ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

NONGWA ZA MSIMU (EP 02) | Mashabiki wacharuana ishu ya wachezaji kuuza mechi na kiwango cha Feitoto

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
  • Azam TV

ความคิดเห็น • 78

  • @malietamaliet
    @malietamaliet หลายเดือนก่อน +3

    miraji nakuelewa sana we ni shabik ata kama ujawai maybe kusomea uchambuzi ila kuna wachambuzi unawazidi wengi hapa bongo chukua maua🎉🎉 yako

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 หลายเดือนก่อน +7

    Miraji huwa nakukubali sana ila Kuna kipindi unashindwa kuwa mkweli, mechi ya Yanga na Simba ni wazi Simba walizidiwa

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 หลายเดือนก่อน +2

      Achana nao, nyakati zimebadilikia ila wao wanaishi nyakati zilizopita.

  • @kazembeally1619
    @kazembeally1619 หลายเดือนก่อน +5

    Mpira ni namba kama utazikataa namba bas mtakuwa mnapiga kelele.position ya namba kumi kazidiwa namba 8 bado ajawai kifikiwa namba ya mudathiri.

  • @user-bj6lx9ss6n
    @user-bj6lx9ss6n หลายเดือนก่อน +1

    Daaah Mashabiki wayanga Mbona Wapombalisana na soccer Wanaongeasana Kimapenzi ya team yao.

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr หลายเดือนก่อน +3

    Wanauza mech wachezaji tena

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu หลายเดือนก่อน +3

    Shida ya mashabiki wa yanga huwa si waelewa kisoka.

  • @MoshiMrisho-e6m
    @MoshiMrisho-e6m หลายเดือนก่อน +1

    😂😂mashabiki wa yanga 😂😂daah akiliamnakabisa pole alafu mpira amjui kabisa

  • @saidjuma-j3r
    @saidjuma-j3r หลายเดือนก่อน +1

    Feisal mtu jamaniii Oooh😂😂😂😂😂😂

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 หลายเดือนก่อน

    Huyo baba mtangazaji anafurahisha sana anavouliza maswali

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 29 วันที่ผ่านมา

    Naipenda sana Yanga ila tshabalala Bora kuliko kibabage

  • @MoiseMishenyimateranya
    @MoiseMishenyimateranya หลายเดือนก่อน +1

    Mada nizuri Saana kabisa fei Toto nimuzuri

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 หลายเดือนก่อน +2

    Swali la yanga kajibu vizuri miraji kuliko wenye yanga yao.😂

  • @osimtawa5392
    @osimtawa5392 หลายเดือนก่อน +2

    Mzeee said 😅😅😅😅😅😅

  • @sajigwelunogelominga2446
    @sajigwelunogelominga2446 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee Chembela kaongea ukweli mtupu,huyo Gody na wenzeke wanaleta ushabiki

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c หลายเดือนก่อน +1

    Timu nzuri hii

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa anayejua ball, ata madrid asa hivi akija akiambiwa achague kati ya fei na ki ataenda kwa ki tu😅

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 หลายเดือนก่อน +1

    Kipindi kizuri sana hichi. Siku moja nitakuja nina mambo mengi sana ya kuongea.

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 หลายเดือนก่อน +2

    Mgosi alikamatwa na pesa kutaka kuhonga mtibwa na alifungiwa

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf หลายเดือนก่อน

    Feitoto akienda yanga anacheza pia Simba anacheza Azam anacheza kila tim hapa mpeni 🥀🥀yake acheni chuki utoporooooo

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 หลายเดือนก่อน +2

    Nakusikilizaga sana Miraji ila leo umepuyanga mzee. Rushwa ngumu sana kwa mpira wa sasa. Mchawi wa Simba ni Simba wenyewe

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 หลายเดือนก่อน

      Rushwa ipo popote wewe mpira wa bongo asa mechi hizi kubwa Rushwa tupu

  • @ramadhanrashidmthailand9553
    @ramadhanrashidmthailand9553 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo gody anaonekana hajui kabisa mpira anachojua yeye ni yangatu maana hata kwenye ukweli anabisha

    • @user-ui4vt9vl6h
      @user-ui4vt9vl6h หลายเดือนก่อน

      Mm yanga ila uy God mpl aujui

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 หลายเดือนก่อน +7

    Kweli nimeamin utopolo wenye akili ni wawili angalia Apo wote mzeee chembela pekee ndo anaelewa mpira hao wengne ni vilaza kabsa

    • @asmaSheha
      @asmaSheha หลายเดือนก่อน +5

      Angalau ss utopolo wenye akili wawili nyie makolo nyote nimambumbumbu

    • @abelimaganga417
      @abelimaganga417 หลายเดือนก่อน +1

      @@asmaSheha unaujua mpira wew au unabwabwaja tu kama umewekewa msumari wa Moto kwenye tako

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 หลายเดือนก่อน

      Acha matusi​@@abelimaganga417

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 หลายเดือนก่อน

      god bwege tuu kaona simba

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania หลายเดือนก่อน +1

    Siunaona kabisa mchezaji anasema mwenyewe aliambiwa asifunge ili asajiliwe.

  • @emasonindowo5321
    @emasonindowo5321 หลายเดือนก่อน

    Huu ni uongoo mbona Kuna mwaka yanga alichukua point nne kwetu simba na nyuma mwiko ajachukua ubingwa😂😂😂

  • @ToshNester
    @ToshNester หลายเดือนก่อน +1

    Hiki kipindi kizuri sana.

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน +1

    Fei anacheza mana alikua anakueka nnje azizik

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 หลายเดือนก่อน +1

    ww dodi mwendesha kipindi na waongozwaji wote isipokuwa miraji na dosi ni wanafiki na wapuuz sana hakuna mwanamichezo hapo wala mpira hawajui

  • @chiddmullo3241
    @chiddmullo3241 หลายเดือนก่อน

    Oya milaji salut Sanaa kaka

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 หลายเดือนก่อน

    Huyo wa Azam bwege kweli

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing หลายเดือนก่อน +2

    Hii Team Uwaga Nahikubali Kinoma Yanii🎉❤🎉🇹🇿

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu หลายเดือนก่อน +1

    Inamana akuna shabikiyeyote wa yanga ambae anaweza akamkubali FEI.

  • @user-xz2vl8up5e
    @user-xz2vl8up5e หลายเดือนก่อน +1

    noma sana

  • @jumaiddy441
    @jumaiddy441 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wapuuzi hata chama walisema hana namba yanga leo imekua sherehe na lazima atacheza

  • @IddiHassan-mr3sb
    @IddiHassan-mr3sb หลายเดือนก่อน +1

    Asiwazingue kwani wskubwa wa wanafumgwa je jela mishahara yao kiasi gani

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 หลายเดือนก่อน +2

    Apo anayejua mpira ni miraji tu wengne wanapiga kelele tu mpeni miraj Mike Apo awafundishe mpira

    • @bone102
      @bone102 หลายเดือนก่อน

      Yanga wengi wanaonyesha hawajui mpira

    • @abelimaganga417
      @abelimaganga417 หลายเดือนก่อน

      @@bone102 kabsa hawajui kazi kubisha tu

  • @jumaiddy441
    @jumaiddy441 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu utopolo mbona kiherehere sana haitwa kanyanyuka hamuoni mwenzake miraji japo kashika mic lakini katulia tuli

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn หลายเดือนก่อน

    2nataka part3 dodi🎉🎉

  • @hassankumba6938
    @hassankumba6938 หลายเดือนก่อน

    Rushes si lazima iwe fedha. Unaweza kuwa Zawadi au taktıma ya namna moja au nyingine.

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf หลายเดือนก่อน

    Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha,
    Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu

  • @user-ee8tm4du8h
    @user-ee8tm4du8h หลายเดือนก่อน +1

    Uyo anaongelea uxhabiki

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 หลายเดือนก่อน

      Nani anaeongelea ushabiki zaidi ya huyo godi yanga

  • @enoshmhemakapaya
    @enoshmhemakapaya 29 วันที่ผ่านมา

    Aiseeee yanga hakuna akili jamn yaan mnabisha hadi kwa fei dubbhh yanga chuki zimewajaaaa

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua หลายเดือนก่อน +1

    Fei ni kiraka watu hawaelewi Azizi sio kiraka

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 หลายเดือนก่อน

      Fei anadharauliw kwasababu hana passport ya nje

    • @HassanRamadhanPashua
      @HassanRamadhanPashua หลายเดือนก่อน

      @@mussahamad404 passport ya nnje ni ipi hio

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu หลายเดือนก่อน +1

    Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 หลายเดือนก่อน

      Exactly brooo❤❤❤

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf หลายเดือนก่อน

    Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣

  • @user-ui4vt9vl6h
    @user-ui4vt9vl6h หลายเดือนก่อน

    Mm yanga ila god mpla ajui kbs daah

  • @bone102
    @bone102 หลายเดือนก่อน

    Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna mtu anadhushwa kiwango, kwa Mikson, Chama na Sakho walishushwa viwango walipoenda nje?

  • @kaizerabilahi5958
    @kaizerabilahi5958 หลายเดือนก่อน

    Uto muna mkataa fei kisa hayupo kwenu ila angekuwepo mungemsifia tu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb หลายเดือนก่อน +1

    Unawatee Kwa sababu ww niyanga

  • @malietamaliet
    @malietamaliet หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂tungoje kidg tutasikia uyo mama Azam wamempa nyumba kisa kumuongelea fei tungoje miez 2 tu

  • @user-hi6hf2wt1u
    @user-hi6hf2wt1u หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂 kimeumana

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน

    waulizeni yanga kuhusu rushwa;huko majaliws penati ilitolewa njee ya kumi na nane

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน +1

    Xavi mtupu

  • @BibeLunangela
    @BibeLunangela หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna rushwa niku zidiwa

  • @leeobite2507
    @leeobite2507 หลายเดือนก่อน

    CJamuona mikoi kisugu hApo

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman หลายเดือนก่อน

    Polisi wanalipwa shilingi ngapi waambie trafki wote hawategemei mshahara

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 หลายเดือนก่อน

    Utopolo akilizao bhna Pascal msindo ana cheza yanga ana mtoa kibabage zimbwe anacheza, kibu d anacheza yule max amtoi kibu

    • @bone102
      @bone102 หลายเดือนก่อน

      Yanga weng hawajui mpira wanapenda kusifia Timu badala ya kuongea mpira ushabiki maandaz sana

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 หลายเดือนก่อน

      ​@@bone102sawa nyie mna wachezaji wengi wazuri

  • @DanielChaula
    @DanielChaula หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂

  • @saidabdul832
    @saidabdul832 หลายเดือนก่อน

    Eti huyu ni mwalimu kajaaa chuki

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu หลายเดือนก่อน

    Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.