Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.
Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats
sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu
Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.
nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo
Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa
Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!
Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi
Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom
Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea
Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊
Jamaa Yuko vzr
Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha
Mwl zuber big up sana
Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani
Huyo jmaa yupo very Very point san
Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉
Uko sahihi
Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.
Karibu bentv
Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats
Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira
Uyu jamaa Yuko vzr sana
Fact broo umenena
Big up sana bro zuberi
Mpira anaujua vizuri
Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia
Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅
Kaka shikamoo
Big upp umeongea kisoccer zaidi
Umeongea point tupu.
Uchambuzi mzuri
Hupepes macho
Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea
Ukopoa bro
Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao
Huyu jamaa anajua sana
😅😅😅
Bonge la mchanbuzi
Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo
Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu
Unajua kaka
Kweli
Huyu jamaa nimemkubali sanaaa...
Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....
sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu
Eeeh mkaraboko umeuwa
Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂
Huyu km kaka wa "K" mziwanda
Uyo nichura kama chula wengine
Amejaa wivu ,uto.
Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo
Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.
nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo
Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.
Huyo mchambuzi wako ni chizi
umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu
Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani
@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk
Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa
Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!
Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee
😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba
Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka
😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff
Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga
Huna jipya wewe ebu tupishe
Tupisheee wewe
Kuma ya mama zenu
Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo
Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢