#live

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 66

  • @ismailhamis2331
    @ismailhamis2331 8 วันที่ผ่านมา +9

    Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 8 วันที่ผ่านมา +5

    Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v 8 วันที่ผ่านมา +6

    Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 8 วันที่ผ่านมา +5

    Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊

  • @EmmanuelBukindu
    @EmmanuelBukindu 8 วันที่ผ่านมา +3

    Jamaa Yuko vzr

  • @JassonKagaruki
    @JassonKagaruki 8 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mwl zuber big up sana

  • @kayagahamisi572
    @kayagahamisi572 8 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani

  • @omarMchoya
    @omarMchoya 8 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo jmaa yupo very Very point san

  • @NTUSOTV-xx8qe
    @NTUSOTV-xx8qe 8 วันที่ผ่านมา +3

    Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 8 วันที่ผ่านมา +2

    Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini 8 วันที่ผ่านมา +3

    Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉

  • @mikidadijumanne7441
    @mikidadijumanne7441 8 วันที่ผ่านมา +3

    Uko sahihi

  • @RichardAmos-eo9dh
    @RichardAmos-eo9dh 8 วันที่ผ่านมา +3

    Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.

    • @bentvmedia
      @bentvmedia  8 วันที่ผ่านมา +1

      Karibu bentv

  • @Rarmba
    @Rarmba 8 วันที่ผ่านมา +1

    Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 8 วันที่ผ่านมา +3

    Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 8 วันที่ผ่านมา +2

    Uyu jamaa Yuko vzr sana

  • @mohamedikassimu7016
    @mohamedikassimu7016 7 วันที่ผ่านมา

    Fact broo umenena

  • @anafiselemani3957
    @anafiselemani3957 8 วันที่ผ่านมา +1

    Big up sana bro zuberi

  • @ezramichael7038
    @ezramichael7038 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mpira anaujua vizuri

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 3 วันที่ผ่านมา

    Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 8 วันที่ผ่านมา +3

    Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅

  • @user-em2sd9tm1n
    @user-em2sd9tm1n 8 วันที่ผ่านมา +2

    Kaka shikamoo

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 7 วันที่ผ่านมา

    Big upp umeongea kisoccer zaidi

  • @salumallymngumba
    @salumallymngumba 8 วันที่ผ่านมา +2

    Umeongea point tupu.

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 5 วันที่ผ่านมา

    Uchambuzi mzuri

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 7 วันที่ผ่านมา

    Hupepes macho

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela 8 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 7 วันที่ผ่านมา

    Ukopoa bro

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa anajua sana

  • @andrydengaah7389
    @andrydengaah7389 8 วันที่ผ่านมา +2

    😅😅😅

  • @salagolusangija8727
    @salagolusangija8727 8 วันที่ผ่านมา +1

    Bonge la mchanbuzi

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 3 วันที่ผ่านมา

    Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 3 วันที่ผ่านมา

    Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 8 วันที่ผ่านมา

    Unajua kaka

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 8 วันที่ผ่านมา +2

    Kweli

  • @allysinde6208
    @allysinde6208 6 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa nimemkubali sanaaa...
    Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn 7 วันที่ผ่านมา

    sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu

  • @saidmwinyi4437
    @saidmwinyi4437 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Eeeh mkaraboko umeuwa

  • @user-lo9pb1po8l
    @user-lo9pb1po8l 7 วันที่ผ่านมา

    Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂

  • @user-yu1zo9pf4o
    @user-yu1zo9pf4o 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu km kaka wa "K" mziwanda

  • @AyubuIssa-np3vc
    @AyubuIssa-np3vc 8 วันที่ผ่านมา

    Uyo nichura kama chula wengine

  • @suleymanyasinmkufu1570
    @suleymanyasinmkufu1570 8 วันที่ผ่านมา

    Amejaa wivu ,uto.

  • @franccoz94
    @franccoz94 8 วันที่ผ่านมา +3

    Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s 8 วันที่ผ่านมา +1

      Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.

    • @Evance-op4jw
      @Evance-op4jw 8 วันที่ผ่านมา +1

      nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 7 วันที่ผ่านมา

      Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.

  • @salummbuleti6047
    @salummbuleti6047 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mchambuzi wako ni chizi

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 8 วันที่ผ่านมา +1

    umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu

    • @AyubuIssa-np3vc
      @AyubuIssa-np3vc 8 วันที่ผ่านมา

      Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk

  • @anicethy6978
    @anicethy6978 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 8 วันที่ผ่านมา

      Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!

  • @AyubuIssa-np3vc
    @AyubuIssa-np3vc 8 วันที่ผ่านมา

    Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u 8 วันที่ผ่านมา

    Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 วันที่ผ่านมา +3

      😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff

  • @user-rp8ke2nb5i
    @user-rp8ke2nb5i 8 วันที่ผ่านมา

    Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 8 วันที่ผ่านมา

    Huna jipya wewe ebu tupishe

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 วันที่ผ่านมา +2

      Tupisheee wewe

  • @user-cm7yl9ej7i
    @user-cm7yl9ej7i 8 วันที่ผ่านมา

    Kuma ya mama zenu

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo

    • @erasmuskwayu5643
      @erasmuskwayu5643 8 วันที่ผ่านมา +1

      Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 8 วันที่ผ่านมา +2

    Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢