ANGALIA JINSI MREMBO SADAH ALIVYOPAGAWA KWA KUCHAGULIWA NA MR RIGHT WAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • Kwa story Zaidi tufuatilie kupitia Mitandao :
    ►Twitter / tv3tanzania
    ►Instagram / tv3tanzania
    ►Facebook / tv3tanzania
    ►TikTok / tv3tanzania

ความคิดเห็น • 425

  • @user-wh4ig1gm6l
    @user-wh4ig1gm6l 7 หลายเดือนก่อน +1

    Akii nimependa hiki kipindi nahsi mnapunguza ushoga na biashara ya kujiuza conguduration love it

  • @phaizmgandi6935
    @phaizmgandi6935 ปีที่แล้ว +6

    Congratulations 🎉👏 my brother you have chosen the beauty one.....

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu ปีที่แล้ว +12

    Watu mna siri sana 🤣🤣🤣 by the way, jamaa ana jicho la maisha

  • @adelinafrancis7005
    @adelinafrancis7005 2 ปีที่แล้ว +7

    Upendo keep it up my beloved,wish u all the best for ur new relationship baby girl👌👌👌💕

  • @musandiege2111
    @musandiege2111 2 ปีที่แล้ว +7

    jamani mimi sijaelewa nikuwa hapo unatafuta mwenzi wa maisha au unatafuta mtu wakufanya nae uasherati mwenye maelezo naomba anisaidie

  • @digitalworld7451
    @digitalworld7451 2 ปีที่แล้ว +17

    Wanaume ni wachache kumbe na hamniambiii 😹😹😹 sijapenda kwa kwel

    • @rehemakassim4445
      @rehemakassim4445 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ndy ulikubwa ujui

  • @gracemohamed6865
    @gracemohamed6865 2 ปีที่แล้ว +8

    Kaz yenu njema Sana ...natamani kufik siku moja...hapo bishop Grace ..

  • @theosaimon6933
    @theosaimon6933 2 ปีที่แล้ว +23

    Alafu wamefanana sana pia congratulations 👏 sana watching from Switzerland

    • @coolvoices6608
      @coolvoices6608 2 ปีที่แล้ว +2

      Jamani mmefika vipi huko wenzetu si mtupe michongo na sie 😂

    • @nanamohamed6525
      @nanamohamed6525 2 ปีที่แล้ว +1

      Heeee Kwaiyo wapenzi

  • @alicecuttie8177
    @alicecuttie8177 2 ปีที่แล้ว +2

    Woow wanapendezan san big up san 😍 🙌

  • @mkongomani4678
    @mkongomani4678 ปีที่แล้ว

    Watching from Congo 🇨🇩 dah!! Aisee noma wa Tanzania

  • @brightonngussa7830
    @brightonngussa7830 2 ปีที่แล้ว +6

    mungu wangu raha sana duh watu had wanaria jaman inauma sana

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 ปีที่แล้ว

      Mungu/ MUNGU sio mungu

  • @princessringo2879
    @princessringo2879 2 ปีที่แล้ว +9

    Mimi naangalia ili kama nitamuona mpenzi wangu akienda kutafta mpenz wake😒

  • @salomevenance9555
    @salomevenance9555 2 ปีที่แล้ว +3

    Diva nakupenda sana upo vizuri dada

  • @Paulomairo
    @Paulomairo 20 วันที่ผ่านมา

    Dah nimeipenda sana nawezaje kujiunga

  • @richardmbeche8026
    @richardmbeche8026 2 ปีที่แล้ว +17

    They make a very good couple and they look alike

  • @jacquelinetairo1539
    @jacquelinetairo1539 2 ปีที่แล้ว +8

    Watching from Switzerland, the show is superb 👌

    • @jacobmakono4399
      @jacobmakono4399 ปีที่แล้ว

      You're stupid! you're happy for ungodly program!

  • @user-rw3nw9ns3s
    @user-rw3nw9ns3s 5 หลายเดือนก่อน

    this still the best ever i wish you bring back this beatiful couple ever

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 11 หลายเดือนก่อน

    laana ya Mungu iwe juu yenu kwa kuitangaza na kukusanya wazinzi katika zinaa

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 11 หลายเดือนก่อน

      Usiwalaani bado wapo hai huenda watatubia kwa mola wao.Hata wewe uombe tu kwa mungu hatima njema bado upo hai. Hata mm nachukia hichi kipindi kwani dada zetu wanazalilishwa bila kujielewa alafu ni kama tu mtu akiondoka na mwanamke ni sawa amepata kibali cha kuendeleza zinaa.ILA TUSIWALANI NI KOSA KUBWA KUMLAANI ALIYEHAI.

  • @mariamoman5057
    @mariamoman5057 ปีที่แล้ว +1

    Love from 🇴🇲 🇧🇮 💖 but nta kuja na mimi but Nataka Mme ame tulia

  • @giftpamelagiftpamela4494
    @giftpamelagiftpamela4494 2 ปีที่แล้ว

    Hii kapo inakubalika sana wako vizuri sana mungu ailinde ndoa yenu💞💞💞💞💞💞💞

    • @minamina4240
      @minamina4240 2 ปีที่แล้ว

      Gift naomba kuliza na mm nataka mume je nawezaje kushiriki kunakulipa pesa au

    • @giftpamelagiftpamela4494
      @giftpamelagiftpamela4494 2 ปีที่แล้ว

      @@minamina4240 waaaah mimi niko hata siko huko dadangu mimi hua naangalia tu but niko mbali sana niko Saudi Arabia imean Gulf tena natoka kenya but napenda sana kuangalia Mt right

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 2 ปีที่แล้ว +3

    Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
    Isaya 4:1

  • @esterpaul3146
    @esterpaul3146 2 ปีที่แล้ว +7

    Iki kpnd wanakuwa Kama watt kumlilia mdo mdo kwa Mara ya kwanza unamuona aujui atavundan wake😄😄

    • @restkalemile5274
      @restkalemile5274 2 ปีที่แล้ว +2

      Kizazi hichi hakuna watu , yaan watu nature ilishateketzwa na madawa.... Yaan tupo tu, mtu humjui kiundai..... Unapalamia eti anamuonekano ngoja afike ndan sasa, utakimbia

    • @salmonsalvatory6361
      @salmonsalvatory6361 ปีที่แล้ว

      Kipindi cha kihuni hiki 😂

  • @richardmbeche8026
    @richardmbeche8026 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanafanana,Mola awabariki.Betty Mbeche

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 2 ปีที่แล้ว +11

    Huyo pascal anaonekana msela sana..... Dolla wala usiumie hata huyo sada yatamshind😳💪😂😂😂😂

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 ปีที่แล้ว +4

    Kweli dada umejipanga icho kinguo kilivyokubana chini adi kumevimba kitovu nje duh hatari kweli kweli

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 2 ปีที่แล้ว +25

    Mungu ana kazi Kweli kweli. Dalili hizi zote ni za kurudi kwa Yesu, tunapoyaona haya tujiandaeni ndg zangu. Kuna uwezekano wa siku moja kupata mchumba sahihi au mnataka kuchochea wimbi la wanawake kutumika na wapuuzi huku wakiwatelekeza na kuwaachia machungu yasiyosahaurika ktk maisha yao?
    Mwenye macho na aone pia mwenye masikio na asikie.

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 2 ปีที่แล้ว

      ,👏👏👏👏

    • @ziadaabdalah7706
      @ziadaabdalah7706 2 ปีที่แล้ว

      Hakika hay Mambo Dunia sijui inaenda wap

    • @secretstriker2249
      @secretstriker2249 2 ปีที่แล้ว +2

      Sasa huku unafanyaje😂😂😂😂😂

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 2 ปีที่แล้ว +1

      @@secretstriker2249 Huku ninawatafuta watu kama ww ili upate ufahamu usipotee( kiujumla namtafuta kondoo aliyepotea)

    • @secretstriker2249
      @secretstriker2249 2 ปีที่แล้ว

      @@elishakayagwa9371 Yesu mwenyewe hajawahi shauri namna ya kupata wachumba..we ndo uliepotea huku😂

  • @vancappi2796
    @vancappi2796 2 ปีที่แล้ว +1

    Nataka ni comment ujinga... Au basi acha ukahaba uhamie mitandaoni

  • @danielbarasa3342
    @danielbarasa3342 2 ปีที่แล้ว +1

    Eiiiish Sadah mali safi, bonge la shepuuu😋😋😋😋😋😍😍😍😍😍

  • @lovenessfrank95
    @lovenessfrank95 2 ปีที่แล้ว +2

    jaman mimi naona watangazaji hawako serious wako na talent sana ila hawako kama wamejiandaaa and pia vitu kama the way wanavaa the way wana mapoz fla mtu unazan kama yuko nyumban and concern ya kelele angekuepo dj awe anaziba izo kelel for me naona idea nzur ila hawajawa well composed kwakwel

  • @aynesshezron5588
    @aynesshezron5588 2 ปีที่แล้ว +8

    Machozi yamemchanganya mweeeh!!!

  • @ivankipobota3162
    @ivankipobota3162 2 ปีที่แล้ว +1

    Season 2 sio nzuri Sanaa Kama season 1 Na muda nao umebana

  • @favourfuraha
    @favourfuraha ปีที่แล้ว

    bro you've made the best choice

  • @charlesyotham7977
    @charlesyotham7977 ปีที่แล้ว +1

    Hivi ni kweli au Sanaa jamani.ukishamchagua ndio anakuwa mke au Mme.

    • @pandmlekwajecha8765
      @pandmlekwajecha8765 ปีที่แล้ว +1

      Charles umeuliza kitu
      Kumbe mizigo inakuwepo Duuuh

  • @maryimai7370
    @maryimai7370 ปีที่แล้ว

    Wow, I love this, it's not easy in deed,ingelikua mm, from Kenya

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 ปีที่แล้ว +4

    Ehee sada kavurugwa 😂😂😂

  • @dainecwilson7827
    @dainecwilson7827 ปีที่แล้ว +1

    😅😅😅nimecheka kwakwer sa analia nin😅😅

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 2 ปีที่แล้ว +9

    Kwann asioe wote😆😆😆

  • @peterphilipo4152
    @peterphilipo4152 ปีที่แล้ว +1

    Zamani kweli walikuwa wanachaguliwa wanawake ila wakuliwa wanachaguliwa wanawake wabichi vigoli asa aya yamekubuu yamedanga mpaka yamechoka😋😋😋 alafu kweli mtt wa kiume una hela zako una biashala zako unashindwa kupata dem mrembo mwenye heshima zake mpaka kujizalilisha halafu hawa wanao endesha kipindi naona kama wanachulia maboya hivi ni mtazamo tu.

  • @joycesinkala225
    @joycesinkala225 2 ปีที่แล้ว +2

    Sana dada lulu nakupenda unapendezesha sana shoo unaongea kwakujiamini sana🙏🙏🙏💕💕💕💞💞💞

    • @minamina4240
      @minamina4240 2 ปีที่แล้ว

      Dada naomba kuliza hi mm nawezaje kushiriki

    • @joycesinkala225
      @joycesinkala225 2 ปีที่แล้ว

      @@minamina4240 andika hello mrs lithy itakuja

  • @mbuyancholla2852
    @mbuyancholla2852 2 ปีที่แล้ว +2

    Wajina hongera Sana Mpendwa kinasada huwaga wapele Sana ila hicho kivazi best 🙈

  • @ningekuwambunge820
    @ningekuwambunge820 2 ปีที่แล้ว +27

    Binafsi nimefanikiwa kukiangalia hiki kipindi mara mbili au tatu lakini ninaona kinachoendelea hapa ni unyanyasaji wa kijinsia "sexual harassment"
    Mwanamke mwenye akili timamu/anayejielewa hawezi kushiriki..
    Ni maoni yangu tu.🙏🙏🙏

    • @happytz
      @happytz 2 ปีที่แล้ว +3

      Kweli Kabisa Sasa utamwonaje mtu hapo na kumpenda hapo hapoa

    • @hafsahussein505
      @hafsahussein505 2 ปีที่แล้ว +2

      Mwanmke mwema na mwanaume mwema hawapikani sehemu kama hz, hapo wote ni magumegume

    • @happytz
      @happytz 2 ปีที่แล้ว +2

      @@hafsahussein505 ni kwel nakubaliana na wew kabisa

    • @hafsahussein505
      @hafsahussein505 2 ปีที่แล้ว

      @@happytz km huyo sada amevaa crop top hadi kitovu kinaonekana ndo wife material huyo

    • @happytz
      @happytz 2 ปีที่แล้ว +2

      @@hafsahussein505 🤣🤣🤣🤣ni shida tupu tunadanganywa tu

  • @marygyumi1037
    @marygyumi1037 2 ปีที่แล้ว +2

    Show yenu ni nzuri, ila warembo wapewe muda wa kukaa hapo ili na wengine waweze kushiriki, sio MTU anakuwa kisiki mpaka anaboa.

  • @lang6626
    @lang6626 ปีที่แล้ว +2

    😂😂I was rooting for her 🤞

  • @bernardmukunze9594
    @bernardmukunze9594 ปีที่แล้ว

    Doo huu ni mzaa mke hachaguliwi studio baana

    • @bernardmukunze9594
      @bernardmukunze9594 ปีที่แล้ว

      Hizi ni stori za Alfa olela olela stori zakupitisha wakati

  • @graceleonard6228
    @graceleonard6228 ปีที่แล้ว +2

    Kwani wanapatikana wapi tukaone live 😂😂

  • @IanModric-dh1qz
    @IanModric-dh1qz 9 หลายเดือนก่อน

    Much love ❤❤❤

  • @user-yu5ku8zf4x
    @user-yu5ku8zf4x 6 หลายเดือนก่อน

    Shangaaaa unamulilia alafu yeye hajakwelewa😅😅😅

  • @willywaves9069
    @willywaves9069 2 ปีที่แล้ว +2

    Unachagua mwanamke kama nyanya 😂😂.. kuna shida hapo🤔🤔

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 ปีที่แล้ว

    Kwani hao wadada wajiuza au wanapigwa mnada! Mm sijaelewa kiendeleacho hapo! Dunia imefika mwisho.

  • @user-rw3nw9ns3s
    @user-rw3nw9ns3s 5 หลายเดือนก่อน

    this is still the best episod

  • @nicksonthevet
    @nicksonthevet 2 ปีที่แล้ว +5

    Hivi ninaangalia mchezo gani? Nini kinaendelea hapa?

    • @latifartygh4828
      @latifartygh4828 2 ปีที่แล้ว

      Mm mwenyewe sielewi

    • @anjelaerick3206
      @anjelaerick3206 2 ปีที่แล้ว

      Hiii inahusu wale wenye uhitaji wa kuoa na kuolewa ndo ukipata wa kupendana naye maisha yanaendelea

    • @nicksonthevet
      @nicksonthevet 2 ปีที่แล้ว

      @@anjelaerick3206 Itakuwa bongo movie uhalisia haupo

    • @roseathumani9256
      @roseathumani9256 2 ปีที่แล้ว

      Duuuh hii nayo n changamoto mtu humjui tabia zake wala nn halaf unamlilia kwel wanawake tunatia aibu😓

    • @nicksonthevet
      @nicksonthevet 2 ปีที่แล้ว

      @@roseathumani9256 hahahaha

  • @phaizmgandi6935
    @phaizmgandi6935 ปีที่แล้ว

    Am Phaiz from Kenya

  • @mumymullah1293
    @mumymullah1293 2 ปีที่แล้ว +2

    hivi hawa wanaume wamekua shida kupatika mpaka mtoto mzuri ajilize hivyooo....

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rahelifredrick8460
    @rahelifredrick8460 2 ปีที่แล้ว +1

    Ila hawa wadada wanatafuta Waume alafu wanavaa ovyooo 😥😥😥 hapo tu kama wanajiuza

  • @henriettebahati6710
    @henriettebahati6710 ปีที่แล้ว +2

    So beautiful and wonderful

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius ปีที่แล้ว

    Kati ya ujinga na upumbafu umewah kutokea tz Basi ni huu😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-sc3wo3ol1k
    @user-sc3wo3ol1k 6 หลายเดือนก่อน

    Uyo kaka itakuwa alitaka kubadili maamuzi bora kapolwa maik

  • @Silyvesta
    @Silyvesta ปีที่แล้ว

    Huko ni kuwatumikisha wanawake na manyanyaso mnaona kama utani Ila watu wanaumia Sana Hilo silo la kufumbia macho serikali walichunguze hili Kwa kina.

  • @thomasdonald4663
    @thomasdonald4663 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani eeeh nimeangalia lakini sijaelewa nn mchezo au ndo kajipatia jiko

    • @yunyun799
      @yunyun799 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @babytausi9669
      @babytausi9669 2 ปีที่แล้ว

      Sasa ndio nini me hata sielew

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 ปีที่แล้ว +21

    Ila Ni Kama alimpenda Dora na kumuonea huruma kwa kuwa Ana mtoto lakin kajikuta tu amempenda sada

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 2 ปีที่แล้ว +3

      Sn uyu kaka alimpenda yule Dada mweupe sio sada Sema kakubali kwakuwa alikuwa analia sn

    • @badruathumani7213
      @badruathumani7213 ปีที่แล้ว +1

      Me naona kamuonea huruma sada

    • @benhanclove5997
      @benhanclove5997 ปีที่แล้ว

      Daah!! Kweli

    • @mwanalimasaid2368
      @mwanalimasaid2368 11 หลายเดือนก่อน

      Amemuonea huruma uyu dda Amelia snaaa ila hajampnda

  • @Gmama264
    @Gmama264 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmh yn kuchagulia ndo ulie kama vile upo bss Mana uko bss kwenyew unapew hela Yan mm nilie et nmechaguliw na boy niwe dem wake hapana kwakwel uwiiiii mungu niepushe na kikombe hiki kibooooo😜😜😜😜

  • @deborabrown2114
    @deborabrown2114 2 ปีที่แล้ว +4

    Unalia hata mtu humjui jamani.

    • @Ikkiyoongi
      @Ikkiyoongi 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      Analia kamiss alale na mtu weee chezea upweke

  • @OmarMohamed-bp9ix
    @OmarMohamed-bp9ix 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapa ndio kujizalilisha kwa wanawake duu,,,dunia imeisha,,,,ndio mana tukaambiwa wanawake akili zao kama watoto wadogo,,,,

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 2 ปีที่แล้ว

      Unajuwa mm uwa nilikuwa najuwaga ni kuigiza tu kumbe wnachukuwa kweli kina pemapenzi

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 ปีที่แล้ว

      Hawo sio wake

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwani Nikitu Gani Jaman Apa Mbona Sielew

  • @BukuruIbrahim-o3m
    @BukuruIbrahim-o3m วันที่ผ่านมา

    Ameniosha moyo

  • @BB-qp1ir
    @BB-qp1ir 2 ปีที่แล้ว +6

    Sijawahi tazama hii show, ila inaonesha inafurahisha😅😅

  • @salmacazzy1915
    @salmacazzy1915 ปีที่แล้ว +1

    Naipend hii capple jamn sichoki kuangalia ❤️ sijui kama bado mpo pamoj mpak sasa 😜💞

  • @gasper7585
    @gasper7585 2 ปีที่แล้ว

    It right to choose one you love ❤ from heart

  • @firdausrajabu6822
    @firdausrajabu6822 2 ปีที่แล้ว +2

    Aya bn

  • @trillionairekid4256
    @trillionairekid4256 2 ปีที่แล้ว

    So good🤗🤗🤗

  • @qeenemmah8325
    @qeenemmah8325 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii show ya Kenya n moto😂😂😂😂

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 2 ปีที่แล้ว +2

    Je mnakumbuka kuwapima lkn?????

  • @elizaburetta9377
    @elizaburetta9377 ปีที่แล้ว

    Uyu kaka ni mzur jaman😊

  • @user-eu5xt1vb6f
    @user-eu5xt1vb6f 8 หลายเดือนก่อน

    Hata mniuweere😂😂😂😂😂😂

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 ปีที่แล้ว

    ..yaani kuna mtu kaacha mkewe huko na watoto kaja hapa kuchukua malaya mwenzake!you aren't serious!

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 2 ปีที่แล้ว

    🤣🤣huu Ni mchezo gani jmn mbona unafurahisha jamn nataman kuucheza na Mimi nilie 🤣🤣

  • @user-sc3wo3ol1k
    @user-sc3wo3ol1k 6 หลายเดือนก่อน

    Uyo kaka itakuwa alitaka kubadili maamuzi

  • @sesiliasalleko2013
    @sesiliasalleko2013 2 ปีที่แล้ว

    Aiseeee hivi kweli Kuna wanawake wamejikatia tamaa kiasi hiki 😭😭😭daaaah

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 ปีที่แล้ว

    aisee MUNILA nimemuelewa sana, namba yake inpatikanaje?

  • @jackjoshua3666
    @jackjoshua3666 2 ปีที่แล้ว +1

    Aki Hadi mmeniliza♥️♥️

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 2 ปีที่แล้ว +2

    Hahahahaha haya bana

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu mkaka ninavyo hisi alitendwa na mdada mweupe🤣🤣ndio mana hakumtaka Dora

  • @meaningoflife651
    @meaningoflife651 ปีที่แล้ว

    Jmn uyu sada analia ivo😂😂😂😂😂

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapo mwenye demu wake anaangalia tu michezo mingine bhana haina mashiko kbs kureta vilio miyoyoni mwa watu

    • @neemanyimbi2355
      @neemanyimbi2355 2 ปีที่แล้ว

      Demu kitu Gani kama nilienae haeleweki miaka inaenda sinakuacha naenda Kutafuta mume

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 2 ปีที่แล้ว +1

      @@neemanyimbi2355 Kwaiyo unataka kuniambia walioshiliki hapo wote wapenzi wao hawaeleki au baadhi ya wanawake walioshiliki hapo kilichowapeleka tamaa zao tu?

  • @upendogidion5167
    @upendogidion5167 2 ปีที่แล้ว

    Mnaochamba wenzenuuu cio vizur kama mnataka ci muunge jaman kila mtu na anachotaka, but dunia ya sahiv n kuiangalia tuu yaan kufika siku ya mwisho Mungu ndie ajuae maovu yamezid tuombee

    • @dinakelvin2134
      @dinakelvin2134 2 ปีที่แล้ว

      Nataka kujua kwenda kwenye hii show na hela au😂😂

  • @user-oq2cz7wb3t
    @user-oq2cz7wb3t 7 หลายเดือนก่อน

    Huo ni ushenz uliopigiwa vigelegele kz ni kutuzalilisha t washamba wa heshma

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 ปีที่แล้ว

    Nguo mnazovaa😢😢😢😢 jiheshimuni

  • @rehemashinsi
    @rehemashinsi ปีที่แล้ว

    neema ukiwa stegini nafurahi sana uko poa sana yaani naenjoy sana

  • @rechonjogo228
    @rechonjogo228 ปีที่แล้ว

    Hi sho iko wapi pia mimi nije nichague

  • @richardcandidus186
    @richardcandidus186 ปีที่แล้ว

    Pangekuwa na usiri kwenye kuzima ni kama wadada wanajisikia vibaya

  • @assundy6923
    @assundy6923 2 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe sisi nin almasi namna hiiii

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaani 🤣🤣utafurai hapo mkiishi mwezi tu kurupushani za mkataba wa mapenzi unaisha 😂🤣😁miye nitazeekea Nyumbani maana nawoga

    • @janephernyakire6495
      @janephernyakire6495 2 ปีที่แล้ว

      Hahaa

    • @khadijakdj8640
      @khadijakdj8640 2 ปีที่แล้ว

      🤣😂hahaha tunafurai ndugu Maana shuguli ipo

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      @@khadijakdj8640 waogopa nini njoo kwangu ila uwe na tako

  • @adamyasin4089
    @adamyasin4089 2 ปีที่แล้ว +2

    Unaweza kuzimia hapa

  • @joycekunyanja1027
    @joycekunyanja1027 ปีที่แล้ว

    Hiv haya mambo mbona mim sielewi ndio nin

  • @fredymwakikono1575
    @fredymwakikono1575 ปีที่แล้ว

    Cha muhimu wadumu, kuanzisha ni rahisi sana

  • @user-cr4bt4nu8i
    @user-cr4bt4nu8i ปีที่แล้ว

    Mungu awasimamieni

  • @marymwalimu9539
    @marymwalimu9539 ปีที่แล้ว

    Nataka kujoin pia

  • @rusenge2406
    @rusenge2406 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu bro n kipofu kwel

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 ปีที่แล้ว

    Jamaa Kaona Kalio Apo

  • @emanuelkinoko9126
    @emanuelkinoko9126 2 ปีที่แล้ว +1

    Ya kwangu ni kubwa kuliko, ogopa mwanamke asee