuamrisha tusiitane majina ya kejeli kumbuka, dhambi kwako
Sasa wapi sheikh kaita majina ya kejeli wakati sheikh kasoma kitabu hilo jina la mawahabi lilivyo tumika
Unachoongea nikweli kabisa, Ila mawahabi wao ndo wakwanza kuwatukana wenzao.
Hakuna kejeli hapo. Hivyo ni vitabu
Mawahabi mupoo😂😂
Acheni kulazmisha mambo imetajwa kufunga we unasema kula
Hao hata kwenye uwahabi wamepitiliza hao nimayahudi wao na wafuasi wao.
Hivi kusema shekhe bangi ziko kichwani n katika sun pia,,
Wacha KUTUKANA kama huwezi sikiliza fuatilia Vitabu huwezi Wacha uchoko we vipi wafananisha bangi Na Suna yaani hii katika MITANDAO itakaa Hadi Kiama labda ufute ila kesho utaulizwa
USO WAKE NAANZA KUBADILIKA
Soma vizur wewe muhamad idd
Asome nini sasa. Kwani hivyo sio vitabu vyenu?
Mawahabi akili zao ni mbovu wallah
Wenye akili timamu hawawezi shawishika na maneno hayo ,bali haki itabaki kuwa haki,alie zoeya kucheza Miziki na ngoma ndio anaweza shawishika, lakini haki ixha tambulika kitambo, uzuxhi utabaki kuwa uzuxhi,
Ndio mana tamta mana hajielewi watu wamekupuuza
Soma hivyo vitabu kwanza ndio umuone sheikh hana maana
Tamta hawakumfukuza na mpaka leo ana wadhifa mkubwa pale Tamta .. na pia ana uongozi ktk kuiendeleza Tamta
"فهم الإنسان إذا كان له هوى"
mzee kafufuka tena
Utazikwa peke yako
Hoja Hizo tayari zimejibiwa kielimu.
Kwani hajaziona?
Ehe tufahamishe zimejibiwa vipi na nani
Mimi sijaona mwache aweke wazi kwakua ananukuu dalili kwenye vitabu vinavoaminika duniani
Sheik amewafunua MAWAHABI leo,dalili hizo hapo.
MAWAHABI sasa bisheni tena vitabu hivyo hapo,Kumbe uwahabi ni dhehebu!!
Mbona shekh watu wanaachana na maulidi, huoni kuwa yanaenda yakifa shekh.
Maulid huzidi na yataendelea kuzidi ilaa yaumil qiyaamah
Wala usijitie upofu
@@noorululaatv8973 huoni shekh kama yanakufa. Tunataka yaendelee lakini sioni dalili shekh
SIO kila kinachoongewa na shekhe ni sahihi kikubwa ni kuangalia namna walivyofahamu wema waliopita
Wema walopita ndo vitabu vinavotajwa hapo we fuatilia itikadi weka pembeni kwanza
MBONA KILA SIKU UNARUDIA HAYOHAYO TU?
Unaonyesha umesikiliza hapa mwanzo kisha ukawacha..
Wahabi atakaye jifanya haelewi hana akili kabisa
Bangi ulizo vuta bado zimo kichwani
miongoni mwa sifa za watu majahil ni kuwaona wasomi kama wajinga, tuzingatie hili tusije tukawa miongoni mwa hao.
Kumtukana si jawabu wewe ni mwislamu kua na akhalak mzuri
Mwisllamu haifai kumtukana mwislamu mwenzake mche mola wako
Na ww umekubaliwa na nani? Maana mtume ndio ka toa tazkia sio ww
Si umeshaambiwa bid-aa zinazogawika Ni bid-aa ki lugha??
Mbona huelewi WW Mzee?
Ama kisheria Hakuna mwanazuoni aliezigawa HATA mmoja.
Wewe kweli hata uelewa mbovua yani hadithi inasema kila bidaa ww unasema bidaa kilugha kwan hiyo bidaa kilugha ipo nje ya kila bidaa??
Wewe ni jahili wakiwahabi huna ujualo
Hawa watu wajinga hawatakuelewa@@abubakarhussein2186
SIO kila kinachosemwa na shekhe ni sahihi kikubwa ni kuangalia ufahamu wa wema waliotangulia
Mwambie asomee vizuri ibara
UMEOTOA NAMBA TUKUULIZE ALAF TUKIKUULIZA HAUJIBU
Mwauliza kwa chuki za kiwahabi
@@user-lo1ui8tb6b
Km nyie mnavyojibu kwa chuki za kikhurafiy.
Mm nimemuuliza ktk whatsapp kwa heshma na tawaadhui..na akaahidi atanijibu nami nikasema sawa shekh..lkn mpk leo hajajibu kitu
Na hata ukimuuliza kuhusu vitab hajibu
Kama utagundua HUYU Shekh amepuuzwa kabisaa kujibiwa Na mashekh Mana Hana jipya Ktk hoja
Mumemuogopa
Masheikh ni kwako kwtu sisi hatuwazingatii
Chukua hivyo vitabu alafu wapelekee mashekhe zako alafu wamjibu
Wewe amakweli unatakiwa upelekwe mirembe ukapimwe akili kama aliyozungumza sheikh si elimu
Sheik katoa dalili ya vitabu, MAWAHABI ni dhehebu kaziyao nikutikana wenzao.