MIRAJI | TUMKUMBUKE CHAMA KWA ALICHOTUACHIA | USAJILI VIONGOZI WAMEJITOA | JOBE SIO MAAMUZI MAGUMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 49

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 23 วันที่ผ่านมา +3

    Miraji Uwaga Akwepesh Yey Uwaga Ni Kutem Fact Tu🔥🔥

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 23 วันที่ผ่านมา +2

    Yani miraji bana et hakuna noma 😅😅😅😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hujawahi kufeli miraji mzeee wa minyoosho❤❤❤

  • @christinaKufakulala
    @christinaKufakulala 22 วันที่ผ่านมา +1

    Miraji chukuwa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉 wewe ni mtu na nusu 💪🏾

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile 23 วันที่ผ่านมา +2

    Wa pili like kwa miraji mara moja

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 23 วันที่ผ่านมา

    Oyaa hivi mwamba anajuaga jinsi anavyonikumbusha ngoma Kali zazamani kutoka kama kawa record

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 23 วันที่ผ่านมา

    Miraji Eeee, tarehe 8 tunawapiga hao utopolo niamini 🎉🎉

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 23 วันที่ผ่านมา +1

    Nakuelewa sana miraji,ila me niko pale nimetuliaaaa!!! Krismasi haifiki kuna mtu atatolewa kafara pale msimbazi. Yani ni kama msimu uliopita.

  • @AloyceNdalije
    @AloyceNdalije 23 วันที่ผ่านมา

    nakuerewa sana miraji tuko pamoja familia

  • @ahmadakhelef9650
    @ahmadakhelef9650 18 วันที่ผ่านมา

    marahii wkipita nyum tunapita hukohuko hakuingia vyumbani hatuingii mpaka kidleweke

  • @hammytototundu9292
    @hammytototundu9292 22 วันที่ผ่านมา

    Nimefanya sana kubadirisha radio dah

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 23 วันที่ผ่านมา +1

    mimi naeza washauri costal kimataifa waakikishe matampi na lawi wasiwauze na juma Shaban kama anakuja kweli atawasaidia ila nimeona game ya Leo wamecheza vby kisa awana first eleven Yao Ile ya msimu uliopita

  • @user-nh5ch4ur5x
    @user-nh5ch4ur5x 22 วันที่ผ่านมา

    hadi Dk 21:59 chagamba hajala makofi ya bega !

  • @clintonnyaluke1567
    @clintonnyaluke1567 23 วันที่ผ่านมา

    big up sana.

  • @user-hy6lh7cp1q
    @user-hy6lh7cp1q 23 วันที่ผ่านมา

    miraj nakubal sana bro coz unaongeaga fact bla kujal ushabk Yan unaweza kaka ungelkua kwenye media ingependeza sana

  • @FahiyeFarah6878
    @FahiyeFarah6878 23 วันที่ผ่านมา +1

    Miraji is a world class PUNDIT 👏

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 23 วันที่ผ่านมา

    Mara mmoja kama NOMA NA IWE😂😂😂😂

  • @Nuraty-oy1zy
    @Nuraty-oy1zy 23 วันที่ผ่านมา

    Miraji uko vzur cna unajua mpran kinoma

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 23 วันที่ผ่านมา

    Chama Baba❤😂

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 23 วันที่ผ่านมา

    Milaji ❤

  • @SumaEtoo
    @SumaEtoo 23 วันที่ผ่านมา

    Kak unalijua sana ball yan ungekua kwenye midia da tungekua tunafurah sana

  • @BubuallyMwakipesile-br8dc
    @BubuallyMwakipesile-br8dc 23 วันที่ผ่านมา +6

    Miraji wewe nimwamba na kukubali jembe ila wambie viongozi wawalinde wachezaji wetu pia Dua isomwe kwajili ya wasaliti plz plz

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 23 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @HajiSimai-pp9cm
    @HajiSimai-pp9cm 23 วันที่ผ่านมา

    Ndugu miraji unahabari gani kuhusu mpazu

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 23 วันที่ผ่านมา

    Toka nikufatirie Yani ongera sana

  • @williamissaya8091
    @williamissaya8091 22 วันที่ผ่านมา

    Miraji waambie viongozi wa Simba kwamba yanga Wana mbinu kubwa 5 za kuiharibia zimetumika muda wote Toka waanze kuchukua ubingwa wa miaka 3 mfululizo, Sasa Simba kama watazing'amua Basi yanga hawana lolote.

  • @pauljoackim2786
    @pauljoackim2786 23 วันที่ผ่านมา

    WATU WA MPIRA! HATARI SANA:

  • @AlfaKanasa-zv9fo
    @AlfaKanasa-zv9fo 23 วันที่ผ่านมา

    Miraji vs chagamba nguvu moja unyaman

  • @user-xe8uk1fs3l
    @user-xe8uk1fs3l 23 วันที่ผ่านมา

    Chagamba jeziza Simba zikitokitoka nambieni

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 23 วันที่ผ่านมา

    Chagamba, Tatizo je Simba ataendelea kuwa hyo nafasi ya kuanza stage ya pili.? chagamba

  • @ashrafumbawala
    @ashrafumbawala 23 วันที่ผ่านมา

    Watu wamaana kabsa hawa

  • @idrisakhalfan7025
    @idrisakhalfan7025 23 วันที่ผ่านมา

    Huna baya

  • @DM_15
    @DM_15 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani crown ya king kiba haimuoni chagamba na miraji siwaende wapige pindi laopale liwe pindi Lao pendwa ? King anafeliwapi . Anakazana kuokota okta waliotumika huko

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 19 วันที่ผ่านมา

    Tatizo ushabiki mtu wa simba akiongea ukweli au akiwasema viongozi wake mnafurahi nyie mbona hamsemi yenu

  • @realmalik3192
    @realmalik3192 23 วันที่ผ่านมา

    Kila Nikiangalia Kwa Usajili Tuliofanya Simba SC Nanusa Chuma 3 Anakufa UTOPOLO August 8 Japokuwa Wako Bora Sana #respect #nguvumoja

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 23 วันที่ผ่านมา

      Sawa in'shaaAllaah tunasubiri dakika 90'

    • @BibeLunangela
      @BibeLunangela 23 วันที่ผ่านมา

      Pole

  • @fadhilimrisho7804
    @fadhilimrisho7804 23 วันที่ผ่านมา

    Crip zenu ni nzuri ila nashauri muwe mnaweka fupi

  • @abdallahmwanga5792
    @abdallahmwanga5792 23 วันที่ผ่านมา +1

    Leo hii Miraj unasema shirikisho ni shindano kubwa,hatari sana aisee
    Pindi yupo yanga,uliponda sana...😂😂😂

    • @bkkomesho9272
      @bkkomesho9272 23 วันที่ผ่านมา

      Acha unafiki, leta hiyo clip aliyopinga

    • @florakasike4331
      @florakasike4331 21 วันที่ผ่านมา

      lini aliongea tofauti

    • @deonatusdaud4640
      @deonatusdaud4640 21 วันที่ผ่านมา

      Tuletee hiyo crp...kumbaffff

  • @elizabethsingano5922
    @elizabethsingano5922 23 วันที่ผ่านมา +1

    Wakwanz

    • @realmalik3192
      @realmalik3192 23 วันที่ผ่านมา

      kalale

    • @EmmaPallanjo
      @EmmaPallanjo 23 วันที่ผ่านมา

      ×1 ukweli simba Hadi Sasa hivi usajili tumeridhika nao ila mm binafsi natamani Elie mpanzu aje unyamani naamini kocha atakuwa na machaguo mengi vipi Kwa upande wako