Yn apa ni umalaya ulio na tbs umjui Mtu ,ujamchunguza,Mtu ujui ana marazi au ana mnachukuana tu km maembe Yalie tikiswa juu ya mti kweli izi ni nyakati za Mwisho tuombe Sana na tuombe kizazi chetu na uzao wetu na MUNGU utupe Maarifa na Ekima ktk hili 🙌
Huwez kumjua mtu kabla hujaishi nae muhimu ni kuomba Mungu huyo unaempata muwe mnaendana na kusikilizana lakin kuhusu magonjwa mtapima baada ya hapa. Ukumbuke kuna wanaopata magonjwa wakiwa ndani ya ndoa na kuna wanabadilika baada ya kuoana, muhimu ni kuomba Mungu tu
MC Gara B you're doing amazing job keep it up 👏👏Mish I wish you all the best with your man girl 😊 Because who find a wife find a good thing and indeed love is a beautiful thing 😘Am from 🇰🇪and I just love this show, Dr Lulu, Gara B and Aaliyah you guys are doing a great job👌 Keep the 🔥 🔥 burning. Mob 😘😘
Kwali huo ni umalaya uliopigwa marufuku mpaka na shetani yani msivyo na aibu mnawapa mpaka mafuta ya kuendeleza uzinzi kweli ndo maana mungu anakasirika kwasababu ya matendo machafu ya wanadamu
Kaka yupo smart sana yani imependeza
Mishy mrembo sana,hongera, ila ntamiss sana tabasamu lako
Kwan wakotoka apa wanaoana mtuoneshege
Inapendeza sana❤❤❤❤
I love the hosts of this show
Mm naitaka bulet
Glady katafute mume kwenye mahakama basi😂😂😂
Kweli dada lulu hayo maswali hayana maana asha mwambia anapenda kusikiliza music haijalishi ni wapi
Yn apa ni umalaya ulio na tbs umjui Mtu ,ujamchunguza,Mtu ujui ana marazi au ana mnachukuana tu km maembe Yalie tikiswa juu ya mti kweli izi ni nyakati za Mwisho tuombe Sana na tuombe kizazi chetu na uzao wetu na MUNGU utupe Maarifa na Ekima ktk hili 🙌
👍👍👍🌹
Huwez kumjua mtu kabla hujaishi nae muhimu ni kuomba Mungu huyo unaempata muwe mnaendana na kusikilizana lakin kuhusu magonjwa mtapima baada ya hapa. Ukumbuke kuna wanaopata magonjwa wakiwa ndani ya ndoa na kuna wanabadilika baada ya kuoana, muhimu ni kuomba Mungu tu
😂😂 Yani saiv mnawapa mpk na mcongo jamani khaa hii nchii ngumu sana msitake tushindane na tulikotoka tutajiraani wenyewe
Yaan hamjuani kwa lolote then unambeba t ukikutana na mchawi 😅😅😅😅
MC Gara B you're doing amazing job keep it up 👏👏Mish I wish you all the best with your man girl 😊 Because who find a wife find a good thing and indeed love is a beautiful thing 😘Am from 🇰🇪and I just love this show, Dr Lulu, Gara B and Aaliyah you guys are doing a great job👌 Keep the 🔥 🔥 burning. Mob 😘😘
Kaka amechangamkãa❤❤😂
Aaiseeeeeeeeee…. Inasikitisha sana tunakoelekea….😢
Dada anakera kwa maswal yake yakijinga
Upend hauchagui ❤❤❤
Nahitaji mr
lulu upo sawa ilo so swali😮
Kwali huo ni umalaya uliopigwa marufuku mpaka na shetani yani msivyo na aibu mnawapa mpaka mafuta ya kuendeleza uzinzi kweli ndo maana mungu anakasirika kwasababu ya matendo machafu ya wanadamu
Demu ni mtu wa clab huyu mlevi😂😂
Wew unatafuta mwanaume au unatafuta starehe hahaha bado utoto upo kweli
Must beautiful couple
Leo doctor kajitaidi kuvaa maana anavaaga uchi sana ujilekebishe bhana
WANAWAKE JINSI WALVYOKUA WANGI DUNIANI BADO MNAMWAGA MBWEMBWE POLENI 😂😂😂😂
Wacha company za makeup zifungwe bro utajua wanaume n maradufu yetu😢.Alafu anza kutafuta wife material ndo utajua so all my gender are wife material 😂
Mbwembwe gan? na unatak kumfahamu mwenziwako zaidi sio vibaya
Hiyo bullet inaweza patikana wap? Na niko kenya
Hio Bullet imethibitishwa na Tbs au idara ya madawa ile maana tusije jichanganya mambo ya upinde.Asking for a friend in a good way though...
Garab❤❤❤❤❤
Kinacho endelea hapo ni kujiuza kwa njia ya TV wadada wa hapo wote nguo wanazo vaa ni zakishetani tu
tamaa mbaya san mbona mnatuwekea vi clips vya dakika 3? kwa nini msituwekee episode nzima?
Wanawake wanamidomo saana wawe wanatoa profile zao nao kwanza
Mishima Hana hakilii
Wengine wanazima taa mwishowajambo wanaanza kukodoa macho msichoelewa Nini
Huku tumepiga jamani mishi
Unaenda kutafuta mume umevaa uchi!alafu amevaa kistaalabu we umevaa kistaalabu
Nauliza munawapima au
Huku ni kuhalalisha uzinzi na uasherati
Sio ivoo but aya mambo yalikuepo toka mwanzo yanajirudia to na hatiwezi kuyakataa ndo ulimwengu mpyaa huuu
mh
YOHANA
na mimi nitafanyaje ilio nifike hapo?
🤣🤣🤣🤣
mm nauliza kufika hapo inakuaj❤❤
Niko hapa kaka 😂😂😂😂
Niko hapa kaka 😂😂😂😂
upo kama haupo@@sylviabaha2266
Izo magoti drama mbwa nyie😂😂
😀😀😀
Marudio hua ni lini jaman
Washenz drama tu
Mmmmh huyu dada cjui choko maswali ya kijinga kweli yaani unataka mpnz halafu unaulizia et unapenda kusikilza mziki wap